KATIKA vitu vinavyochangia uharibifu wa mazingira ni mifuko ya Plastiki. Mifuko hii licha ya madhara yake kwa binadamu imekuwa ikipingwa vita ya chini chini hapo Tanzania. Hakuna jitihada za dhati za kuiondosha. Sasa hivi tunapokumbwa na ukame na majanga kama njaa tunashindwa kukumbuka kuwa ardhi inapofunikwa na mifuko ya plastiki pia huathiri uoto wake.
Soma hapa kuona harakati za Rwanda katika kupambana na mifuko hiyo huko.
Makene na wewe mbona unakosea? Hiyo sio mifuko ya plastiki. Inaitwa Rambo!