KAMA ulidhani MWANANCHI wanatania, umekosea kabisa. Kazi ya Balozi wetu mpendwa Mzee wa Mshitu, Yahya Charahani inazaa matunda sana. Tunatembea sasa kifua mbele tukiwakaribisha
Angetile Osiah na
Hawra Shamte! Wewe unadhani watu wadogo hawa, unafikiri wamekuja kujaribu, bonyeza yalipo majina yao kisha tazama kazi zao na kuwasalimia huko.
Ahsante Makene kwa kutuletea watu hawa.Nimewatembelea na kuwakaribisha.Mapinduzi yetu yanategemea watu,ni mapinduzi sawa kabisa na yale ya kina Chegu na Castro..watu ndio mhimili wetu.