
Pius Ng'wandu alitangaza kujiondoa katika siasa. Kama walivyo tabia yao kumbe ilikuwa ni danganya toto. Juzi juzi akajitutumua tena kutaka ubunge wa Afrika Mashariki na kudondoka katika hatua za chama. Hivi huwa hawakumbuki wanayotangaza au ndiyo siasa hiyo? Hapa akiwa na Mbunge Aziza mwenye Kitenge safi pembeni mwa Kasri, hiki ni kikao cha kujadili madhara ya Bodi ya Mikopo Tanzania iliyoambatana na mgomo chuo Kikuu Mlimani.
duh mbunge Aziza bado ni muheshimiwa? nilikutana naye uwanja wa ndege mwanza 2004 february...wakati nikwa ninaunganisha ya kwenda bukoba naye alikuwa anakonect alikuwa ana msiba nadhani!!msalimie sana!