
KITENDO cha wakubwa kujilipa bonasi ya $165 billioni wakati wamekomba fedha ya serikali $ 170 billioni ni fedheha na aibu katika ulimwengu unaomilikiwa na soko. Dhana ya kuwaacha wenye nguvu washike mpini kama walivyokuwa wakiachiwa na Bush haina haja kupingwa kwa nguvu zote. Hili ndilo linalotakiwa kufanyika hata kwa serikali maskini na sio kutazama tu watu wenye fedha nyingi wanajitoza kodi kwa kutumia mbinu za misaada huku wakinufaika na kutokatwa kodi kwa kigezo kuwa wanashiriki shughuli za umma. Obama anaonyesha njia sahihi katika hili pia. Habari zaidi soma hapa na pichani ni Treasury Secretary Timothy Geithner
cool wah also browse your site ,
I really like and are excited about this can find your site ..
Greetings Introduction Of My Seo Milanisti
obat perangsang | obat kuat | alat bantu sex