Tarehe 2/01/2006 10:04 PM, Mtoa Maoni: Ndesanjo Macha
Tarehe 2/02/2006 2:35 AM, Mtoa Maoni: FOSEWERD Initiatives
kaka makene, kwa kweli hii imekuwa ni kama mapinduzi...yaani kama ni bastolka ni revolver...
lakini makene kitu kimoja, kiunganishi cha jina lako unapochangia mada kwa wenzio huwa hakituleti kwako moja kwa moja? unakumbuka kuna siku nilikuhimiza uanze kuweka makala? hapa nimekupata kupitia kiungo pale kwa Jeff....
naamini kuwa wengi tulikuwa tunakutafuta tukakukosa......
ninachofanya hapa SA tuna email group adress yetu ya yahoo, huwa nawawekea viongo wasome habari za wanablogu na kuwahimiza wajiunge...wanazipenda, lakini naamini hata wewe umeona kuwa ushawishi huchukua muda kidogo lakini wataiva tu penda wasipende...unajua tuliopata shida tulikuwa sisi ambao tulikwa na maoni bila kujua kuna kitu yaitwa blogu? wao wanajua teyari, ni muda tu haujafika - ni time bomb!
haya ni mapinduzi....sasa wewe ni waziri mkuu wa blogu!
Keleuwii...ngoja nilipige mayowe ya Kichagga kabisa. Ruwa oko!
Safi sana kazi mnayofanya kutuletea hawa ndugu. Ngoja niwatembelee na pia kuwatangaza.