<?xml version='1.0' encoding='UTF-8'?><?xml-stylesheet href="http://www.blogger.com/styles/atom.css" type="text/css"?><feed xmlns='http://www.w3.org/2005/Atom' xmlns:openSearch='http://a9.com/-/spec/opensearchrss/1.0/' xmlns:georss='http://www.georss.org/georss' xmlns:gd='http://schemas.google.com/g/2005' xmlns:thr='http://purl.org/syndication/thread/1.0'><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287</id><updated>2011-10-15T16:25:36.286-07:00</updated><title type='text'>AFRIKA IAMKE IPIGANIE UHURU WA KIUCHUMI... MISAADA NA MIKOPO NI MIRIJA YA UNYONYAJI.</title><subtitle type='html'></subtitle><link rel='http://schemas.google.com/g/2005#feed' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/posts/default'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default?max-results=100'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/'/><link rel='hub' href='http://pubsubhubbub.appspot.com/'/><link rel='next' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default?start-index=101&amp;max-results=100'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><generator version='7.00' uri='http://www.blogger.com'>Blogger</generator><openSearch:totalResults>179</openSearch:totalResults><openSearch:startIndex>1</openSearch:startIndex><openSearch:itemsPerPage>100</openSearch:itemsPerPage><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-4619698381047089591</id><published>2009-05-20T00:58:00.000-07:00</published><updated>2009-05-20T01:10:36.222-07:00</updated><title type='text'>NIMETIMIZA WAJIBU WANGU</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://4.bp.blogspot.com/__pcREUVpZPQ/ShO68aNtgeI/AAAAAAAAADw/lSAAG0P5C8A/s1600-h/malcom+X.jpg"&gt;&lt;img style="float:right; margin:0 0 10px 10px;cursor:pointer; cursor:hand;width: 320px; height: 277px;" src="http://4.bp.blogspot.com/__pcREUVpZPQ/ShO68aNtgeI/AAAAAAAAADw/lSAAG0P5C8A/s320/malcom+X.jpg" border="0" alt=""id="BLOGGER_PHOTO_ID_5337815530355917282" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;&lt;span style="font-weight:bold;"&gt;Mwaka sasa umepita tangu nianze safari hii ya kusaka elimu niliyoamini ni muhimu sana kuipata kuliko kuikosa. Nashukuru katika mwaka huu nimekabiliana na mengi na kutokana na hayo naweza sasa kusimama kuwa nimebadilika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maisha ya binadamu yana fasili nyingi, yaweza kuwa yale ya kukumbatia sifa mbazo hazikujengi ama kukumbatia watu walio na sumu ya kukuua. Maisha haya haya yaweza kuwa yale ya kuwa na wasiokuthamini ama kuwa na wanaokuthamini. Yote haya ni maisha na ni vigumu kwa mtu kufahamu nani ni nani katika maisha yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni katika njia hii sasa naweza kutambua maumivu yangu yamepoozwa na nani na akina nani walitegemea kufurahia mimi kubakia katika maumivu! Pia naweza kutegua kitendawili kuhusu nani waliweza kukaa name wakati nikihitaji kuw anao zaidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa ujumla kazi niliyofanya nafahamu baadhi hawakupenda kuona nikiifanya lakini wapo walionipa nguvu siku zote kwa kile kisemwacho: “binadamu wengi hupenda kuona ukishindwa jambo ili waibuke na kusema, tulijua tu ataanguka.” Katika wanaoamini katika falsafa ya kushindwa kwangu wamekosa nafasi!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maisha mapya yanakuja baada ya safari hii. Ndugu zangu akina Materu na Msangi kama sio Mwaipopo watafahamu pia namna nilivyokimbiza mpira huu hadi kuuweka katika penati. Nimepiga penati hii leo japokuwa huwezi kubaini ni lini gori litaingia lakini hadi sasa mpira upo katikati ya gori na kipa namuona anaelekea kushindwa kuuzuia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kikubwa ni kuwa, hakuna atakayekushika mkono kuingia darasani katika ulimwengu wa leo. Hakuna atakayekuhamasisha kusoma kwa kuwa anafahamu kwa kufanya hivyo unakaribisha uhuru na ukombozi wako. Adui mkubwa wa maisha ya mtu ni yeye mwenyewe hasa anapokubaliana na hali dhaifu na kuikumbatia kwa kusema, 'nitafanyaje'!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwisho nimshukuru Jalia kwa nguvu zake nyingi na majaribio mengi aliyoyapitisha shetani katika kipindi hiki cha mwaka mmoja. Ni kweli navunja rekodi katika Chuo hiki kwa kuwa mwanafunzi wa kwanza kukamilisha masomo haya katika Shule ya Serikali kwa muda wa mwaka mmoja. Hii ni faraja kwangu, nimeandika historia katika uwanja mwingine. Nafahamu njia inayonikabili kuanzia kesho ni ngumu lakini nimejiandaa vema kukabiliana nayo kuliko unavyodhani.&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-4619698381047089591?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/4619698381047089591/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=4619698381047089591&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/4619698381047089591'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/4619698381047089591'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2009/05/nimetimiza-wajibu-wangu.html' title='NIMETIMIZA WAJIBU WANGU'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://4.bp.blogspot.com/__pcREUVpZPQ/ShO68aNtgeI/AAAAAAAAADw/lSAAG0P5C8A/s72-c/malcom+X.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-8865867947458355971</id><published>2009-03-22T07:21:00.000-07:00</published><updated>2009-03-22T07:28:23.361-07:00</updated><title type='text'>HII NDIYO SURA HALISI YA AFRIKA</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/__pcREUVpZPQ/ScZK7xBhMyI/AAAAAAAAADo/-3aMXbcmoc4/s1600-h/hunger_200309_01.jpg"&gt;&lt;img style="margin: 0pt 10px 10px 0pt; float: left; cursor: pointer; width: 261px; height: 320px;" src="http://1.bp.blogspot.com/__pcREUVpZPQ/ScZK7xBhMyI/AAAAAAAAADo/-3aMXbcmoc4/s320/hunger_200309_01.jpg" alt="" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5316018800789893922" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;span style="font-family:arial;"&gt;&lt;span style="font-weight: bold;"&gt;AFRIKA&lt;/span&gt; ni bara linaloongoza kwa kuwa na sura za umaskini hasa ule unaowafanya binadamu kukosa kile alichokiita Abraham Maslow haki za msingi yaani chakula, malazi na mavazi. Nimepita hapa na kukuta&lt;a href="http://www.eastandard.net/hunger/"&gt; taarifa na picha hii&lt;/a&gt; ambayo kwangu haijanifurahisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Haki chakula ni jambo ambalo nimekuwa nikilizungumza sana na ninatamai siku moja kila mwananchi kwa kuanza na Tanzania apate haki hii ya msingi. Kama tukikubali kurejesha sera za vitendo katika kilimo bila shaka tutamudu kuwezesha watu wetu kupata chakula wakati wote.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;tunafahamu kuwa wakishapata chakula kiasi cha kushiba ni jukumu la pili kusisitiza juu ya chakula bora. Wimbo wa chakula bra hauwezi sasa kuimbw ana serikali yetu kwa kuwa hata haki ya chakula tu kwa wananchi bado ni kitendawili. Kuna waziri wa Kilimo nchini anaitwa Wassira, ni maarufu sana kwa maneno matamu lakini utendaji wa wizara hiyo katika kutibu tatizo la upatikanaji wa chakula bado ni ndoto takayohukua siku nyingi kupata jibu. Tunasubiri sijui aje nani ili kuhamaisha kilimo cha chakula katika Afrika? Inakera na kuumiza sana!&lt;br /&gt;&lt;/span&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-8865867947458355971?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/8865867947458355971/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=8865867947458355971&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/8865867947458355971'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/8865867947458355971'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2009/03/hii-ndiyo-sura-halisi-ya-afrika.html' title='HII NDIYO SURA HALISI YA AFRIKA'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/__pcREUVpZPQ/ScZK7xBhMyI/AAAAAAAAADo/-3aMXbcmoc4/s72-c/hunger_200309_01.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-1127201902987322485</id><published>2009-03-18T00:16:00.000-07:00</published><updated>2009-03-18T00:24:20.938-07:00</updated><title type='text'>HUU NI UZANDIKI</title><content type='html'>&lt;a onblur="try {parent.deselectBloggerImageGracefully();} catch(e) {}" href="http://1.bp.blogspot.com/__pcREUVpZPQ/ScChUlukooI/AAAAAAAAADg/9fOwn-UWsQA/s1600-h/art.geithner.afp.gi.jpg"&gt;&lt;img style="margin: 0pt 0pt 10px 10px; float: right; cursor: pointer; width: 292px; height: 219px;" src="http://1.bp.blogspot.com/__pcREUVpZPQ/ScChUlukooI/AAAAAAAAADg/9fOwn-UWsQA/s320/art.geithner.afp.gi.jpg" alt="" id="BLOGGER_PHOTO_ID_5314424935394091650" border="0" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;KITENDO cha wakubwa kujilipa bonasi ya $165 billioni wakati wamekomba fedha ya serikali  $ 170 billioni ni fedheha na aibu katika ulimwengu unaomilikiwa na soko. Dhana ya kuwaacha wenye nguvu washike mpini kama walivyokuwa wakiachiwa na Bush haina haja kupingwa kwa nguvu zote. Hili ndilo linalotakiwa kufanyika hata kwa serikali maskini na sio kutazama tu watu wenye fedha nyingi wanajitoza kodi kwa kutumia mbinu za misaada huku wakinufaika na kutokatwa kodi kwa kigezo kuwa wanashiriki shughuli za umma. Obama anaonyesha njia sahihi katika hili pia. Habari zaidi &lt;a href="http://edition.cnn.com/2009/POLITICS/03/18/aig.bonuses/index.html"&gt;soma hapa na pichani ni Treasury Secretary Timothy Geithner&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-1127201902987322485?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/1127201902987322485/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=1127201902987322485&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/1127201902987322485'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/1127201902987322485'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2009/03/huu-ni-uzandiki.html' title='HUU NI UZANDIKI'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><media:thumbnail xmlns:media='http://search.yahoo.com/mrss/' url='http://1.bp.blogspot.com/__pcREUVpZPQ/ScChUlukooI/AAAAAAAAADg/9fOwn-UWsQA/s72-c/art.geithner.afp.gi.jpg' height='72' width='72'/><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-3049529880596381591</id><published>2009-03-10T03:18:00.000-07:00</published><updated>2009-03-10T03:22:59.145-07:00</updated><title type='text'>NIMESHINDWA KUTIMIZA AHADI</title><content type='html'>JUMAPILI iliyopita ilikuwa siku ya Wanawake Duniani. Siku hiyo ni muhimu sana kwangu na nilidhani kupitia eneo langu nizungumze machache. Akina mama hasa wa Afrika wanapitia vipindi vigumu mno katika maisha yao hasa sasa ambapo tabia za wanaume wengi kuanza kujiingiza katika tamaduni za magharibi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hali ya kuwathamini akina mama ambayo utamaduni wa Kiafrika ulikuwa ukifafanua sasa iko katika hatihati. Na akina mama nao wengi wameingia katika mtego wa kutotambua kuwa maisha yao ambayo ni ya muhimu sana katika dunia ynahitaji uvumilivu ambao wamezaliwa nao na kweli wanaumudu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilijiwekea ahadi ya kuzindua kitabu katika siku hii; Kama wakumbuka chaitwa 'Barua kwa Mama' lakini bado sijafanikiwa kufanya hivi. Hata hivyo msomaji Barua kwa Mama ipo katika hatua njema; wakati ukifika itatoka. Binafsi siamini katika utunzi wa kukimbizana maana kazi za sanaa hazifi na ndio maana kila nisomapo muswada huu najikuta nacheka kwani unabeba kauli na maarifa ambayo yanaweza kuishi kwa miaka mingi zaidi. Salamu kwa akina mama wote.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-3049529880596381591?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/3049529880596381591/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=3049529880596381591&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/3049529880596381591'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/3049529880596381591'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2009/03/nimeshindwa-kutimiza-ahadi.html' title='NIMESHINDWA KUTIMIZA AHADI'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-3930036869678048899</id><published>2008-10-31T03:47:00.000-07:00</published><updated>2008-10-31T03:54:50.813-07:00</updated><title type='text'>NIPO NAISHI DAR</title><content type='html'>NI siku nyingi sijaingia hapa, wengi wamehoji haka kaukimya nimekaanzishia wapi. Nikajiuliza tena binafsi nimelala wapi? Lakini kuna kubwa moja, ukimya una mafunzo makubwa na unamkuza mtu akitaka kufanya tafakari. Nikionacho katika maisha yangu ni furaha, nawatazama watu wengi wakianza kuishi furaha hii. Wengi niliwapoteza lakini sasa wanaanza kurejea kwa kasi mno.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maisha yangu yanakuwa huru kiasi, nakosa makundi ambayo yalianza kujijenga. Lakini kuna ndoto zinazoingia na kutoweka. Moja ni hii ya siasa! Siasa jambo baya maana lahusisha mbinu mbaya na chafu. Kuna kundi limeingiza mbinu zisizoonekana katika kuweka mambo sawa katika siasa, lakini binafsi naamini sasa katika siasa elimu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nina jukumu mbele yangu na hii ni safari ya kutafuta PHD nikiifanikisha safari hii nitafarijika sana. Nitafurahisha moyo wangu maana ni jambo ambalo nimekuwa nikilipenda sana na hata Mzee Benjamin Makene amekuwa akishangilia kuhusu wazo hili. Najua nitakuwa na jukumu la familia maana mimi si kiumbe wa kuwepo kuwepo tu. Nitalizungumzia hili siku zijazo maana hapa ndio kasrini kwangu, ambapo sasa pia panachapishwa katika gazeti la Rai na nategemea hata nyumba yangu kuwa na jina hili. Nishukuru kurejea kwa staili hii, nijipe moyo maana kuwepo na kuondoka zote ni faraja na mikakati ya Jalia.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-3930036869678048899?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/3930036869678048899/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=3930036869678048899&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/3930036869678048899'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/3930036869678048899'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2008/10/nipo-naishi-dar.html' title='NIPO NAISHI DAR'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-7922023733316817177</id><published>2007-11-26T00:46:00.000-08:00</published><updated>2007-11-26T00:57:31.301-08:00</updated><title type='text'>Hofu kuhusu kamati ya madini inatoka wapi?</title><content type='html'>&lt;p  class="MsoNormal" style="font-family:trebuchet ms;"&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt;MICHAPO kama kawaida mingi &lt;st1:city st="on"&gt;sana&lt;/st1:city&gt; katika &lt;st1:place st="on"&gt;&lt;st1:country-region st="on"&gt;Tanzania&lt;/st1:country-region&gt;&lt;/st1:place&gt;. Juzi nimefarijika kukutana na ndugu ambao nimeachana nao siku nyingi.&lt;o:p&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;st1:place st="on"&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt;Kama&lt;/span&gt;&lt;/st1:place&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt; kawaida majadiliano yetu yakabaki kuzungumzia habari kavu. Sipendi mijadala ya mambo mazito kila mara. Natamani nikutanapo na rafiki watambue hili lakini wao ndio &lt;st1:place st="on"&gt;kama&lt;/st1:place&gt; kwao kumepambazuka!&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;    &lt;p  class="MsoNormal" style="font-family:trebuchet ms;"&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt;&lt;o:p&gt; &lt;/o:p&gt;Ukifika tu baada ya salamu, kinachofuata ni mambo mazito. Mijadala kuhusu mustakhbari wa &lt;st1:place st="on"&gt;&lt;st1:country-region st="on"&gt;Tanzania&lt;/st1:country-region&gt;&lt;/st1:place&gt;. Mijadala kuhusu madini na vinginevyo.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;    &lt;p  class="MsoNormal" style="font-family:trebuchet ms;"&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;Binafsi naamua kuwahamishia katika hoja ya kilimo. Natamani kila mmoja azungumzie kilimo maana ndicho kinachoweza kuleta tija hapa &lt;st1:place st="on"&gt;&lt;st1:country-region st="on"&gt;Tanzania&lt;/st1:country-region&gt;&lt;/st1:place&gt;.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;    &lt;p  class="MsoNormal" style="font-family:trebuchet ms;"&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;Kilimo kikiwekewa mkakati wa dhati ni wazi tutarejea katika harakati za kusaidia nchi kujikwamua katika tatizo la kukosa chakula. Kilimo pia chaweza kutusaidia &lt;st1:place st="on"&gt;kama&lt;/st1:place&gt; taifa kurejesha mkakati wa kuhamasisha chakula bora.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;    &lt;p  class="MsoNormal" style="font-family:trebuchet ms;"&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;Faida za chakula bora kwa wananchi ni pamoja na kujenga afya zao, huku pia kukiwa na faida ya kuwezesha akili kuwa tulivu na hivyo mtu kuwa makini katika utendaji wa mambo anayotakiwa kufanya.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;    &lt;p  class="MsoNormal" style="font-family:trebuchet ms;"&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;Wakati nikiwa na tafakari za kilimo nakutana na mwanafunzi mmoja wa Chuo Kikuu Mlimani. Huyu msomaji wa safu hii na ananipachika swali kuhusu hali ya wanafunzi kwa wakati huo.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;    &lt;p  class="MsoNormal" style="font-family:trebuchet ms;"&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt;&lt;o:p&gt; &lt;/o:p&gt;Anachokieleza ni kuwa nchi haiongozwi tena vema. Nchi imebakia mfano wa kundi la wajanja wachache ambao wamekutana kunywa kahawa. Namuuliza yeye angetaka iweje?&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;    &lt;p  class="MsoNormal" style="font-family:trebuchet ms;"&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;Ananitazama na kuanza kutoa mada! Sina muda wa kukaa hapo alipo na kubwa ni hili la kuchoka kujadili mada ngumu na mambo mazito mazito kila siku.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;    &lt;p  class="MsoNormal" style="font-family:trebuchet ms;"&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;Mwaka unaisha, unakuja mwingine na ukifanya tathmini utabaini kuwa kichwa kinahitaji kusikia habari tulivu. Kinahitaji kuchekeshwa maana yaelezwa kucheka ni tiba kwa binadamu.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;    &lt;p  class="MsoNormal" style="font-family:trebuchet ms;"&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;Kichwa hakitaki kusikia habari za huzuni tu. Kinataka pia kusikia vituko na purukushani zingine za dunia. Kinahitaji kupata taarifa zitakazoweza kukupanga kimkakati ili uzidi kufanikiwa na kuirejeshea jamii.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;    &lt;p  class="MsoNormal" style="font-family:trebuchet ms;"&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;Kutokana na &lt;st1:place st="on"&gt;&lt;st1:city st="on"&gt;hilo&lt;/st1:city&gt;&lt;/st1:place&gt; nimeamua kuvuta hewa, nimeamua kupumzika kiasi, lakini kosa la kazi hii siwezi kukimbia na kuacha kasri hili bila chakula. &lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;    &lt;p  class="MsoNormal" style="font-family:trebuchet ms;"&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;Wapo wanaoweza uliza mbona nilikimbia katika Gazeti Tando! Jibu lipo dogo tu, navuta pumzi ili nirejee tena. Siku si nyingi nitakuwa huko pia.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;    &lt;p  class="MsoNormal" style="font-family:trebuchet ms;"&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;st1:place st="on"&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt;Kama&lt;/span&gt;&lt;/st1:place&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt; ambavyo sasa naamua kujadili kuhusu utata wa Kamati ya Madini iliyoundwa na Rais Kikwete. Usishangae kunikuta nami najiingiza katika mjadala wa kamati hii.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;    &lt;p  class="MsoNormal" style="font-family:trebuchet ms;"&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;Sina utaalamu kuhusu madini lakini naweza kujadili kamati. Kamati imeundwa na tayari ukitazama yameanza kuibuka mambo.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;    &lt;p  class="MsoNormal" style="font-family:trebuchet ms;"&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;Jambo kubwa ni watu waliowekwa katika kamati hiyo. Siku moja baada ya kamati hiyo kusomwa, mmoja wa wajumbe sidhani hata &lt;st1:place st="on"&gt;kama&lt;/st1:place&gt; alikuwa kapata barua rasmi ya kuwa mjumbe wa kamati, alisikika akikubali kwa moyo mkunjufu uteuzi wake.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;    &lt;p  class="MsoNormal" style="font-family:trebuchet ms;"&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;Siku mbili baadaye kauli kutoka chama chake zikaanza kukinzana na kukiri kwake. Sasa kunaelezwa kuwepo kwa watu wasiopaswa kuteuliwa katika kamati hiyo. Hii ndiyo &lt;st1:country-region st="on"&gt;Tanzania&lt;/st1:country-region&gt; ambayo kila jambo unalofanya linatakiwa kupindishwa hata &lt;st1:place st="on"&gt;kama&lt;/st1:place&gt; faida au hasara yake hii wazi.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;    &lt;p  class="MsoNormal" style="font-family:trebuchet ms;"&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;Wanasiasa wanaishi kimtego mtego. Kazi &lt;st1:place st="on"&gt;&lt;st1:city st="on"&gt;yao&lt;/st1:city&gt;&lt;/st1:place&gt; ni kutegana na inapogundulika kuwa mmoja anataka kuzidi kete utaona mwingine akiibuka na kulalamika. Hapa ndipo unapotazama sasa hoja ya kamati ya madini inapoanza kupoteza maana ya kazi yake na sasa kazi inageukia kutazama watu wanaounda kamati hiyo.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;    &lt;p  class="MsoNormal" style="font-family:trebuchet ms;"&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;Mwisho wa siku kamati itafanya kazi na inavyoonyesha majibu ya kamati hii huenda yasipewe maana, kwa kuwa makundi yamejigawa tayari kusubiri majibu wanayoyapenda!&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;    &lt;p  class="MsoNormal" style="font-family:trebuchet ms;"&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;Wiki iliyopita nilidodosa kiasi kuhusu wajibu wa wajumbe wawili kutoka upinzani. Nilidodosa pia wasifu wao huku nikimuelezea Cheyo John kama mwanasiasa mwenye uwezo wa kuunganisha nguvu za pande zaidi ya chama chake.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;    &lt;p  class="MsoNormal" style="font-family:trebuchet ms;"&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;Mwingine Zitto Kabwe sikumjadili maana kwa maisha na umri hajaweza kujenga tabia ya jumla ya kumbainisha alivyo katika siasa. Lakini sasa hivi ni maarufu na hasa katika hoja za madini.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;    &lt;p  class="MsoNormal" style="font-family:trebuchet ms;"&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;Ni humo alimoingizwa huku kukiwa na tetesi mtaani kuwa, &lt;st1:place st="on"&gt;kama&lt;/st1:place&gt; hakufanya tafiti vema katika hoja zake alizozitoa miezi kadhaa kwa sasa anaweza kuwa katika nafasi ya kulamba matapishi!&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;    &lt;p  class="MsoNormal" style="font-family:trebuchet ms;"&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;Hili linaweza kuwa hofu ya chama chake ambacho kimeanza kuhoji baadhi ya majina katika kamati hiyo. Lakini kwa nini tusisubiri majibu ya kazi hiyo na kuiacha kamati kufanya kazi yake kwanza?&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;    &lt;p  class="MsoNormal" style="font-family:trebuchet ms;"&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;Hofu ya aina hii ina picha ya sura za wanasiasa! Sura zao hugeuka kila mara, leo watataka hili na kesho wakiliona linakuja katika njia nyingine ya kuwaathiri wanakimbia! Huenda Chadema kimeshaona jambo lililojificha na &lt;st1:place st="on"&gt;kama&lt;/st1:place&gt; ndivyo, chama hiki kinatakiwa kutambua mbinu nzuri kuliko hii ya sasa ya kuanza kuufanya umma utazame wanaounda kamati badala ya kazi ya kamati.&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;    &lt;p  class="MsoNormal" style="font-family:trebuchet ms;"&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;Kinachofanywa sasa ni kuonyesha kuwa kamati hiyo haitafanya kazi, ama itafanya kazi lakini kwa upande ule ule wa kuvutia kwa serikali. Lakini si kuna wajumbe wa upinzania ndani ya kamati hii? Kama ndivyo, tuamini kuwa &lt;st1:place st="on"&gt;&lt;st1:country-region st="on"&gt;Tanzania&lt;/st1:country-region&gt;&lt;/st1:place&gt; kuna wapinzani wa majina tu?&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;    &lt;p class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt;&lt;o:p style="font-family: trebuchet ms;"&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;span style="font-family:trebuchet ms;"&gt;Kama kawaida jamii inaanza kuchanganywa hali itakayofanya mwisho wa siku tusibaini &lt;/span&gt;&lt;st1:place style="font-family: trebuchet ms;" st="on"&gt;kama&lt;/st1:place&gt;&lt;span style="font-family:trebuchet ms;"&gt; kulikuwa na ulazima wa kuiunda kamati hiyo, kufuatia pia kuwepo kwa kamati za madini zaidi ya tatu huko nyuma. Hofu hii inatoka wapi na nani anatakiwa kunufaika na hofu hii? Wanasiasa wana maisha magumu na yasiyotabirika! Naamini wanaweza hata kutoa majibu ya hofu &lt;/span&gt;&lt;st1:place style="font-family: trebuchet ms;" st="on"&gt;&lt;st1:city st="on"&gt;yao&lt;/st1:city&gt;&lt;/st1:place&gt;&lt;span style="font-family:trebuchet ms;"&gt; ila la msingi tunataka ukweli kuhusu utata huu wa mambo ya madini nchini.&lt;/span&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;  &lt;p class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt;&lt;o:p&gt; &lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;p class="MsoNormal"&gt;&lt;span style="font-size:16;"&gt;&lt;br /&gt;&lt;o:p&gt;&lt;/o:p&gt;&lt;/span&gt;&lt;/p&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-7922023733316817177?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/7922023733316817177/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=7922023733316817177&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/7922023733316817177'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/7922023733316817177'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2007/11/hofu-kuhusu-kamati-ya-madini-inatoka.html' title='Hofu kuhusu kamati ya madini inatoka wapi?'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-5660087501941286259</id><published>2007-11-23T23:41:00.000-08:00</published><updated>2007-11-23T23:45:22.100-08:00</updated><title type='text'>NIPO</title><content type='html'>KATIKA harakati za kutoka kuzimu mimi Boniphace Makene natangaza kurejea duniani humu. Safari yangu ya kuzimu ilikuwa ndefu na hadi narejea hapa nina uchovu mwingi. Sitarajii kuwa kuzimu karibuni lakini nimejifunza mengi katika safari yangu hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimejifunza kuhusu kuingia zama mpya ambazo zinaweza kuwa hatari kwa maisha ya watu wengi. Nimejifunza utamaduni mpya wa watu kuvuana nguo bila kupenda. Nimejifunza na kujifunza na taarifa nyingi nitazungumza nanyi siku zijazo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nitumie fursa hi kuomba radhi kwa wale ambao sikuwaaga wakati nachukua maamuzi ya kusafiri safari hiyo. Nimerejea ndugu zangu na kama niko salama nadhani mnaweza kuona. Niishie hapa maana bado nina uchovu. Karibuni katika Kasri lenu ambalo mmelitunza hata wakati nikiwa safarini.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-5660087501941286259?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/5660087501941286259/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=5660087501941286259&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/5660087501941286259'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/5660087501941286259'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2007/11/nipo.html' title='NIPO'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-117501051831855412</id><published>2007-03-27T09:47:00.000-07:00</published><updated>2007-03-27T09:48:38.610-07:00</updated><title type='text'>Dowans kama Richmond</title><content type='html'>INAWEZEKANA msemo wa Kiswahili wa 'sikio la kufa halisikii dawa' ukawa kiashirio cha kushindwa kufua umeme kwa Kampuni ya Dowans, zamani Richmond Development Co-operation (RDC). Dowans ilipewa muda wa mwisho wa kuzalisha nishati hiyo kwa megawati 80 kufikia katikati ya mwezi huu na imeshindwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Agizo hilo lilitolewa kwa pamoja na Wizara ya Nishati na Madini, Kamati ya Bunge ya Uwekezaji na Biashara kwa maofisa wa kampuni wakiwamo  waandamizi wa Tanesco.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hadi jana,  Mwananchi Jumapili iliwakuta wafanyakazi wa kampuni hiyo wakichora michoro, kama walivyokutwa Februari wakati Kamati ya Bunge ilipozuru eneo hilo kwa kushtukiza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mitambo ya kampuni hiyo inayotakiwa kufungwa pia bado iko katika makontena yaliyobebwa katika magari. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kutokana na hali hiyo, ni wazi kuwa zoezi la kuunganisha mitambo hiyo ambalo limekuwa likienda kwa mwendo wa kinyonga, linaashiria kukwama kwa Dowans kwa mara nyingine katika kutoa nishati hiyo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ingawa inawezekana nishati hiyo isiwe yenye kuhitajika kwa haraka hasa katika kipindi hiki ambacho mabwawa ya maji yamejaa, lakini kampuni hiyo inahitajika kuekeleza yaliyomo katika makubaliano ambapo ilitakiwa kuwa imeshasimika mitambo Alhamisi ya wiki ijayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa uchunguzi wa Mwananchi Jumapili,  ufuaji wa umeme sasa unaweza kuonekana zaidi kama maajabu. Itakuwa ajabu kwa Dowans ndani ya siku mbili  kumudu kuzalisha walau megawati 80 za awali ifikapo Machi 15.