Kasri, jumba la weledi waweza keti hapa na kupata ukitakacho. Chakula cha wakazi wa Kasri ni fikra na chakula hiki kimewapa thawabu wananchi wa nchi hii hali inayowafanya kutoziba midomo yao kila waonapo damu ya wanaonyanyaswa ikidondoka katika bahari ya dhiki, maangamizi na unyonyaji. Waweza nawe keti hapa na kula fikra hizi.
Tuesday, January 17, 2006
NGOMA MTINDO MMOJA, BLOGU NYINGINE TENA!
KAMA nilivyowahi kubaninisha mazungumzo yangu na JEFF pale Toronto wito mmoja ulikuwa kushawishi tunaowafahamu wafungue blogu zao. Kazi hiyo inafanyika kwa kasi sana na matunda yake ni haya...blogu ya IBRAHIM BWIRE ikitokea hapo Bulyanghulu inakuwa ya kwanza kutoka katika anga za migodi ya Tanzania iliyobinafsishwa. Huyu jamaa mwanafikra sana na kama unabisha mtembelee sasa umuone na kumkaribisha. Kwani uongo tazama sasa NURU AKILINI.
 
© boniphace Tarehe 1/17/2006 08:55:00 AM | Permalink |


Comments: 0


   
 
Copyright 2006 © BONIPHACE MAKENE. All Rights Reserved