Sunday, October 16, 2005
UMESIKIA HII
SIAMINI sana taarifa hii na hii inatokana na kutokukubali mazingira ya hali ya Tanzania sasa. Kuna jambo limetokea Mwanza wakati wa kampeni za Rais ajaye Jakaya Kikwete. Kaa nami nazidi kufatilia nyeti za tukio hili la kihistoria katika kampeni za kisiasa Tanzania.
© boniphace Tarehe 10/16/2005 10:54:00 AM
|
Permalink |