KASRI siku moja alikutana na swali gumu toka kwa Waziri Ngasongwa. Hili lilitokana na utambulisho toka kwa Profesa Mbago pale alipomueleza Ngasongwa kuwa Kasri ni Waziri Mkuu wa DARUSO. Ngasongwa akawahi na kunisalimu, "Habari yako Waziri Mkuu" nikacheka...sikutoa jibu mapema. Ungekuwa wewe ungemjibu sijambo mheshimiwa Waziri au vipi ukikumbuka kuwa kwake yeye Waziri Mkuu ni alikuwa Sumaye?
hahahahaha ungejibu tu salama mzee shikamoo mheshimiwa!!