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kamati ya Bunge ya Uwekezaji na Biashara, ikiwa chini ya Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi na maofisa kadhaa wa Tanesco, waliitembelea Dowans Februari 12, 2007. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ziara hiyo ilielezwa kuwa ya kushtukiza na Mwananchi Jumapili lilipata fursa ya kufika katika eneo hilo kabla ya ziara.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kilichofuata kilikuwa agizo la wajumbe wa kamati hiyo sambamba na maafisa wa Dowans kuhakikisha kuwa mpiga picha na mwandishi wa gazeti hili wanafukuzwa na kuondolewa katika eneo hilo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hatua yao ya kuondolewa ilifuatana na kukabidhiwa askari aliyekuwa na silaha kuwasindikiza nje kabisa ya eneo la mitambo ya Dowans.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, ilibainika baadaye kuwa, Dowans iliifahamisha kamati hiyo kuwa ingeanza kufua umeme kiasi cha megawati 80 ifikapo mwishoni mwa Februari 2007.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kamati hiyo iliridhika na maelezo ya Dowans na kisha ikakubali bila kuombwa, kuiongezea muda zaidi kampuni hiyo kuweza kujiandaa. Muda huo uliongezwa kutoka mwisho wa Februari 2007 hadi Machi 15.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa hali iliyoonekana baada ya gazeti hili kufika katika maeneo ilipo mitambo ya Dowans mapema wiki hii, ni vigumu kwa kampuni hiyo  kumudu kufua umeme huo ndani ya muda ilioongezewa, ambao unaishia Alhamisi wiki ijayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dowans Holdings, ilinunua mkataba wa kuzalisha megawati 100 kutoka kwa RDC, hii ilitokea wakati RDC ikiwa imeshindwa kuzalisha umeme huo katika muda uliokubaliwa katika mkataba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Zoezi hili la kushindwa kuzalisha umeme huo ndani ya mkataba limeikumba pia Dowans, hali inayozua maswali zaidi kutoka kwa Watanzania , hasa kuhusu nini maana ya serikali kuendelea kuibeba kampuni hiyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dowans ilikabidhiwa rasmi mkataba wa Richmond Desemba 21, 2006 ikiwa imenunua makubaliano yote katika mkataba wa Tanesco na Richmond uliosainiwa Juni 23.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mujibu wa uchunguzi uliofanywa na Mwananchi Jumapili, mitambo ya megawati 80 ya Dowans, ilishaingizwa nchini na kufikishwa katika eneo lililopangiwa na Kampuni ya Umeme nchini TANESCO. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo, mitambo hiyo iko katika hali ile ile kama ilivyofikishwa pale. Hali hiyo inaonyesha kuna maandalizi madogo na yasiyoridhisha  yanayoendelea katika kuunganisha mitambo, hali inayofafanua kuwa, ufuaji wa umeme kufanywa na kampuni hiyo ni ngumu mno kufikiwa katika siku zilizobakia.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-117501051831855412?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/117501051831855412/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=117501051831855412&amp;isPopup=true' title='6 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/117501051831855412'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/117501051831855412'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2007/03/dowans-kama-richmond.html' title='Dowans kama Richmond'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>6</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-117178476470421854</id><published>2007-02-17T23:44:00.000-08:00</published><updated>2007-02-17T23:46:04.903-08:00</updated><title type='text'>Sakata la madiwani Arusha na dhana ya cheo ni dhamana </title><content type='html'>&lt;strong&gt;SIJAWA&lt;/strong&gt; nyuma ya wakati hata kidogo! Nisamehe na niruhusu nikukumbushe wewe mpiga kura wa Arusha! Ulichagua madiwani ambao chama chao kimewahukumu kuwa, wametumia vyeo vyao kama dhamana ya matakwa yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chama kimewahukumu baada ya kubaini kuwa wametafuta utajiri kupitia nafasi ya uwakilishi uliowapa wewe mpiga kura. Hili si jambo la kushangaza tena katika Tanzania ya sasa. Matumizi ya madaraka kwa faida binafsi ni jambo linalosifiwa siku hizi. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nchi imegeuka kabisa maana hapa nchini siku hizi mwizi anapendwa. Anaimbiwa nyimbo za ushujaa kwa kuwa tu ameweza kuiba bila kushikwa. Misingi ya utendaji kazi kwa uadilifu imetangazwa kuwa ushamba hali inayofanya kila kiongozi na watu wengi, kuhaha kusaka nafasi za uwakilishi ili waweze kuchota, kuiba na kisha kutukuzwa kama wazalendo halisi wa nchi hii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Shaaban Robert aliwahi kuandika shairi la 'Tanga' katika kitabu chake cha Sanaa ya Ushairi. Ndani ya shairi hilo akafananisha nchi iliyosahau maadili kuwa mithili ya jangwa ambalo ni miujiza kuotesha mazao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimekuwa nikijiuliza kuhusu uhusiano kati ya waliowahukumu madiwani wa Arusha, kama wana maisha tofauti yanayoweza kuwafanya wao kuwa safi kabisa ili kutoa hukumu hiyo. Nadhani hili ndilo hasa jambo la kujadiliwa maana inawezekana pia kuwa mtego huu haukulenga kunasa wanaoathiri taifa bali kukomoa wasio na nguvu lakini pia wamo katika mfumo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vita hivi vya makundi katika mfumo havina maana kuwa vinaonyesha mabadiliko katika utumishi. Ni muendelezo wa adhabu kwa aliye duni na dhaifu na haiwezekani kabisa haki ikafanikiwa. Tazama, baada ya tukio hilo la Arusha, wananchi wa Manispaa ya Moshi nao wakalalamika kuhusu vigogo katika manispaa hiyo pia kufanya matukio ya kujichukulia viwanja, wakaitaka CCM ifike huko lakini hadi sasa ipo kimya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Zoezi hili kwa nini liishie hapa Arusha na lisitazame pia namna viongozi wa umma wanavyoingia madarakani? Kweli, kama kuna kutazama eneo hili la namna ya upatikanaji wa madaraka, ni viongozi wapi wanaoweza kusimama na kudai kuwa waliingia katika ofisi za umma bila kutumia mbinu chafu zinazopingana na maadili ya utawala wa umma? Je, huu si msingi mwingine wa TANU ambao unavunjwa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sitawatetea madiwani wa Arusha hata kidogo, lakini macho yangu yanataka kuona tukio kama hili likivuka mipaka. Si kweli wizi ni sifa na wala tamaa si jambo la kuabudiwa. Simpendi mwizi, awe wa kuku au huyu aliyejihusisha na kamisheni ya ununuzi wa rada. Ninachokitazama ni uwiano katika wizi na athari ya tukio hilo kwa jamii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwizi katika kamisheni ya ununuzi wa rada anahitajika kufahamika mapema na kisha kukatolewa maamuzi na hukumu yake haraka kuliko ya hawa madiwani! Kwa nini kesi ya mwizi wa kuku itolewe majibu mapema lakini ile ya rushwa imalizwe kichinichini au polepole? Huu ndio mtindo wa maamuzi katika vyama, nambieni kama kuna mtindo mpya wa kuyapoza mambo kwa kungoja jamii ikumbwe na jambo jingine jipya, kisha ijisahau na kuacha jambo la awali kupoa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna swali laweza kukuumiza sana, hasa unapokuwa njiani na ukakutana na mtu asiyeona akawa anasisitiza kumuonyesha mwenzake njia! Hapa ndipo unapopata picha ya Tembo iliyotolewa katika hadithi za zamani, hasa siku ile wasioona watano walipoamua kutembelea mzoga wa Tembo na kila mmoja akatoka na picha yake ya kusimulia. Je, tunatakiwa maisha yetu yaongozwe kwa mtindo huu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, ni muhimu kukimbilia majibu rahisi siku zote bila kujiuliza siku yatakapokuja magumu tutayakabilije? Jamii inayotaka maisha mepesi huishia kufanya mambo dhaifu, hukosa maadili na hujaa kero zisizoisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Madiwani wa Arusha wanasemwa walisigina amri kumi za mwana TANU. Waliivunja hasa hii ya kutotambua kuwa, cheo ni dhamana na kwamba, hawakutakiwa kutumia vyeo vyao au vya wengine katika kufanikisha mambo yao binafsi! Hili ni kosa, ni kosa kubwa na athari yake ni mithili ya sumu ya bafe inaposambaa katika mwili wa binadamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hayati Justin Kalikawe hunikumbusha sana kila nikifikiri chanzo cha yeye kuimba wimbo wa 'Mv Bukoba.' Wimbo huu unanikumbusha rafiki na ndugu zangu niliowapoteza katika ajali hiyo! Tena nakumbuka pia ajali ya treni iliyotokea nje kidogo ya Dodoma mwaka 2002.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maudhui ya wimbo wa Kalikawe hayakusikilizwa kabisa! Kama yangesikilizwa ni dhahiri kuwa ajali ya treni isingetokea. Si ajali hiyo tu bali zipo nyingine nyingi zinazozidi kutamalaki. Vyombo vya usafiri wa maji na hata ndege za hapa Tanzania hununuliwa zilizo chakavu ughaibuni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nani anafanya manunuzi haya? Jibu hapa rahisi sana; ni huyu anayetumia cheo chake kama dhamana ya matakwa yake. Kalikawe analia katika wimbo huo; "usitumie cheo chako kama dhamana ya matakwa yako, utasababisha ajali kama ile ya Mv Bukoba," anaimba na kurudia kiitikio hiki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kalikawe Mola akupe usingizi mororo huko uliko juu ya haki. Tungo zako ni utajiri tosha uliotuachia na kweli tunasikitika kukukosa. Bado tunazisikiliza na kutumia mashairi yako kujenga hoja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katibu Mkuu wa CCM, Mbunge na zamani Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Yusuf Makamba aliwahi kukaririwa na vyombo vya habari mwaka 2005 akilalamikia kuhusu hatua ya serikali kwenda kasi kudai malipo ya nyumba za serikali walizouziwa viongozi wa juu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Zoezi la uuzwaji wa Nyumba za serikali ni moja ya mambo yanayoambatanishwa na utumiaji wa madaraka kwa dhamana ya watawala. Nimemtumia Makamba hapa kufuatia yeye kutumia muda mwingi kunihamasisha kuandika kuhusu madiwani wa Arusha kuwa walitumia madaraka yao vibaya na kwamba chama kilifanya maamuzi sahihi dhidi yao kama jambo la kawaida na lililozoeleka ndani ya CCM.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Makamba anawakilisha kundi la taasisi za serikali ambazo zimebadili utawala kuwa ufalme. Mfalme hakosei na siku zote afanyalo ni jema. Utawala kama huu nasikia upo katika majeshi yetu maana huko nako kuna kauli ya mkubwa kutokupingwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni kweli adhabu ya madiwani wa CCM Arusha ililenga kusafisha uozo wa kutumia vibaya madaraka? Jibu la wazi ni kuwa, si kweli! Adhabu ile haikulenga kufanya hivyo, maana kama ingefuata na sehemu nyingine ambazo zina utata wa matumizi mabaya ya madaraka zingetazamwa na kisha kupewa hukumu inayostahili. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mkakati wa viongozi kujigawia majumba ya serikali kwa kupotosha ukweli kuwa wanajiuzia kwa gharama nafuu huku jamii ya watu wengi ikibaki bila makazi bora ni kutumia vyeo kama dhamana ya matakwa binafsi. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Makamba ni mmoja wa waliokwisha kutumia vyeo vyao kama dhamana ya matakwa yao ukitumia mfano wa huu wa nyumba za serikali. Pia atakuwemo na Mwenyekiti wa CCM aliyemteua Makamba na ambaye pia ni Rais wa Tanzania, awamu ya nne. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete, alitangaza naye kujichukulia nyumba ya umma. Nini aibu kama hii, hasa kufanywa na viongozi waliolelewa ndani ya misingi ya chama kama TANU kilichozaa CCM. Chama cha TANU wanachozungumza sasa kutumia ahadi zake kuadhibu wengine ndani ya CCM?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, TANU haikujadili kuhusu mali za umma na tena kukawepo msisitizo wa namna ya kuzitunza katika Azimio la Arusha? Azimio la Arusha halikutaifisha mali na kuanzisha msako wa wahujumu uchumi nchini? Ni kweli kuwa tendo hili tukufu limesahaulika katika nchi na halina nafasi ya kurejea tena?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kizazi cha sasa hakina kumbukumbu sana kuhusu harakati za kusaka wahujumu uchumi na namna zoezi hilo lilivyoweza kuineemesha Tanzania. Zoezi hilo lilisaidia kupunguza ufa kati ya matajiri dhidi ya maskini. Lilijenga uwezo na maadili kwa wananchi kwa kuwataka kusaka fedha safi na sio chafu. Lilijenga nidhamu katika madaraka ya umma na likasaidia umma kubaini kuwa majukumu ni wajibu na sio lazima yaendane na malipo ya ziada.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Moja ya sababu ya mafanikio ya Azimio la Arusha na hasa vita dhidi ya wahujumu uchumi na utaifishaji wa mali na kuzifanya za umma, ilikuwa kuwepo viongozi wenye moyo wa kufanya kazi hiyo. Kulikuwa na viongozi waliokubali kuzikana nafsi zao na kisha kubeba msalaba wa azimio hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Majina yanayobakia na heshima kabisa katika kufanikisha harakati hizi ni Waziri Mkuu atakayebakia na heshima ya pekee kabisa kuliko Waziri Mkuu yeyote kupatikana hadi sasa nchini, Edward Moringe Sokoine. Inasemekana kuwa marais waliofuatia wamekuwa wakimkumbuka na kusaka mawaziri wakuu kutoka mkoani Arusha, dhana yao ni kupatikana Moringe mwingine!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukiacha Waziri Mkuu Moringe, Tanzania ilikuwa na Rais wa umma, Hayati Julius Nyerere. Huyu alikuwa na nia ya kuifanya Tanzania nchi isiyo na matabaka. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni jambo linaoonekana wazi kuwa, viongozi hawa mahiri wakirejea leo nchini watabaki katika simanzi. Hatutakuwa na nyumba za umma za kuwakalisha, labda tutawapeleka katika mahoteli ya kifahari ambayo pia vigogo kadhaa wana hisa nayo au walishayabinafsisha.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wataumia kukuta waliowaachia urithi waliridhika kuuza kila walichozalishiwa. Wataumia sana kuona namna waliowaacha walivyosahau historia ya namna nchi ilipotokea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Itakuwa huzuni kwao kutazama kuwa viongozi vijana waliowaamini ndio walioamua kujigawia na kisha wakazikarabati kwa gharama kubwa nyumba za umma. Ni vigumu kubaini nini kitajiandika katika ramani ya mioyo ya viongozi hawa wanaotangazwa kuhenziwa kwa maneno huku wakiwa walishatupwa kapuni katika matendo!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kimsingi wataumia sana na hasa tabia hii ya viongozi wa umma kuamua kwa makusudi kuwataifisha mali wananchi maskini. Wataumia sana maana wanaofanya hivi ni wale waliodhani wangeendeleza mapambano ya kupigania haki ya wananchi maskini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni aibu kabisa kwa viongozi wa Tanzania kukumbatia ubinafsishaji katika mambo yaliyotakiwa kubaki ya umma. Nchini Marekani, Rais mstaafu Bill Clinton aliwahi kulalamikia Kongresi ya nchi hiyo wakati ikitawaliwa na chama cha Republican, hasa ilipokuwa ikipitisha miswada mbalimbali iliyohitaji kubinafsisha mambo kadha wa kadha yahususyo huduma za jamii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lengo la Republican lilikuwa kukata matumizi kutoka kwa serikali lakini kuyatanua katika matumbo ya wachache. Kwa kufanya hivi kungenufaisha wanachama wengi wa Republican ambao ni wafanyabiashara.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni kweli serikali inatakiwa kukimbia baadhi ya majukumu kwa hofu za wanasiasa kusimamia shughuli hizo au kutumia nafasi zao kuharibu sekta mbalimbali zilizo chini ya serikali? Jibu la swali hili linaweza kupatikana kwa kila kiongozi wa umma, hasa anayetambua kuwa, kukimbia wajibu kwa hofu ya kashfa si tu inasaidia kuchaguliwa wakati wa uchaguzi unaofuata, bali pia unachangia kukwamisha mipango ya serikali kufuatia serikali kukabidhi watu wachache nguvu zake za uchumi. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii kwa namna nyingine ni sawa na kuifanya serikali kuwa ombaomba wa mali zilizokuwa zake. Mali ilizoamua kuziacha zinufaishe wachache au wale waliohusika na zoezi hilo au vinginevyo!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nchi imefikia hatua ya kuwepo utaifishaji mpya! Tofauti na ule wa wakati wa Azimio la Arusha, wa sasa ni wa viongozi wanaochukua mali ya maskini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mfano wa Arusha unatoa mwanya tu wa namna viongozi wanavyoweza kujineemesha kupitia migongo ya wananchi. Ipo mifano kama hii ya kuihenzi kampuni ya Richmond, kuiruhusu ibadili jina ili kutafuta kupoteza lengo miongini mwa wananchi, na pia kutumia nguvu za madaraka kuhakikisha kuwa wabunge hawaijadili kabisa hoja hiyo bungeni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nani ananufaika na usiri wa mikataba inayowekwa na serikali. Vipi kuhusu manunuzi yenye utata ambayo serikali inayashangilia kwa kauli moja bila kuogopa kuwa yanachangia kudunisha maisha ya wananchi wengi maskini?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama adhabu ya madiwani wa Arusha imezingatia kuvunjwa kwa nguzo za ahadi za mwana TANU, vipi viongozi wetu wanavyoendesha nchi hii na hasa zoezi hili la kuiba mali za umma mchana kweupe kwa kutumia mbinu za kupitisha agenda za mali hizo, wao kujiuzia au kujigawia?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hamkumbuki tena kuwa azimio hilo lilipinga kujikabidhi mali na likapinga hata kuwa na nyumba za kupangisha? Jiulize tena kuhusu matumizi ya milioni 100 kujadili hoja za watu binafsi na kisha baada ya kupoteza fedha hizo kazi inaishia kuitana katika ofisi za Spika kunywa kahawa!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii si mifano ya matumizi mabaya ya madaraka na fedha za umma kwa matakwa binafsi? Vipi kuhusu udanganyifu wa kuwapa wananchi wote elimu na kisha ikafatia kutangazwa asilimia 40 za kuichangia tena?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna maswali mengi ya kujiuliza, kama kweli uongozi wa umma wa Tanzania ulilenga kuyafanya madaraka mali ya umma, kungelikuwa na ushikishaji wa umma katika kufikia maamuzi. Kusingekuwa na matumizi ya magari na maisha ya kifahari kwa viongozi wa umma wakati wanaowaongoza wanazidi kuwa maskini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukweli unabaki kuwa, maamuzi yaliyowafikia madiwani wa Arusha yalitokea ili kudhibiti wasio na nguvu ndani ya mfumo ulioharibika. Je, jamii yapaswa kushangilia maamuzi haya badala ya kutaka kuona mabadiliko makubwa yanafanyika na hasa udhibiti wa viongozi wakubwa ambao inaonyesha wanatumia nao madaraka yao vibaya kutetea uovu, kuufanya au kujihusisha nao kwa usiri?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Profesa Euphrase Kezilahabi aliandika shairi la 'Sisi kwa sisi' katika Diwani yake ya Karibu Ndani na akabainisha kuwa; "sisi kwa sisi tukilana je safari lazima iendelee?" Tuko safarini lazima twende tuendako hata kama dereva wetu hataki kutufikisha.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-117178476470421854?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/117178476470421854/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=117178476470421854&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/117178476470421854'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/117178476470421854'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2007/02/sakata-la-madiwani-arusha-na-dhana-ya.html' title='&lt;strong&gt;Sakata la madiwani Arusha na dhana ya cheo ni dhamana &lt;/strong&gt;'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-117014627294394205</id><published>2007-01-30T00:36:00.000-08:00</published><updated>2007-01-30T00:37:53.233-08:00</updated><title type='text'>NI SIFA HIZI ZILIZOMFANYA JK KUMBAKIZA MRAMBA?</title><content type='html'>&lt;strong&gt;&lt;em&gt;"MU wapi niwatazame&lt;br /&gt;Semeni msiachame&lt;br /&gt;Mawazo yasiwachome&lt;br /&gt;Kwa bezo msilalame.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hamna jipya mseme&lt;br /&gt;Wajumbe msiwatume&lt;br /&gt;Tazameni mjipime&lt;br /&gt;Majaribu yawakome!"&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&lt;br /&gt;Sina&lt;/strong&gt; shaka huu mzima, nakusalimu mtu duni, nakusalimu mtu bora! Salamu ni muhimu walisema wahenga, lakini haziwezi kulinganishwa na ndoto, hasa ndoto ya maskini inayoweza kupaa hadi mbingu ya saba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndoto ya maskini huchanganywa na vitu vitu vingi mfano; fikra za kuweza kumudu maisha, fikra za kujenga uwezo wa kukabili adui na fikra za kujenga himaya ya kudumu katika mafanikio. Ndoto hizi zaweza kuwa za mchana au usiku na zote zina athari tofauti kufuatia mandhali zinapotokea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ninaota sana usiku siku hizi. Nimeota mada hii na naamua kuindika leo. Mwandishi mzembe hulala usiku na kukesha mchana. Nasikia viongozi wetu nao huzungumzwa kuwa wanakesha sana usiku wakiwazia shida zetu. Siamini hilo, maana sijawahi kuona nyumba zao umeme ukiwaka usiku kucha. Kwanza ni vigumu kuchungulia nyumba zao kufuatia kuta zilizowekwa kuzunguka nyumba hizo za vigogo kuwa ndefu. Kuta hizi za nini kama wanakesha? Je, anayekesha naye anaogopa mwizi? Hapana, inaonyesha hawakeshi hawa bali wanalala sana tu usingizi wa pono!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwandishi mahiri hupata visa usiku. Kwake usiku ni wakati tulivu kupata visa lakini kwa wavivu wakati huu hupewa sura ya starehe ya kushangilia usingizi. Usiku ni wakati wa tabu pia kwa watu jasiri lakini unatumiwa kama liwazo la unono kwa woga! Waandishi wengi wa ngano wamewahi kusema kuwa, usiku ni kipindi cha mawewe, kipindi kisichotoa muwasho wa kupata na kuandika visa kwa mwandishi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais wetu Jakaya Kikwete anaendelea na safari zake za kila wakati ughaibuni. Wiki hii amekuwa Uswizi na kisha akaenda Ethiopia. Sikupta taarifa mapema kuhusu aina ya timu za michezo zilizopo katika nchi hizo ili niweze kubaini kuhusu kama ataenda kuchukua jezi za timu hizo au la! Nadhani Uswisi kutakuwa na timu za michezo ya kuteleza katika barafu au kriketi! &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sijui na sidhani kama nitajua mapema, lakini safari hizi hata zitetewe vipi; faida yake na uwiano wa hasara havilingani! Ni lini tutaacha wageni waje kwetu na kukutazama kama sisi tutazidi kuwafata huko huko? Watatambuaje matatizo yetu wakati tupo kwao na kufurahia vyao? Hapana waheshimiwa hapa msinizibe mdomo nitaendelea kusema tu!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Leo nimeamua kukusabahi mkuu wa kaya yetu Rais Jakaya Kikwete. Wakubwa kama nyinyi mwahitaji maneno machache ya kuwaeleza maana mna majukumu mengi. Utanihurumia maana sina machache leo, nakuandikia mada hii leo na nitaimalizia juma linalofuata.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimekumbuka ulikuwa Uingereza wiki iliyopita. Tunamshukuru Mola kuwa alikurejesha salama nyumbani ili uweze kufanya kazi zako na kisha ukaweza pia kupanga safari nyingine. Habari za safari yako ya Uingereza tulizipata sana na hakukuwa na ukame wa taarifa kama alivyotaka kukuambia mhariri wa habari katika gazeti ulilolianzisha wewe, gazeti linaloendeshwa kwa kodi zetu sisi wana kaya hii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukiwa huko Uingereza ulikumbana na gazeti moja la huko lililokuwa na habari kuhusu nchi yako. Gazeti hili liliitunza habari hiyo hadi ujio wako ufike, ulipofika likaichapisha. Lengo la gazeti hili lilikuwa kutoa tahadhari kwako na kwa raia wa Uingereza kuhusu nchi ya Tanzania. Lengo hili lina sifa hasi na chanya ila hasi ni zaidi kuliko chanya kwetu sisi watanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Habari ile haina hasara kwa Uingereza na sioni maana ya wao kupoteza gharama zao kuichimbua. Tulitakiwa sisi watanzania kufanya hivyo, hatukufanya! Nani rafiki kama huyu anayeona uchungu wa hasara inayobebeshwa kwa raia maskini kufuatia viongozi wa nchi kutokuwa makini hasa wanapofanya manunuzi ya vitu vya gharama kubwa? Uchungu unaotokana na viongozi hao kutokutathmini kwa kina wapi na nani wanamhusisha katika manunuzi hayo, achilia mbali aina ya kitu kinachonunuliwa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii imekuwa kama jadi yenu viongozi wa Tanzania. Mnafanya mambo mengi kwa majaribio hata sasa ambapo nchi ina uhuru wa miaka 45. Na zaidi ni kuwa hamtaki kukubali makosa na kukiri mlipoteleza ili wengine wasirejee makosa yaliyowahi kutokea. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hali hii ya kutaka kuwa wakamilifu daima inazifanya serikali zinazofuatia kuendelea kubeba matatizo yaliyosababishwa na zile zilizopita. Na kibaya pia ni hiki cha kuendeleza enzi za watawala waliofanya vibaya kuingia katika awamu mpya bila kujipanga na kubadilika. Madhara ya suala hili ni kuendeleza kuboronga katika serikali zinazofuata kama tunavyoendelea kuona!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Usihofu mheshimiwa rais, na sisi waandishi wa Tanzania tutatunza habari za nchi hizo na kuwasubiri siku watakapokuja hapa kwetu. Lakini napatwa swali hapa, watawezaje kuja huku wakati unawafata huko huko na hizi ziara zako za ughaibuni? Inawezekana ikatokea siku moja na hiyo ndiyo tutakayotumia kuwaweka kitimoto ili wapate nao freshi mithili ya vile walivyokukalisha wewe huko Uingereza hadi ukahamaki kidogo!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini jambo la kukumbuka ni kuwa; wao wamezoea kuulizwa maswali ya kushtukiza tofauti na wewe ambaye mara nyingi watu wako wanataka tukuandikie kwanza maswali kisha wakutafutie majibu. Wao wanafahamu sana maana ya vyombo vya habari na huko vina nguvu kuliko hapa, achilia mbali rasimu ya sheria iliyo katika Baraza lako mheshimiwa rais inayotaka kukata uhai wa afya za habari hapa nchini na kutufanya wapiga tarumbeta wa himaya ya watawala.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais, kweli suala la manunuzi ya rada ni aibu ya Uingereza? Tanzania inapigana na nani hadi ing'ang'anie kununua rada ya aina hii! Mna mpango wa kuanzisha vita na nani ili wananchi wenu tuanze maandalizi ya kuwa wakimbizi? Kama hakuna nini hasa wasiwasi wenu ambao utawatofautisha na watu mliokuwa mnatumia nafasi zenu kutafuta upenyo wa kujijengea faida?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais, Uingereza ione aibu ipi kama imeweza kuibua uozo huu, uozo unaochimbua madhambi ya vigogo ambao kauli zao tu zinathibitisha nia yao mbovu dhidi ya raia maskini wa taifa hili? Nafahamu macho ni yetu mafupi kuona, lakini tunaweza kujenga walau hoja hafifu! Hoja hizi zitaiishi kitambo kabla ya kupatikana majibu maridhawa na siku majibu yakitokea uchafu utawagusa ninyi mlio juu!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni kweli rada ilikuwa muhimu hivyo kuliko hata umeme mheshimiwa rais? Kuliko hata njaa iliyotutafuna mwaka jana? Kuliko hata ukosefu wa madarasa na huduma mbovu za afya? Kuliko ujenzi wa barabara na hata madarasa na mikopo ya wanafunzi? Je, ni macho yetu sisi ambayo hayaoni? Kama ndivyo, toeni sababu na sio vitisho kama alivyokuwa akitoa Basil Mramba wakati akitetea manunuzi ya rada na ndege ya rais.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais kumbuka kuwa, waziri wa Tanzania wa Mambo ya Nje katika miaka kumi iliyopita ni wewe. Nafasi yako ilikuwa kubwa katika kufahamu jema lolote na baya kuhusu Tanzania. Kuhusu linalokusudiwa, linalofanywa na hata linalotarajiwa kufanywa kwa ajili ya nchi yetu. Nafasi hii ilikupa fursa kuwafahamu adui na rafiki zetu. Uliweza kufahamu nani anatuibia na nani anatusaidia! Ulijua mengi sana na hata haya ya rada na ndege uliyafahamu kwa undani sana, huwezi kuepa hili!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sisi wa hapa ndani, tuliishia kumsikia Waziri Basil Mramba akizungumza kwa kujiamini wakati alipokuwa akiratibu mkakati wa manunuzi ya dege la rais pamoja na hili rada.  Mramba aliwahi kutoa kauli yenye kuongeza maswali kadri siku zinavyoongezeka bila kupata majibu, hasa kuhusu nini kilimfanya kujiamini kiasi hicho wakati huo na kama ilivyo sasa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inawezekana Mramba alirithi mfumo wa kauli za viongozi waliopo nchini. Nitumie mfano wa waziri Mkuu wa zamani Cleopa Msuya aliyewahi kusema kuwa; kila mtu atabeba msalaba wake. Kauli hiyo kwa kiasi kikubwa ilikuwa ikitetea kukua kwa ufa kati ya tajiri na maskini katika nchi hii. Kauli hii inazungumzwa kuwa, ilikuwa tathmini ya upanuzi wa nguvu za kiuchumi kwa matajiri na viongozi wa serikali katika Tanzania kulinganisha na watawaliwa. Hali hii ilianza kujiibua kipindi cha awamu ya pili, na ni kipindi hicho hicho ambapo Msuya alitoa kauli hiyo na yeye akiwa Waziri Mkuu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mramba akaliambia Bunge kuwa; watanzania wako radhi kula majani lakini rais wao anunuliwe ndege ya kifahari, ndege inayofanana na hadhi yake. Mramba hakutaja wala kufafanua kuhusu hadhi hiyo ya rais hasa pale anapomzungumzia rais ambaye anaweza kuwa ameshindwa, kutumia rasilimali za nchi kunufaisha wazawa badala ya wageni. Pale utawala wa rais huyo, unapokuwa umetumika sana kutanua ufa kati ya tajiri na maskini, umesaini mikataba kwa makampuni ya kigeni na kubinafsisha mashirika ya umma, bila kujali faida kwa nchi na tena bila kuonyesha chembe ya uzalendo kwa nchi na watu wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huyu ndiye Mramba, Waziri wa Fedha (wakati huo) aliyetarajiwa kuwa asingekuwemo kwenye kikosi cha awamu ya nne. Kinyume na fikra hizo za wachambuzi wa masuala ya siasa, Mramba akabakia katika kikosi na safari hii akapewa wizara nyingine nyeti. Wizara ya miundombinu na sasa nyeti nyingine (Viwanda na Biashara), ili aweze kutazama namna njema ya kuiunganisha Tanzania na kuipa miundo mbinu yenye manufaa. Ili aweze kukuza uchumi na kisha kuitanua mapinduzi ya viwanda na biashara katika kipindi hiki cha soko huru.