Kasri, jumba la weledi waweza keti hapa na kupata ukitakacho. Chakula cha wakazi wa Kasri ni fikra na chakula hiki kimewapa thawabu wananchi wa nchi hii hali inayowafanya kutoziba midomo yao kila waonapo damu ya wanaonyanyaswa ikidondoka katika bahari ya dhiki, maangamizi na unyonyaji. Waweza nawe keti hapa na kula fikra hizi.
Wednesday, June 07, 2006
SASA NI JUMA KITENGE
KILA siku maana ya magazeti tando inatanuka. Wengine wanaamua kuyatumia kama njia ya kuwasiliana nandugu na jamaa zao na kubadilishana picha, mawazo na maoni. Wengine wanayageuza kuwa sehemu za kutunzia kumbukumbu. Ndugu yangu Juma Kitenge yeye kaamua kuwekan picha za matukio yake na wengine katika ukumbi wake na hii itampa fursa kuwa karibu na ndugu na jamaa zake wa karibu waliko kote ulimwenguni. Waweza kupita hapo na kutazama nini alichoweka maana kama ujuavyo binadamu twajifunza kutoka kwa wengine, unaweza kuwa wafahamu watu huko, kwako Baragumu ambaye bado unatafuta!
 
© boniphace Tarehe 6/07/2006 07:08:00 AM | Permalink |


Comments: 0


   
 
Copyright 2006 © BONIPHACE MAKENE. All Rights Reserved