
MOJA ya matukio nitakayoyakumbuka katuka kuumaliza mwaka na kuanmza huu ni kukutana na mheshimiwa Jeff Msangi na kulishana fikra. Makutano yetu yalianza hivyo na mengi nimeanza kuyaandika na kuyatuma nyumbani ili wasomaji wa huko wanufaike pia. Kumuona Jeff si faraja katika kizazi cha Blogu za Tanzania bali mwamko mpya wa safari kali ya kukuza na kuujengea heshima uwanja huu. Nadhani mwaweza hapo Bongo Miruko kumtembelea Michuzi ama Materu. Kutoka Texas hadi Toronto si mchezo lakini inawezekana kama tutatambua kuwa umoja huu ni sawa na ule tuliozoea wa watuma salamu katika redio na magazeti
Kaka makene!waziri mkuu huyu ndiye alishirikiana na mheshimiwa kikwete katika kumfanya mzee kingunge askari kamili wa miavuli(FULL MINISTER)??????