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kabla hakujacha, Mramba akaibuka na kugawa kiasi kikubwa cha fedha katika ujenzi wa barabara inayopita katika jimbo lake. Wabunge wakambana na kutaka kujua nini hasa kiburi cha yeye kufanya maamuzi kama haya aliyowahi pia kulalamikiwa Msuya na jimbo lake la Mwanga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo nguvu za chama zikatumika. Mramba akapitishiwa ulaji wa jimbo lake na kuziacha sehemu mbalimbali za nchi zenye kukosa barabara bora zikibakia na adha hiyo huku barabara ya jimboni kwa Mramba ikipitishiwa fedha za ujenzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kitendo hiki cha kupendelea jimbo lake, kilitosha kutoa kauli kutoka kwa rais juu ya Mramba. Lakini pia kulikuwa na hili la upitiaji upya wa mikataba ambayo mingi ilipitishwa wakati Mramba akiwa Waziri wa Fedha. Kama mikataba hiyo ilionyesha utata, basi hakukuwa na haja ya Mramba kubakia katika ngazi za madaraka katika serikali ya awamu ya nne. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sababu za hoja hiyo ni kuwa; awamu ya nne ilichaguliwa huku kukiwa na imani toka kwa wananchi kwa serikali; mosi, serikali kusafisha kila uchafu uliofanywa na awamu ya tatu sambamba na waliohusika kuufanya na pili, kurejesha haki ya umma kuhusu kila kilichopitishwa bila kujali maslahi ya taifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utetezi wa Kikwete kuhusu umuhimu wa rada, unaonyesha namna anavyokubaliana na taifa maskini kufanya manunuzi makubwa yasiyotazama kipaumbele katika mipango ya kupambana na umaskini. Serikali isiyotazama lipi lianze na lipi lifuate huku pia ikitazama lipi lina athari kubwa kwa wananchi ukilinganisha na lingine. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kimsingi kauli ya Kikwete inampambanua kuwa, alikaa kimya kipindi cha awamu ya tatu kwa sababu tu alikuwa hataki kuwaudhi wakubwa kufuatia kuwepo lengo lake la kuwania urais. Inawezekana pia alikuwa mshirika wa karibu kabisa hivyo hakutaka kujichafua hali inayomtia hofu kutoa kauli nzito sasa!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mrambaalikuwa miongoni mwa mawaziri wa kwanza kwanza kutetea safari zisizoisha za rais ughaibuni. Kimsingi naye ananufaika sana na safari hizo maana zinamhusisha pia. Hii pia ni hoja ya kuonyesha umuhimu wa Mramba kuwemo katika kikosi cha Kikwete.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Majibu ya Mramba kwa wabunge pale alipobanwa baada ya kupanga fedha nyingi katika barabara za jimbo lake; hasa liposema kuwa na yeye ni mbunge, haikuwa kauli ya kukata tamaa. Inaonyesha ilikusudia nafasi yake kufahamu inatokea wapi. Ilionyesha uhusiano mkubwa na mteuzi wake na ilikuwa ni angalizo kwa wanaomshutumu.&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Kimsingi utetezi wa baraza zima la mawaziri kulikofanywa na Kikwete wakati wa maadhimisho ya mwaka mmoja wa utawala wake ni jibu jingine kuhusu kuwepo kwa Mramba serikalini licha ya yeye kuhusika na kutetea mambo kadhaa yanayotoa maswali kuliko majibu. Mramba ni msafi kwa mujibu wa Kikwete kama walivyo mawaziri wake wote na hii ni sababu kubwa ya JK kubakia naye?&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-117014627294394205?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/117014627294394205/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=117014627294394205&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/117014627294394205'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/117014627294394205'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2007/01/ni-sifa-hizi-zilizomfanya-jk-kumbakiza.html' title='&lt;strong&gt;NI SIFA HIZI ZILIZOMFANYA JK KUMBAKIZA MRAMBA?&lt;/strong&gt;'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-116938502155973664</id><published>2007-01-21T05:05:00.000-08:00</published><updated>2007-01-21T05:10:22.450-08:00</updated><title type='text'>MBIO ZA SHIRIKISHO AFRIKA MASHARIKI ZIMEFICHA SIRI GANI?</title><content type='html'>&lt;strong&gt;AGENDA ILIYOPO&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;NCHI&lt;/strong&gt; za Tanzania, Kenya na Uganda kwa sasa zina kamati maalum kwa kila nchi zinazokusanya maoni. Lengo la maoni haya kutoka kwa wananchi ni kupata ruhusa yao kama wanahitaji kuwepo kwa Shirikisho la Afrika Mashariki au hapana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kitendo hiki cha ukusanyaji maoni ni cha muhimu sana kwani kinatoa fursa kwa wananchi ambao ndio wamiliki wa mataifa yao kukubaliana ama kuongeza sifa za utaifa au kubakia na huo walionao. Ni kitendo pia cha kukubali kuongeza watumiaji wa rasilimali za taifa lao na vile vile kujitanulia mianya ya kuishi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Dhana rahisi ya ubepari ni kujitanua zaidi za mipaka yako. Dhana hii hii humsaidia bepari kuweza kupata vile ambavyo hana ndani ya mipaka yake na pia kumuwezesha kutumia uwezo wa wengine kuendeleza vile alivyo navyo ndani yake. Dhana hii inaweza pia kutumika kuthibitisha agenda ya umuhimu wa shirikisho na pia ikatumika kulipinga. Ulimwengu wa sasa unatawaliwa na ubepari. Mfumo huu haukufuatwa na mataifa mengi ya Afrika baada ya uhuru lakini baada ya kuanguka kwa USSR sasa nchi nyingi zimelazimika kusahau mfumo wa kisoshalisti au ukomunisti. Yamebaki mataifa kama Venezuela na Cuba yanayokumbatia sera hizi na kuanzisha vita mpya ya kupandikiza itikadi za kisoshalisti.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MABADILIKO YA AGENDA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tangu kuvunjika kwa jumuiya ya Afrika Mashariki mwaka 1977, hakukuwahi kuwa na majibu ya wazi kuhusu nini kilisababisha sana hadi jumuiya hiyo ivunjike. Je, ulikuwa ulafi wa madaraka, uchu wa mali, hofu ya kumezwa na mataifa ya magharibi, hujuma au nini hasa? Majibu yaliyopo katika vitabu vya historia yanaweza kuzua maswali yasiyo na majibu. Je, vipi sasa tumeshapata majibu ya kuridhisha hadi tukubali kuwa na jumuiya hii mpya na nini malengo baada ya kuwepo kwake?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wajanja wa sasa wamekuja na mtindo wa kubadilisha majina. Wanajua wananchi wa nchi hizi sio wazuri kutunza kumbukumbu. Kutokana na hali hii badala ya kuita Jumuiya ya Afrika Mashariki wakaibuka na Shirikisho la Afrika Mashariki, ubadilishaji wa maneno huku lengo likibakia lile lile la muungano na utanuzi wa utaifa kwa nchi zilizopo ukanda huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kabla wazo la kuunda upya jumuiya au shirikisho jipya kulipaswa hoja ya awali kutoka kwa wananchi. Hili ni kosa la kwanza lililofanywa na Rais Benjamin Mkapa, Daniel Arap Moi na Yoweri Museveni; wakati walipoibuka na wazo hili upya hasa pale waliposaini mkataba wa kuanzishwa tena Jumuiya hii Julai 2000 na kisha kuizindua rasmi Januari 2001. Viongozi hawa walitakiwa kabla ya kuanza mikakati ya aina yoyote kuwashirikisha wananchi katika nchi zao ili watoe maoni. Ni kipindi hiki ambapo kungewezekana kuulizwa maswali ya nini kilisababisha jumuiya ya kwanza kufa na kwa nini tuhitaji jumuiya nyingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baada ya hapo kungekuwa na elimu ya umuhimu wa muungano kama huu sasa na namna dunia ilivyo na mwanya wa kuweza kuiruhusu iwepo kuliko ilivyokuwa wakati ule wa kabla ya 1977. Kutokufanya hivi, ilikuwa ni kudharau wapiga kura, kudharau wananchi na kweli ilikuwa kushindwa kwa utawala unaojali watu katika kufikia maamuzi makubwa yanayohusu maisha na mataifa yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata kabla ya kuanza zoezi hili la ukusanyaji maoni, agenda ilikuwa kama wananchi wanakubaliana na nchi hizi kuunda shirikisho au la! Kabla hata agenda hii haijaanza kujadiliwa huku kukiwa na maswali kutoka kwa wananchi kuhusu maana ya ukusanywaji wa maoni kuhusu kutaka au kukataa shirikisho, hakukuwepo maoni kutoka kwa wananchi kabla ya kufikia hatua kama; upitishwaji wa sheria ya Umoja wa bandari 2005, uanzishwaji wa Bunge la Afrika Mashariki, namna ya upatikanaji wa uwakilishi katika Bunge hilo na mengine kadhaa, kukawa na kuingizwa kwa Rwanda na Burundi katika jumuiya ya Afrika Mashariki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa ikaanza kutambulika mchezo wa msamiati. Maneno mawili tofauti yakaanza kutumika lakini yakiashiria kuelekea maana ile ile. Jumuiya na shirikisho na ikafafanuliwa kuwa Rwanda na Burundi zinaingizwa katika jumuiya ikiwa ni hatua ya kufikia shirikisho. Shirikisho ambalo halijaundwa na ambalo halijapata ridhaa ya wananchi wa nchi zote achilia mbali kukusanywa kwa maoni kutoka kwa wananchi hao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mambo yakiendelea hivi kukaanza kukusanywa maoni na agenda ikawa; uharakishaji wa shirikisho au upingwaji wake! Nini maana ya uharakishwaji kama shirikisho hilo halijakubaliwa? Maana rahisi ni kuwa haja ya jumuiya ilishapitishwa na umuhimu wa shirikisho maridhawa na sasa ni uamuzi wa lini shirikisho hilo lianze, huku wakubwa wakiwataka wananchi wao kuharakisha shirikisho hilo na sio vinginevyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;KAULI TATA NA MASWALI ZAIDI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UGANDA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwaka 2006 kabla ya Kombe la Dunia Rais Yoweri Kaguta Museveni aliwahi kukutana na waandishi wa habari wa nchini kwake na kuwalaumu kujisahau kuandika kuhusu masuala ya Afrika Mashariki wakati wako mbele sana kuandika mambo yanayoyahusu mataifa ya Ulaya na Marekani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Museveni akawaambia kuwa rasimu ya nchi hizi kuungana ilikuwapo kwa siku nyingi lakini hakukuwa na waandishi wa habari waliokuwa wakiiulizia na kuiandika kwa wasomaji wao. Swali hili la Museveni linatoa picha mbili; moja ni hii ya kuonyesha kuwa waandishi wa habari hushabikia sana mambo ya nje na kunyima nafasi kwa mambo ya ndani na pili ni, usiri wa rasimu yenyewe uliokuwepo kati ya viongozi wa nchi hizi hali iliyotokana na wao kuanzisha agenda bila kuchukua mawazo kutoka ngazi za nchini kabisa za uwakilishi wa wananchi. Kubwa hapa ni kuwa, viongozi waliamini kuwa wao ndio mwisho, wao ndio vinara wa maamuzi na wao ndio kauli ya kukubalika na sio kupingwa!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Museveni anabakia kuwa kinara na mwelewa wa juu kabisa kuhusiana na namna ya uendeshaji mambo hapa Afrika Mashariki na inawezekana sasa agenda nyingi akawa anazipa nguvu yake kufuatia ujanja wake na uelewa kuliko marais wenzake ambao; mosi ni wageni madarakani na pili hawakupitia misukosuko mikubwa katika nchi zao kama alivyo yeye.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni kiongozi anayesifika katika kupigania kupandisha uchumi wa nchi, uchumi uliokuwa umeshuka kwa kiasi kikubwa, kuweza kuleta chembe ya amani katika nchi iliyokuwa haitulii na pia harakati zake dhidi ya madhara ya ukimwi, ugonjwa uliokuwa na athari kubwa nchini kwake hadi kuupunguza na kufikia hatua ya kuifanya Uganda kupata taswira mpya, heshima dhidi ya mapambano ya ugonjwa huo hatari duniani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa kutumia ujanja wake, akashawishi mabadiliko ya katiba ili apate muda zaidi wa kutawala. Alishagundua kuwa Kenya kuna kiongozi mgeni, Mwai Kibaki na Tanzania ilikuwa katika kubadili awamu toka ya tatu kwenda ya nne, hivyo kungekuwa na rais mpya, Jakaya Kikwete.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Akafanikiwa kuongezewa muda na kisha akaibuka na agenda mpya, akatangaza nia yake ya kuwa Rais wa kwanza wa Shirikisho la Afrika Mashariki. Uamuzi huu akautangaza kabla hata shirikisho hilo halijapitishwa, halijakubaliwa na wala hakujawa na mkakati wa kuunda kamati za kukusanya maoni kutokwa kwa wananchi wa nchi hizi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kukatokea hoja ya kuharakisha shirikisho la Afrika Mashariki. Hii ikawa hoja mbadala ya ile ya ukusanyaji maoni kuhusu kuwepo au kutokuwepo kwa shirikisho hilo. Hoja hii ikaja na sasa inajadiliwa kila nchi huku ikionyesha wazi kuwa; kuna siri katika serikali za nchi hizi, siri isiyofahamika kwa wananchi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni siri hii inayowafanya viongozi wa nchi hizi kudhani kuwa wananchi wao hawana uelewa wala nguvu ya kukataa shirikisho. Ni hoja hii inayowafanya viongozi hao sasa kuwaweka katika upande wa kuwalazimisha kukubaliana na kuharakishwa kwa shirikisho badala ya kujadili kuhusu kukubali shirikisho hilo au kulikataa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo ujanja wa mtu kama Mseveni kwa waganda ni rahisi kushinda mathalani anapotumia mfano wa nchi yake kukosa bandari na hivyo kuwahamasisha wananchi kukubaliana na jumuiya hii kwani watanufaika na uingizaji wa bidhaa zao kwa gharama nafuu. Hoja hii kwa waganda ina nguvu mno kiuchumi lakini inaweza kubeba agenda ya siri ya Museveni kutaka kuwa rais wa shirikisho na kisha akafanikiwa kupata anachokitaka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;KENYA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nchini Kenya juma lililopita kumeibuka hoja nyingine kutoka kwa Waziri wa Umoja wa Kanda ya Afrika Mashariki John Koech. Hoja hii inafanana na ile ya Museveni dhidi ya waandishi wa habari wa Uganda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Koech anasema kuwa; waandishi wa habari wa Kenya ni maadui wakubwa wa umoja wa Afrika Mashariki na wanaonyesha uadui huu kwa kuchapa habari nyingi zinazoonyesha ubaya wa jumuiya hii kuliko mafanikio yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kauli nyingine kutoka Kenya ni ile iliyotolewa na Makamu Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Afrika Mashariki (EABC) Arun Devan inayosema kuwa ni vyombo vya habari vinavyoweza kuunganisha shirikisho hili au kulivunja. Sababu zaidi kutoka Kenya ni kuwa kuna uelewa mdogo kutoka kwa waandishi wa habari jambo linalowafanya kuandika kufuatia kampeni badala ya kusifia jitihada hizi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kenya pia imewahi kulalamikiwa kutokana na viongozi wake kuonesha kuwahamasisha watanzania kutokuwa na hofu dhidi ya nchi hiyo kuhusu shirikisho hili. Ni wazi kuwa, hofu ya Tanzania kuingia katika shirikisho inatokana na uoga wake katika kujilinganisha na Kenya katika masuala ya viwanda, uchumi kwa ujumla na huduma nyingine za jamii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kielimu, Kenya ina wasomi wengi kulinganisha na Tanzania na Uganda na pia nchi hii inaongoza kwa kuwa na wananchi wake wengi nje, wananchi ambao wanaweza kuitumia fursa hii ya Afrika Mashariki kwa mafanikio yao kibiashara na kiutanuzi wa uchumi. Kwa ujumla kuna unafuu mkubwa kwa Kenya sasa kuliko hata ilivyokuwa huko nyuma kunufaika katika shirikisho hili, mosi kwa kupata ajira zilizo wazi katika Uganda na Tanzania na pia kupata ardhi nchini Tanzania kufuatia Kenya kujaa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jumuiya ya kwanza ilivunjika kukiwa na lawama zaidi kwa Kenya kujiunga na kambi ya mabepari wa Uingereza na Marekani. Safari hii Kenya ndiyo inayopigania sana kuingia katika jumuiya hii baada ya kubaini kuwa, itasadia kutatua kero za wananchi wake. Hata hivyo nchi hii bado ina sifa kubwa ya ufisadi kutoka kwa viongozi wake na inatambulika duniani kutokana na kutoweza kabisa kupambana na rushwa hasa inayohusu mikataba ya manunuzi ya vifaa hewa vya serikali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hata hivyo ukabila uliopo Kenya na mfumo wao wa siasa unaweza kuwakwaza watanzania ambao wamezoea maisha ya kuziba midomo hata wanapoumizwa. Kwa Kenya kila raia anaweza kupiga kelele na ndio maana maandamano ya siasa hayaishi Kenya na tabaka la kati lipo na linafanya kazi yake tofauti na Tanzania ambapo hakuna sasa tabaka la kati linaloweza kusimamia mambo yake vema. Asilimia kubwa ya wananchi wa Tanzania ni tabaka la chini, wasiokuwa na elimu ya kutosha na waishio maisha duni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;TANZANIA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Awamu ya nne inaingia madarakani mwaka 2006 na kisha inaanzisha wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki. Wizara hii inatoa picha wazi kuwa kuna makubaliano yamefikiwa na kwamba Tanzania iko tayari kuingia katika shirikisho la Afrika Mashariki. Tatizo ni kuwa, nchi hii haijawahusishwa wananchi wake katika kutoa idhini ya mchakato huu. Kama zilivyo Kenya na Uganda, Tanzania nayo imebariki usiri wa kuingia katika shirikisho hili huku ikiamini kuwa nguvu za serikali zinatosha hata kama wananchi wake hawatakuwa na dhamira ya wazi ya kukubali uamuzi huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hali inabadilika na kisha wazo la kukusanya maoni ya kufikia shirikisho yanapenyezwa kwenye mkutano wa wakuu wa nchi hizi lakini yakiwa na nguvu zaidi kutoka Tanzania. Wachunguzi wa masuala ya siasa wanaona tukio hili ni njia ya Rais Kikwete kusimamisha harakati za mtangulizi wake Mkapa katika kuwakimbiza watanzania katika jumuiya ambayo wanafahamu kuwa watabakia wasindikizaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini kinyume na matarajio ya wengi, Tanzania nayo inajiunga katika utata wa agenda na kukubali kutojadili kukubali shirikisho au la na badala yake nayo inaanzisha kampeni ya kuharakisha shirikisho.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huku nyuma, Tanzania kupitia wizara yake ya Afrika Mashariki imewahi kutoa matamko ya kutoitaka Kenya kuingilia maamuzi ya Tanzania kuhusu kama wananchi wa nchi hii wanakubali kujiunga na shirikisho au la. Kauli hii inaonesha kuwa kuna ugumu kutoka Tanzania na pia kuwa nchi hii inaonyesha wazi kuwa inataka kuwahusisha wananchi wake watoe maamuzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Waziri wa wizara hiyo anadaiwa pia kususia vikao vya nchi hizo vilivyofanyika Arusha mwaka jana na baadaye anahamishwa katika wizara hiyo. Lakini baadaye kidogo wizara hiyo inayofanya ziara nchi nzima inaonekana ikipingana na dhana ya kuelimisha wananchi na kukusanya mawazo yao kuhusu kama weanataka shirikisho na badala yake inaanza kutoa majibu ya hofu za wananchi. Inafikia hatua inajadili hata suala tata la Zanzibar na kuwataka wazanzibar kutohofu licha ya kuwa uchumi wao unaduni na kukiwa na hoja ya Tanzania Bara kufidia uchumi huo wakati huu wa muungano wa nchi hizi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naibu Katibu Mkuu wa Ushirikiano wa kisiasa wa Afrika Mashariki wiki iliyopita anasema; wananchi wakisema ni mapema mno kuanzisha shirikisho wanapaswa watuambie tuanzishe lini, lakini hapa suala si tuanzishe au tusianzishe." Kauli hii inaonyesha tayari maamuzi yaliyopitishwa, wajibu waliojikabidhi viongozi bila kuchukua ridhaa ya wananchi wao. Kama yatatokea yaliyofanyika 1977 basi hukumu wakati huu inao wa kuwaendea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama anavyozungumza Mbunge wa Afrika Mashariki Dk George Nangale, wananchi wengi wa Tanzania hawafahamu chochote kuhusu jumuiya au shirikisho la Afrika Mashariki. Kutofahamu huku kunaweza kuwa ndiko kulikochukuliwa na viongozi wa juu na kuamua kupitisha maamuzi bila kupata ridhaa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kimsingi kuna mchezo wa kisanii hapa kama inavyoonyeshwa pia na kamati ya kukusanya maoni kuhusu kukubali shirikisho au la. Kamati hii nayo imebadili agenda na kuwa, kuharakisha shirikisho au la. Tena kamati hii hapa Tanzania inafanya pia kazi ya kushawishi wananchi kuhusu kukubali hatua hiyo badala ya kufanya kazi iliyopewa na kuishia kukusanya maoni tu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tayari vyombo mbalimbali vya habari vimeandika kuhusu kujiongezea huku kwa majukumu kunakofanywa na kamati hii ya Tanzania inayoongozwa na Profesa Wangwe. Kauli za viongozi wa juu wa serikali zote za Kenya Uganda na Tanzania zinaonyesha kuwa kuna mchezo wa haraka unaoburuzwa na huenda nguvu za nje ya mataifa haya ili kufikiwa shirikisho hili. Kuingizwa kwa Rwanda na Burundi nayo ni hoja nyingine inayobariki uvamizi huu wa kiuchumi unaotakiwa kuchukuliwa na mataifa makubwa yanyoongozwa na uchu wa kibepari.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama ilivyo kwa Kenya na Uganda; kukosa kwa uelewa wa siri hizi au kutofahamu kabisa maana ya kuwa na shirikisho hili kwa sasa kunatafuna watu wa kada zote. Nchini Tanzania mapema wiki hii gazeti moja la kila wiki lilitoa tahariri iliyoitaka serikali kupitia wizara yake ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki, kutenga fedha zitakazosaidia kuelimisha waandishi wa habari. Lengo la kufanya hivi ni baada ya kuona ziara za Naibu waziri wa wizara hiyo kutembea nchi nzima akihamasisha uundwaji na uharakishwaji wa shirikisho kutozaa matunda.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wizara hiyo kabla wiki haijaisha ikaitisha warsha katika hoteli moja kubwa jijini Dar es Salaam, warsha hii iliwahusisha wamiliki wa vyombo vya habari na wahariri. Uharaka wa warsha hii unatoa picha kuwa, wizara ina fedha nyingi kwa ajili ya jukumu hili lakini inaacha swali nini siri iliyojificha kuhusu umuhimu wa shirikisho hili ambayo wanayo viongozi huku wananchi hawaifahamu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je siri hiyo inaweza kutajwa na kisha kuwashawishi wananchi kuwa sasa maisha yao yatakuwa bora baada ya kushindwa kufanikishwa kwa kuwa huru kwa miaka 45? Ni kweli ukanda huu wa Afrika utaweza kutotumika kama soko la bidhaa za nje na hivyo kuwanufaisha wageni kama ilivyo sasa?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yapo maswali mengi yasiyo na majibu. Kuna baadhi ya wachunguzi wa masuala ya siasa wanaozungumzia kuhusu kutokuwepo viongozi wenye dira na welewa wa kuweza kubeba jambo hili zito sasa. Kundi hili linatazama vichwa kama Mwalimu Nyerere, Mzee Kenyatta na Obote wakati ule na kisha kwa uwezo ule waliokuwa nao bado jumuiya ikaanguka mwaka 1977. Je. hawa wa sasa wanaweza kuvaa viatu vya viongozi hao japo robo ili kuzifanya nchi hizi zifike huko watakako?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yapo mengi, na yanajionyesha katika hofu ya wananchi kukosa maendeleo. Yanajionyesha kutokana na uchu wa viongozi kujilimbikizia mali. Yanajionyesha katika kutojali maendeleo ya wananchi maskini hali inayotoa picha kama utanuzi wa utaifa utatokea inawezekana kabisa kuwa wananchi wengi wakabakia kusahaulika au kuwa mtaji wa kura za wakubwa ili wafikie utukufu wa juu kabisa kisiasa. Inawezekana pia kuwa, shirikisho hili likabakia asali ya kundi fulani litakalonufaika kupitia makampuni ya kigeni na sio wananchi wa kawaida. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hofu hizi zinazidi kukua hasa inapoonekana masuala madogo madogo ya kukuza uchumi na maendeleo ya nchi hizi yanaposhindwa kufanywa na viongozi waliopo. Nini kifanyike baada ya hapa, inawezekana waandishi wa habari wakabaki kuwa kundi la kwanza kulaumiwa kutokana na wao kuhoji usiri uliojificha katika suala hili huku kukiwa hakuna watu wenye dira madhubuti ya kuijenga Afrika Mashariki.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-116938502155973664?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/116938502155973664/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=116938502155973664&amp;isPopup=true' title='6 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/116938502155973664'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/116938502155973664'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2007/01/mbio-za-shirikisho-afrika-mashariki.html' title='&lt;strong&gt;MBIO ZA SHIRIKISHO AFRIKA MASHARIKI ZIMEFICHA SIRI GANI?&lt;/strong&gt;'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>6</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-116875975012190764</id><published>2007-01-13T22:50:00.000-08:00</published><updated>2007-01-13T23:29:10.646-08:00</updated><title type='text'>Zanzibar: Kuna mengi usiyoyajua </title><content type='html'>&lt;strong&gt;NAONDOKA&lt;/strong&gt; mchana hapa ofisi za gazeti la Mwananchi, ofisi hizi zipo Tabata Relini, jijini Dar es Salaam, ninapaswa kukimbia kuwahi huduma za benki maana benki nyingi hufungwa ifikapo saa tisa kasoro robo hivi! Nafika Ubungo na kisha kwa kasi naingia benki ya NBC tawi la hapa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nina begi langu mgongoni na ninapoingia ndani nakutana na msururu wa watu ambao siwezi kuuhimili. Kuna joto kali pia humu na hali ya afya ya wateja ni wazi ipo katika hatari. Nakumbuka nimewahi kukutana na misururu ya watu kiasi hiki katika benki za NMB lakini siku hizi hata huduma za NBC hazina ubora wowote. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mabenki ya Tanzania hayaoni thamani ya kutoa uharaka kwa wateja wao, yanawageuza watumwa na hali hii kama haitabadilika kuna uwezekano kutokea benki moja ya kigeni ikayaua mabenki haya yote bila yenyewe kujijua. Kimsingi hali Wateja ni tabu tupu, kuna hali ya kutotaka kujifunza kurejesha ustaarabu katika huduma hizi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Anakuja mlinzi wa benki hii ambaye anatoka katika makampuni binafsi! Upatikanaji wa makampuni binafsi katika ulinzi una maswali mengi kuliko majibu. Wengi wao hawana mafunzo, wengine waliwahi kufukuzwa katika majeshi yetu, na wengi ni hawa waliokusanywa kutoka mitaani bila hata kutazama rekodi za maisha yao. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mlinzi huyu anaanza kuhoji uhalali wa mimi kuwa na begi ndani ya Benki, namtazama kwanza maana hakuna sehemu inapokataza mimi nisiingie na mzigo wangu humu, na pia hakuna sehemu ya kuwekea mizigo hiyo na kuikuta salama! Nashindwa kumjibu maana nilishaona sitapata huduma hapa hivyo naondoka na kusaka ilipo teksi ili niwahi huduma benki hiyo tawi la makao makuu lililopo Posta.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ninafika Posta na kukuta foleni nyingine kubwa. Najipanga katika foleni hii hadi nachoka! Nina dakika kadhaa tu ili nisichelewe boti ya kuelekea Zanzibar na bado kuna watu kumi mbele yangu. Naamua kuachana na harakati ya kupata huduma za benki baada ya kupoteza muda wa saa moja na nusu hivi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nakimbia na kufika gatini na kumkuta mlinzi wa kike kavalia mavazi yake ya bluu. Mimi nimevaa kadeti za kijani; namsalimu na kisha ananifungulia geti niingie. Napita na kisha naambiwa kuweka mzigo wangu kwa ajili ya ukaguzi. Hakuna vifaa vya kuweza kugundua kama kuna vitu hatari katika begi langu. Namuongelesha maneno ya utani mama huyu anayekagua na kisha ananiruhusu kupita bila kunifanyia ukaguzi wa kina.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naingia katika boti na kukuta wasafiri wenye asili ya Ulaya kuwa ndio wengi kuliko sisi weusi. Nabaini kuna wengi wanatoka Ujerumani na mmoja ninayekaa naye karibu ninapoanza kumzungumzisha ananiambia anatoka Munich. Swali lake la kwanza kwangu ni kutaka kujua kama mimi ni mwanachama wa chama kipi na nini mawazo yangu katika siasa za Zanzibar.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nakwepa swali lake maana natambua walishalishwa maneno kuhusu utata wa siasa za Zanzibar. Namwambia mimi sishabikii kabisa siasa bali najali uwajibikaji na kujitafutia kipato. Anauliza tena kama naenda kufanya nini Zanzibar; nami namjibu naenda kutalii na kuwa, huu ni utaratibu niliojiwekea kila baada ya miezi sita.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;KUSHUKA BANDARINI ZANZIBAR&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwendo wa saa kama mbili hivi tumetumia katika usafiri na sasa naingia Zanzibar. Nipo na rafiki yangu Gasper Materu anayefanya kazi huku. Namuuliza swali kuhusu nini huwa anawaza kila anapoingia Zanzibar. Yeye ananijibu kuwa ni fikra za kujiona yupo gerezani. Anajiona kafungwa na mipaka ya kisiwa iliyozungukwa na maji. Pia anazungumzia aina ya maisha ya huku kisiwani yalivyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunatoka na kufika sehemu ya ukaguzi. Namkuta mkaguzi anayenitaka kufungua begi langu. Nafanya hivyo kwa kasi na bila hata kutazama nini ninacho ndani ananiruhusu kuondoka. Natazama hali hii inafanyika hata kwa wageni baada ya kutazama pasi zao za kusafiri sioni wakikaguliwa. Kubwa ni kuwa, kama ilivyo pale bandarini Dar es Salaam, hata hapa hakuna vifaa vya kisasa vya kukagulia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunatoka nje na sitaki kuchukua taxi kwanza. Nataka tukapande daladala za huku. Zamani zikiitwa 'Chai Maharage' na zikiwa na ustaarabu wa mstari mmoja kukaa akina mama na mwingine wanaume. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naingia katika daladala ambalo urefu wake juu kweli ni adha kwetu warefu. Nakaribishwa kwa kujigonga kichwa juu ya bodi ya gari hili. Kisha nakaa na nagundua kuwa siku hizi hakuna tatizo kwa wanaume na wanawake kuchanganyika katika viti. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kizuri katika daladala hizi zina idadi maalum ya watu kukaa. Si kama Dar es Salaam ambapo abiria wanaswekwa humo bila kujali hata hali ya afya na usalama wao. