Tarehe 3/02/2006 8:46 PM, Mtoa Maoni: Fikrathabiti
Tarehe 3/03/2006 12:27 PM, Mtoa Maoni: John Mwaipopo
Tarehe 3/03/2006 1:40 PM, Mtoa Maoni:
Tarehe 3/04/2006 6:15 AM, Mtoa Maoni: Reggy's
Tarehe 3/04/2006 6:30 AM, Mtoa Maoni: FOSEWERD Initiatives
maweeee maweeeeee maweeeee Makene!soma kwanza mambo mengine baadaye! watakuja wenyewe! kwani umeishakuwa profesa? bado safari ni ndefu sana!!!! ahu ahu ahu !!! kwa kweli hadithi hii nimeipenda na kimsingi ina pande mbili! ya kwanza ni ile ya mwanafunzi mzuri ambaye yuko motivated na future (haijali kama itakuja au la), mwanafunzi ambaye hutabasamu mara chache sana na mara zote kutafuta njia ya kujikeep busy na kuwa serious. mwanafunzi wa namna hii ambaye hawezi kuaccomodate utani utani na romance kwenye maisha yake mara nyingi si chaguo la kina dada....na huishia kuambiwa kuwa nina boi frendi mahala fulani....na kwakuwa mwanafunzi huyu ni mprotokali hana habari kuwa wake zetu wote tuliwachomoa mikononi mwa watu!! ...kwa njia ya kukoleza!!! mfano huu pia nilikuwa nao mie na chuo kikuu nikawa mserekali wa dhati kiasi sikuwa na muda wa kujimix! mwaka wa mwisho wanafunzi wakitaka kunipa serekali ya chuo kama raisi nikasema subutu!!! basi ndio ikawa wenzangu wakiwa busy kuandaa mgomo mie natumia wasaa huo huo kwenda kumuona muhibu mama mtoto wangu tulikutana 1999 ngoma ikapigwa 2002....makene inawezekana uko kwenye kundi hili na inaweza kuwa soo zaidi ukiwa ni "perfectionist"....you will need to know urself ili uenjoy maisha!!
kundi la pili ni la maplayers ambao wao hawajaweka tittle ya mke kichwani mwao kila mara wanapojichanganya! wao wakimwona demu huanza kufikiria upande wa kujimingo zaidi..an not as a potential running candidate!! namna hii kuna hatari ya kumwacha mgombea mwenza wako. naamini kabisa katika umri huu unachopaswa kufanya ni kukaa chini na kutafakari kama uliwahi kucome across friends kama marafiki au wachumba flani halafu walionyesha vidalili fulani vya kuita (unajua wenzetu hawa hawaongei kwa kusema - si unamcheki hata da mija?) halafu ukaviignore au alikuwa anakutendea mema kuliko kipimo au kujitolea basi pengine huyo ndio alikuwa mgombea mwenza....chukua wasaa kaa chini ita kumbukumbu zako halafu anzisha mawasiliano!! utashangaa majibu yake!! hapa nilipo kuna jamaa wawili (PhD students) walikuwa wanasuffer the same consequence, lakini nilipowashauri i am tell u waliweza kuwafahamu wagombea wenza wao ambao hawakudhani kuwa walikuwa ndo wenyewe na wote kitaeleweka this year!!
labda kwa upande wa mwisho ni kwamba u need kuwa ukikutana na mtoto wa kike jaribu zaidi kumfikiria kama mke rather than a girlfriend....while the concept is built hutapata shida kuona mbona wako wengi tu? utajua hili ukiishaspecialise!!!
karibu kwa ushauri zaidi msaki.mark@gmail.com
Tarehe 3/04/2006 6:41 AM, Mtoa Maoni: FOSEWERD Initiatives
cha msingi nilikuja kulearn kuwa mwanamke hata kama hana bf atakuambia kuwa anaye kwani ni kama kakasoro flani kuwa singo, yaani kimsingi inakuwa kama wewe ndio unakuja kumuokoa hivyo anakuwa kama kajishusha value kwako (hutokea mara nyingi kwa wasichana wadogo wadogo ambao hawajafikiria ndoa)! na kingine ni kuwa akisema hana mana yake unajichukulia kama ushindi wa Kikwete na historia inaonyesha kuwa baada ya hapo utamwona bi!!sijui umenipata? katika vitu ambavyo wanandoa huongea na kucheka sana ni vile vya kufukuziana....maisha yote!!!hata kama anaye lakini level of seriousness hutofautiana...wewe ukiwa karateka mzuri utashangaa ataacha ma benz ya bwana mwaipopo na kitofa chake cha mbezi kukufuata uswazi mwananyamala!!!!! khe khe khe !!!
Tarehe 3/04/2006 6:47 AM, Mtoa Maoni:
Tarehe 3/05/2006 2:11 AM, Mtoa Maoni: Egidio Ndabagoye
Tarehe 3/05/2006 6:11 AM, Mtoa Maoni:
Tarehe 3/05/2006 12:22 PM, Mtoa Maoni: boniphace
Mimi nasikiliza kwanza mmalize kisha nitamjibu kuanza kwa Fikra Thabiti maana yeye amesahau pasword ya Blogu yake kiasi kwamba hawezi tena kuweka maandishi huko na kazi yake imekuwa kuchukua ukamanda wa kutoa maoni. Enewei natania ila baadaye nitafika hapa na kufafanua nini kilisababisha kuandika riwaya hii.
Tarehe 3/07/2006 11:27 PM, Mtoa Maoni:
Tarehe 3/09/2006 11:48 AM, Mtoa Maoni:
Tarehe 3/10/2006 9:59 AM, Mtoa Maoni:
Tarehe 3/11/2006 10:47 PM, Mtoa Maoni: Mija Shija Sayi
Tarehe 3/12/2006 10:31 PM, Mtoa Maoni:
Tarehe 3/13/2006 5:55 AM, Mtoa Maoni:
Tarehe 3/18/2006 11:27 AM, Mtoa Maoni: FOSEWERD Initiatives
Makene tatizo la kuoa wazungu ni kanuni zinazidi mipaka...ninawaona huku...yaani ni kuishi kwenye mstari..na kila utachofanya kinataka maelezo...ni gereza au mateso bila chuki....yaani hata kama utaenda kunywa bia lazima upate ruhusa kwanza...na utapangiwa namba ya bia za kunywa...kimsingi ndio maana utakuta kuna watu wanagangamalaaaa weeee halafu wanaachia ngazi wenyewe....
Ina maana Makene wale mabinti wa ndanda sekondari,warembo wa complex mkwawa na mamiss wako wa UDSM umewasahau au unataka tuamini kua huna bahati katika hii fani???
Ninayo mengi ya kusema juu ya mtandao wa wanawake wako lakini naashia hapa kwanza nikisubiri michuzi aweke picha zako ulizokua nao hao mabinti kwenye fuko za coco,kipepeo na land mark hadharani!!!!!!!!!