Tarehe 7/04/2006 7:01 AM, Mtoa Maoni: Ndesanjo Macha
Tarehe 7/07/2006 4:51 AM, Mtoa Maoni: Simon Kitururu
Mimi nahisi kinamna fulani tumelala.Mimi nahisi katika sehemu ambazo Afrika tunaweza ku fight back ni katika kabumbu. NA mapigano hayo yanatakiwa yawe katika hali ya juu kuliko wao. Nakumbuka Hoja ya sidney Poitier akizungumzia nini kilikuwa kinampa ari ya kwenda kazini hapo hollywood kipindi ambapo mweusi alikuwa pekee mpaka ikabidi tu wampe Academy award(Oscar). Alisema kuwa ilibidi yeye afanye vizuri mpaka kusiwe na mtu ambaye anaweza akatoa hoja ya kukubalika kuhusu uwezo wake wa kuigiza. Sasa hivi timu za Afrika bado hatujafikia kufuta hoja kuwa kweli tuna jua mpira kwa sababu tunafungwa. hata game ya Ghana na Brazil kwamtazamo wangu Ghana ilicheza vizuri kuliko Brazili lakini huwezi kukataa kuwa ilifungwa.
Makene, shukrani kwa kutupasha habari hii njema ya ujio wa Mwinyimbegu.