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Safari inaanza na ninaanza kuitazama Zanzibar, nchi yenye majumba ya kifahali ufukweni wanakokaa vigogo na yenye vijumba vyenye adha katika maeneo ya watu duni. Kama kuna sehemu duniani unaweza kubaini maana ya matabaka na ukayaona kwa macho ni haya majumba ya Zanzibar, mazuri yanapendeza kweli na ni ya kifahari hasa, lakini ukienda upande wa pili wa kisiwa huko unakutana na picha nyingine. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Makazi ya watu duni yanakatisha tamaa kuyatazama na haya si majengo yaliyoachwa kwa ajili ya kumbukumbu za kitalii bali nyumba za watu duni ambao hawawezi kujenga makasri yenye nakshi!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;USIKU WA KWANZA ZANZIBAR&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Nimefika hapa ikiwa ni siku ya tatu ya sikukuu ya Idd El Hajj. Huku Zanzibar sherehe hizi hufanyika siku nne na mitaa kadhaa hufungwa kwa ajili ya shamrashamra hizi zinazofanyika hadi usiku wa manane. La kutisha ninalokabiliana nalo ni kukuta watoto wachanga na wa umri mdogo wakishiriki burudani za usiku kama vile hakuna sheria inayowalinda kuhusu kufika kwao katika burudani za watu wazima.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Upo mtaa unaitwa maguniani hapa, ni jirani na viwanja vya gofu na vile vya Gymkhana. Huku kuna kumbi zilizotengwa kwa magunia. Kila ukumbi unapiga aina yake ya muziki na tambua kuwa, kumbi hizi zimeshikana hivi na zipo kama kumi hivi katika eneo hili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna kelele kali sana, zinaweza kukupasuaa sikio! Shangaa katika kelele hizi nakuta watoto wa miaka mitatu na minne wakiwa wamelala majira haya ya saa nne katika majani nje ya kumbi hizi. Nauliza wenzangu nilioambatana nao, nao wanabaki kushangaa kuona hali hii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nazidi kutembea na kisha naamua kuingia katika moja ya kumbi hizi hasa hii inayocheza muziki wa taarabu. Fikra zangu awali ni kuwa humu nitakuta akina mama wazima wakiselebuka muziki huu. Ninayoyakuta ni tofauti na matarajio yangu; nakuta watoto wa miaka kama sita, saba, tisa na mkubwa nadhani humu ni miaka kumi na minane. Hawa wote unawakuta wamekumbatiana wanacheza taarabu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nashangaa kumtazama mtoto wa miaka sita akiwa na mwenzake wameshikana na kucheza muziki muda huu. Namtazama namna alivyomkumbatia mwenzake wa kike huku kakivuta kiuno chake katika mtindo mpya uitwao 'mgongo mgongo.' Hili ni jambo ninalolikuta Zanzibar na nadhani litabakia kufanyika hapa hapa Zanzibar maana nchi nyingine hakuna utamaduni huu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pembeni kuna vijana kadhaa wanapuliza bangi. Moshi ni mkali sana humu hali inayonifanya kushindwa kuvumilia. Nawaomba rafiki zangu kuondoka humu huku nikibaki na maswali kuhusu; kizazi hiki kijacho kitawezaje kuwa na fikra njema kama kinaachiwa mambo makubwa kuliko umri wao na pili, je Zanzibar haina sheria inayowabana watoto kuingia katika starehe za usiku? Vipi hii mibangi inayovutwa humu bila hata kukatazwa? Ni kweli Zanzibar imehalalisha uvutaji wa bangi? Lakini mbona niliwahi kusikia kuwa pombe ni haramu visiwani huku?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sheria za Marekani mtoto hawezi kununua pombe achilia mbali kuingia ukumbi wa starehe akiwa chini ya miaka 21. Namuuliza swali hili Jabir Idrissa mwandishi wa habari mwenye makazi yake Zanzibar na ananiambia kuwa, Zanzibar inazo sheria za kudhibiti hali hii lakini wanaopaswa kuzisimamia wameamua kuzisigina. Hata Tanzania Bara sheria hizi zimeanza kupuuzwa hasa Dar es Salaam ambapo siku hizi utakuta wazazi wakielekea katika vilabu vya pombe na watoto wao wadogo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Madhara ya matukio kama haya ni kutokuwa na kizazi kinachoweza kufikiri vema katika siku za usoni na pia kutokuwa makini shuleni kwa watoto wetu. Zaidi ni kuwa na kizazi kisichotambua mabaya na mazuri. Huku kuporomoka kwa malezi na athari zake ni kubwa ukitazama sasa hivi kuna magonjwa hatari kama ukimwi, matumizi ya dawa za kulevya nk, na vyote hivi vinaacha maswali mengi kuhusu nini utakuwa muonekano wa kizazi kijacho na yapi majaliwa yake!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MADUKANI NA SOKONI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bei za vitu Zanzibar ziko juu. Hali imebadilika na si kama Zanzibar ya zamani wakati ule kila mfanyabiashara wa bara akielekea huko kufanya manunuzi. Wafanyabiashara wa huku sasa wananunua bara. Zanzibar inaagiza kila zao la chakula kutoka nje. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kodi za uingizaji vitu Zanzibar zinakuwa juu sasa ukilinganisha na bara kufuatia bidhaa kukabiliwa na kodi za TRA na zile za Zanzibar. Mfano; yai moja sasa lauzwa sh500 huku chakula cha kawaida kama wali na samaki ni sh2500 katika maeneo ya kawaida kabisa yasiyo ya kitalii. Chipsi nusu na robo kuku ni sh2800 na zinaweza kupanda kutegemea na sehemu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tatizo la bidhaa kuwa juu linatokana na nchi kushindwa kuzalisha mazao ya chakula ndani. Ardhi inaotesha majani na nimeyakuta yakiwa ya kijani kabisa, lakini jitihada za kilimo ziko katika bahari ya sahau. Kuwepo kwa watalii nako kunachangia bei kuwa juu licha ya kuwa utalii hauwanufaishi moja kwa moja watu duni. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Zanzibar iko katika hatari ya kukosa kabisa namna ya kujiendesha kama anavyozungumza Katibu wa CUF Maalim Seif anaposema kuwa; "magari ya serikali inakuwa vigumu kuyaendesha kufuatia kukosa fedha za mafuta." Uchumi wa nchi hii unategemea sasa mkakati kutoka bara. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naibu Waziri Kiongozi wa Zanzibar na Waziri wa Habari Ali Juma Shamhuna anatoa hoja tofauti. Yeye anaeleza kuwa uchumi wa Zanzibar licha ya kuyumba lakini hauna athari inayotokana na matatizo ya tofauti za kisiasa kama ambavyo wengi wamekuwa wakisema. Kauli ya Shamhuna ukiichunguza sana utabaini namna isivyo na chembe ya ukweli, ni kauli iliyojikita zaidi katika siasa kuliko ukweli wa maisha na mazingira ya Zanzibar sasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;UWANJA WA NDEGE&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naamua kutembelea uwanja wa ndege wa hapa Zanzibar baada ya kupata taarifa kuwa kuna ndege nyingi za kimataifa, ndege kubwa zinazotua moja kwa moja hapa kutoka ughaibuni bila kupitia nchi nyingine. Ninapofika nakutana na abiria wengi wageni (watalii) wakichomwa jua kutokana na kukosa sehemu za kukaa wakati wanapotakiwa kujiandaa kuingia katika ndege. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naamua kutafuta kujua ni ndege za aina ipi zinaingia hapa na mwisho nagundua kuwa kuna ndege za moja kwa moja zinazofanya safari kutoka Ujerumani na kutua hapa, zinazotoka Italia na hata Afrika Kusini. Mfano siku ya Alhamis naambiwa kuna ndege kama sita za kimataifa zinazoingia na kutoka hapa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ninapoingia ndani natazama kuwa, hata hapa hakuna vifaa vya kisasa ambavyo vinaweza kutumika kukagulia mizigo. Natafuta mtu anayefanya kazi hapo na kumuuliza kuhusu ndege zinazoingia na abiria wanawezaje kutopoteza muda wao kwa ajili ya ukaguzi wa mizigo; ananiambia kuwa, kuna kipindi wanaweza kupita tu bila kuwatazama sana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa ninapata swali lingine kuhusu uwezekano wa uwanja huu kuingiza vitu ambavyo havikutarajiwa kuingia nchini. Uwanja huu unalalamikiwa kwa kuwa na njia mbovu ya kuendeshea ndege na pia jengo lake ni chakavu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jirani na uwanja huu nakutana na kijimgahawa kisichofanana na hadhi ya uwanja na wageni unaopokea. Nashindwa kufahamu haraka kwa nini serikali isiweze kuwa na hoteli ya hadhi ya kitalii hapa na nini kimefanya kuruhusu mgahawa huu wa hali duni kuwepo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika mgahawa huu nakuta pia watalii wamekaa baada ya kukosa viti katika sehemu ya kukaa kusubiri ndege zao. Uwiano wa mapato, ndege zinazoingia haufanani na hali ya uwanja huu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna sehemu inaonyesha ulegevu na ulegevu huu unaweza kutokana na kutotambua thamani ya uwanja huu katika kukuza uchumi au mtindo wa utendaji unaojali bora liende! Uwanja huu ni lulu ambayo inachezewa, siku si nyingi mashirika haya ya ndege yatasimamisha safari zake na Zanzibar kukosa watalii hawa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yote nayatazama katika fikra huku nikijiuliza swali kuwa, je, lazima safari iendelee kama alivyowahi kuhoji Profesa Euphrase Kezilahabi katika mashairi yake ya "Karibu Ndani?"&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;KUINGIA KWA MACHINGA&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Ninapita maeneo ya Darajani na mwenyeji wangu ambaye pia ni mwandishi wa habari wa gazeti hili anayeishi Zanzibar. Njiani tunakutana na vijana wakiwa wamebeba bidhaa zao kama walivyokuwa pale Kongo jijini Dar es Salaam. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwenyeji wangu ananieleza kuwa, sasa hivi kuna kundi kubwa la vijana limeivamia Zanzibar baada ya harakati za kufukuza machinga jijini Dar es Salaam. Wengi wa vijana hawa wanaishi zaidi ya kumi katika nyumba moja na hatari ya kundi hili ni kuongezeka kwa vitendo vya uhalifu, uvutaji bangi, utumiaji dawa za kulevya mambo ambayo hapo zamani hayakuwepo Zanzibar. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inawezekana pia kuwa katika siku zijazo utamaduni uliozoeleka hapo Zanzibar, usalama wa raia na wageni hasa watalii kupotea hali inayoweza pia kuchangia kudunisha sekta ya utalii Zanzibar. Kumbuka Zanzibar haina ajira mpya, mji unazidi kuwa duni, lakini hapa panaweza kuwa kweli sehemu bora kwa vijana wa bara kufanya maisha yenye manufaa? Kama wakikosa wanachotafuta, nini majaliwa ya vijana hawa hasa sasa ambapo serikali inawafukuza kufanya biashara bila kupanga nini wafanye?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;KUREJEA DAR ES SALAAM&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;Naamua kurejea sasa Dar es Salaam na jicho langu nalitupa tena katika njia za kuingilia bandarini. Wasiwasi wangu ni kuhusu wepesi wa kupita silaha, dawa za kulevya kutokana na ukweli kuwa Zanzibar haiwezi kabisa kulinda pwani zake na kudhibiti vitu vinavyoingia humo kinyume cha taratibu. Unaweza kuona urahisi huo maana hata sehemu halali za kupitia zina walakini katika ukaguzi na pia ukosefu wa vifaa vya ukaguzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hali mbaya ya kiuchumi Zanzibar inalifanya taifa hili kushindwa kupanga na kujiamulia mambo yake yenyewe. Kuna utegemezi mkubwa kwa Bara na nchi wahisani. Ninapofika sehemu ya kuingilia bandarini ninawaweka wageni weupe kama watano hivi mbele yangu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naona wanapigiwa mihuri katika pasi zao lakini kama ilivyo kwangu hakuna ukakaguzi wa mizigo yao kabla hawajaanza safari ya kwenda bara. Naona tunapita tu bila kukaguliwa na kisha tunaingia katika boti kuanza safari ya kuelekea Dar es Salaam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inapofika saa 12:00 jioni tunafika Dar es Salaam na hapa kama ilivyokuwa kwa Zanzibar hatukaguliwi mizigo yetu. Tunaingia katika nchi inayojivunia amani, nchi inayotangaza vita dhidi ya rushwa, vita dhidi ya dawa za kulevya; lakini nchi isiyotambua hasara ya kutolinda mipaka yake. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naanza kukumbuka maana ya Mwalimu Nyerere kutafuta muungano wa Tanganyika na Zanzibar; naona wazi maana ya Bara kuharibikiwa mambo yake mengi kama haitaweza kuisaidia Zanzibar kulinda mipaka yake. Hakuna ukaguzi hapa pia? Najiuliza sana swali hili maana siku hizi kuna mengi, kuna ugaidi na pia kuna kelele hapa zinazoropokwa tu kuhusu athari za dawa za kulevya! &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna watu wanafanya semina kuhusu athari za dawa hizi lakini hata siku moja hawazungumzii maeneo yanayoweza kuwa njia ya dawa hizi. Eneo moja sasa ni Zanzibar maana inawezekana kabisa ndege zinazoingia na pia uhuru uliopo katika uwanja wa ndege na bandari vikatumika kama njia za kuingizia visiwani na hata bara. Ninapovuka na kutoka nje ya bandari napumua na kisha nakumbuka kuandika makala hii jambo nililolifanya leo hapa.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-116875975012190764?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/116875975012190764/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=116875975012190764&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/116875975012190764'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/116875975012190764'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2007/01/zanzibar-kuna-mengi-usiyoyajua.html' title='&lt;strong&gt;Zanzibar: Kuna mengi usiyoyajua &lt;/strong&gt;'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-116634952361995509</id><published>2006-12-17T01:48:00.000-08:00</published><updated>2006-12-17T01:58:44.010-08:00</updated><title type='text'>UTATA WA RICHMOND KATIKA MATUKIO</title><content type='html'>KAMA uliwahi kusoma ripoti ya Trasparency International kuhusu mkataba wa IPTL basi waweza kupata majibu kadhaa katika tukio la kampuni ya Richmond iliyoingia Tanzania kuwekeza katika umeme. Kampuni hii ina mkono wa nani hadi ishindwe kutimiza makubaliano lakini iendelee kutazamwa tu? Je, hii ni IPTL nyingine iliyowekwa na viongozi wa serikali hii ukihusisha kuwa wapo waliokuwemo katika IPTL?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;TAZAMA SASA MATUKIO HAYA HAPA CHINI&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Februali 28, 2006:&lt;/strong&gt; Rais Jakaya Kikwete anatangaza mkakati wa kupata megawati 105 kutoka katika mitambo ya kukodi ya Ubungo na Tegeta.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Machi 31, 2006:&lt;/strong&gt; Rais anaeleza utaratibu wa kupata mitambo ya kukodisha umekamilika na uingizaji wa mitambo hiyo ungefanyika wiki chache zilizofuata baada ya kukamilisha taratibu za manunuzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Machi 31, 2006:&lt;/strong&gt; Rais anasema mitambo hii ya kutumia gesi ingefungwa baada ya miezi miwili hadi mitatu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Jumanne Juni 7, 2006:&lt;/strong&gt; TANESCO inatoa taarifa kwa umma kuhusu kuanza mgawo wa umeme. Wateja wanatangaziwa kukatiwa umeme kuanzia saa 1:00 asubuhi hadi saa 12:00 jioni kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa. Bwawa la Mtera siku hiyo lina mita 689.01 juu ya usawa wa bahari huku kina cha juu kikiwa 698.50. Kina hiki hakijawahi kutokea tangu kujengwa kwa bwawa hili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Juni 23, 2006:&lt;/strong&gt; Mkataba kati ya Serikali/Tanesco na kampuni ya Richmond Development unasainiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Jumatatu Agosti 8, 2006:&lt;/strong&gt; Bunge linachachamaa kuhusu utata wa mradi wa kuzalisha umeme wa gesi wa Mchuchuma kwa kumhusisha Waziri wa Viwanda na Bishara wakati huo, Nazir Karamagi kuwa ana mahusiano na mmiliki wa kampuni ya MMI inayomilikiwa na Shubash Patel na hivyo uhusiano wao kuathiri utendaji wa mradi huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Ijumaa Agosti 25, 2006:&lt;/strong&gt; Mtambo wa kuzalisha umeme Songas unaharibika na hivyo kuongeza makali zaidi ya umeme kufuatia kushindwa kuzalisha megawati 40. Mgawo unaongeza saa kuanzia saa 1.00 asubuhi hadi saa 5.00 usiku.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Jumanne Agosti 29, 2006:&lt;/strong&gt; Umeme unatangazwa kuwa hautakuwapo mchana tena kwa siku za Jumamosi na Jumapili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Jumatano Agosti 31, 2006:&lt;/strong&gt;  Serikali inasaini mkataba wa kuzalisha umeme kwa kutumia makaa ya mawe Kiwira na kampuni binafsi ya Kiwira Coal &amp; Power (KPC), kuzalisha megawati 200.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Septemba 14, 2006:&lt;/strong&gt; Mgawo wa umeme uliokuwa siku tano sasa unakuwa wiki nzima.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Septemba 15, 2006: &lt;/strong&gt;Tanesco inahusisha mgawo kwa sekta ya viwanda. Sasa viwanda vinakosa nishati hiyo kwa siku tatu kwa wiki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Septemba 29, 2006:&lt;/strong&gt; Waziri wa Nishati na Madini, Ibrahim Msabaha anatangaza kuwa kampuni ya Richmond kutoka Marekani itazalisha megawati 22.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Septemba 30, 2006: &lt;/strong&gt;Waziri wa Nishati na Madini, Ibrahim Msabaha anaeleza kuwa kampuni ya Richmond ingewasilisha mitambo yake na kuanza uzalishaji mwezi Oktoba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Oktoba 4, 2006:&lt;/strong&gt; Inatangazwa kuwa Richmond ingeanza kuzalisha umeme Oktoba 20.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Oktoba 8, 2006:&lt;/strong&gt; Jenereta za Richmond zinatangazwa kuwasili, lakini hakuna mafanikio ya jenereta hizo kufika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Oktoba 10, 2006:&lt;/strong&gt; Gazeti la "The Citizen" linaandika kuhusu utata wa kampuni ya Richmond kufuatia kutofahamika huko Texas Marekani ambako inaelezwa ndipo makao yake makuu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Oktoba 15, 2006:&lt;/strong&gt; Wakati utata kuhusu Richmond unaendelea, Rais Kikwete anapangua baraza lake la Mawaziri na kumuondoa Msabaha katika wizara ya Nishati na Madini na kumungiza Nizar Karamagi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Oktoba 20, 2006:&lt;/strong&gt; Richmond inakana kuvunja vipengele vya mkataba na Tanesco kufuatia kushindwa kuanza uzalishaji wa umeme. Hata hivyo taarifa inatolewa kuwa mitambo yake bado iko njiani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Oktoba 21, 2006:&lt;/strong&gt; Mitambo ya awali ya kuzalisha umeme ya kampuni ya Richmond inawasili uwanja wa JK Nyerere, Dar es Salaam.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Oktoba 27, 2006:&lt;/strong&gt; Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kinahoji juu ya usiri wa gharama za umeme wa kukodi utakaozalishwa na makampuni ya Richmond na Aggreko. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Oktoba 30, 2006:&lt;/strong&gt; Waziri Mkuu Edward Lowassa anawaomba wabunge wa CCM wasiibue hoja ya Richmond bungeni. Wabunge hao wanaitikia wito na kuliacha suala la Richmond katika utata usio na maelezo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Jioni Oktoba 30, 2006:&lt;/strong&gt; Awamu ya pili ya mitambo ya kuzalisha umeme ya kampuni ya Richmond inawasili uwanja wa JK Nyerere, Dar es Salaam.&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&lt;br /&gt;Novemba 19, 2006:&lt;/strong&gt; Wananchi wanalalama kuhusu utata wa uzalishaji umeme kutoka kampuni ya Richmond.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Novemba 23, 2006:&lt;/strong&gt; Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi anaeleza waandishi wa habari kuwa umeme wa Richmond ndio rahisi kuliko makampuni yote yanayozalisha umeme nchini. Hata hivyo haelezi kuhusu maana ya urahisi huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Novemba 24, 2006:&lt;/strong&gt; Waziri Karamagi anakana Richmond kuwa na mkono wa mtoto wa kigogo. Hata hivyo haelezi taarifa za kuwepo kwa mtoto wa kigogo katika umiliki wa Richmond amezipata wapi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Desemba 1, 2006:&lt;/strong&gt; Rais Kikwete anakwepa kuzungumzia uzembe wa kampuni ya Richmond licha ya kuwa taarifa za awali zinaonyesha kuwa hoja hiyo imo katka hotuba yake aliyotakiwa kuitoa siku ya maadhimisho ya siku ya ukimwi duniani, kitaifa ikiadhimishwa mjini Musoma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Desemba 10, 2006:&lt;/strong&gt; Richmond bado inazidi kushindwa kuingiza umeme katika gridi ya taifa licha ya Waziri Karamagi kuahidi kuwa ingefanya hivyo mwanzoni mwa mwezi Desemba.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Desemba 11, 2006:&lt;/strong&gt; Richmond inalalama kuwa Tanesco inawahujumu kwa kuwapatia gesi iliyochanganyikana na mchanga.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Desemba 12, 2006:&lt;/strong&gt; Richmond na Tanesco zinamuhusisha Mkemia Mkuu kuchunguza gesi iliyotolewa na Tanesco kwenda Richmond.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Desemba 15, 2006:&lt;/strong&gt; Bado umeme megawati 20 hazijazalishwa na magazeti ya Mwananchi na The Citizen yanaandika waliohusika kuandaa mkataba wa Richmond huku Rais akishauriwa kuingilia kati kuufuta lakini haonyeshio kufanya hivyo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-116634952361995509?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/116634952361995509/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=116634952361995509&amp;isPopup=true' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/116634952361995509'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/116634952361995509'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/12/utata-wa-richmond-katika-matukio.html' title='UTATA WA RICHMOND KATIKA MATUKIO'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-116425918952641901</id><published>2006-11-22T21:17:00.000-08:00</published><updated>2006-11-22T21:19:52.740-08:00</updated><title type='text'>Baadhi ya safari za Rais Jakaya Mrisho Kikwete nje ya nchi</title><content type='html'>HIZI ni baadhi ya safari za Rais wa Tanzania, bado sijaweka sawa kuhusu zile za Makamu wa Rais na Waziri Mkuu wake. Zitazame na kisha changia kwa ufahamu wako kuhusu faida na atthari zake. Kumbuka Rais na serikali yake hawajamaliza hata mwaka mmoja wakiwa madarakani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Januari 19-25, 2006 – Khartoum, Sudan kuhudhuria mkutano wa AU&lt;br /&gt;Machi 23, 2006- Ziara ya siku moja ya kiserikali kujitambulisha Kigali, Rwanda.&lt;br /&gt;Machi 22, 2006- Ziara ya siku moja kujitambulisha Kampala, Uganda.&lt;br /&gt;Machi 24, 2006 Ziara ya kiserikali kujitambulisha Nairobi, Kenya.&lt;br /&gt;Aprili 19-20, 2006 Ziara ya kujitambulisha Lesotho na Swaziland.&lt;br /&gt;Aprili 21-22 , 2006 Ziara ya kujitambulisha Maputo, Msumbiji.&lt;br /&gt;Aprili 28, 2006  - Ziara ya kujitambulisha Harare na Bulawayo, Zimbabwe.&lt;br /&gt;Aprili 6, 2006 – Ziara ya kujitambulisha Gaborone, Botswana.&lt;br /&gt;Aprili 10-12, 2006- Ziara ya kujitambulisha Widhoek, Namibia.&lt;br /&gt;Aprili 7-9, 2006 Ziara ya kikazi na kujitambulisha Pretoria, Afrika Kusini.&lt;br /&gt;Mei 12,2006  - Ziara ya kiserikali ya wiki mbili kwenda Uganda ambako alikaa Mei 13, Arabuni Mei 15, Ufaransa Mei 16-19 na Marekani Mei 21-26.&lt;br /&gt;Mei 31-Juni 3- Ziara ya kuhudhuria World Economic Forum, Capetown Afrika Kusini.&lt;br /&gt;Julai 4- 2006- kuhudhuria mkutano wa AU,Banjul Gambia &lt;br /&gt;Julai 10-32, 2006 Capetown Afrika Kusini , kuhudhuria mkutano wa viongozi wa serikali ulioandaliwa na kampuni ya Microsoft ya Marekani.&lt;br /&gt;Julai 20 – Kuhudhuria mkutano wa Leon Sullivan Summit Abuja, Nigeria.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Julai 21 -22, 2006 – kuchunguzwa afya Berlin Ujerumani.&lt;br /&gt;Agosti 19-20- Kuhudhuria mkutano wa SADC, Maseru, Lesotho.&lt;br /&gt;Agosti 21-22- Ziara ya kiserikali Luanda, Angola.&lt;br /&gt;Septemba 12- Havana Cuba maandalizi ya kikao cha NAM&lt;br /&gt;Septemba 15, 2006 Alipita Madrid, Hispania kwenye Uwanja wa Mpira- Real Madrid.&lt;br /&gt;Septemba 15 -18, 2006 Havana Cuba, Mkutano wa NAM.&lt;br /&gt;Septemba 19-25 - Kuhudhuria mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-116425918952641901?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/116425918952641901/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=116425918952641901&amp;isPopup=true' title='10 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/116425918952641901'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/116425918952641901'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/11/baadhi-ya-safari-za-rais-jakaya-mrisho.html' title='Baadhi ya safari za Rais Jakaya Mrisho Kikwete nje ya nchi'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>10</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-116090458734981436</id><published>2006-10-15T02:16:00.000-07:00</published><updated>2006-10-15T02:30:37.550-07:00</updated><title type='text'>HAPIBETHIDEI KASRILAMWANAZUO</title><content type='html'>TAREHE rasmi ya kuzaliwa gazeti Tando la Kasrilamwanazuo ni hii leo Oktoba 15. Lilianza awali na kisha maandishi ya kwanza kupotea. Hali hii ilitokana na uduni wa taaluma ya teknolojia hii. Kuna wengi naweza kuwashukuru kuweza kunipa mwanga wa kuweza kuingia katika mapambano haya ya fikra na uwezo wa kumiliki eneo langu na kulilima na kulipalilia nipendavyo huku nikitoa fursa kwa wavunaji kuvuna wapendavyo lakini kwa staha!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilipokuwa DARUSO kama Waziri Mkuu wa Serikali ya Wanafunzi nilipata changamoto kubwa, hatukuweza kuwa na mtndao wetu kwa kile kinachozungumzwa ukosefu wa fedha za kuuendesha. Dhana yetu ilikuwa kusaka malipo kwa watakaoandika na watakaoutunza mtandao huo. Lakini msemo wa kidole kimoja hakivunji chawa mbona unapata sulba kutokana na kutofaa hasa mimi ninapoweza kumiliki Gazeti Tando na kuliwekea taarifa mara kwa mara wakati pale chuoni wanafunzi wote ambao ni wanachama wa DARUSO kwa sifa ya uanafunzi wao wanashindwa kumiliki mtandao wa kuweka taarifa za chama chao?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nitapita hapo chuoni siku zijazo kujadili suala hili na ikiwezekana kuanza kuvua wanavyuo mbalimbali kuingia katika ukurasa huu wa kutunza kumbukumbu zao kwa ajili yao na jamii inayowazunguka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika mwaka huu mmoja nilioutimiza nina mengi ya kufafanua lakini kubwa ni kushindwa kufanikisha matakwa ya wasomaji wangu hali inayonifanya kuwaza sasa kutanua ukurasa na kufungua kitu kingine kipya siku zijazo. Kuna wengi wanalilia kukosa maji ya kunywa lakini mimi nalia na ukame wa mawazo katika ukuzaji wa fikra na mtazamo wangu na jamii yangu. Ninaamini Afrika ni taifa chimbuko la mtu mweusi na ni sehemu hiyo pekee mtu huyu atapata faraja ya kujivunia kama akipenda. Ninaamini kila sera inayotangaza kuungana kwa watu maana sishabikii utengano! Nachukia wanaotumia muungano kuneemesha ubinafsi wao na kikubwa nawachukia viongozi wa Afrika wasio na mtazamo kuwa Afrika inaweza kusimama yenyewe na ikatembea bila kujipendekeza kusaka misaada na mikopo inayodhalilisha utu wetu na kisha kuliweka rehani bara letu tukufu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naomba nisihutubu sasa nimezaliwa na ninatembea kama hujathibitisha soma utangulizi wa hutba hii katika utungo ulio hapo chini. Nikusalimu Mama yangu Esther Makene "Mama Tazama mwanao" Nikuamkue kaka Mwalimu Benjamin Makene, "Komredi msalimu Mwalimu Mwenzio  Nyerere, nakuamkua Mzee Mwalimu Benard Makene, "Unyonge wetu ndio kikwazo cha kufanikiwa kwetu, tusiukumbatie!" Nimalize na wanazuoni wote "Hakuna chakula bora kupata kupatikana katika milki zote za dunia kama fikra! Kuleni fikra mtajaza ulimwengu wenye weledi na wenye vipaji razini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwenyezi Mola tazama na bariki kazi za mwanao!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Komredi Boniphace Makene&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-116090458734981436?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/116090458734981436/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=116090458734981436&amp;isPopup=true' title='19 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/116090458734981436'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/116090458734981436'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/10/hapibethidei-kasrilamwanazuo.html' title='HAPIBETHIDEI KASRILAMWANAZUO'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>19</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-116081907376755492</id><published>2006-10-14T02:32:00.000-07:00</published><updated>2006-10-14T02:44:34.176-07:00</updated><title type='text'>NAMKE NDIPO NISEME?</title><content type='html'>NAMKE ndipo niseme&lt;br /&gt;Nishike jembe nilime&lt;br /&gt;Mdomo nisiachame&lt;br /&gt;Na macho yasitazame?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilie nikichekea&lt;br /&gt;Watu wasijejulia&lt;br /&gt;Nicheke nikililia&lt;br /&gt;Umati furahishia?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nandike bila somea&lt;br /&gt;Nikopi walosemea&lt;br /&gt;Nisome walofutia&lt;br /&gt;Ukweli taupatia?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nikue bila julia&lt;br /&gt;Nilale bila otea&lt;br /&gt;Nisene bila wazia&lt;br /&gt;Hayawani niitiya?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utoto lini achia&lt;br /&gt;Ukubwa lini fikia&lt;br /&gt;Kumbukumbu kujulia&lt;br /&gt;Muhimu kwa walofia?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni mwaka naukatia&lt;br /&gt;Langu tando fungulia&lt;br /&gt;Mwadhani litadumia&lt;br /&gt;Mawimbi kuyashindia?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sitaki kujisifia&lt;br /&gt;Mtoto sijatembea&lt;br /&gt;Ni lini nitasemea&lt;br /&gt;Siku nitapofilia?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nyamongo kalizaliwa&lt;br /&gt;Mwisenge akapitia&lt;br /&gt;Mabui akaishia&lt;br /&gt;Na Nyasho kitembeleya!