Kasri, jumba la weledi waweza keti hapa na kupata ukitakacho. Chakula cha wakazi wa Kasri ni fikra na chakula hiki kimewapa thawabu wananchi wa nchi hii hali inayowafanya kutoziba midomo yao kila waonapo damu ya wanaonyanyaswa ikidondoka katika bahari ya dhiki, maangamizi na unyonyaji. Waweza nawe keti hapa na kula fikra hizi.
Sunday, February 12, 2006
LALA PEMA BOMANI

PICHA hii licha ya kunikumbusha hao wandugu wengine ambao ni wadau katika serikali ya Tanzania na Zanzibar zaidi yanipa kumbukumbu ya Mzee Bomani. Bongo kama ukiondoka ni mara chache kukumbuka. Mzee huyu alikuwa na historia kubwa sana hasa katika suala la vyama vya ushirika.
 
© boniphace Tarehe 2/12/2006 01:19:00 PM | Permalink |


Comments: 0


   
 
Copyright 2006 © BONIPHACE MAKENE. All Rights Reserved