Kasri, jumba la weledi waweza keti hapa na kupata ukitakacho. Chakula cha wakazi wa Kasri ni fikra na chakula hiki kimewapa thawabu wananchi wa nchi hii hali inayowafanya kutoziba midomo yao kila waonapo damu ya wanaonyanyaswa ikidondoka katika bahari ya dhiki, maangamizi na unyonyaji. Waweza nawe keti hapa na kula fikra hizi.
Sunday, February 12, 2006
ADHABU YA MGOMO KIDATO CHA KWANZA

Jamani kama kuna jamaa unamkumbuka katika picha hii muulize hivi tulimgomea mwalimu yule kwa kisa gani. Najua tulikuwa na hoja na Makamu Mkuu wa Shule kipindi kile Chonya alitupa kimzigo hicho ili kusawazisha mambo. Mtakumbuka picha hii tuliambizana kuwa hakuna kucheka. Nikumbusheni jamani maana hapa nacheka sana.
 
© boniphace Tarehe 2/12/2006 01:06:00 PM | Permalink |


Comments: 0


   
 
Copyright 2006 © BONIPHACE MAKENE. All Rights Reserved