
Good Samaritans trying to rush to hospital a pedestrian who was shot by four robbers suspected to be involved in a robbery that occurred at Eljabri Jewelers shop at Mkunguni/Livingston Streets, Kariakoo, Dar es Salaam on Saturday. Tsh. 300,000, a gun and other property were stolen. Although the bandits were reported killed by the police on the same evening, there is confused information about whether the killed persons were robbers or not . (Photo by Peter Mgongo).
Vipi umeshindwa kutafsiri Lugha hiyo ya kigeni ili isomeke katika Lugha ya kiswahili na kwa nini hukutuomba radhi wasomaji wako tuondokane na tegemeo letu kuwa tutasoma jambo kwa KISWAHILI badala yake tukakuta tutasoma Lugha hiyo ya Wakoloni?
jaribu kututhamini zaidi sisi tupendao kupitia katika blog yako haswa kwa furaha ya matumizi ya Lugha adhimu ya Kiswahili