Tarehe 2/13/2006 10:35 AM, Mtoa Maoni: Egidio Ndabagoye
Tarehe 2/14/2006 9:57 AM, Mtoa Maoni: boniphace
Nkumbuka, lakini tulikuwa watemi si unajua hapo Bukoba bila sisi mji ulikuwa haukaliki. N akwenye neshno Ekzamu hapo ndipo tulipokuwa tunatesa na kutembea tauni vifua wazi na yunifomu zetu zenye majogoo matatu. Nikumbushe zaidi Egidio kuhusu ule msitu kuelekea polisi pale Nshambya kuelekea Omumwani ulikuwa mithili ya Bichi vile.
Umefika huko kaka?.Unakumbuka lile "bifu" kipindi kile na UMUMWANI? au hukulikuta.