Tarehe 5/01/2006 11:20 AM, Mtoa Maoni: John Mwaipopo
Tarehe 5/01/2006 4:50 PM, Mtoa Maoni: Jeff Msangi
Tarehe 5/01/2006 10:39 PM, Mtoa Maoni: Mija Shija Sayi
Tarehe 5/01/2006 11:40 PM, Mtoa Maoni: mzee wa mshitu
Tarehe 5/02/2006 3:30 AM, Mtoa Maoni: Sultan Tamba
Yaani huu mkataba umenichekesha sana. Mkataba huo ni ngumu sana kusainiwa, mwanamke anapata wasiwasi, huyu mtu ananipa huu mkataba ana maana gani? yaani kwa kifupi unatisha. Halafu si unajua mambo ya ngono mara nyingine mnakutana kwenye pombe, na pombe ikiwa kichwani hata condom mtu unasahau achilia mbali mkataba! Ni mzuri lakini kwa huku bongo mgumu, sijui ughaibuni!
Tarehe 5/03/2006 12:32 AM, Mtoa Maoni: Reggy's
Tarehe 5/03/2006 12:35 AM, Mtoa Maoni: Reggy's
Tarehe 5/03/2006 11:05 AM, Mtoa Maoni: Ndesanjo Macha
Hongera kwa kulipamba kasri lako lakini hiyo saa uliyoiweka hapo juu kulia hatujui ni ya wapi Moshi au Ottawa au New Jersey.