Tarehe 2/16/2006 1:57 AM, Mtoa Maoni: FOSEWERD Initiatives
Tarehe 2/23/2006 4:44 AM, Mtoa Maoni: Fikrathabiti
Nakukumbuka sana makene ulivyokua mpashaji habari wetu hodari pindi utokapo wizarani.Mara nyingine mlikua mkienda kama mbogo na mnaporudi kimya kama mmemwagiwa maji.
Ilifika mahali hata imani za wanafunzi ikaanza kutoweka kutokana na kauli za baadhi ya viongozi wenzako(wewe haumo).hapa sitachoka kumuongelea kihomoni!!!!!!!!
duh mbunge Aziza bado ni muheshimiwa? nilikutana naye uwanja wa ndege mwanza 2004 february...wakati nikwa ninaunganisha ya kwenda bukoba naye alikuwa anakonect alikuwa ana msiba nadhani!!msalimie sana!