MWANANCHI, kunani pale, nikisema sana mtasema Kasri KUFAGILIA kumezidi. Hapana nadhani kama kuna tuzo ya kampuni inayohamasisha kumiliki Magazeti Tando kwa waandishi wake Tanzania ni Mwananchi. Siwataji leo waliokwisha kufungua makasri yao lakini leo hii
ameingia huyu hapa muone wewe unayedhani huko Bukoba wamekaa wasiojua kompyuta.
Makene
Huyu jamaa sina shaka atatupatia data za kina kuhusu kushindwa kwa 'babake' John Samwel Malechela, na za undani zaidi za wanasiasa na wengine wengi na hasa kwa kuwa tunafahamu pia naye ni 'Mwanamtandao'.
Thidhani kama atatuangusha tunazisubiri data hizo hasa katika kipindi hiki cha maandalizi ya uchaguzi wa vigogo wa CCM utakaofanyika mwakani.