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kienda Ihungo Piya&lt;br /&gt;Matoke kutafuniya&lt;br /&gt;Nadanda akatimkiya&lt;br /&gt;Mkwawa akihamiya.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kikafika Dasalama&lt;br /&gt;Tiesijii someya&lt;br /&gt;Kalamu kikashikiya&lt;br /&gt;Mlimani kupandiya!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kisha hitimu ilimu&lt;br /&gt;Na kupata unajimu&lt;br /&gt;Amerikani jihimu&lt;br /&gt;Mataifa jifyunziya!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huko kikaanzishiya&lt;br /&gt;Gazeti Tando la umma&lt;br /&gt;Kasri kaliitiya&lt;br /&gt;Mwaka moja wapitiya!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nini anachotakiya&lt;br /&gt;Kama si kulaliya&lt;br /&gt;Siku ajapo filiya&lt;br /&gt;Mwili tu poteleya!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-116081907376755492?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/116081907376755492/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=116081907376755492&amp;isPopup=true' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/116081907376755492'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/116081907376755492'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/10/namke-ndipo-niseme.html' title='NAMKE NDIPO NISEME?'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-115994568039109383</id><published>2006-10-04T00:01:00.000-07:00</published><updated>2006-10-04T00:08:27.396-07:00</updated><title type='text'>MSIMAMO WA KASRI KUHUSU NYUMBA ZA SERIKALI</title><content type='html'>NIMEONA nidokeze baada ya wana Kasri Kutaka kufahamu kama msimamo wetu kuhusu nyumba za serikali umebadilika baada ya Rais Kikwete kutangaza kuwa atarejesha baadhi ya nyumba zilizouzwa! Hapana, ndugu bado naamini Kikwete ana jukumu la kurejesha nyumba zote na kama ataona tabu basi zile zenye hadhi ya kuishia na vyeo vya kuu vya wilaya! Hapa nahusisha wakuu wa wilaya, wakurugezi wao na wengine hadi nafasi ya rais! Hawa watu wanaweza kujenga nyumba zao na nafasi zao zinawawezesha kupata viwanja popote watakapo hivyo warejeshe nyumba za umma! Zoezi zima la uuzaji lilinuka uchafu wa rushwa na pia lililenga kunufaisha watu kutokana na nafasi zao. Kunahitajika kurejesha nyumba hizo zote na kisha kuomba radhi umma kutokana na tukio hilo ikiwa ni pamoja na kuwawajibisha waliohusika kushswishi tukio hili hasa wale walioanzisha hoja pale Leaders Club!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Rais bado msimamo wangu kuhusu nyumba sijaubadili nitafurahi kusikia siku umetanza kurejesha kwanza yako maana siku hiyo itakuwa ni nuru ya kufuata za wengine wakubwa! Mkumbuke Sokoine katika hili na ukimtazama sana unaweza kuanza kujikana wewe na kufungua safari hii. Kumbuka raia maskini tuko nyuma yako katika hoja hii na hakuna kigogo wa kuweza kukudhuru baada ya kutimiza kero hii inayobaki vichwani mwetu siku hadi siku.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-115994568039109383?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/115994568039109383/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=115994568039109383&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/115994568039109383'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/115994568039109383'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/10/msimamo-wa-kasri-kuhusu-nyumba-za.html' title='MSIMAMO WA KASRI KUHUSU NYUMBA ZA SERIKALI'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-115971950239252831</id><published>2006-10-01T09:17:00.000-07:00</published><updated>2006-10-01T09:18:22.730-07:00</updated><title type='text'>Bodi ya mikopo imesahau sheria iliyoiunda?</title><content type='html'>MWAKA 2005 Wizara ya Sayansi, Teknolojia na Elimu ya&lt;br /&gt;Juu iliunmda tume ya kuchunguza vyanzo vya migomo&lt;br /&gt;katika Vyuo vya Elimu ya juu nchini. Tume hiyo&lt;br /&gt;ilifanya kazi ila inaonyesha kuwa ripoti ya tume hiyo&lt;br /&gt;haikuweza kusomwa na hata watendaji wa Wizara hiyo!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hawakuisoma ripoti hiyo ambayo pia haikuibua masuala&lt;br /&gt;mapya! Kama ilitokea waliisoma, basi waliipuuza na&lt;br /&gt;huenda waliitupa na kuikanyaga! Hawajaisoma hawa,&lt;br /&gt;najua kabisa maana nadhani tume hii iliundwa tu kwa&lt;br /&gt;lengo la kutafutiana ulaji! &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tume nyingi zimeumdwa ili kuwapa ndugu fulani&lt;br /&gt;ulaji na hili linatokana na kudharauliwa ripoti zake&lt;br /&gt;baada ya kukamilisha kazi ya kuzikusanya. Awamu ya&lt;br /&gt;tatu ni mafano tosha kuhusu matumizi hasi ya&lt;br /&gt;kapendekezo ya tume zlizowahi kuundwa katika awamu&lt;br /&gt;hiyo, Tume ya Migomo Vyuo vya Juu ikiwa mojawapo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tume ya kuchunguza vyanzo vya migomo katika vyuo vya&lt;br /&gt;elimu ya juu nchini ilitoa pendekezo la kuwataka&lt;br /&gt;wanafunzi katika vyuo vya elimu ya juu kutojiusisha na&lt;br /&gt;siasa. Ilielezwa kuwa vyama vya siasa vinatumiwa&lt;br /&gt;kuhamasisha migomo katika vyuo vya elimu ya juu na&lt;br /&gt;kwamba kama wanafunzi hawataruhusiwa kujiunga na vyama&lt;br /&gt;vya siasa na kutumia haki yao ya kidemokrasia basi&lt;br /&gt;migomo itaingia katika bahari ya sahau.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tume hii haikutaja wazi kuwa ni chama tawala&lt;br /&gt;kinachosajili wanachama kila kukicha katika vyuo vya&lt;br /&gt;elimu ya juu huku kikiwa na matawi yake na makada wake&lt;br /&gt;kila chuo. Ukitazama sana hoja hii unagundua madhara&lt;br /&gt;ya tume zinazoanza kazi zikiwa na majibu mezani maana&lt;br /&gt;suala hili lilifikishwa na waziri wa wizara hiyo&lt;br /&gt;Bungeni likitakiwa kuundiwa sheria lakini masuala&lt;br /&gt;muhimu kama; &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Posho za wanafunzi, sifa za kukopeshwa, wakati wa&lt;br /&gt;kupokea mikopo, hali mbaya na duni ya mazingira ya&lt;br /&gt;wanafunzi vyuoni, idadi kubwa ya wanafunzi katika&lt;br /&gt;madarasa, upungufu wa wahadhir, upungufu wa vitabu,&lt;br /&gt;mitaala iliyopitwa na wakati na mengine kemkem&lt;br /&gt;hayakupatwa kupewa kipaumbele sana hali inayosababisha&lt;br /&gt;matatizo ya migomo kuendelea!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuundwa kwa Bodi ya mikopo kulionekana kuwa ni&lt;br /&gt;suluhisho la kuwaondolea anafunzi dhana ya kusomeshwa&lt;br /&gt;na serikali ili wasiwe na kigezo cha kuibana serikali&lt;br /&gt;pale wanapokosa au kuchelerweshewa fedha. Tume ya&lt;br /&gt;mikopo ililenga pia kuwabana wanafunzi/ wakopaji&lt;br /&gt;kutojihusisha na utumiaji wa nguvu au migomo katika&lt;br /&gt;kuomba mikopo hiyo hata pale inapopatikana kwa tabu&lt;br /&gt;kama ilivyo sasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuundwa kwa Bodi hii hakukuzingatia tatizo la moto&lt;br /&gt;mkali uliowashwa baada ya sasa wanafunzi wote wa vyuo&lt;br /&gt;vya elimu ya juu ambao zamani walitengwa kutokana na&lt;br /&gt;wengine kutopata udhamini wa serikali, kuwa&lt;br /&gt;wanaunganishwa na hivyo kuwa na adui mmoja yaani&lt;br /&gt;serikali pale wanapocheleweshewa fedha zao au webzao&lt;br /&gt;wanaponyimwa fedha hizo!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa ujumla kuundwa kwa Bodi ya Mikopo kulitakiwa&lt;br /&gt;kuambatana na mikakati makini ili kuwafanya waombaji&lt;br /&gt;wapate wanachohitaji bila kuwepo malalamiko ya&lt;br /&gt;kukosekana kwa mikopo hiyo na pia kuwafikia wakopaji&lt;br /&gt;kwa wakati. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika mapendekezo ya tume ya iliyokuwa ikichunguza&lt;br /&gt;vyanzo vya migomo katika vyuo vya elimu ya juu,&lt;br /&gt;ilielezwa kuwa tatizo la ucheleweshaji wa posho au&lt;br /&gt;kutotolewa kwa posho (sasa mikopo) kwa baadhi ya&lt;br /&gt;wanafunzi lilikuwa ni tatizo kubwa la migomo. Bodi ya&lt;br /&gt;Mikopo ilionekana kuwa suluhu la tatizo hili baada ya&lt;br /&gt;wafanyakazi wa Wizara kuonekana kuwa na majukumu zaidi&lt;br /&gt;ya kusghughulikia posho za wanafunzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni wazi kuwa mapendekezo ya tume hiyo hayakufanyiwa&lt;br /&gt;kazi. Kutiokana na sababu hii bado keron za vijana&lt;br /&gt;wetu wanaosoma katika vyuo vya elimu ya juu ziko pale&lt;br /&gt;pale.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inachosha, inasikitisha na inaumiza kuona vijana hawa&lt;br /&gt;wakiacha jukumu lao la msingi la kusoma na badala yake&lt;br /&gt;kuanza kuandamana kudai posho. Hili ni tatizo&lt;br /&gt;linalotokana na uzembe wa pande nyingi na kuu ni&lt;br /&gt;tawala za vyuo, wizara na Bodi yenyewe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tatizo la wanafunzi ni dogo na lingeweza kutatuliwa&lt;br /&gt;kwa kutoa taarifa mapema kwa wanafunzi wanaofikia&lt;br /&gt;vigezo vya kupata mikopo na wale wasiofikia vigezo.&lt;br /&gt;Bodi ingetamka siku baada ya kupokea maombi kuhusu&lt;br /&gt;kutoa majibu kwa muombaji kama amekubaliwa au la!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ikumbukwe kuwa waombaji wanalipa fedha za kupelekea&lt;br /&gt;maombi yao. Fedha hizi si mradi wa Bodi bali&lt;br /&gt;zilitakiwa kutumika kwa ajili pia ya mawasiliano kati&lt;br /&gt;ya muombaji na Bodi kabla hata waombaji hawajaanza&lt;br /&gt;safari ya kwenda katika vyuo walivyochaguliwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Migomo ukiongezea na mazingira magumu yanayowakabili&lt;br /&gt;wanafunzi hapa nchini ni sababu nyingine inayochangia&lt;br /&gt;kuipua wahitimu chapwa! Ni sababu nyingine ya kuandaa&lt;br /&gt;wapenda rushwa na wezi kutokana na wahitimu wengi&lt;br /&gt;kuamini kuwa, hali ngumu inayowakabili katika vyuo&lt;br /&gt;inatatuliwa pale wanapohitimu na kisha kupata nafasi&lt;br /&gt;katika sekta mbalimbali, na hivyo tena kutumia nafasi&lt;br /&gt;zao kwa manufaa yao baada ya kutaabika sana wakati wa&lt;br /&gt;kusoma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tabu mpya inayoambatana na shaka kwa wanafunzi sasa&lt;br /&gt;inatokana na kauli ya Waziri Peter Msola. Waziri huyu&lt;br /&gt;alikiuka sheria iliyopitishwa na Bunge inayotoa&lt;br /&gt;mamlaka ya kuanzishwa kwa Bodi ya Mikopo nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kukiuka kwa waziri huyu kunatokana na yeye kuweka&lt;br /&gt;vigezo vyake vilivyo kinyume na katiba ya nchi hasa&lt;br /&gt;kipengele cha haki ya elimu na pia sheria yenyewe&lt;br /&gt;isiyofafanua kuhusu kigezo cha madaraja ya mhitimu&lt;br /&gt;kutumika wakati wa kuomba mikopo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama nchi yetu ingekuwa na mfumo mzuri wa sheria&lt;br /&gt;sambamba na watu wake kutambua umuhimu wa kutumia&lt;br /&gt;mahakama kupata haki zao; basi waziri Msola angekuwa&lt;br /&gt;keshabuluzwa kortini na wanafunzi wenye sifa za kupata&lt;br /&gt;mikopo hiyo kama ilivyobainishwa na sheria ya Bunge&lt;br /&gt;lakini wakakosa kutokana na kukosa madaraja ya kwanza&lt;br /&gt;na ya pili kwa wasichana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sifa kubwa zinazobainishwa na sheria ya Mikopo ni;&lt;br /&gt;mwombaji awe raia wa Tanzania, awe amedahiliwa katika&lt;br /&gt;chuo chochote na asiwe na uwezo wa kujitoleza&lt;br /&gt;kujisomesha.Sifa hizo hazibagui aina ya taaluma&lt;br /&gt;anayotaka mkopaji wala chuo anachojiunga. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Suala la Chuo na aina ya masomo kama ambavyo&lt;br /&gt;linatumiwa sasa na Waziri Msola ni kigezo kingine&lt;br /&gt;kinachopingana na sheria ya mikopo. Ni kigezo pia&lt;br /&gt;kinachokiuka misingi ya Katiba na kinaweza kuhojiwa&lt;br /&gt;mahakamani na kupata tafsiri nzuri tu itakayobainisha&lt;br /&gt;uduni wa kuielewa sheria hiyo kunakotumiwa na waziri&lt;br /&gt;Msola.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kazi ya muhimu ya Bodi ni kutathimini maombi ya&lt;br /&gt;mwanafunzi na kutazama kama ana sifa za kupewa mkopo.&lt;br /&gt;Suala la mwanafunzi huyo aliombaje udahili katika chuo&lt;br /&gt;si suala la Bodi. Bodi haina mahusiano na vyuo kuhusu&lt;br /&gt;sifa za wanafunzi wapi wajiunge na vyuo hivyo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bodi ina kazi ya kupokea maombi ya mikopo na kutoa&lt;br /&gt;mikopo huku ikizingatia wahitaji kuwa hawatoki katika&lt;br /&gt;familia zenye uwezo wa kuwasomesha,(hiki ni kigezo cha&lt;br /&gt;kwanza) na pili wamepata udahili katika chuo husika!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwenyekiti wa Bodi ya Mikopo na Mbunge wa Musoma&lt;br /&gt;Vijijini, Nilmud Mkono; naye licha ya kuwa Mwanasheria&lt;br /&gt;amejiingiza katika kuongeza utata wa kutotambua&lt;br /&gt;majukumu ya Bodi anayoiongoza. Ameshindwa kufahamu&lt;br /&gt;kuwa kila mwananchi ana haki ya kukopa katika Bodi&lt;br /&gt;hiyo ilimradi atimize vigezo!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kitendo cha Bodi kuanza kubagua nani akopeshwe na nani&lt;br /&gt;aachwe kinapingana na sababu ya msingi ya kuanzishwa&lt;br /&gt;kwa Bodi ya Mikopo. Sababu ilikuwa kutafuta usawa kwa&lt;br /&gt;wanafunzi wa vyuo vya serikali na wale wa vyuo vya&lt;br /&gt;binafasi maana wote ni wananchi wa Tanzania na&lt;br /&gt;wanapohitimu hutoa ujuzi wao kwa nchi bila kubagua.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kigezo hicho kilitazama pia aina ya wanafunzi&lt;br /&gt;wanaodahiliwa katika vyuo vya binafsi hasa kigezo cha&lt;br /&gt;sifa za kujiunga. Vyuo vya serikali havikuweza kumudu&lt;br /&gt;kuchukua wanafunzi wote. Kutokana  na hali hii&lt;br /&gt;wanafunzi wengi walikosa nafasi na hii ikawa&lt;br /&gt;changamoto ya vyuo binafsi kuongeza udahili ili&lt;br /&gt;kupunguza idadi ya wanafunzi wanaokosa nafasi katika&lt;br /&gt;vyuo vya serikali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kauli ya Mkono kusuhu wanafunzi waliogoma katika Chuo&lt;br /&gt;Kikuu Mlimani kuwa ni wahuni inatia wasiwasi kuhusu&lt;br /&gt;yeye kufahamu watu anaosimamia kuwatumikia katika Bodi&lt;br /&gt;hiyo. Ni kauli hii inayombaini Mkono kuwa naye hajui&lt;br /&gt;vema kuhusu yupi mwenye sifa ya kuwa mteja wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna mengi yanaweza kujadiliwa hapa lakini hasa suala&lt;br /&gt;la Bodi kuingilia udahili wa aina ya wanafunzi badala&lt;br /&gt;ya kuishia kutoa mikopo kutokana na mahitaji&lt;br /&gt;linatakiwa kutazamwa kwa upana sana. Si busara&lt;br /&gt;wanafunzi kuandamana na kugoma kila mara na mogomo&lt;br /&gt;kamwe haiwezi kuwa suluhisho la matatizo ya wanafunzi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Migomo mingi inatokana na uzembe au kutotambua&lt;br /&gt;majukumu na wajibu wa baadhi ya watendaji wa umma.&lt;br /&gt;Bodi ya mikopo kabla haijaanza kupambana na mtihani wa&lt;br /&gt;kufatilia urejeshaji wa mikopo itazame utatuzi wa&lt;br /&gt;tatizo hili kwanza. Kama kuna udhaifu unaotokana na&lt;br /&gt;serikali kuchelewa kuidhinisha fedha uelezwe kuliko&lt;br /&gt;kuwaumiza wanafunzi ambao wanakopa huku wakitarajia&lt;br /&gt;kurejesha mikopo hiyo baadaye.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Athari ya migomo ni kubwa na kwa taifa kama Tanzania&lt;br /&gt;inachukua miaka mingi kuipooza athari hiyo hata kama&lt;br /&gt;haitazamiki. Bodi ya Mikopo na Wizara nionavyo&lt;br /&gt;hazitambui majukumu yake au haziko makini kujua nini&lt;br /&gt;kizungumzike wapi na namna ipi itumike kutatua&lt;br /&gt;matatizo ya ugawaji fungu kidogo lilolopo ikiwa&lt;br /&gt;wahitaji ni wengi. Mbinu maridhawa ni kukaa na wadau&lt;br /&gt;wa elimu na hawa walengwa (wanafunzi) ili kujiwekea&lt;br /&gt;vigezo na utaratibu wa uendeshaji wa Bodi hii la sivyo&lt;br /&gt;tusubiri migomo ya wanafunzi wa vyuo vyote vya elimu&lt;br /&gt;ya juu nchini.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-115971950239252831?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/115971950239252831/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=115971950239252831&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/115971950239252831'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/115971950239252831'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/10/bodi-ya-mikopo-imesahau-sheria.html' title='Bodi ya mikopo imesahau sheria iliyoiunda?'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-115765469662700633</id><published>2006-09-07T11:44:00.000-07:00</published><updated>2006-09-07T11:44:57.126-07:00</updated><title type='text'>Mikopo elimu ya Juu na falsafa ya aliyenacho!</title><content type='html'>LEO hii nimepata fursa ya kupitia picha zangu za&lt;br /&gt;zamani. Mkononi nimeifikia hii niliyoipiga Bungeni&lt;br /&gt;Dodoma mwaka 2005. Tumekaa katika mgahawa wa Bunge&lt;br /&gt;sehemu hii ya ukumbi wa zamani ambao wiki hii&lt;br /&gt;umebatizwa jina jipya. Unaitwa ukumbi wa Msekwa ikiwa&lt;br /&gt;ni heshima ya Spika huyu aliyekalia kiti hiki kwa&lt;br /&gt;miaka na kisha kubwagwa katika uchaguzi uliofanyika&lt;br /&gt;mapema mwaka huu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inawezekana Msekwa amepakwa mafuta kwa mgongo wa bia.&lt;br /&gt;Siamini kama heshima ya ukumbi huu ilipaswa kwenda&lt;br /&gt;kwake kabla ya Spika mtangulizi Adam Sapi Mkwawa.&lt;br /&gt;Ukitazama sana utagundua geresha na kebehi hasa kwa&lt;br /&gt;wabunge hawa ambao waliamua kwa dhati kumuweka&lt;br /&gt;kandobaada ya yeye kung'ang'ania kutokustaafu kama&lt;br /&gt;alivyowahi kuahidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Picha niliyoishika inanipa hasira, inanitia huzuni na&lt;br /&gt;tena inaninifungua fikra. Nakumbuka msemo wa Kiswahili&lt;br /&gt;ninaoupinga sana lakini hapa nitautumia, "mtumikie&lt;br /&gt;kafiri upate mradi wako!"&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Msemo huu nimeupinga mara nyingi kutokana na kuwa&lt;br /&gt;unawaathiri maskini na wasio na uwezo kwa kuwafanya&lt;br /&gt;kujijazia fikra za unyonge dhidi ya tabaka tajiri na&lt;br /&gt;tawala. Msemo huu una walakini hasa ukizingatia kuwa&lt;br /&gt;hauzungumzi kuhusu muda  utakaotumika katika&lt;br /&gt;kumtumikia kafiri. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ubaya mwingine unaojiibua katika msemo huu ni&lt;br /&gt;kuwa,unawafanya maskini watumwa wa matajiri na unatoa&lt;br /&gt;fikra kuwa ni haki kunyanyaswa kwa kuwa tu unatafuta&lt;br /&gt;maisha bora! Misemo mingi ya Kiswahili inaleta hali&lt;br /&gt;dunishi ukiitumia bila kuitathimni. Profesa Zakaria&lt;br /&gt;Mochiwa (mwenyekiti wa Baraza la Kiswahili Tanzania)&lt;br /&gt;aliwahi kuandika kitabu na kukipa jina la "Mvumilivu&lt;br /&gt;hula mbovu" akipingana na msemo mwingine usemao kuhusu&lt;br /&gt;mvumilivu kula mbivu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndugu msomaji nikurejeshe katika picha hii iliyopo&lt;br /&gt;mkononi kwangu. Nikuonyeshe waliopo hapa; tazama vema&lt;br /&gt;maana yupo Dk. Pius Ng'wandu (Waziri wa Sayansi,&lt;br /&gt;Teknolojia na Elimu ya Juu awamu ya tatu), yupo Aziza&lt;br /&gt;Sleyum Ally (Mbunge wa viti maalum CCM, Vijana na sasa&lt;br /&gt;Viti Maalum Tabora), kuna binti huyu anaitwa Annet&lt;br /&gt;Sisya, yupo Kiomoni Kibamba, namuona Andendekisye&lt;br /&gt;Christopher na mimi. (watatu sisi wawakilishi wa&lt;br /&gt;serikali ya wanafunzi Chuo Kikuu Dar es Salaam).&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tumefika hapa Bungeni kukutana na waziri Ng'wandu ili&lt;br /&gt;kutoa mtazamo wetu kuhusu utata wa inayoitwa sasa Bodi&lt;br /&gt;ya Mikopo. Hiki ni kipindi kabla sheria ya kuundwa kwa&lt;br /&gt;Bodi haijapitishwa ambapo ilipitishwa baadaye siku&lt;br /&gt;mbili zilizofuata baada ya siku tuliyopiga picha hii.&lt;br /&gt;Tumejipanga hasa na hoja lakini Ng'wandu anazipangua&lt;br /&gt;nyingine ambazo wakati huo naona zina mantiki lakini&lt;br /&gt;umma niliouwakilisha wakati huo usingependa&lt;br /&gt;kuzisikiliza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunamweleza Ng'wandu kuwa mikopo hii isiwe na urasimu&lt;br /&gt;na badala yake itolewe tu kwa kila mwanafunzi&lt;br /&gt;aliyefaulu vizuri. Nchini kwetu hapa unapozungumzia&lt;br /&gt;kufaulu vizuri mara kwa mara unazungumzia wanafunzi&lt;br /&gt;wanaojiunga na Chuo Kikuu Dar es Salaam. Tunaona&lt;br /&gt;tumefikisha ujumbe safi lakini Ng'wandu anatoa hoja&lt;br /&gt;nzito hasa kuhusu namna na nani anayeweza kufaulu&lt;br /&gt;vema.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ng'wandu anasema; "katika Tanzania ya sasa ni watoto&lt;br /&gt;wetu sisi (anamaanisha yeye na watu wa daraja&lt;br /&gt;lake)wanaoweza kufaulu vizuri. Ukitazama sasa hivi&lt;br /&gt;wanafunzi wanaotoka shule za binafsi wanafaulu vizuri&lt;br /&gt;mitihani yao ya taifa kuliko wanaotokea shule za&lt;br /&gt;serikali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Kama tutatoa mikopo kwa kutazama kufaulu basi lengo&lt;br /&gt;la kuwasaidia wenye shida halitafikiwa. Tutakuwa&lt;br /&gt;tumempatia tajiri fedha na kumtupa maskini anayehitaji&lt;br /&gt;msaada," anasema Ng'wandu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mfumo wa elimu yetu umemtenga mototo wa maskinina&lt;br /&gt;umejenga mazingira magumu kwake kuweza kufaulu. Nafasi&lt;br /&gt;za mtoto huyu kuweza kupenya na kupata maisha ya&lt;br /&gt;ahueni zimepungua, hakuna ajira kama zamani zilizoweza&lt;br /&gt;kuwachukua watoto wanaofaulu madaraja ya tatu na ne&lt;br /&gt;ambao wengi ni hawa wa maskini wanaoshindwa kufaulu&lt;br /&gt;kutiokana na mazingira yaliyo nje ya uwezo wao. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Shule anazosoma mtoto huyu hazina walimu na kama wapo&lt;br /&gt;hawafundishi vema. Mtoto huyu hukatiza masomo kutokana&lt;br /&gt;na kukosa karo ama kutofaulu kutokana na kukosa uwezo&lt;br /&gt;wa kulipia masomo ya ziada maarifu kama Tuisheni. Pia&lt;br /&gt;huduma nyingine kama chakula, mavazi na vitabu ni&lt;br /&gt;vikwazo kwa jamii ya maskini hali inayodunisha kundi&lt;br /&gt;hili pia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtoto wa tajiri au atokaye katika familia yenye kipato&lt;br /&gt;cha kati anayo nafasi kubwa ya kufaulu na kupata&lt;br /&gt;daraja zuri. Ni huyu ambaye sasa Rais wake&lt;br /&gt;aliyemchagua hivi karibuni anayemzungumzia na kumapa&lt;br /&gt;nafasi nzuri ya kubakia kileleni hasa baada ya kupata&lt;br /&gt;elimu hadi ya juu. Ni huyu ambaye sasa atapata mkopo&lt;br /&gt;wa kusoma kwani atakuwa amevuka sifa za serikali&lt;br /&gt;badala ya sifa za vyuo ambavyo ndivyo vinafahamu nani&lt;br /&gt;mwenye haki ya kujiunga na chuo na yupi hafai.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa mara nyingine tena serikali inajionyesha namna&lt;br /&gt;inavyoweza kuingilia na kuathiri teuzi za wanafunzi&lt;br /&gt;katika vyuo maana kuna vyuo vingi vitakaa kuwapa&lt;br /&gt;nafasi wasiopata madaraja haya ya kwanza kwa kuwa&lt;br /&gt;vinatambua maisha ya watanznaia wengi kuwa hawataweza&lt;br /&gt;kuwasomesha watoto wao bila msaada wa serikali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni mara nyingine tena katika kipindi cha mwezi mmoja&lt;br /&gt;ambapo rais Kikwete anaonyesha kusahau wananchi&lt;br /&gt;anaowawakilisha au kukosa kutambua na kuthamini kuwa&lt;br /&gt;kioa jambo lina wataalam wake ambao wanaweza&lt;br /&gt;kulizungumzia vema kuliko yeye. Kuwa rais si maana ya&lt;br /&gt;kuzungumzia kila jambo, suala la mikopo lingeweza&lt;br /&gt;kuzungumzwa vema na bodi ya mikopo kuliko serikali. Ni&lt;br /&gt;bodi hii inayoweza kufahamu nani mhitaji na nani&lt;br /&gt;asaidiwe vipi. Ni bodi hii inayotambua nani ana unafuu&lt;br /&gt;na inaweza kuweka mikakati ya kusaidia kulingana na&lt;br /&gt;mahitaji hata kama kiasi kilichopo cha fedha ni&lt;br /&gt;kidogo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kauli ya Rais inafuatana na muendelezo wa Waziri wa&lt;br /&gt;Sayansi, Teknolojia na Elimu ya Juu ambaye pia amepata&lt;br /&gt;kukaa na wanafunzi akiwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha&lt;br /&gt;Kilimo Sokoine, Profesa Peter Msola. Hata Waziri huyu&lt;br /&gt;naye anashindwa kufahamu maisha ya wanafunzi wa aina&lt;br /&gt;ipi wasaidiwe na badala yake anatumia mbinu ya kitoto&lt;br /&gt;ya kutangaza madaraja ya kufaulu bila kuzingatia&lt;br /&gt;ukweli wa maana ya kuwepo kwa Bodi ya Mikopo. Bodi hii&lt;br /&gt;ipo kwa kuzingatia wasionacho kukopesha na kubana&lt;br /&gt;watoto wanaotokea katika familia zenye uwezo wa&lt;br /&gt;kujilipia gharama za shule kutokopeshwa ili wanafunzi&lt;br /&gt;wengi waliokuwa wakikosa nafasi na huku wakihitaji&lt;br /&gt;msaada wa serikali wapate pa kukimbilia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Msola anaonyesha upofu wa uprofesa wake hali&lt;br /&gt;inayotuonyesha wazi kuwa naye keshatumbukia katika&lt;br /&gt;kundi linalothamini nafasi yao maana watoto wa Msola&lt;br /&gt;wako katika daraja lile alilolizungumza Ng'wandu,&lt;br /&gt;daraja linaloweza kuwapatia watoto wao kila kitu na&lt;br /&gt;hivyo kuwakuta wakifaulu madaraja mazuri.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mawazo ya Ng'wandu niliyoaibua hapo juu yanaweza&lt;br /&gt;kumuweka waziri huyu wa zamani katika kundi&lt;br /&gt;linalopingana na tabia za watawala kujipendelea zaidi&lt;br /&gt;na kusahau wananchi wenye shida. Mawazo haya hata&lt;br /&gt;akiyatoa sasa kwa waziri mwenye dhamana ya wizara hiyo&lt;br /&gt;yanaweza kuonekana kama uchonganishi tu na kiasi&lt;br /&gt;kikubwa hayatasikilizwa maana yanachoma tabia ya&lt;br /&gt;tabaka tawala!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mazingira ya kufaulu nchini kwetu yanaambatana na&lt;br /&gt;tabia chafu zikiwemo wizi wa mitihani na kubadili&lt;br /&gt;matokeo kabla hayajatangazwa na Baraza la Mitihani.&lt;br /&gt;Jiulize maswali haya; ni nani anaweza kuiba mitihani&lt;br /&gt;au kununua mitihani ya taifa? Ni nani anaweza kubadili&lt;br /&gt;matokeo yake kabla hayajatolewa au kutangazwa na&lt;br /&gt;baraza la Mitihani?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nafahamu maswali haya yatanihitaji kutoa uthibitisho!&lt;br /&gt;Hata siku moja hiyo si kazi yangu kama Mwandishi!&lt;br /&gt;Nabakia kutoa kidokezo kwani hoja hizo zinafanyika na&lt;br /&gt;wahusika mara zote wamekuwa watoto wa familia zenye&lt;br /&gt;uwezo au wanatokea familia zenye madaraka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Swali lingine ni hili; ni nani anaweza kulipia masomo&lt;br /&gt;ya ziada maarufu kama tuisheni kwa watoto wake? Si&lt;br /&gt;mkulima anayeishi Nyangao! Hata kidogo haiwezekani&lt;br /&gt;kabisa mtoto yatima au wa mfugaji aweze kupata fedha&lt;br /&gt;za kutosha kutunza familia na kisha kulipia mwanaye&lt;br /&gt;masomo ya tuisheni. Ni watoto wa wakubwa na hasa&lt;br /&gt;wanaokaa mijini wanaonufaika na unafuu wa familia zao&lt;br /&gt;na hivyo kujikita katika kupata elimu inayofaa na&lt;br /&gt;inayoendana na mitihani ya taifa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtoto wa kijijini na hasa wa shule za wananchi ambazo&lt;br /&gt;hazina walimu na vifaa atabakia kutofaulu. Akifanikiwa&lt;br /&gt;atapata daraja za kati, lakini hiki ni kigezo cha yeye&lt;br /&gt;kutokopeshwa ili asome zaidi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni nani tunahitaji kumkomboa. Mheshimiwa Komredi Rais&lt;br /&gt;Kikwete naona unawatazama watu wa kaida yako. Safari&lt;br /&gt;hii pia unaitazama Tanzania kutokea Oyterbay au&lt;br /&gt;Regent! Huioni Tanzania kabisa kutokea familia ya&lt;br /&gt;mkulima anayeshindwa kumpeleka mwanaye shule kisa&lt;br /&gt;kutomudu kununua sare.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Naona humuoni kabisa mtanzania anayeshindwa kulipia&lt;br /&gt;karo ya shule ya kutwa. Humuoni kabisa mtanzania&lt;br /&gt;anayekosa fedha ya kununua kalamu na penseli na&lt;br /&gt;daftari ya mwanaye. Sasa mtoto anayetoka familia hii&lt;br /&gt;unatarajia apate daraja la kwanza katika mitihani ya&lt;br /&gt;taifa inayotungwa na kusahihishwa kwa kutazama majina&lt;br /&gt;ya shule?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mitihani isiyotazama mazingira magumu ya shule nyingi&lt;br /&gt;bali inayoridhisha na kunufaisha shule zilizo katika&lt;br /&gt;mazingira ya upendeleo na nyingi zikiwa mijini?&lt;br /&gt;Mitihani isiyopima uelewa wa mtu bali iliyotungwa kwa&lt;br /&gt;lengo tu la kupunguza kundi fulani lisipande na kwenda&lt;br /&gt;elimu ya juu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tanznaia inahitaji kundi la kati. Kuongezeka kwa&lt;br /&gt;wanafunzi wengi katika vyuo vikuu hakujengi tabaka la&lt;br /&gt;kati. Tabaka la kati linatakiwa kujengwa kwa kuongeza&lt;br /&gt;shule za sekondari na kuifanya elimu hiyo ifanane na&lt;br /&gt;maisha ya watanznaia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kunatakiwa kupanuliwa ajira za kundi hili ili wazazi&lt;br /&gt;wanaoona elimu ya muhimu ni vyuo vikuu wapunguze fikra&lt;br /&gt;hiyo. Tazama zamani kazi mbalimbali za viwandani,&lt;br /&gt;majeshini na kwingineko zilivyoweza kujenga kundi la&lt;br /&gt;tabaka la kati. Kuna mikakati gani sasa hasa&lt;br /&gt;ukizingatia kuwa ubinafsishaji umekwapua kila kitu na&lt;br /&gt;kufanya kuongezeka kundi kubwa lisilo na ajira?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wazazi wengi wanapeleka watoto wao vyuo vikuu kwa&lt;br /&gt;sababu tu wanadhani wakimaliza huko watapata ajira&lt;br /&gt;safi. Wengi wanaamini wazi kuwa watoto wao wakimaliza&lt;br /&gt;vyuo vikuu bila kujali aina ya taaluma wanazosoma huko&lt;br /&gt;watafanikiwa!