KABENDERA ni mwandishi wa Habari wa Gazeti la The Citizen la Tanzania. Amefungua
ukurasa huu na kujiunga moja kwa moja na familia ya
NDESANJO katika wordpress. Mtembeleeni, lakini sijui maana kizungu mimi kwangu kigumu kuandika sijui huyu jamaa atafanyaje ili aninase huko kutoa maoni mengi...enewei suala la kutanuka Blogu linatia moyo sasa hivi si kwamba tunashawishi watu kuingia ila wao wanafungua kabisa na kutoamba kuzitangaza. Miaka ijayo huduma ya kutangaza Blogu itakuwa inalipa...sijui Ndesanjo atatengeneza dola ngapi kwa huduma hii...yatatokea mtembelee KABENDERA na kunywa kahawa kwake
hapa.
Nakuona ndugu yangu kweli unasambaza habari kuhusu blog zetu sisi tuliopo nyumbani. Nimepitia blog yako na nimefurahishwa na baadhi ya mambo niliyoyasoma.
Kusema kweli umenipa changa moto nami pia nitaanza kutuma habari mbali mbali kwa Kiswahili.