Tarehe 3/24/2006 3:07 PM, Mtoa Maoni:
Tarehe 3/25/2006 2:23 AM, Mtoa Maoni: Fikrathabiti
Tarehe 3/26/2006 1:04 AM, Mtoa Maoni: mwandani
Mozowe. Nianzie wapi kutafakari waraka huu. Nadhani ni waraka wa kubuni lakini ni dhahiri kuwa unafanana na kweli.
Kitu kimoja kigumu kwa mwandishi yeyote ni kuongopea karatasi. Midhali umetwaa kalamu na kuanza kuandika basi hizo fikra, simanzi, maswali na majibu nayo yanapita kwa kasi akilini.
Nimeburudika na kuwaza pia. Nakuzerwa - Mtanzania katika muhtasari.
Tarehe 3/28/2006 9:39 AM, Mtoa Maoni: Jeff Msangi
Tarehe 3/29/2006 5:15 AM, Mtoa Maoni:
Makene, nimekuwa nikisubiri sana utufaidishe kwa kipaji chako cha kuandika riwaya. Kuna jambo tuliongea siku moja, najua sijatimiza ahadi. Kisa hiki kimeniamsha. Nitakuandikia kukupa zile "kodi" za kutoa blogu ya kitabu. Mchanganyiko wa wanablogu wenye vipaji na ujuzi mbalimbali unafanya jumuiya yetu kuwa ni kijiji fulani. Na unajua tutaweza kujenga nchi kwa kuanza kujenga kijiji.
you are an Amaizing KID..
you are BLESSED..yu are SPECIAL..
Duu..machozi yananilengalenga!!