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii si kweli maana sasa tumeshaona kundi hili&lt;br /&gt;likizagaa mitaani bila kazi za kufanya. Kama&lt;br /&gt;litaongezeka kundi hili huku kukiwa hakuna tabaka la&lt;br /&gt;kati tunaathari nyingi hasa katika uadilifu wa kazi&lt;br /&gt;mbalimbali chache zilizopo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tathimni ya elimu yetu inapaswa kufanyika haraka hata&lt;br /&gt;kabla hatujajadili mabadiliko ya katiba. Tunatakiwa&lt;br /&gt;kutazama namna ya kujenga tabaka la kati maana hili&lt;br /&gt;ndilo la watendaji kuliko sasa ambapo tunazalisha&lt;br /&gt;maofisa wa kukaa maofisini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunatakiwa kutazama nani wa kusaidiwa na namna ya&lt;br /&gt;kufanya hivyo inawezekana kwa kutazama rekodi za&lt;br /&gt;wanafunzi waliposoma kabla kutaka kujiunga na vyuo.&lt;br /&gt;Tena tunaweza kutazama kiasi cha kodi za wazazi wa&lt;br /&gt;watoto wanacholipa na hivyo kugundua yupi anafaa&lt;br /&gt;kukopesha na yupi asikopeshwe.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ubaguzi katika suala la elimu na hasa kwa fedha ya&lt;br /&gt;umma ni dhambi. Ni dhambi isiyosamehewa hasa&lt;br /&gt;inapoonekana kuwa watu wenye nafasi hutumia nafasi zao&lt;br /&gt;kusomesha watoto wao nje ya nchi ambako huko hulipa&lt;br /&gt;gharama kubwa zaidi kwa elimu inayoweza pia kupatikana&lt;br /&gt;nyumbani.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-115765469662700633?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/115765469662700633/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=115765469662700633&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/115765469662700633'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/115765469662700633'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/09/mikopo-elimu-ya-juu-na-falsafa-ya.html' title='Mikopo elimu ya Juu na falsafa ya aliyenacho!'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-115617909199663591</id><published>2006-08-21T09:49:00.000-07:00</published><updated>2006-08-21T09:51:32.420-07:00</updated><title type='text'>Waandishi tujifunze kutoka kwa wanamuziki wa kizazi</title><content type='html'>NIMEFIKA hapa Kowak sekondari kufunza. Shule hii ipo&lt;br /&gt;mkoani Mara katika wilaya ya Tarime. Ualimu ni jukumu&lt;br /&gt;gumu na mimi safari hii baada ya uzoefu wa kutosha&lt;br /&gt;hapa jijini Dar es Salaam, naamua kufanya mazoezi&lt;br /&gt;yangu ya vitendo sehemu nyingine kabisa na iliyo&lt;br /&gt;kijijini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maisha ya vijijini yanahitaji tahadhari maana kuishi&lt;br /&gt;huko ni sawa na kujifungia huduma nyingine muhimu za&lt;br /&gt;maisha. Kwa Kowak ni tofauti maana hiki ni kijiji&lt;br /&gt;kilichoendelezwa na misheni ya Kikatoliki na kina&lt;br /&gt;umeme na maji. Tena simu zinaweza kupatikana ila&lt;br /&gt;kinabaki tu kuwa kijiji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Walimu wengi bora hawapendi kufundisha vijijini.&lt;br /&gt;Wanasema huko hakuendani na hadhi yao kwani huduma&lt;br /&gt;zilizopo haziwezi kukidhi matarajio yao. Walimu hawa&lt;br /&gt;wanaweza kuwa kweli na kuna wakati wanakosea kujenga&lt;br /&gt;fikra hizo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna faida za kufundisha vijijini na hasara zake.&lt;br /&gt;Katika Tanzania kupima faida na hasara za kufundisha&lt;br /&gt;vijijini kwa walimu hasa wenye shahada kunatokana na&lt;br /&gt;vigezo vya mwalimu mwenyewe. Kwangu mimi, kijijini&lt;br /&gt;kama Kowak kwafaa sana maana nakutana na walimu na&lt;br /&gt;wanafunzi walio na kiu ya mafunzo yangu! Ni shule&lt;br /&gt;isiyo na walimu wa kutosha maana wengi hufika na&lt;br /&gt;kuondoka. Hapa natamani kukaa zaidi maana ninaweza&lt;br /&gt;kutumikia kwa nguvu zangu na nikafanikisha lengo la&lt;br /&gt;kazi yangu ya ualimu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Safari hii ya Kowak nimeifanya takribani miaka minne&lt;br /&gt;iliyopita! Ni hapa ninapokutana na Farida Koshuma,&lt;br /&gt;mwanafunzi wa kidato cha nne wakati huu ambaye tayari&lt;br /&gt;alishafahamika nchini Tanzania pale aliposhiriki&lt;br /&gt;mashindano ya kuimba yaliyoitwa "Pop Idle" na kisha&lt;br /&gt;kibao chake cha "Pesa" kuonekana kutamba katika vituo&lt;br /&gt;mbalimbali vya redio nchini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Namuuliza Farida kisa cha kusoma shule ya kijijini&lt;br /&gt;huku. Anajibu kuwa baba yake ndiye kampeleka huko ili&lt;br /&gt;kumpa fursa ya kutenga muziki na shule. Hili jambo&lt;br /&gt;jema, lakini kwa nini mzazi huyu asingempeleka manaye&lt;br /&gt;katika shule iliyo na masuala ya muziki ambayo&lt;br /&gt;inafunza masomo mengine? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jibu ni rahisi, shule za aina hii hazipo Tanzania.&lt;br /&gt;Masomo ya darasani nchini kwetu yamefanywa kama ajira&lt;br /&gt;na yamepangiwa miaka. Maliza miaka saba, kisha ongeza&lt;br /&gt;minne, kisha miwili, tena minne au mitatu. Ukimaliza&lt;br /&gt;hapo ongeza miwili na maliza na mingine minne hadi&lt;br /&gt;mitano, hapo unakuwa Dokta Boniphace Makene!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Muundo wa elimu huu ni mbovu maana unapoteza muda na&lt;br /&gt;kisha unawafanya wanaosoma kushindwa kujihusisha na&lt;br /&gt;shughuli nyingine za kimaisha. Ili usome ina maana&lt;br /&gt;uache kazi au usijishughulishe na shughuli nyingine.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunasahau kuwa kusoma kuna lengo la kufunua uwezo wa&lt;br /&gt;wanaosoma waweze kumudu shughuli balimbali za&lt;br /&gt;kimaisha. Kuna haja ya kutazama namna mpya ya utoaji&lt;br /&gt;wa elimu yetu na jambo hili ni mada nitakayoizungumzia&lt;br /&gt;kwa upekee siku zijazo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimemtumia Farida kama mfano wa wasanii wa muziki wa&lt;br /&gt;kizazi kipya! Sipendi kutumia majina kama "kizazi&lt;br /&gt;kipya, muziki wa Rapu au Bongo Flava." Nalazimika&lt;br /&gt;kuyatumia maana ndiyo yanayoeleweka zaidi licha ya&lt;br /&gt;kuwa, hawa wasanii si kizazi kipya maana wanachokiimba&lt;br /&gt;ni kikongwe na pili hizo Bongo flava sifahamu maana&lt;br /&gt;yake halisi ni ipi zaidi ya kuimba muziki wa Hip Hop&lt;br /&gt;kwa Kiswahili.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Namuuliza tena Farida aliwezaje kupata fedha ya kwenda&lt;br /&gt;kurekodi. Anacheka na kunambia kuwa alikuwa akipunguza&lt;br /&gt;matumizi yake ya shule na kisha mwishoni akawaona&lt;br /&gt;ndugu na marafiki kumchangia ili arekodi. Anaeleza&lt;br /&gt;kuwa imemchukua miaka kutunza kiasi kidogo kidogo cha&lt;br /&gt;fedha hadi kufanikiwa kupata za kutosha kurekodi wimbo&lt;br /&gt;mmoja.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wasanii wengi vijana hawa wanatokea katika familia&lt;br /&gt;maskini. Wengi hawajaenda shule na wanatumia sanaa hii&lt;br /&gt;kupatia muhogo wao wa kula kwa siku. Kuna mengi ya&lt;br /&gt;kujifunza kutoka kwa hawa lakini kubwa nililoliibua&lt;br /&gt;huko ni jkuhusu malalamiko yetu tunaohitaji kuchapisha&lt;br /&gt;vitabu!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Gharama za kurekodi wimbo mmoja unaweza kufika hata&lt;br /&gt;shilingi laki sita za kitanzania. Ili msanii atoe&lt;br /&gt;albamu nzima basi tazama kiwango hicho kisha zidisha&lt;br /&gt;kwa wastani wa nyimbo kama nane hadi kumi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukitazama haraka haraka utaona vijana hawa wanatumia&lt;br /&gt;fedha nyingi sana ambayo huenda wewe unayedhani&lt;br /&gt;ufanyalo ni bora zaidi ungependa wajiwekeze katika&lt;br /&gt;biashara fulani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Fedha hizo wanakozitoa utashangaa sana huku ukifahamu&lt;br /&gt;kuwa vijana hawa wengi si wafanya kazi, wengi hawana&lt;br /&gt;daraja la juu katika jamii yetu na tena ni kundi&lt;br /&gt;linalohitaji kusaidiwa ili hata kupata muhogo wa siku!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wanawezaje sasa kupata fedha hizi za kurekodi nyimbo&lt;br /&gt;zao hadi tukaweza kuzisikia kila siku katika redio?&lt;br /&gt;Tunafahamu uchungu unaowakuta hasa tunapoamua kuwaibia&lt;br /&gt;nyimbo hizo kwa kuzirekodi kiholela katika kompyuta au&lt;br /&gt;katika tepu zinapopigwa redioni?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vijana hawa hujichangisha fedha kidogo kidogo. Inaweza&lt;br /&gt;kuchukua hata miaka kadhaa kabla ya kufikia lengo lao.&lt;br /&gt;Jamii yetu haijatazama kabisa umuhimu wa kuwasaidia&lt;br /&gt;hawa ila iko radhi katika michango ya harusi na&lt;br /&gt;sherehe tu!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kila siku ninawaza kuhusu dawa ya tiba ya kuendekeza&lt;br /&gt;michango ya harusi lakini tukagoma kuchangishana&lt;br /&gt;kupeleka watoto vyuo vikuu au kuchangia shughuli za&lt;br /&gt;kujikwamua kiuchumi kama hizi wanazofanya vijana hawa!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini unapata picha hii ya ujasiri wa vijana hawa.&lt;br /&gt;Hawatetereki na wanafanikiwa baada ya kuamua kutumia&lt;br /&gt;akiba yao ya mwisho ili kupata kile wanachodhani&lt;br /&gt;kinaweza kuwanyanyua katika maisha yao. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Upande wa pili ni sisi waandishi na waandika vitabu.&lt;br /&gt;Wengi wetu tumelalamikia gharama kubwa za kuchapa&lt;br /&gt;vitabu. Tunadhani kuwa ni kazi ya makampuni ya&lt;br /&gt;kuchapisha kuchukua kazi zetu na kuzichapa na kisha&lt;br /&gt;kutulipa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunashindwa kusoma picha nyingine ya vijana hawa wa&lt;br /&gt;kizazi kipya, wanapopambana na wadosi wanaosambaza&lt;br /&gt;kazi zao hali inayowafanya wengine kukataa kutengeneza&lt;br /&gt;albamu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini ukweli rahisi unabaki kuwa, gharama za kuchapa&lt;br /&gt;kitabu kopi 1000 ni zinakaribiana kabisa na zile za&lt;br /&gt;kurekodi wimbo mmoja. Sasa kwa nini sisi waandishi&lt;br /&gt;tunaozesha miswada yetu vyumbani kwetu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je hatuamini kuwa tukiandika kitabu na kuchapwa&lt;br /&gt;kinaweza kutuweka katika ramani nyingine kwa wasomaji&lt;br /&gt;wetu? Je tunapolalamika kuhusu tabia ya watu wetu&lt;br /&gt;kukosa kusoma hatutambui kuwa jamii inahitaji vitu&lt;br /&gt;vipya na kama havipo jamii tunataka isome nini?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama wasanii hawa vijana wasio na nafasi ya juu katika&lt;br /&gt;jamii, wasiofanya kazi za malipo kama sisi waandishi&lt;br /&gt;wanaweza kufyatua albamu kwa kujichangisha visenti&lt;br /&gt;wanavyookoteza inakuwaje sisi tusitenge gharama fulani&lt;br /&gt;katika mishahara yetu ili iweze kuhifadhiwa na kisha&lt;br /&gt;kulipa gharama za kuchapisha vitabu vyetu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama unafatilia masuala mbalimbali ya uchumi na hasa&lt;br /&gt;bajeti ya nchi utakuta mara zote kodi ya karatasi&lt;br /&gt;ikipunguzwa kila mwaka. Hii inatokana na waandishi&lt;br /&gt;kuwa na nguvu dhidi ya wanasiasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini mara nyingi wanaonufaika na punguzo la kodi&lt;br /&gt;hizi ni wachapa magazeti na upande wa waandika vitabu&lt;br /&gt;hatujakumbuka kutumia nafasi hii. Jamii isiyokuwa na&lt;br /&gt;waandika vitabu ni wazi imekufa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukitazama hata vitabu vya kiada katika shule zetu&lt;br /&gt;vimekuwa katika mitaala kwa miaka mingi. Sababu ya&lt;br /&gt;kutovibadili moja kuu ni kukosekana kwa machapisho&lt;br /&gt;mbadala. Miaka ya nyuma serikali iliweza kutumia fedha&lt;br /&gt;kuhamasisha kuchapa vitabu lakini sasa haiwezekanani&lt;br /&gt;kila jambo likasubiliwa kufanywa na serikali.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nini nafasi ya waandika vitabu sasa hasa unapotazama&lt;br /&gt;kuwa wasanii wa muziki wa rapu wanaweza kuchangisha&lt;br /&gt;fedha kwa kujinyima na kisha kutoa nyimbo&lt;br /&gt;zinazowasaidia kupata nafasi katika maisha na pia&lt;br /&gt;kutuburudisha na kutufunza. Kuna umuhimu wa waandika&lt;br /&gt;vitabu kuamka na kutambua kuwa tunatumia vibaya&lt;br /&gt;visingizio vya kukosa makampuni yanayoweza kuchapa&lt;br /&gt;kazi zetu huku tungeweza kwenda kwenye makampuni hayo&lt;br /&gt;na kulipa gharama za kuchapa kama wafanyavyo vijana&lt;br /&gt;hawa wanamuziki waendapo kurekodi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Faida ya hatua hii inaweza hata kupunguza urasimu wa&lt;br /&gt;ukandamizaji wa maudhui ya kazi zetu na pia inaweza&lt;br /&gt;kusaidia kuchochea usomaji sambamba na ununuzi wa kazi&lt;br /&gt;ziandikwazo na waandishi wa nyumbani. Tunapolalamika&lt;br /&gt;kushuka kwa elimu bila kutoa dira ya maandishi kuhusu&lt;br /&gt;aina mbadala basi nasi tunashiriki kubomoa elimu ya&lt;br /&gt;watoto wetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni ukweli ulio wazi kuwa taifa lisilothamini watu wake&lt;br /&gt;kuelimika ni taifa mfu. Kama hivi ndivyo kundi la&lt;br /&gt;waandika vitabu na wenye uwezo wa kufanya hivyo&lt;br /&gt;tunajifunza nini kutoka kwa wasanii wa kiazazi kipya&lt;br /&gt;na kwa nini tusijifunze kwa hawa na kuamka sasa ili&lt;br /&gt;tuikomboe jamii!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-115617909199663591?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/115617909199663591/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=115617909199663591&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/115617909199663591'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/115617909199663591'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/08/waandishi-tujifunze-kutoka-kwa.html' title='Waandishi tujifunze kutoka kwa wanamuziki wa kizazi'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-115563264187019747</id><published>2006-08-15T01:54:00.000-07:00</published><updated>2006-08-15T02:04:02.336-07:00</updated><title type='text'>Vya nje safi kwa Mkapa, kwa Kikwete vichungu?</title><content type='html'>NILIANDIKA makala tatu mfululizo kuhusu nani anasema&lt;br /&gt;kuhusu Afrika kupitia kona hii huko nyuma. (Gazeti la Mwanannchi) Maswali&lt;br /&gt;niliyoyaibua yanapata majibu mapya kila siku.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maswali mapya yanatokeza na safari hii tunapata pia&lt;br /&gt;picha mpya tuliyoizoea ya viongozi wa Afrika. Viongozi&lt;br /&gt;wasiotaka kuambiwa au kutazama ukweli ukitangazwa nje&lt;br /&gt;ya mipaka na matakwa yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Viongozi wanaopinga shida zinazowaathiri wanaanchi wao&lt;br /&gt;kwa kuwa tu wao hawaziishi. Viongozi wanaotawala kwa&lt;br /&gt;usanii wa kubadili sura, mara leo watu wa watu kweli&lt;br /&gt;kweli na kesho wakijificha katika matumizi makubwa&lt;br /&gt;yasiyothamini hata utu wa watu hao hao wanaodai&lt;br /&gt;kusimamia shida zao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nakumbuka tena niliwahi kutunga shairi mwaka 1995.&lt;br /&gt;Kichwa cha shairi hili kilikuwa, "Iweje yeye acheke&lt;br /&gt;sisi tubaki kuguna?" Niliandika shairi hilo maana&lt;br /&gt;sikuamini kama nguvu za Benjamin Mkapa wakati ule&lt;br /&gt;zilimtosha kushinda urais.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilimuandikia shairi hilo Mwalimu Julius Nyerere maana&lt;br /&gt;ndiye aliyeonekana kucheka baada ya kijana wake&lt;br /&gt;aliyeamua kumpigia kampeni kushinda na kisha baada ya&lt;br /&gt;ushindi watanzania wakaibuka na maisha ya ukapa!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukawa ukapa kweli kweli lakini katika sura ya wananchi&lt;br /&gt;wa kundi duni na ukwasi hasa kwa wananchi wa tabaka la&lt;br /&gt;juu na wageni. Zama za Mkapa zimeisha na hakuna&lt;br /&gt;lililobadili ukapa huo kwa maskini huku ubinafsishaji&lt;br /&gt;ukipata ramani kuwa kazi halisi ya masitrika ya wageni&lt;br /&gt;na wenyeji kubaki watazamaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Miaka kumi iliyopita tumeshuhudia mengi ambayo sasa&lt;br /&gt;hivi yanajadiliwa. Mengi ni machafu hali inayoninyima&lt;br /&gt;fursa ya kutamani kutafuta mazuri. Sera za kificho na&lt;br /&gt;usiri zilikithiri na zilipata rubani wa kuzisimamia&lt;br /&gt;hasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hakukuwezekana kuzilaumu sana sera za wakati huo.&lt;br /&gt;Mazingira yaliweka mambo mengi tata. Hata sasa&lt;br /&gt;kuyasafisha kunakuwa kugumu na wakati tunapotazama&lt;br /&gt;namna nzuri ya kusafisha, mambo mapya yanaingia&lt;br /&gt;yanayokosesha mtazamo mwema kwa wanaokubali kufunua&lt;br /&gt;macho yao kuona.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Shaaban Robert katika "Kusadikika" anamtumia Karama&lt;br /&gt;kama mhusika wa tabaka  la chini anayefanikiwa kuleta&lt;br /&gt;mabadiliko. Karama anakumbana na vikwazo vinavyotishia&lt;br /&gt;uhai wake. Ananusurika tu bila hata kuamini na kisha&lt;br /&gt;anafanywa kuwa Waziri Mkuu wa nchi na kisha kuibadili&lt;br /&gt;na kuifanya yenye neema tele.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Karama anatokea tabaka la wanaokandamizwa. Kutokana na&lt;br /&gt;tabia ya nchi ya Kusadikika, raia wa aina ya Karama&lt;br /&gt;hakupaswa kuwa na majukumu mengine zaidi ya kutazama&lt;br /&gt;maisha yake tu. Busara na fikra njema hazikuweza&lt;br /&gt;kuingia katika maisha ya watu wa kundi la Karama maana&lt;br /&gt;ugumu wa maisha yao ulitosha kuwafanya waishie&lt;br /&gt;kufikiria kero zao za kila siku na hivyo kuacha&lt;br /&gt;masuala magumu kama utawala kwa walijaliwa kuwa katika&lt;br /&gt;koo za mfalme!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nafurahi kuwa fikra hizi za Shaaban Robert bado&lt;br /&gt;zinaishi na zinachomoza hapa Tanzania sasa. Natazama&lt;br /&gt;kundi la watawala na namna wasivyotambua maisha ya&lt;br /&gt;wanaowatawala, naliona kundi hili linavyodhani lina&lt;br /&gt;madaraka ya kupindisha hata ukweli wa maisha ya watu&lt;br /&gt;wa chini kwa kuwa linaamini tu, watu wa kundi hili&lt;br /&gt;wananunulika kama nilivyozungumzia katika makala mbili&lt;br /&gt;zilizopita!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kundi la chini limenyimwa nafasi hata ya kuzungumzia&lt;br /&gt;maisha yao wenyewe. Haliwezi kusema na halina msemaji&lt;br /&gt;kama Karama wa ndani ya Kusadikika. Wanajitangaza kuwa&lt;br /&gt;wasemaji wa kundi la chini na wale wasiotokea katika&lt;br /&gt;kundi hilo au wasioishi maisha ya kundi hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kizuri tena katika Tanzania ni hiki kuwa, wanajifanya&lt;br /&gt;kuwawakilisha watu wa tabaka la chini wengi ni hawa&lt;br /&gt;wanaowatumia watu hawa kujitengenezea maisha yao.&lt;br /&gt;Mifano katika uhalisia wa hoja hii isitazamwe katika&lt;br /&gt;wawakilishi wa serikali tu bali hata hizi zinazoitwa&lt;br /&gt;NGO ambazo kila kukicha zimekithiri katika kuandika&lt;br /&gt;makala za maombi ya fedha sehemu na sehemu na kisha&lt;br /&gt;kuzitumia katika mahoteli ya kifaharai jijini Dar es&lt;br /&gt;Salaanm au maeneo mengine yenye hadhi ya kitalii.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utawala wa Rais Mkapa ulikithiri sana kuthamini&lt;br /&gt;waandishi na vyombo vya nje. Huko ndiko Mkapa alitaka&lt;br /&gt;kujenga taswira yake maana ndani hakuona kama kuna&lt;br /&gt;jambo la muhimu kwake kulifanya akishirikiana na&lt;br /&gt;waandishi na vyombo vya ndani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Waandishi wa ndani mara kadhaa walizungumzwa kuwa&lt;br /&gt;haafahamu kazi yao zaidi ya kupandikiza maneno katika&lt;br /&gt;hoja ambazo hazikuzungumzwa. Utawala uliopo sasa uko&lt;br /&gt;kinyume na fikra hii ya Mkapa kuhusu vyombo vya ndani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utawala huu unafahamu kuwa ni vyombo hivi&lt;br /&gt;vilivyoufanya uwepo baada ya kubomoa wale ambao&lt;br /&gt;havikuwahitaji. Utawala huu unafahamu kuwa bado vyombo&lt;br /&gt;vya habari vya nyumbani licha ya kuwa uchaguzi kuisha,&lt;br /&gt;vimeendelea kubakia katika kampeni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni kampeni hii ya kusifia kila kukicha bila kutazama&lt;br /&gt;upande mwingine wa sarafu kulikoibua mada hii&lt;br /&gt;ninayoiandika leo. Je tumuamini Mkapa kuwa vyombo&lt;br /&gt;vyetu vya nyumbani havina uwezo hata wa kutazsama&lt;br /&gt;matatizo yetu bali vya nje ndivyo makini katika kuibua&lt;br /&gt;hoja zinazowakabili wananchi wetu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je, tumezoea kero za wananchi hadi tumeona ni mambo ya&lt;br /&gt;kawaida kabisa yasiyoweza kuwa habari? Lakini kama&lt;br /&gt;tumezoea hivyo vipi wakubwa wetu waibuke na kupambana&lt;br /&gt;na filamu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilipozungumzia kuhusu nanin anaandika ukweli kuhusu&lt;br /&gt;Afrika nilitumia mfano wa habari za Afrika Darfur na&lt;br /&gt;kwingineko kuliko na machafuko. Vyombo vyetu vya&lt;br /&gt;Tanzania pia hutunmia habari hizi lakini havijawahi&lt;br /&gt;kupeleka waandishi wake huko ili kupata taarifa zaidi&lt;br /&gt;ya kutafsiri zilizoandikwa na waandishi wa kigeni!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunapata picha gani hapa? Jibu rahisi litabakia kuwa&lt;br /&gt;vyombo vya Afrika havina uwezo wa kifedha wa&lt;br /&gt;kuwagharamia waandishi wao ili kuwafikisha kila lilipo&lt;br /&gt;tukio muhimu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vyombo vya Afrika pia havijajitanua na kuongeza&lt;br /&gt;shughuli nyingine zinazoendana na habari. Vyombo vya&lt;br /&gt;nje sambamba na waandishi wao hujihusisha na aundika&lt;br /&gt;filamu, uandishi na uchapaji vitabu na vyote hivi&lt;br /&gt;huvifanya vyombo kujipatia fedha nyingi huku malipo&lt;br /&gt;kwa waandishi wakiweza pia kupandishiwa kipato chao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwaka 1986 tulihama kutoka Musoma Mjini na kwenda&lt;br /&gt;kuishi Musoma Vijijini. Tulipofika huko, tulikuta bado&lt;br /&gt;ziwa likiwa na samaki ambao wavuvi hawakuona hasara&lt;br /&gt;kuwagawa bure kwa watu waliopo pale ziwani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Miaka miwili baadaye viwanda vikaingia na samaki&lt;br /&gt;wakawa wakipotelea ziwani huko huko na wavuvi kurejea&lt;br /&gt;wakiwa na mitumbwi mitupu baada ya kufanya mauzo ndani&lt;br /&gt;ya ziwa.&lt;br /&gt;Ni tangu kipindi hicho misafara katika kiwanda cha&lt;br /&gt;Mazara wakati huo hapo Musoma mjini ilipoongezeka&lt;br /&gt;ambapo akina mama walikuwa wakijpanga kusaka kitoweo&lt;br /&gt;maarufu kama mapanki!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukweli huu kupindishwa na hata rais wa nchi inatoa&lt;br /&gt;picha mbili. Moja, rais anapenda kusifiwa tu au&lt;br /&gt;anapenda kuwaona watu wa tabaka la juu tu hadi&lt;br /&gt;hafahamu shida za wananchi wa chini na pia, raia&lt;br /&gt;anaongoza watu asiotambua hata kero zao au anazifahamu&lt;br /&gt;ila anataka zisitamkwe maana zilishabadilika na&lt;br /&gt;kutokuwa kero tena!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Muswada wangu wa Kitabu, "Barua kwa Mama" nina maelezo&lt;br /&gt;mengi kuhusu biashara ya ngono. Eneo langu la mjadala&lt;br /&gt;ni Dar es Salaam lakini naweza pia kurejea kabla ya&lt;br /&gt;mwaka 1986 eneo la Rutiginga mini Musoma ambapo&lt;br /&gt;palikuwa maarufu kwa bniahara hiyo!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Siwezi kuiita biashara ya ngono ukahaba maana kufanya&lt;br /&gt;hivyo ni kupindisha ukweli kuhusu nafasi ya mnunuzi na&lt;br /&gt;muuzaji. Bishara ya ngono imekuwepo na inatanuka, sina&lt;br /&gt;uzoefu wa Mwanza lakini Mwanza si kisiwa hasa ukitilia&lt;br /&gt;maanani kuwa bishara ya samaki imeibua kundi fulani&lt;br /&gt;kuwa na fedha na mara nyingi wavuvi baada ya kumaliza&lt;br /&gt;shughuli zao hujiwekea fursa ya kujiburudisha na eneo&lt;br /&gt;muhimu kwao likiwa pia hili la kununua huduma ya&lt;br /&gt;kujamiiana!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ukitafuta uongo wa filamu ya Darwin Nightmare kama&lt;br /&gt;amabvyo baadhi ya wanaofuata bendera fata upepo&lt;br /&gt;walioonekana kuandamana kuipinga, utatambua kuwa nchi&lt;br /&gt;yetu ina makundi yasiyothamini hata anayeyathamini!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mtunzi huyu anatoa picha ya pili ambayo vyombo vyetu&lt;br /&gt;vya nyumbani vilipaswa kufanya ili kuwa na uwezo&lt;br /&gt;halisi wa kuwabana wawakilishi ili wapunguze matumzi&lt;br /&gt;yasiyokuwa na maana na fedha chache zilizopo ziwaguse&lt;br /&gt;wananchi wanaohitaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Biashara ya ngono haifanywi na wanaume maskini. La&lt;br /&gt;hasha, ni ukweli usiopinda kuwa, wateja wakubwa ni&lt;br /&gt;watu wenye nafasi wakiwemo watoa maamuzi makubwa kwa&lt;br /&gt;nchi. Hawa wanatofautiana  kutokana na daraja za&lt;br /&gt;ununuzi na ujihusishaji katika biashara hii!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa nini hawa hawa wasitazame kero za wananchi na&lt;br /&gt;kuzitatua ili dada zetu wanajihusisha na biashara hii&lt;br /&gt;bila kutaka waiache na kuendesha maisha yao kwa namna&lt;br /&gt;nyingine! Je jambo hili likizungumzwa na vyombo vya&lt;br /&gt;nje basi limekuwa kero, uongo na uzandiki?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna haja ya viongozi wetu kukubali kujifunza katika&lt;br /&gt;masuala hasi maana ni haya yaliyofanya nchi nyingi&lt;br /&gt;kuendelea. Ukweli ni kuwa huwezi kugeuza jambo likawa&lt;br /&gt;uongo kwa kuwa tu anayelizungumza ni mtu wa nje!&lt;br /&gt;Tunatakiwa kutazama upya na kupiga vita tabia za&lt;br /&gt;kushabikia na kushangilia hata sehemu ambapo hatuna&lt;br /&gt;mafanikio.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-115563264187019747?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/115563264187019747/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=115563264187019747&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/115563264187019747'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/115563264187019747'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/08/vya-nje-safi-kwa-mkapa-kwa-kikwete.html' title='Vya nje safi kwa Mkapa, kwa Kikwete vichungu?'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-115323564109179575</id><published>2006-07-18T08:04:00.000-07:00</published><updated>2006-07-18T08:14:26.640-07:00</updated><title type='text'>SIJALALA BADO!</title><content type='html'>SIJALALA hata kidogo, macho yangu makavu kabisa natazama huku na huko. Namuona rafiki yangu anageuka adui, na si adui kabisa maana neno hili lina maana hasi kidogo! Anageuka shetani, anachukua kila aina ya silaha kutaka kuniangamiza! Namuoana hanionei hata huruma tena na sijui nani kamfanya hivi!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Natazama kushoto naiona familia yangu ikilia inanitazam kwa uchungu lakini yote imefungwa kamba na kuzibwa midomo! Nawaona mke na wanangu wakiwa na majeraha makubwa katika miili yao. Wnalia na kilio chao kinanipa maumivu makubwa kuliko haya ambayo nimekuwa nayo kwa usiku huu mzima wa vipigo ambavyo mwanzo wake siutambui!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Natazama walionizunguka ni hawa ambao walicheka sana na mimi na wakibadili hulka nami kila mara! Nawatazama wanapoona hata raha kutaka kuwa na nafasi ya maamuzi ya mwisho kuhusu maisha yangu! Ghafla nguvu zinanitokea nakata kamba zote na kuwaangusha hawa adui zangu chini. Wanahaa kutaka kujiokoa maana wanadhani mimi nitalipiza kisasi. Nawatazama kwa dharau na kisha nawafungua wanangu na mke wangu na kisha nawapaka divai katika majeraha yao. Nikisha maliza naondoka bila hata kujali kuwa adui zangu bado wana mitutu wanataka kunitungua kisogoni! Nimejawa nguvu sana, sioni maumivu na mwisho nawakaribisha kahawa na kashata adui hao ili wajumuike nami kama watu wa muhimu kabisa kuchangia mafanikio ya maisha yangu!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ninapoaamka nacheka na kukumbuka maana ya maono haya. nAMTAZAMA RAFIKI YANGU AMBAYE SIKU ZOTE AMEKUWA RAFIKI KWELI. nAMTAZAMA YULE ALIYEAMUA KUASI NA KUWA ADUI NA HAISHI KUSIMULIA UZOEFU WAKE WA KUWA NA MIMI KATIKA MAISHA. nATAZAMA HUYU KWA JICHO LA KEBEHI KIDOGO. Kisha, nakumbuka kuwa majira ya joto yanaisha na ubaridi utaanza na kisha siku zitaendelea. Nakumbuka kuwa nitakapolala usingizi watakaofahamu kuwa nimekufa ni familia yangu tu na umma mwingine utabaini kuwa nimelala. Najua tena kuwa ni mke na wanangu watakaoziba kauli zao kuhusu mimi lakini maadui na hao waliojisingizia rafiki zangu watakaopaza kauli za sifa kali kali kwangu! Ninazitaka hizi kweli, zinanifaa hizi kweli, aaaah si bora niamke nianze safari ya kutafuta mhogo na kshata kwa ajili ya chakula cha asubuhi!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-115323564109179575?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/115323564109179575/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=115323564109179575&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/115323564109179575'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/115323564109179575'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/07/sijalala-bado.html' title='SIJALALA BADO!'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-115306826231908153</id><published>2006-07-16T09:43:00.000-07:00</published><updated>2006-07-16T09:44:22.833-07:00</updated><title type='text'>NI CHACHAGE YUPI ALIYETUTOKA?</title><content type='html'>NI MWEZI Julai sasa; hiki ni kipindi cha joto kali&lt;br /&gt;sehemu mbalimbali nchini Tanzania. Jijini Dar es&lt;br /&gt;Salaam hali inatisha zaidi lakini baadhi ya&lt;br /&gt;wakazi wa jiji hili tumejipa uhalali wa kumudu ghasia&lt;br /&gt;za joto hili kutokana na mavazi tunayovalia!