Tarehe 2/13/2006 4:20 AM, Mtoa Maoni: Anonymous
Aliyekudaka katika picha hiyo lazima alikuwa Michuzi.
Tarehe 2/13/2006 11:22 AM, Mtoa Maoni: John Mwaipopo
Umetoka mithili ya Michael Jordan. Kumbuka nembo yake katika nguo.
Tarehe 2/18/2006 8:51 AM, Mtoa Maoni: Rashid Mkwinda
DU MSHIKAJI HAPA NADHANI(ASHAKUM) HATA USHUZI ULIKUTOKA,MAANA UMERUKA OVA.......
Tarehe 2/20/2006 7:33 AM, Mtoa Maoni: Anonymous
Kasri hii picha ni kiboko. Picha hizi tusije zipoteza. Kumbukumbu murua kabisa. Sikujua kumbe wewe unaruka kama Maiko Jodani. Asante kwa picha kemkem umetuwekea...zile za Mwananchi safi sana. Umenikumbusha mengi.
Aliyekudaka katika picha hiyo lazima alikuwa Michuzi.