MAHAKAMA kuu ya Tanzaniasijui ilikuwa imelala wapi miaka yote hiyo au ni kuonyesha namna mahakama zisivyo na uwezo wa kimaamuzi hadi pale zitakiwapo kufanya hivyo na serikali zilizopo madarakani, kama sivyo fikiri vingine lakini Tanzania ilibakia nchi pekee iliyokuwa imehidhinisha rushwa kuwa haki ya raia na kuiweka katika vitabu vya sheria. Sasa leo kama hujasoma hapa ni wakati wako
pitia hapa. Ehee napumua, je vipi kuhusu kesi kwa wabunge na wagombea wengine waliotumia rushwa hiyo? Tuanze kufungua majalada sasa mahakamani?
Si mkapa pekee makene,hata msekwa