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mimi ni miongoni mwao, nimevalia shati maridadi na tai&lt;br /&gt;imeibana shingo yangu. Shida ya joto siioni kabisa,&lt;br /&gt;naongeza na koti juu ili niweze kuwahi miadi ya&lt;br /&gt;kukutana na Profesa huyu!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Napita kutoka ofisi za Mwananchi hapa Tabata relini na&lt;br /&gt;safari yangu ni kuelekea Chuo Kikuu Dar es Salaam.&lt;br /&gt;Huko nitakutana na Mwenyekiti wa Chama cha Wahadhiri&lt;br /&gt;wa Chuo hicho na pia Mkuu wa Idara ya Sosholojia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mavazi niliyovaa yananipa hadhi ya juu sana na&lt;br /&gt;yananitofautisha na msimamo wa mwenyeji&lt;br /&gt;ninayemtembelea. Profesa Seth Chachage leo pia kavalia&lt;br /&gt;shati lake la bluu hivi lenye rangi inayoonyesha&lt;br /&gt;kupauka na suruali ya kaki. Chini kavalia viatu vya&lt;br /&gt;wazi ambavyo pia ukivitazama ni vya gharama nafuu&lt;br /&gt;kabisa! Najiuliza moyoni, hivi huyu si ni Profesa&lt;br /&gt;mwenye heshima kubwa tu nchini; nini siri ya maisha&lt;br /&gt;haya! Huyu ndiye Chachage mbegu ya watanzania walioiva&lt;br /&gt;katika misingi ya Kimaksi na wakatambua maana ya&lt;br /&gt;ujamaa na kisha wakauishi kwa dhati!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wanafunzi wa Chuo Kikuu Mlimani wenye mtazamo wa&lt;br /&gt;kusoma ili kupata fedha na kuishi maisha ya juu&lt;br /&gt;wanamuona Chcahge kama profesa asiyefaa kuigwa!&lt;br /&gt;Hawatambui kabisa maana ya fikra za elimu, hawajui&lt;br /&gt;utajiri wa ubongo na usomi. Kubwa ni kuwa, hawajui&lt;br /&gt;thamani ya uanazuo! Wanamtazama huyu kama priofesa&lt;br /&gt;aliyepoteza njia na kuwasifia wale wanaodhalilisha&lt;br /&gt;usomi na uanazuo wao kwa kushabikia hata mambo&lt;br /&gt;yanayoudhalilisha usomi na taaluma zao ili tu&lt;br /&gt;wajipatie fedha!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ninapofika ofisi hii iliyo katika gorofa lefu kabisa&lt;br /&gt;katika kitivo cha Sanaa na Sayansi ya Jamii, nafuta&lt;br /&gt;kwanza jasho. Kutembea ngazi kupanda ghorofa kama si&lt;br /&gt;ya sita hivi...sikumbuki vema, ni jambo gumu. Lifti ya&lt;br /&gt;jengo hili siiamini kabisa maana wanafunzi&lt;br /&gt;wameongezeka na ubora wa majengo hautazamwi! Inaweza&lt;br /&gt;siku moja kuleta zahama na mafundi kwa Tanzania&lt;br /&gt;unafahamu! &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ofisi ya Chachage imepambwa na karatasi na vitabu kila&lt;br /&gt;kona. Kuna meza kubwa na viti viwili vya wageni. Kisha&lt;br /&gt;nyuma kuna ubao ambao nao umjaa maandishi. Inaonyesha&lt;br /&gt;amekuwa katika mikutano isiyoisha kila siku na hapa&lt;br /&gt;muda huu yu dhaifu kiasi fulani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni siku chache zimepita tangu idara ya Sosholojia&lt;br /&gt;ikutane na mabadiliko  yaliyolenga kuboresha tabia ya&lt;br /&gt;usomaji wa wanafunzi. Huko nyuma masomo hayo yalikuwa&lt;br /&gt;mchekea na tangu Chachge ateuliwe kuwa Mkuu wa Idara&lt;br /&gt;hiyo amekuja na mkakati maridhawa hali iliyowafanya&lt;br /&gt;wanafunzi zaidi ya 150 kufeli somo moja huku wakiwa&lt;br /&gt;mwaka wa mwisho!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Profesa huyu ni mzuri katika kujenga hoja na&lt;br /&gt;kuzisimamia. Ana mtazamo wake na kamwe hayumbishwi&lt;br /&gt;kirahisi. Huwezi kumuambia chochote kuhusu George Bush&lt;br /&gt;na vita vyake vya Irak! Inapotokea suala la kusimamia&lt;br /&gt;misingi ya kazi, hana mzaha na hili nimeweza&lt;br /&gt;kulishuhudia katika vikao mbalimbali vya maamuzi&lt;br /&gt;katika Chuo hicho enzi za uanafunzi wangu hapo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Samahani Makene, ninameza madawa na yananichanganya&lt;br /&gt;kichwa hapa. Hizi dawa ni kali sana sijui&lt;br /&gt;unazifahamu?" Ananiuliza na mimi najidai kutingisha&lt;br /&gt;kichwa kuashiria kukubali huku ukweli ukiwa sijawahi&lt;br /&gt;kuzitia kopeni dawa hizo!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chachage anazungumzia namna elimu ya juu inavyopuuzwa&lt;br /&gt;nchini Tanzania. Ananitazama na kuniambia, "wewe&lt;br /&gt;umetoka hapa unatakiwa kutamka ukweli huu maana kuna&lt;br /&gt;watu hapa hawataki kabisa kusikia haya tunayoyasema,"&lt;br /&gt;anasema na kuongeza;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Tafuta mazingira ya kutoniweka jina katika maelezo&lt;br /&gt;yako maana wakisoma hawakawii kusema ni hawa hawa&lt;br /&gt;akina Chachage." Kauli hii anaitoa ikiwa ni siku&lt;br /&gt;chache tangu kuwepo mkwaruzano kati ya watawala wa&lt;br /&gt;Chuo hicho na uongozi wa UDASA kuhusiana na maamuzi ya&lt;br /&gt;kufukuza wanafunzi chuoni hapo bila kuhusisha upande&lt;br /&gt;wa wahadhiri na pia kupitisha maamuzi ya kuongeza&lt;br /&gt;idadi ya wanafunzi bila kutazama nafasi za wahadhiri&lt;br /&gt;sambamba na mishahara yao!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilifika katika ofisi hii kuzungumzia namna wahadhiri&lt;br /&gt;wa Tanzania wanavyokimbilia nchi za nje kutafuta&lt;br /&gt;malisho bora. Hoja nyingine ilikuwa kulinganisha&lt;br /&gt;vipato kati ya wahadhiri wa vyuo vya Tanzania na nchi&lt;br /&gt;nyingine za Kusini wa Afrika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chachage ananipa makabrasha baada ya kupekua karatasi&lt;br /&gt;lukuki ofisini kwake. Anaonyesha namna kazi ya ualimu&lt;br /&gt;inavyodhalilishwa licha ya kuwa wahadhiri hao hukaa&lt;br /&gt;miaka na miaka shule na kuumia kusoma. Hoja yake&lt;br /&gt;inatazama namna ambavyo wanyonge wa fikra&lt;br /&gt;wanapoukimbia uhadhiri na kwenda kwenye siasa ili&lt;br /&gt;kutafuta malisho jambo ambalo yeye hakulipa&lt;br /&gt;kipaumbele!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chachage anapunguza idadi ya maprofesa walioamua&lt;br /&gt;kutumikia umma licha ya kazi zao za kitaaluma. Mchango&lt;br /&gt;wake katika majukumu ya kumzungumzia maskini ulikuwa&lt;br /&gt;thabiti mno na kweli alifanikisha lengo la kauli ya&lt;br /&gt;Mwalimu Nyerere kwa wasomi wa Tanzania, hasa&lt;br /&gt;linapokuja suala la kuwazungumzia wananchi maskini&lt;br /&gt;pale wanaposahauliwa na serikali zao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Makuwadi wa Soko Huria" ni riwaya kati ya mpya za&lt;br /&gt;Kiswahili ambazo zinazungumzia maudhui ya wizi na&lt;br /&gt;uuzaji wa nchi. Kazi hii ya Chachage inatoa picha ya&lt;br /&gt;maisha yake hata baada ya kuanguka kwa usoshalisti&lt;br /&gt;huko Urusi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ameishi maisha ya bila kujiunga na chama chochote cha&lt;br /&gt;siasa licha ya kuwa aliweza kushiriki katika mapambano&lt;br /&gt;ya kujenga demokrasia na utetezi wa wanyonge dhidi ya&lt;br /&gt;tabala la wanyanyasaji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maisha ya Chachge yanabaki kuwakumbusha wasomi wa&lt;br /&gt;Tanzania hsa suala la kuwakimbia maskini na kujijali&lt;br /&gt;zaidi wao. Mchango wake katika kutatua matatizo ya&lt;br /&gt;migogoro katika Chuo Kikuu iliyohusu wanafunzi na&lt;br /&gt;utawala wa Chuo au na serikali ni suala lingine la&lt;br /&gt;kulikumbuka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Waliowahi kukabiliana na mikono ya sheria zisizo na&lt;br /&gt;miguu na maamuzi yasiyotazama busara katika Chuo hicho&lt;br /&gt;watafahamu umuhimu na nafasi ya Chachage. Huenda wengi&lt;br /&gt;wasingalihitimu masomo yao hapo kama ambavyo waliokuwa&lt;br /&gt;wakihusika na masuala ya kukiuka misingi ya kusoma kwa&lt;br /&gt;haki watabaki wakimuona kama mti mkavu usiokatika&lt;br /&gt;kutokana na namna ambavyo hakupenda udanganyifu katika&lt;br /&gt;mitihani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huyu ndiye profesa hasa, aliyekuwa msemaji wa umma,&lt;br /&gt;mwandishi wa vitabu, mhadhiri hasa na jabali&lt;br /&gt;lisiloyumbishwa kwa misingi ya mali. Maisha yake&lt;br /&gt;yatakumbusha vijana wengi wanaotamani simku moja&lt;br /&gt;Tanznaia kurejea katika enzi za ujamaa ambapo matajiri&lt;br /&gt;waliojiuzia nchi watakapopinduliwa chini na kuleta&lt;br /&gt;uruhu wa kiuchumi wa raia masikini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mola mlaze pema Profesa Seth Chachage maana vita&lt;br /&gt;ulivyomtuma kupigana amepigana vema na imani yako&lt;br /&gt;ameilinda.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-115306826231908153?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/115306826231908153/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=115306826231908153&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/115306826231908153'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/115306826231908153'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/07/ni-chachage-yupi-aliyetutoka.html' title='NI CHACHAGE YUPI ALIYETUTOKA?'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-115285628476495728</id><published>2006-07-13T22:51:00.000-07:00</published><updated>2006-07-13T22:51:25.153-07:00</updated><title type='text'>BARUA YA PROFESA SHIVJI KUMUAGA PROFESA CHACHAGE</title><content type='html'>RAFIKI na ndugu yangu mmoja kaona na mimi nafaa kupata liwazo la barua hii. Nikaona na wewe msomaji unapaswa kupata pia liwazo hili kalba sijabandika na mimi makala yangu baadaye jumapili hii kumuaga shujaa aliyetukimbia hivi wiki hii. Nisizungumze sana soma barua hii ya Shivji.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndugu yangu &lt;br /&gt;Rafiki yangu &lt;br /&gt;Kamaradi Chachage:&lt;br /&gt;Nani kasema umetuacha? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Eti umefariki! &lt;br /&gt;Kwani mwili ndiyo maisha? &lt;br /&gt;Maisha ni fikra. &lt;br /&gt;Maisha ni vitendo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Maisha ni ubinadamu. &lt;br /&gt;Fikra zako, &lt;br /&gt;vitendo vyako, &lt;br /&gt;ubinadamu wako, &lt;br /&gt;utadumu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;leo, kesho, keshokutwa na milele. &lt;br /&gt;Vitendo vyako tutavienzi, &lt;br /&gt;ubinadamu wako tutauiga, &lt;br /&gt;fikra zako tutazieneza. &lt;br /&gt;Msomi wa Afrika, &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;mteTEzi wa wanyonge, &lt;br /&gt;mshabiki wa fikra za kitabaka, &lt;br /&gt;tabaka la wavujajasho. &lt;br /&gt;nimetumwa. &lt;br /&gt;Nimetumwa na Wasomi wenzako wa Afrika kupitia CODESRIA nikuletee Salaamu zao.&lt;br /&gt;Wameniambia, nikuage. &lt;br /&gt;Nimekataa. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sikuagi.&lt;br /&gt;Nitakusindikiza tu. &lt;br /&gt;uwaone Wazee Wako, &lt;br /&gt;majirani zako, &lt;br /&gt;watu wema wa Njombe. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Uchanganyike na viumbe wa ardhi na bahari, &lt;br /&gt;viumbe visivyo na ubaguzi, &lt;br /&gt;mipaka, &lt;br /&gt;unyonyaji, &lt;br /&gt;ukandamizaji. &lt;br /&gt;Uwashawishi, wafundishe wanadamu maana ya ukombozi. Kama ulivyokuwa unatufundisha sisi daima.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;‘Ewe Issa, kwani, Shivji siyo mwana wa adamu?’, &lt;br /&gt;Ukanitania, &lt;br /&gt;Ukichota kutoka hazina ya ucheshi wakO bila uchoyo. &lt;br /&gt;"Umejipachikia majina haya yote ya Miungu! &lt;br /&gt;MLIMBIKAZI, WE ISSA!’ &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Mungu wa Waislamu na Mungu wa Wakristo, &lt;br /&gt;Mungu wa Wahindu na Mungu wa Wasambaa. &lt;br /&gt;unataka wapigane? &lt;br /&gt;wachinjane. &lt;br /&gt;Eti moja ni –a, &lt;br /&gt;mwingine ni –ji!’ &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;"Futilieni mbali ushenzi wenu wa kubaguabagua!’, ukakasirika. &lt;br /&gt;"Unganeni kujikomboa", umetusihi, &lt;br /&gt;"kutoka kwa makucha ya ubeberu na ubepari, unyonge na udhalilishaji.’ &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Buriani ndugu yangu, &lt;br /&gt;Buriani rafiki yangu, &lt;br /&gt;Buriani Kamaradi Chachage. &lt;br /&gt;Ufikesalama. &lt;br /&gt;Upumzike na Viumbe visivyonyumbishwa na vituko vya Wanaadamu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nakuahidi. &lt;br /&gt;Nitaufikisha ujumbe wa maisha yako. &lt;br /&gt;Kwa WanaUdasa, &lt;br /&gt;Kwa WanaCodersia. &lt;br /&gt;Kwa Wana wa Tanzania, &lt;br /&gt;Kwa Wana wa Afrika………………….Buriani………..&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-115285628476495728?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/115285628476495728/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=115285628476495728&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/115285628476495728'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/115285628476495728'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/07/barua-ya-profesa-shivji-kumuaga.html' title='BARUA YA PROFESA SHIVJI KUMUAGA PROFESA CHACHAGE'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-115255108656632662</id><published>2006-07-10T10:04:00.000-07:00</published><updated>2006-07-10T10:04:47.133-07:00</updated><title type='text'>MWANAZUO SETH CHACHAGE AMETUTOKA</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/cha.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/320/cha.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;KASRI LA MWANAZUO&lt;/strong&gt; limepokea taarifa za kuondoka kwa mmoja wa wanajamii wa Wanazuo wa Tanzania kwa masikitiko. Kama umewahi kusoma "Makuwadi wa Soko Huria" riwaya mpya kabisa inayojadili ubinafsishaji basi utamfahamu Profesa Seth Chachage ambaye kwa taarifa nilizozipata tangu jana amefariki dunia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mara ya mwisho KASRI lilipata fursa ya kufanya mahojiano na Profesa huyo na kwa heshima yake mahojiano haya yataandikwa katika safu ya Gazeti la Mwananchi na kisha kuwekwa hapa baadaye wiki ijayo. Nina mengi ya kuandika kuhusu gwiji huyu lakini niishie hapa kuwapa taarifa wanajumuiya ya wamiliki wa Magazeti Tando maana Chachage katika siku za uhai wake amechangia sana kuikuza jamii yetu kwa kuhamasisha msingi wa kumdharau mnyonyaji na kuongeza ujasiri kwa wanaonyanyaswa! Kama unakumbuka sana hili ndilo lengo kuu na msingi wa jumuiya yetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Poleni wanazuo wote na nitumie fursa hii pia kutoa pole kwa familia ya Marehemu na jumuiya ya Chuo Kikuu Dar es Salaam. Ni ukweli ulio wazi kuwa Chachge amevipiga vita vilivyo vikali na kwa kiwango kikubwa amevishinda na anapumzika kwa heshima!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bwana ametwaa na siku zote hakuna anayeweza kuhoji uhalali wa hulka yake njema!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;Pichani anaonekana Chachage akiwa katikati katika moja ya makongamano mbalimbali aliyofanya wakati wa uhai wake.&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-115255108656632662?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/115255108656632662/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=115255108656632662&amp;isPopup=true' title='7 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/115255108656632662'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/115255108656632662'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/07/mwanazuo-seth-chachage-ametutoka.html' title='MWANAZUO SETH CHACHAGE AMETUTOKA'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>7</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-115147110714684878</id><published>2006-06-27T22:01:00.000-07:00</published><updated>2006-06-27T22:05:07.636-07:00</updated><title type='text'>OOOHOOO UMEMUONA MWINYIMBEGU?</title><content type='html'>HATUJALALA kama ambavyo jamaa fulani wanadhani, tumeamua kuchukua tathimini hasa baada ya timu zetu kubanjuliwa nje ya michuano ya soka ya Dunia. Je kuna haja ya Afrika kuwa na timu tano au tuzipunguze kabisa na au tusiwe na hata moja? Nitajadili uwanja huu siku nyingine lakini leo nimtambulishe kwenu huyu mwanaharakati aliyekuja kwa namna yake. Pita kwake msalimu mtazame na kisha utabaini kasi ya magazeti tando inavyozidi kuchana anga. Karibu &lt;a href="http://mwinyimbegu.blogspot.com/"&gt;Mwinyimbegu&lt;/a&gt; na waungwana watabonyeza &lt;a href="http://mwinyimbegu.blogspot.com/"&gt;hapa&lt;/a&gt; na kukusalimia huko.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-115147110714684878?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/115147110714684878/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=115147110714684878&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/115147110714684878'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/115147110714684878'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/06/ooohooo-umemuona-mwinyimbegu.html' title='OOOHOOO UMEMUONA MWINYIMBEGU?'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-115038811098076062</id><published>2006-06-15T09:14:00.000-07:00</published><updated>2006-06-15T09:15:11.040-07:00</updated><title type='text'>BAJETI YA TANZANIA 2006/2007</title><content type='html'>HOTUBA YA WAZIRI WA FEDHA &lt;br /&gt;MHESHIMIWA ZAKIA HAMDANI MEGHJI (MB.), &lt;br /&gt;AKIWASILISHA KATIKA BUNGE MAPENDEKEZO YA SERIKALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA 2006/2007 &lt;br /&gt;TAREHE 15 JUNI, 2006&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;UTANGULIZI:&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba Bunge likubali kujadili na kupitisha makadirio ya mapato na matumizi ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2006/2007.  Pamoja na hotuba hii, vimetayarishwa vitabu vinne vinavyoelezea kwa kina takwimu za bajeti.  Kitabu cha Kwanza kinahusu makisio ya mapato.  Kitabu cha Pili na cha Tatu vina makisio ya matumizi ya kawaida kwa Wizara, Idara zinazojitegemea, Mikoa na Halmashauri za Miji na Wilaya.  Kitabu cha Nne kinaelezea makadirio ya matumizi ya maendeleo kwa Wizara, Idara na Mikoa pamoja na Halmashauri.  Aidha, upo Muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2006/2007 ambao ni sehemu ya bajeti hii.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;2. Mheshimiwa Spika, awali ya yote napenda kuchukua nafasi hii kwanza kumpongeza Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kwa kuchaguliwa kupitia CCM kwa kura nyingi, kuwa Rais wa nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tangu nchi yetu kupata Uhuru.  Pia, nampongeza Mheshimiwa Edward Ngoyai Lowassa kwa kuteuliwa na Rais na baadae kuthibitishwa na Bunge letu kwa kura nyingi kuwa Waziri Mkuu.  Nakupongeza wewe Mheshimiwa Spika, na Naibu Spika, kwa kuchaguliwa na Waheshimiwa Wabunge kuongoza Bunge letu. Nawapongeza nyote Waheshimiwa Wabunge kwa kuchaguliwa katika majimbo yenu na wengine kuwakilisha Jumuiya zenu kupitia viti maalum.  Napenda pia kuwapongeza Waheshimiwa Mawaziri na Naibu Mawaziri kwa kuteuliwa kuongoza Wizara zenu.  Sote tuna dhamana kubwa ya kuwahudumia wananchi na kukidhi matumaini yao.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;3. Mheshimiwa Spika, napenda sasa binafsi kumshukuru kwa dhati Mheshimiwa Rais, kwanza, kwa kuniteua kuwa Mbunge na kisha Waziri wa Fedha wa kwanza mwanamke. Mheshimiwa Rais amenipa heshima kubwa na napenda kumhakikishia yeye, Chama changu na wananchi wote kwa ujumla kuwa nitafanya kazi kwa uwezo wangu wote, na ninamwomba Mwenyezi Mungu anisaidie. Amina.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;4. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kutoa shukrani zangu za dhati kwa wale wote walioshiriki kwa namna moja au nyingine kufanikisha matayarisho ya Bajeti hii, ambayo maandalizi yake yamehusisha wadau wengi.  Napenda kuishukuru Kamati ya Fedha na Uchumi  ya  Bunge,  chini  ya  Mwenyekiti  wake Mh. Abdallah Omari Kigoda (Mb) kwa kazi nzuri waliyoifanya ya kuchambua makisio yote ya mapato na matumizi.  Ushauri wa Kamati hii umesaidia sana kuboresha bajeti ninayowasilisha leo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;5. Mheshimiwa Spika, napenda pia kutoa shukrani zangu kwa Wizara zote, Idara zinazojitegemea, Mikoa, Halmashauri za Miji na Wilaya, taasisi za kitaifa na kimataifa na wawakilishi wa sekta binafsi, kwa michango yao iliyosaidia kufanikisha bajeti hii.  Naomba niishukuru kwa namna ya pekee Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kutayarisha kwa wakati Muswada wa Sheria ya Fedha na nyaraka mbalimbali za Sheria kama sehemu ya bajeti hii.  Aidha, napenda kuwashukuru wafanyakazi wenzangu wa Wizara ya Fedha nikianza   na   Naibu   Mawaziri   wa   Fedha, Mh. Abdisalaam Issa Khatib (Mb) na Mh. Mustafa Hadin Mkulo (Mb); Katibu Mkuu, Gray Mgonja, Naibu Makatibu Wakuu; Ramadhan Khijjah na Joyce Mapunjo, Wakuu wa Idara, na wafanyakazi wote wa Hazina.  Namshukuru Mpiga Chapa Mkuu wa Serikali kwa kuchapisha hotuba hii, vitabu vya bajeti, pamoja na nyaraka nyingine zinazohusu bajeti hii kwa wakati.  Mwisho, nawashukuru kipekee wataalam na wale wote waliotoa mapendekezo kuhusu maboresho ya ukusanyaji wa kodi mbalimbali.  Mapendekezo na ushauri wao umezingatiwa katika kuandaa bajeti hii.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;6. Mheshimiwa Spika, Mkutano huu wa Bajeti ni wa kwanza baada ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani uliofanyika mwezi Desemba, 2005.  Katika uchaguzi huo, Chama Cha Mapinduzi kilipata, kwa kishindo kikubwa, ridhaa ya wananchi ya kuendelea kuiongoza nchi yetu. Ushindi huo wa CCM ulidhihirisha siyo tu imani kubwa waliyo nayo wananchi kwa Chama Cha Mapinduzi, bali pia matarajio na kiu yao ya maendeleo kwa Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi Mpya.  &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;7.         Mheshimiwa Spika, Wakati akifungua Bunge hili tarehe 30 Desemba 2005, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alieleza bayana majukumu ya msingi ya Serikali ya Awamu ya Nne kwamba ni pamoja na, nanukuu: “Kwanza, kuitoa Tanzania kutoka kwenye dimbwi la uchumi ulio nyuma na tegemezi na kuiingiza katika mkondo wa uchumi wa kisasa wa Taifa linalojitegemea; na pili, kuwashirikisha wananchi wote kwa njia ya uwezeshaji katika ukuzaji wa uchumi na kutokomeza umaskini”.  mwisho wa kunukuu. Bajeti hii ni mwanzo wa kutekeleza mikakati ya kufikia malengo hayo aliyoyaeleza Mheshimiwa Rais.  Katika kutafakari na kuchangia bajeti hii ya mwaka 2006/2007, hatuna budi kuzingatia lengo kuu la kukuza uchumi kwa kasi zaidi, na kuwajumuisha wananchi walio wengi zaidi kushiriki na pia kufaidika na matunda ya uchumi imara.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;UTEKELEZAJI WA SERA ZA BAJETI YA MWAKA 2005/06:&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;8.   Mheshimiwa Spika, mwenendo wa viashiria muhimu vya uchumi kwa kipindi cha Julai 2005 hadi Machi 2006  ulikuwa  wa kuridhisha, licha ya janga la ukame ambalo lilisababisha uhaba mkubwa wa chakula na upungufu mkubwa wa maji kwa ajili ya kuendesha mitambo inayozalisha umeme.  Aidha, kupanda mfululizo kwa bei ya mafuta ya petroli katika soko la dunia kumeongeza gharama za uzalishaji na huduma mbalimbali.  Matukio haya yalisababisha mfumuko wa bei nchini kupanda kutoka asilimia 4.3 mwisho wa Julai 2005 hadi asilimia 6.9 mwezi Aprili 2006.  Hata hivyo, kama alivyoelezea Mheshimiwa Waziri wa Mipango, Uchumi na Uwezeshaji, uchumi umekua kwa asilimia 6.8 mwaka 2005 ikilinganishwa na asilimia 6.7 mwaka 2004.  Vilevile, akiba ya fedha za kigeni kwa mwaka 2005 ilikuwa inatosha kulipia bidhaa na huduma kutoka nje kwa kipindi cha miezi 6.4.  &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;9. Mheshimiwa Spika, tathmini inaonyesha kwamba utekelezaji wa Bajeti ya 2005/06 kwa miezi tisa ya mwanzo ya mwaka wa fedha umekuwa wa kuridhisha licha ya madhara ya ukame na kupanda kwa bei ya mafuta.  Hata hivyo, upungufu wa chakula ulilazimu Serikali kufanya marekebisho ya ndani kwa ndani katika bajeti yake ili kununua na kusambaza chakula cha njaa kwa wananchi wa maeneo yaliyoathirika zaidi na uhaba huo, na pia kuiwezesha TANESCO kumudu gharama hasa kununua umeme wa IPTL na Songas.  Hatua nyingine ni pamoja na Serikali kutoa msamaha wa kodi kwa nafaka kutoka nje ya nchi ili chakula kipatikane kwa wingi na kwa bei nafuu kwa walaji.   Kwa pamoja, hatua hizi zilipunguza makali ya uhaba wa chakula, na kuokoa maisha ya wananchi wengi.  Hatua hizi zilisaidia pia kuzuia mfumuko wa bei usipande sana.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;10.  Mheshimiwa  Spika,  katika  bajeti  ya mwaka 2005/06, Serikali ililenga kukusanya mapato ya ndani yasiyopungua Shilingi trilioni 2 bilioni 66, milioni 751 (shilingi 2,066,751 milioni).  Ili kuboresha ukusanyaji wa mapato, hatua kadhaa zilichukuliwa ambazo ni pamoja na kuimarisha utendaji na usimamizi katika Idara ya Forodha; kurekebisha Muundo wa Mamlaka ya Mapato ili kuboresha zaidi usimamizi wa vyanzo vya ndani vya mapato, kuimarisha Idara ya Walipakodi Wakubwa ili ihudumie walipakodi wengi zaidi; na kufanya marekebisho ya mfumo wa kodi katika maeneo kadhaa ili kurahisisha ukusanyaji na ufanisi wa usimamizi wa kodi. Hadi mwezi Machi, 2006 jumla ya Shilingi trilioni 1, bilioni 544, milioni 366 (Shilingi 1,544,366 milioni) zilikuwa zimekusanywa sawa na asilimia 100.5 ya lengo la kipindi hicho. Mwelekeo unaonyesha kwamba lengo la mapato kwa mwaka 2005/06 litafikiwa.  Yafuatayo ni maelezo ya baadhi ya hatua zilizochukuliwa katika mwaka wa 2005/06 kuongeza ukusanyaji wa mapato ya Serikali:-&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;(i) Marekebisho ya Kodi ya Mapato: Serikali ilirekebisha viwango vya kodi ya mapato yatokanayo na ajira (PAYE) katika Sheria ya Kodi ya Mapato ya mwaka 2004, kwa kuongeza kiwango cha chini cha mapato ya ajira yasiyotozwa kodi, kutoka Shilingi 60,000 kwa mwezi hadi Shilingi 80,000 kwa mwezi. Hatua hii ilitoa unafuu wa kodi kwa wafanyakazi wa kipato cha chini kwa kuwaondoa katika wigo wa kodi. &lt;br /&gt; (ii) Marekebisho ya Sheria ya Ushuru wa Bidhaa Sura Namba 147: Viwango vya Ushuru wa Bidhaa kwenye vinywaji baridi; bia; mvinyo kutoka nje ya nchi; vinywaji vikali, na sigara viliongezwa kwa asilimia 5 ili kwenda sambamba na mfumuko wa bei. Mapato yaliyokusanywa kutokana na kianzio hiki katika miezi tisa ya Julai 2005 hadi Machi 2006 yaliongezeka kwa asilimia 16.5. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;(iii) Marekebisho  ya  Mfumo  wa  Kodi  ya Ongezeko la Thamani (VAT): Serikali ilifanya marekebisho katika Sheria ya VAT Sura Namba 148 kwa nia ya kutoa unafuu kwa sekta ya usafirishaji na kuziba mianya ya ukwepaji kodi.  Marekebisho hayo ni pamoja na kutoa msamaha wa VAT kwa vipuri vya treni na vifaa vingine vinavyotumika katika treni ili kupunguza gharama za usafirishaji na kusaidia Mashirika yetu ya reli, yaani TRC na TAZARA, kumudu gharama za matengenezo. Serikali pia ilitoa msamaha kwa magari maalum ya kutoa huduma za afya (Mobile Health   clinics)   ili   kuvutia   huduma hizo  katika  maeneo  yasiyo  na  Vituo  vya  Afya  au  Zahanati.   Hali  kadhalika, Serikali  ilitoa  msamaha  wa  kodi  kwa mafuta  ya  ndege  ili  kuziwezesha  kampuni za  ndege  za  hapa  nchini  kuhimili ushindani, kutokana na ongezeko kubwa la gharama za kuendesha ndege.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;(iv)  Marekebisho ya Ushuru wa Forodha: Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki zilianza kutekeleza mfumo wa viwango vya ushuru wa Forodha wa pamoja mwezi Januari, 2005. Katika kipindi cha Julai 2005 hadi Machi 2006, mapato kutokana na Ushuru wa Forodha yalikuwa asilimia 52 zaidi ya mapato ya kipindi kama hicho mwaka wa fedha wa 2004/05.  Huu ni uthibitisho kwamba, Tanzania ilifanikiwa kulinda mapato yake ipasavyo wakati wa majadiliano ya kuanzisha Itifaki ya Umoja wa Forodha wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;(v)  Marekebisho ya Mfumo wa Leseni za Biashara: Hatua zilizotekelezwa katika eneo hili ni kufanya marekebisho ya viwango vya baadhi ya ada zinazotozwa na vyombo mbalimbali ili kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji.  Hatua hizi ni pamoja na kufuta ada za leseni za usafirishaji zinazotozwa na mamlaka mbalimbali kwa magari yasiyochukua abiria (kama vile magari ya mizigo – madogo na makubwa).&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;11. Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha Julai, 2005 hadi Machi, 2006, misaada na mikopo ya nje ya masharti nafuu ilifikia shilingi trilioni 1, bilioni 364, milioni 244 (shilingi 1,364,244 milioni) ikilinganishwa na makadirio ya shilingi trilioni 1, bilioni 443, milioni 580 (Shilingi 1,443,580 milioni) katika kipindi hicho. Kati ya hizo, misaada na mikopo inayopitia kwenye bajeti ya Serikali ilifikia jumla ya shilingi bilioni 575, milioni 956 (shilingi 575,956 milioni) ikilinganishwa na makisio ya shilingi 589,913 milioni (shilingi bilioni 589, milioni 913).  Mikopo na misaada ya miradi ya maendeleo ilifikia shilingi 731,711 milioni (shilingi bilioni 731, milioni 711) ikilinganishwa na shilingi 783,467 milioni (shilingi bilioni 783, milioni 467) zilizotegemewa awali.  Misaada na Mikopo ya nje haikufikia lengo katika kipindi hicho kutokana na sababu mbali mbali.  Sababu kubwa ni, kwamba baadhi ya nchi wahisani zilikuwa na chaguzi ambazo zilibadilisha Serikali na hivyo kukawa na ucheleweshaji wa kutoa misaada iliyoahidiwa.  &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;12. Mheshimiwa Spika, mapato kutokana na ubinafsishaji yalifikia shilingi milioni 33,309 (shilingi bilioni 33 milioni 309) ikilinganishwa na makisio ya Shilingi bilioni 5, milioni 210 (shilingi 5,210 milioni) kutokana na mauzo ya hisa za Serikali katika Benki ya NMB.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;13. Mheshimiwa Spika,  hadi mwisho wa Machi 2006, matumizi yote yalifikia shilingi trilioni 3, bilioni 180, milioni 542 (Shilingi. 