HAPA ni waziri wa Jinsia na Mbunge anayewakilisha jimbo la Vyuo Vikuu. Kuna kauli alinipa nilipomuuliza swali fulani...kama kweli anakumbuka sasa ajikaze maana aweza kuwania urais baada ya Kikwete.
Huyo jamaa aliyeko kulia alituchekesha sana siku moja. Nilikuwa katika kamati ya kuchuja wagombea wa uraisi, makamu wa raisi na kadhalika. Alipoingia katika kitimoto Albert Msando akamuuliza rangi ya soksi zake. Kumbe lilikuwa swali baya sana kwake kwani hakujiaandaa kwalo. Huku akitetemeka akavuta suruali yake juu na kusema kwa kweli jamani leo sikuvaa soksi kabisa. Kweli hakuvaa. Lakini kama umuonavyo mzee wa suti kweli-kweli. Katu huwezi kudhani huwa havai soksi. Nimemsahau jina ila nilikuwa nikimwita 'Jidulamabambasi'
Huyo jamaa aliyeko kulia alituchekesha sana siku moja. Nilikuwa katika kamati ya kuchuja wagombea wa uraisi, makamu wa raisi na kadhalika. Alipoingia katika kitimoto Albert Msando akamuuliza rangi ya soksi zake. Kumbe lilikuwa swali baya sana kwake kwani hakujiaandaa kwalo. Huku akitetemeka akavuta suruali yake juu na kusema kwa kweli jamani leo sikuvaa soksi kabisa. Kweli hakuvaa. Lakini kama umuonavyo mzee wa suti kweli-kweli. Katu huwezi kudhani huwa havai soksi. Nimemsahau jina ila nilikuwa nikimwita 'Jidulamabambasi'