Tarehe 11/26/2005 4:40 AM, Mtoa Maoni:
Tarehe 11/27/2005 4:49 PM, Mtoa Maoni: Jeff Msangi
Tarehe 11/28/2005 7:40 AM, Mtoa Maoni: boniphace
Nashukuru Jeff, nakumbuka nukuu niliyowahi kusoma katika kitabu cha Mashujaa. Sijawahi kukitia kppeni hiki tangu wakati ule nikiwa kinda. "Kuna umuhimu gani kuishi maisha ya miaka mingi na kufa mzee halafu ukasahaulika au kufa kijana na kubakiza jina lako milele" Nimechagua maisha yangu kuwa haya ya pili ya kufa kijana na kuacha jina.
frenki umemtoa wapi kumleta hapo?
Ukimuona tena msalimie.
- mwandani