HUYU jamaa ni moja ya watu ninaopaswa kuwashukuru kwa mengi. Msomaji wa makala zangu Tanzania anaponiandikia kushukuru kuhusu maandishi yangu kimsingi anakosea. Huyu jamaa ndiye chanzo cha nafasi hii, anapaswa kushukuliwa huyu kwanza. Sasa baada ya kimya kirefu ameamua kufungua Blogu yake
isome hapa. Nasikia kuna mkakati kwa waandishi wa Habari wa Kampuni ya Mwananchi Communication kufungua Blogu zao ikiwa ni mkakati wa awali kabla ya magazeti hayo kuwekwa mtandaoni hapo baadaye mwaka huu. Mtembelee
Yahya Charahani na kumsalimu kama ilivyo ada yetu. Naona anajiita
hivi...KARIBU YAHYA saaaaaafi sana.
haya makene tumesha mtembelea na tumemkaribisha,sasa kwanini hujaweka blog yangu kwenye kipengele chako cha blog za wenzangu?ni www.fglukwaro.blogsport.com