HAPA ni Baltmore, Maryland anaonekana Mwaipopo John Mkazi wa
Baragumuni baada ya kuishiwa kauli juu ya kuanzisha Blogu mpya. Pembeni yake ni
Kasrilamwanazuo na mjadala huo ulifanikiwa baada ya miezi miwili baada ya Mwaipopo kufungua Blogu yake akiwa Alabama.
Baragumu, nyoa hizo ndevu isije ukaonekana unamshambikia yule bwana mwenye madevu anayeishi mapangoni huku akiwa ni milionea. Na hizo "afro" zenu tutazinyoa kwa shami (mnajua shami ni nini?).