Kasri, jumba la weledi waweza keti hapa na kupata ukitakacho. Chakula cha wakazi wa Kasri ni fikra na chakula hiki kimewapa thawabu wananchi wa nchi hii hali inayowafanya kutoziba midomo yao kila waonapo damu ya wanaonyanyaswa ikidondoka katika bahari ya dhiki, maangamizi na unyonyaji. Waweza nawe keti hapa na kula fikra hizi.
Friday, March 31, 2006
BARUA YA MAMA SEHEMU YA 4
Je wajua hofu ya wasomi wa Afrika dhidi ya maisha ya vijijini kwao? Je wafahamu adha ya kukosa kushirikishana taarifa za mahusiano katika familia za kiafrika. Haya na mengine mengi yanajadiliwa katika sehemu hii ya nne ya Barua ya mama. Ungana na mwandishi wa kisa hiki kinachokukumbusha maisha ya zamani kikihusisha na hali ya sasa na kutoa mwanga wa nini kifanyike. Endelea hapa sasa.
 
© boniphace Tarehe 3/31/2006 10:41:00 AM | Permalink |


Comments: 1


  • Tarehe 3/31/2006 9:54 PM, Mtoa Maoni: Blogger Edison Ludovick Ndyemalila

    Kwenye hili umenena make ni kweli vijana wengi na wasomi wameshindi kwanza kuyamudu mabadiliko ya kizazi hadi kizazi.Na nikweli wasomi wetu wameshindwa kurudi kwao vijijini.hasa pale wanapojikuta hawatumiwi ipasavyo na selikali.lakini wakati mwingine tujilaumu sisi wasomi wenyewe kwani tunayo nafasi ya kufanya hivyo na wakati kweli ndo huu.Ongela Kaka kwa kuyaona haya

     
   
 
Copyright 2006 © BONIPHACE MAKENE. All Rights Reserved