Tarehe 1/04/2006 4:18 AM, Mtoa Maoni: Fikrathabiti
Tarehe 1/04/2006 7:07 AM, Mtoa Maoni: boniphace
Tarehe 1/04/2006 10:10 PM, Mtoa Maoni: Fikrathabiti
Hili la Hussein mwinyi ndo la kusikitikia kwani watu wanasema wameletewa/kupandikiziwa tu mtu katika jimbo lao la Kwahani ambaye uhalisia wa maisha ya wakazi wa hapo hana historia nayo lakini kama mjuavyo wanandugu UNGUJA lazima atawale mwana chama tawala basi wananchi nao wakahadaika katika upande huo wa UMWENZAO.
Sasa tusubiri 2010 kamati kuu ya chama itakavyompitisha kwa kishindo kugombea urais wa Zanzibar kama si muungano 2015.
Tarehe 1/05/2006 2:38 AM, Mtoa Maoni:
Tarehe 1/06/2006 3:47 AM, Mtoa Maoni: mloyi
Tarehe 1/07/2006 9:45 PM, Mtoa Maoni: Ndesanjo Macha
Tarehe 1/08/2006 1:06 PM, Mtoa Maoni: boniphace
Ndesanjo bado picha tu ya mdogo wako ambayo nitakutumia siku si nyingi maana nimeshaiweka kwenbye CD. Wewe ulipiga na simu na tena unahoji kama tumebandika picha? Ina maana Michuzi ile picha yake na Kikwete kabandika (natania hapa)
Majadiliano yetu nimeanza kutulia tangu kufika hapa jana lakini sina miundo mbinu ya kuanzia hivyo msiwe na hofu naweleteani kila kitu.
Kaka makene!waziri mkuu huyu ndiye alishirikiana na mheshimiwa kikwete katika kumfanya mzee kingunge askari kamili wa miavuli(FULL MINISTER)??????