WANATAKIWA AKINA MKONO WENGI AWAMU YA NNE!
Kwa mara ya kwanza nimeanza kuona sura za Mwalimu Nyerere wengine Tanzania. Viongozi wasioogopa mazingira ya ugumu na badala yake wanakubali kukabiliana na matatizo yanayowakabili wananchi.
Nilmud Mkono ni mbunge wangu kwa vipindi viwili kimoja kimekwisha na kingine natambua watamuongezea. Baada ya hapo atanipisha, lakini kwa mkondo huu anastahili pongezi. Nitaandika juu yake baadaye lakini sasa fahamu hilo tu.