Sunday, February 12, 2006
KIKOSI CHETU CHA YOSSO
HII ni zawadi ya
Tafakari za Maisha. Nadhani hapo anacheka baada ya kukutana na kumbukumbu hii. Haya wasalimie hao ndugu wakumbushe kutembelea blogu zetu.
© boniphace Tarehe 2/12/2006 01:09:00 PM
|
Permalink |
-
Kaka Eeee!! Mbona Mkwawa ulikuwa hufanyi mambo? Au ndio ukawa unapenda Politiki tuu? Maana hapa naona umependeza sanaa.
Kaka Eeee!! Mbona Mkwawa ulikuwa hufanyi mambo? Au ndio ukawa unapenda Politiki tuu? Maana hapa naona umependeza sanaa.