3,180,542 milioni) karibu sawa na makisio ya Shilingi trilioni 3, bilioni 171, milioni 84 (Shilingi 3,171,084 milioni) katika kipindi hicho.  Matumizi ya kawaida yalifikia Shilingi trilioni 2, bilioni 199, milioni 632 (Shilingi 2,199,632 milioni), na matumizi ya miradi ya maendeleo yalikuwa Shilingi bilioni 980, milioni 911 (shilingi 980, 911 milioni).  Malipo ya madeni na pensheni yalitumia Shilingi bilioni 440, milioni 623 (shilingi 440,623 milioni) na mishahara ilitumia Shilingi bilioni 486, milioni 511 (shilingi 486,511 milioni).  Malipo ya pensheni ni pamoja na madai ya wastaafu wa iliyokuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki ambayo ilivunjika mwaka 1977.  Uchambuzi bado unaendelea kwa wale wanaojitokeza na madai, hasa wale wa mirathi.  Inatarajiwa kwamba zoezi hili litakamilika ifikapo mwisho wa Juni 2006.  Kama watakuwepo wadai watakaosalia, malipo yao yataendelea kushughulikiwa katika mwaka wa fedha wa 2006/07.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;14. Mheshimiwa Spika, kwa kuzingatia mwenendo wa ukusanyaji wa mapato ya Serikali katika kipindi cha Julai 2005 hadi Machi 2006, Serikali inaamini kwamba lengo la mapato la mwaka wa 2005/06 litafikiwa bila shaka yoyote.  Mapato ya ndani yanatarajiwa kufikia trilioni 2, bilioni 66, milioni 751 (Shilingi 2,066,751 milioni) sawa na asilimia 14.3 ya Pato la Taifa kwa mujibu wa takwimu za Pato la Taifa zilizokuwepo.  Hata hivyo, kwa kuzingatia marekebisho ambayo yamefanywa hivi karibuni ya takwimu za Pato la Taifa zilizotolewa na Wakala wa Takwimu, uwiano huu unakua asilimia 13.6 badala ya 14.3.  Malengo ya misaada na mikopo kutoka nje ikijumuisha misamaha ya madeni, pia yatafikiwa. Kwa upande wa matumizi, mwelekeo unaonyesha kwamba matumizi ya kawaida yatakuwa kama yalivyopangwa baada ya marekebisho kutokana na uhamisho wa ndani kukidhi mahitaji mbalimbali ya dharura yaliyotokana na sababu nilizoeleza awali.  Aidha, matumizi ya maendeleo yanategemewa kuwa kama yalivyopangwa.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI:&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;15. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa 2005/06, Serikali imeendelea kuimarisha mazingira ya soko la fedha na la mitaji. Miswada ya Sheria mpya ya Benki Kuu ya mwaka 2006 na Sheria ya Mabenki na Asasi za Fedha ya mwaka 2006, iliwasilishwa Bungeni na kupitishwa mwezi Aprili 2006.  Moja ya malengo muhimu ya sheria hizo ni kuipa Benki Kuu uwezo na uhuru zaidi wa kusimamia kikamilifu benki na asasi za fedha nchini ili kupanua huduma za sekta hiyo, hasa kuwezesha wananchi kupata mikopo ya masharti nafuu ili washiriki kikamilifu kujiondolea umaskini.  Ikumbukwe kwamba sekta ya fedha imara ni nguzo muhimu ya uchumi imara, na inapaswa kutoa mchango wake katika kuwezesha wananchi kupata mikopo hasa ya uzalishaji.  Marekebisho hayo ya Sheria ni sehemu ya utekelezaji wa Awamu ya Pili ya Mpango wa Uboreshaji wa Sekta ya Benki. Maeneo muhimu ya Mpango huo ni pamoja na:&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kuimarisha mazingira ya kisera na Sheria ili kuwezesha sekta ya benki kukua zaidi ili huduma ya benki iwafikie wananchi walio wengi;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kuimarisha masoko ya fedha ili kuongeza ushindani na tija;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kuboresha usimamizi wa Mifuko ya Mafao ya Uzeeni;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kuimarisha sekta ndogo ya bima;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kujenga mazingira ya upatikanaji wa huduma ya mikopo midogo midogo;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kuwezesha ardhi kutumika kama dhamana kwa ajili ya mikopo; na &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kuwezesha upatikanaji wa mikopo ya muda wa kati na muda mrefu.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;16. Mheshimiwa Spika, Serikali imeendelea kudhamini mikopo ya mabenki kwa wananchi kupitia Mfuko ya Dhamana ya Mikopo ya Mauzo ya Nje, na Mfuko wa Dhamana ya Mikopo kwa Biashara Ndogo Ndogo. Mifuko hii inaratibiwa na Benki Kuu.  Aidha, Serikali iko katika hatua za mwisho za kuanzisha rasmi Mfuko wa Dhamana ya Mikopo ya Maendeleo. Serikali inakiri kupokea malalamiko kutoka kwa baadhi ya wananchi ya kutoridhishwa na utendaji wa mifuko hiyo ya dhamana iliyokwishaanzishwa. Katika mwaka wa fedha 2006/07 mifuko hiyo itafanyiwa tathmini ya kina na marekebisho yanayotakiwa yatafanywa.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;17. Mheshimiwa Spika, Serikali imeanza kutekeleza Mpango wa Kurasimisha Biashara na Mali za Wanyonge Tanzania (MKURABITA), ili kuzipa uhai kisheria rasilimali mfu zinazomilikiwa na kutumiwa na wananchi wa kawaida katika shughuli zao za kujikimu. Mpango huu unatambua ukubwa wa sekta isiyo rasmi, thamani ya mtaji mfu katika sekta hiyo, taratibu zake za kiutendaji, na mchango mkubwa unaoweza kutolewa na sekta hii katika kukuza uchumi wa nchi. Mapendekezo ya jinsi ya kurasimisha sekta isiyo rasmi yanaandaliwa ili kutambua rasilimali za wananchi na kuwapa hati miliki zinazoweza kutumika, pamoja na mambo mengine, kama dhamana ya kukopa fedha kutoka benki kwa ajili ya kuboresha mitaji na maisha yao kwa ujumla. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;18. Mheshimiwa Spika, katika mwaka huu wa fedha, Serikali ilianza mchakato wa kuigeuza Benki ya Rasilimali (TIB) kuwa Benki ya Maendeleo ambayo itaratibu upatikanaji wa mikopo ya uwekezaji na uzalishaji kwa sekta zote zikiwemo sekta za kilimo na viwanda. TIB imeongezewa mtaji kwa hatua ya mwanzo, na sasa inajikita katika kuimarisha uwezo wa raslimali watu kabla ya kupanua shughuli zake.  Aidha, Serikali inaboresha mazingira ya kuwezesha uanzishwaji wa vyombo vingine vya kuwapatia wananchi mitaji kwa ajili ya shughuli za uzalishaji kama nitakavyoeleza baadae katika Hotuba hii.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;CHANGAMOTO  ZILIZO MBELE YETU:&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;19. Mheshimiwa Spika, pamoja na mafanikio mengi ya kiuchumi na kijamii, nchi yetu bado inakabiliwa na changamoto nyingi, zikiwemo zifuatazo:&lt;br /&gt;Kwanza, Uwezo wa Serikali wa kutatua matatizo ya umaskini bado ni mdogo. Kwa hivyo, tunalo jukumu kubwa la kuongeza ukusanyaji wa mapato ya ndani kwa kuimarisha utawala wa kodi, kuiingiza sekta isiyo rasmi ndani ya wigo wa kodi, kuziba mianya ya ukwepaji wa kodi, kuimarisha masoko ya ndani ya kifedha ili kuwezesha wananchi kukopa na kupata mitaji ya kujiendeleza, na kuendelea kuboresha mazingira ya kuvutia uwekezaji, ambao ndio utapanua wigo wa kodi, na ajira.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Pili, Sehemu kubwa ya mapato yetu ya fedha za kigeni inatokana na misaada na mikopo ya masharti nafuu kutoka nje.  Mauzo ya bidhaa na huduma za Tanzania nje ya nchi ni kidogo sana.  Hatuna budi kuweka nguvu mpya katika kukuza mauzo ya nje.  Kazi hii sharti ianze kwa kutambua na kuyafanyia kazi maeneo ambayo yanaweza kutupatia mafanikio kwa haraka na kutuongezea uwezo wa kiushindani katika soko la dunia.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Tatu, ni vyema tutumie misaada ya Wahisani kwa njia ambazo zinatusaidia kujenga uwezo wa nchi wa kujitegemea siku za usoni. Kwa sababu hiyo, maamuzi ya wapi misaada ielekezwe ni ya muhimu sana.&lt;br /&gt;Nne, ingawa nidhamu ya matumizi ya fedha za Serikali imekuwa bora kuliko huko nyuma, bado uko udhaifu katika kusimamia fedha za Serikali, na hatua za kuondoa udhaifu huo zinachukuliwa.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;UHUSIANO WETU NA WAHISANI:&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;20.  Mheshimiwa Spika, katika mwaka huu wa fedha, Serikali imeendelea kuboresha uhusiano wetu na nchi wahisani pamoja na mashirika ya fedha ya kimataifa chini ya Mikakati tuliyojiwekea.  Tumeendelea kupata misaada na mikopo yenye masharti nafuu. Lengo kubwa la mikakati hii ni kuhakikisha kwamba Serikali ya Tanzania inamiliki agenda ya maendeleo ya nchi yetu badala ya wahisani, kuhakikisha misaada ya nje inapatikana na inaendelea kuongezeka, na kwamba fedha nyingi zaidi zinapitia kwenye mfumo wa bajeti ya Serikali. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;21. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha wa 2005/06, Tanzania imeanza kunufaika na mpango wa kuzifutia kabisa nchi masikini duniani madeni ya Taasisi za Fedha za Kimataifa kufuatia kundi la nchi nane tajiri duniani (G8) kukubali kufutwa kwa madeni ya nchi 22 masikini ikiwemo Tanzania. Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) tayari limeifutia Tanzania deni lake kwa Shirika hilo lenye thamani ya Dola za Kimarekani milioni 336.  Benki ya Dunia na Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB) pia zimetangaza kwamba zitaifutia Tanzania madeni yake kwa Mashirika hayo.  Kiasi kitakachofutwa kitafahamika kwa uhakika kabla ya Julai, 2006.  Aidha, Serikali ya Marekani kupitia Shirika lake la Millennium Challenge Corporation (MCC) imeiingiza Tanzania katika kundi la nchi zitakazofaidika na msaada wa ”Millennium Challenge Account” na tayari tumefaulu katika awamu ya kwanza ya “Threshhold” na sasa tunatayarisha mpango wa awamu ya pili (Compact Programme).&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;22. Mheshimiwa Spika, Serikali iko katika hatua za mwisho za utekelezaji wa Mpango wa PRGF unaodhaminiwa na Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) ambao utamaliza muda wake mwezi Desemba, 2006.  Uhusiano kati ya Tanzania na IMF umekuwa mzuri katika miaka kumi iliyopita. Uhusiano huo umekuwa kichocheo muhimu katika kuvutia wawekezaji, kupata misamaha ya madeni, na ongezeko kubwa la misaada ya wahisani ikiwemo Benki ya Dunia, na kupanda kwa akiba ya fedha za kigeni.  Hivi karibuni, IMF imeanzisha mpango mpya wa ushirikiano na nchi maskini ambazo zimeonyesha kuwa na uwezo wa kupanga na kusimamia chumi zao pasipo kuhitaji mikopo kutoka katika Shirika hilo. Serikali imeanza mchakato wa kujiunga na mpango huo ujulikanao kama “Policy Support Instrument” (PSI) mara baada ya mpango wa sasa kufikia ukomo mwezi Desemba 2006.  Kujiunga na mpango huu kutaleta manufaa ambayo ni pamoja na:-&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kuvutia uwekezaji;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Gharama ndogo za usimamizi kwa kuwa kutakuwa na tathmini mbili tu kwa mwaka ikilinganishwa na ziara nyingi za maafisa wa IMF chini ya mpango wa PRGF;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;IMF haitatoa mikopo tena kwa Tanzania, isipokuwa kama kuna dharura, hivyo tutapunguza utegemezi kwa Shirika hilo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;MISINGI NA SHABAHA YA BAJETI ZA MWAKA 2006/07:&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;23. Mheshimiwa Spika, kama nilivyoeleza hapo awali, bajeti ya mwaka 2006/07 ni ya kwanza ya Serikali ya Awamu ya Nne, kufuatia Uchaguzi wa Rais na Wabunge uliofanyika mwezi Desemba 2005. Bajeti ya mwaka 2006/07 imelenga kuanza kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2005.  Aidha, bajeti hii inaendeleza utekelezaji wa MKUKUTA ili kufikia malengo ya Milenia na hatimaye Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025.  Kama alivyoeleza leo asubuhi Waziri wa Mipango, Uchumi na Uwezeshaji, Malengo ya uchumi mpana ni pamoja na:-&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;(i)    Pato halisi la Taifa litakua kwa asilimia 5.9 mwaka 2006, asilimia 7.3 mwaka 2007, na asilimia 7.7 mwaka 2008.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;(ii)     Kasi ya upandaji wa bei haitazidi asilimia 4.0 (kwa bei za mwaka 2001) ifikapo Juni 2007.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;(iii)    Ukusanyaji wa mapato ya ndani sawa na asilimia 14.5 ya Pato la Taifa mwaka 2006/07, asilimia 14.7 mwaka 2007/08 na asilimia 14.8 mwaka 2008/09. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Ongezeko la ujazi wa fedha (kwa tafsiri pana, M2) litawiana na ukuaji wa uchumi, na kasi ya mfumuko wa bei.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;ILANI YA UCHAGUZI YA CCM YA 2005:&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;24. Mheshimiwa Spika, bajeti hii inaanza kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2005.  Baadhi ya mambo yaliyoko kwenye Ilani ya Uchaguzi yanayozingatiwa katika bajeti hii, ni pamoja na haya yafuatayo:-&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Bajeti ya 2006/07 inachochea ongezeko la kasi ya kukua kwa uchumi;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Ruzuku ya mbolea, mbegu, na pembejeo za kilimo na mifugo, pamoja na miundombinu ya umwagiliaji imeongezwa katika bajeti hii;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Bajeti imetenga fedha za kuanzisha maeneo maalum ya uwekezaji na uzalishaji wa bidhaa za kuuza nchi za nje (SEZ na EPZ);&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Fedha zimetengwa kwa ajili ya zoezi la kutambua mipaka ya vijiji, Hati za kumiliki ardhi, ili matumizi ya ardhi yawe endelevu nchini kote;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Zimetengwa fedha pia kwa ajili ya upimaji wa maeneo ya wafugaji ili kudhibiti uharibifu wa mazingira;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Serikali itaendeleza dhana ya kuunda mifuko ya udhamini wa mikopo, na kuboresha uendeshaji wa mifuko ambayo tayari ipo; &lt;br /&gt;Ziko hatua nyingine nyingi katika marekebisho ya kodi ambazo nitazielezea baadae katika Hotuba hii.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;MKUKUTA:&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;25. Mheshimiwa Spika, utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi unakwenda sambamba na utekelezaji wa MKUKUTA, Dira ya Maendeleo hadi 2025 na Malengo ya Maendeleo ya Milenia (MDGs).  Kuanzia katika bajeti ya mwaka 2005/06, fedha kwa ajili ya utekelezaji wa MKUKUTA ziligawanywa kwa kuzingatia maeneo makuu matatu ya kimatokeo (Outcome Clusters). Mwaka 2005/06, asilimia 39 ya matumizi yote ya kutekeleza MKUKUTA zilielekezwa kukuza uchumi na kupunguza umaskini wa kipato; asilimia 43 kwa ajili ya kuboresha maisha ya watu na ustawi wa jamii; na asilimia 18 iliyobaki ilitumika kuimarisha utawala bora na uwajibikaji. Katika bajeti ya mwaka wa fedha 2006/07, maeneo yote makuu yameongezewa fedha, ili kuongeza kasi ya utekelezaji wa MKUKUTA. Aidha, bajeti hii pia inazingatia umuhimu wa kuongeza rasilimali kwa ajili ya kukuza uchumi, kama msingi wa mkakati endelevu wa kuondoa umaskini.  Kwa hivyo, asilimia 45.8 ya fedha za kutekeleza MKUKUTA zitatumika kwa ajili ya kukuza uchumi.  Maeneo yanayohusika ni pamoja na miundombinu, kama kuendeleza na kukamilisha miradi ya barabara na kukamilisha mradi mkubwa wa maji kutoka Ziwa Victoria kwenda katika miji ya Shinyanga na Kahama, fedha kwa ajili ya kuongeza uwezo wa TANESCO kuzalisha Megawati takribani 145 zaidi za umeme ili kukabiliana na upungufu wa nishati hiyo kila panapotokea ukame. Kwa ujumla, bajeti hii imetenga asilimia 26 ya mapato ya ndani kwa ajili ya matumizi ya maendeleo, ikilinganishwa na asilimia 18 zilizotengwa mwaka 2005/06.  Lengo ni kujenga mtandao mzuri wa miundombinu, ili kupunguza gharama za uzalishaji nchini, na hivyo kuvutia uwekezaji zaidi kutoka ndani na nje. Tukifanikiwa katika hilo, tutaweza kuanza kusindika sehemu kubwa zaidi ya mazao yetu.    Aidha, hatua za kuboresha huduma za jamii, kuboresha maisha na ustawi wa kila Mtanzania, zimetengewa asilimia 35.8 za fedha za kutekeleza MKUKUTA.  Asilimia 18.4 iliyobaki imetengwa kuimarisha utawala bora.  &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;UWEZESHAJI:&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;26. Mheshimiwa Spika, uwezeshaji wa wananchi ni sehemu muhimu ya mpango wa kuhakikisha maisha bora kwa kila Mtanzania, kama ilivyoainishwa katika Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi ya mwaka 2005.  Ili kufanikisha azma hii, bajeti ya 2006/07 imezingatia mambo yafuatayo:- &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kwanza, mifuko iliyoko ya dhamana za mikopo itaimarishwa ili wananchi wengi zaidi waweze kuitumia kujiletea maendeleo.&lt;br /&gt;  &lt;br /&gt;Pili, taratibu za kuanzisha Mfuko wa Dhamana kwa Mikopo ya Maendeleo zitakamilishwa ili mfuko huo uanze kutoa dhamana ndani ya mwaka wa 2006/07.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Tatu, Serikali inaandaa taratibu ambazo zitawezesha uanzishwaji wa SACCOS za makundi mbalimbali ya jamii, ambayo yatawezeshwa kupata mikopo kutoka benki za kibiashara mikoani, nchini kote.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Nne, hatua za dhati zitachukuliwa kuongeza wigo wa kuzalisha umeme nchini na kuboresha mtandao wa usambazaji wa umeme. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Tano, fedha zimetengwa kwa ajili ya maandalizi ya kutengeneza vitambulisho vya Uraia ili kuwawezesha Watanzania kudhibiti maliasili yao. &lt;br /&gt;Sita, kuendeleza juhudu za kuiwezesha TIB kutoa mikopo ya uzalishaji kwa sekta za uchumi, zikiwemo sekta za viwanda, kilimo na utalii.  Hatua ya kwanza ya kuipatia benki hiyo mtaji ni kutumia fedha za Serikali zilizokuwa zinasimamiwa na benki hiyo, zisizopungua shilingi 17 bilioni.  Kwa mujibu wa mizania ya vitabu vya hesabu za TIB, benki hiyo ina mtaji wa shilingi bilioni 7.4, unaotokana na faida ambayo benki imekuwa inapata katika miaka ya hivi karibuni.  Ukiongeza shilingi bilioni 17.5 za Serikali ambazo TIB imeruhusiwa kuziingiza kwenye mtaji, benki hiyo sasa ina mtaji wa shilingi bilioni 24.9.  Hata hivyo, ili benki hii iweze kuanza shughuli za “Benki ya Maendeleo” mtaji wake hauna budi uongezwe ufikie angalau shilingi bilioni 50 kwa kuanzia.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Saba, suala la mikopo ya nyumba (mortage finance), mikopo ya mali ya kukodi (lease finance), mikopo midogo midogo (micro-finance) nalo litapewa kipaumbele katika utekelezaji wa bajeti ya 2006/07.  Serikali imekubaliana na Wakuu wa benki zote zilizoko hapa nchini, kuunda Kamati Maalum ya kutafuta muafaka wa majawabu ya malalamiko kuhusu ukosefu wa mikopo, riba kubwa za mikopo, na ndogo kwa amana, huduma za benki kujikita kwenye miji mikubwa tu, benki nyingi kupendelea wateja wakubwa, benki kupendelea kununua dhamana za Serikali badala ya kukopesha, na mengine mengi.  Kamati hiyo itaundwa ndani ya mwezi mmoja na itatoa mapendekezo yake kwa Serikali mwezi Oktoba, 2006.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;27.  Mheshimiwa Spika, hatua nyingine za uwezeshaji nitazielezea chini ya marekebisho ya Mfumo wa Kodi na ada mbalimbali.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;MAZINGIRA:&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;28. Mheshimiwa Spika, miezi michache iliyopita, Serikali ilitangaza hatua mbalimbali za kulinda mazingira ili kuweka msingi endelevu wa shughuli zetu za maendeleo. Hatua hizo ni pamoja na kupiga marufuku usafirishaji wa magogo ili kulinda misitu na vyanzo vya maji, kuondoa mifugo katika maeneo ya vyanzo vya mito, na pia kupiga marufuku utengenezaji na uingizaji  nchini wa mifuko myembamba ya plastiki. Bajeti ya 2006/07 imetenga shilingi 9.4 bilioni kwa ajili ya utekelezaji wa Mkakati wa Kutunza Mazingira. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;29.  Mheshimiwa Spika, ziko hatua nyingine kadhaa za kulinda mazingira ambazo nitazitangaza baadae kidogo. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;MASLAHI YA WAFANYAKAZI:&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;30.  Mheshimiwa Spika, azma ya kuboresha maslahi ya wafanyakazi wa Serikali imezingatiwa katika MKUKUTA na pia katika Ilani ya Uchaguzi ya CCM. Kwa hiyo, bajeti ya mwaka ujao wa fedha imetenga shilingi trilioni 1, milioni 4 kwa ajili ya mishahara, ikilinganishwa na shilingi bilioni 682 zilizotengwa mwaka 2005/06 – ongezeko la shilingi 318 bilioni.  Fedha hizo ni kwa ajili ya nyongeza ya mishahara pamoja na ajira mpya ya walimu, watumishi wa afya, wahasibu, wakaguzi wa ndani, na wengine.  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Utumishi, ataelezea kwa mapana zaidi matumizi ya fedha hizo, wakati atakapowasilisha bajeti yake.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;MAPATO YA NDANI:&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;31. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2006/07, Serikali inalenga kukusanya mapato ya ndani yasiyopungua Shilingi trilioni 2 bilioni 460, milioni 995 (shilingi 2,460,995 milioni) sawa na asilimia 14.5 ya Pato la Taifa, ikilinganishwa na mapato ya shilingi trilioni 2, bilioni 66, milioni 752 (shilingi 2,066,752 milioni) mwaka 2005/06 – ongezeko la asilimia 19.1. Ili kuendelea kuboresha ukusanyaji, hatua zifuatazo zitatekelezwa:&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kuendelea kupanua wigo wa kodi, kwa kusajili walipakodi wapya na kuimarisha uchumi tulivu, pamoja na kuweka mazingira bora ya biashara kuwezesha sekta binafsi kukua.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kusimamia kwa karibu mageuzi makubwa yanayoendelea ndani ya Mamlaka ya Mapato (TRA) chini ya Mpango wake wa Pili wa Maboresho wa Miaka Mitano, ambao umekuwa msingi wa kukua kwa mapato ya ndani mwaka hadi mwaka.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kuendelea kurekebisha mfumo wa kodi na kuimarisha Idara ya Walipakodi Wakubwa kwa kuboresha utendaji.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kuweka nguvu zaidi katika kuboresha usimamizi na utendaji wa Forodha kwa kuongeza uwajibikaji, matumizi ya teknolojia, na kupunguza mlolongo wa taratibu ndefu ambazo ni kero kwa walipa kodi.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kupitia upya msingi na taratibu za misamaha ya kodi kwa lengo la kuziba mianya ya kukwepa kodi.&lt;br /&gt;Kufanya tathmini ya makusanyo ya mapato yasiyo ya kodi kwa lengo la kubaini mapungufu yaliyopo na kufanya marekebisho ili kuongeza ufanisi wa kukusanya mapato hayo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;MISAADA NA MIKOPO YA NJE:&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;32. Mheshimiwa Spika, kama nilivyoeleza awali, utekelezaji wa Mkakati wa Pamoja wa Kusimamia Misaada (Joint Assistance Strategy) na ule wa madeni (National Debt Strategy), utaendelea kuisaidia Serikali kuboresha uhusiano wetu na nchi wahisani pamoja na mashirika ya fedha ya kimataifa ili tuendelee kupata  misaada na mikopo yenye masharti nafuu kugharamia mipango yetu ya maendeleo. Misaada na mikopo kutoka nje itachangia takribani asilimia 39 ya bajeti ya 2006/07 ukiondoa misamaha ya madeni ya Mashirika ya Fedha ya Kanda na Kimataifa. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;MATUMIZI:&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;33. Mheshimiwa Spika, kama nilivyosema awali, bajeti hii inadhamiria kuanza utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2005 kwa kuzingatia vipaumbele katika maeneo yaliyoainishwa katika Ilani hiyo na katika MKUKUTA.  Aidha, Serikali itaendelea kuongeza ujuzi wa watumishi wake, kuimarisha nidhamu katika matumizi ya fedha za umma na kuhakikisha uwajibikaji katika ngazi zote za Serikali, zikiwamo Halmashauri za Serikali za Mitaa. Mtandao wa IFMS ambao umeonyesha mafanikio makubwa katika udhibiti wa matumizi ya Serikali utasambazwa katika Halmashauri nyingi zaidi ili usaidie katika kuweka uwazi na uwajibikaji.  Mtandao wa IFMS ni teknolojia ya mawasiliano inayozuia mtumishi kutumia fedha ambazo hakuruhusiwa, yaani ambazo hazikukasimiwa.  Ni vyema Halmashauri, kupitia sheria ndogo ndogo, zikajipanga vizuri kusimamia fedha zinazopelekwa huko ili zitumike kama inavyokusudiwa.  Waheshimiwa Wabunge mnayo nafasi ya kusaidia kusukuma jambo hili, hasa kwa kuwa ninyi pia ni Madiwani katika Halmashauri zenu.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;34.  Mheshimiwa Spika, napenda kusisitiza umuhimu wa kuchuja watumishi ili wale ambao sio waadilifu, na wanaofuja fedha za Serikali wachukuliwe hatua za kisheria. Halmashauri zinahimizwa kutoa taarifa za mapato na matumizi kila mwezi.  Aidha, wananchi wanakumbushwa kuzingatia wajibu wao wa kuhoji matumizi ya Halmashauri zao kwa kufuatilia taarifa za mgao wa fedha kwa Halmashauri hizo.  Kwa upande wake, Serikali Kuu itajitahidi kutoa msaada wa kila aina kuziwezesha Halmashauri kujenga uwezo wa utendaji na utaalam hasa katika fani ya uhasibu na ukaguzi wa ndani.  Hivi sasa, Serikali ipo kwenye zoezi la kuajiri wahasibu na wakaguzi wa ndani kwa ajili ya Halmashauri ambao wanategemewa kuanza kazi mwezi Julai mwaka huu 2006.   Aidha, Wizara ya Fedha imeunda kitengo maalum cha kufuatilia kwa karibu matumizi ya fedha katika Halmashauri.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;35. Mheshimiwa Spika, katika kupanga mgao wa fedha za bajeti kwa mwaka wa fedha 2006/07, mambo yafuatayo yamezingatiwa:-&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Shilingi bilioni 641, milioni 766 (shilinigi 641,766 milioni), sawa na asilimia 26 ya mapato yatokanayo na vianzo vya ndani, zimetengwa kwa ajili ya matumizi ya maendeleo. Kati ya hizo, shilingi bilioni 219, milioni 240, (Shilingi 219,240 milioni) zimetengwa kwa ajili ya miradi maalum ya kuzalisha umeme wa gesi katika vituo vya Ubungo na Kinyerezi, na ukarabati wa miundombinu ya kusambazia umeme.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Sekta ya kilimo pia imepewa kipaumbele kwa kiwango cha kuridhisha katika bajeti ya 2006/07 kwa kutambua kwamba ni sekta yenye uwezo mkubwa wa kukuza uchumi na kuongeza ajira.  Bajeti   ya maendeleo ya kilimo imesambaa katika Wizara nyingi – Kilimo, Chakula na Ushirika, Mifugo , TAMISEMI, Halmashauri za Wilaya, Miundombinu, na nyingine. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Bajeti ya 2006/07 imetenga Shilingi bilioni 21 milioni 196 (shilingi 21,196 milioni) ambazo ni mgao wa asilimia 4.5 ya misaada ya nje kwa ajili ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ). Utaratibu wa sasa wa kugawa misaada na mapato mengine utaendelea kutumika hadi hapo utaratibu mwingine utakapopendekezwa na Tume ya Pamoja ya Fedha na kuridhiwa na Serikali zetu mbili. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Bajeti inaendelea kutenga kiasi kikubwa cha fedha kwa ajili ya huduma za jamii – (elimu, afya, maji n.k).&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Bajeti hii imezingatia mahitaji ya msingi ya sekta za ulinzi na usalama wa raia, pamoja na ufufuaji wa makambi ya Jeshi la Kujenga Taifa.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Bajeti ya 2006/07 imetenga fedha kwa ajili ya mikoa ya pembezoni; na ununuzi wa magari kwa Wilaya zenye mahitaji zaidi, hasa Wilaya mpya.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Mahitaji ya miradi maalum yamezingatiwa katika bajeti ya 2006/07:- Kwa mfano Mradi wa Maeneo Maalum ya Kiuchumi (Special Economic Zones); Mradi wa Maji Ziwa Victoria hadi Miji ya Shinyanga na Kahama; ujenzi wa barabara, na Ununuzi wa mitambo ya kuzalisha umeme.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;MAREKEBISHO YA MFUMO WA KODI, ADA MBALIMBALI NA HATUA NYINGINE ZA MAPATO:&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;36. Mheshimiwa Spika, Serikali inapendekeza kuchukua hatua mpya za kurekebisha mfumo wa ukusanyaji wa mapato kwa lengo la kuboresha mfumo wa kodi, kuziba mianya ya uvujaji wa mapato ya Serikali, kuongeza mapato ya Serikali, kuhamasisha utunzaji wa mazingira na kuweka mazingira mazuri ya uwezeshaji wa wananchi kujiletea maendeleo yao.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Hatua zinazopendekezwa zinahusu kurekebisha sheria za kodi zifuatazo:-&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani, Sura Namba 148.&lt;br /&gt;Sheria ya Kodi ya Mapato ya mwaka 2004.&lt;br /&gt;Sheria ya Ushuru wa Bidhaa, Sura Namba 147.&lt;br /&gt;Sheria ya Ushuru wa Barabara, Sura Namba 220.&lt;br /&gt;Sheria ya Forodha ya Jumuiya ya Afrika Mashariki ya mwaka 2004.&lt;br /&gt;Sheria ya Uwekezaji Tanzania, Sura Namba 38.&lt;br /&gt;Sheria ya Madini, Sura Namba 123.&lt;br /&gt;Sheria ya Fedha ya Serikali za Mitaa, Sura Namba 290.&lt;br /&gt;Kodi na Usimamizi wa Mafuta ya Petroli, na&lt;br /&gt;Usimamizi wa Kodi ya Michezo ya Kubahatisha.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani:-&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;37. Mheshimiwa Spika, inapendekezwa kufanya marekebisho yafuatayo katika Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani:-&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kufafanua bayana katika Sheria ya Kodi ya Ongezeko la Thamani kwamba ada ya kukodi ndege (aircraft leasing fees) inayolipwa na Kampuni ya Ndege iliyosajiliwa hapa nchini haitozwi kodi ya Ongezeko la Thamani, sawa na ilivyo kwa gharama ya kununua ndege.  Kodi hii iliondolewa ili kupunguza gharama za uendeshaji wa kampuni za ndege nchini na hivyo kuyaongezea uwezo wa ushindani;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kupunguza ukomo wa muda wa kuomba marejesho ya Kodi ya Ongezeko la Thamani kutoka miaka mitano hadi mitatu ili kuondoa mianya ya kukwepa kodi;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kuongeza kiwango cha adhabu kwa kosa la kutotoa stakabadhi kutoka Shilingi 200,000/= za sasa hadi Shilingi 500,000/=;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kurekebisha kiwango cha adhabu kwa kosa la kukwepa kodi kwa njia ya udanganyifu, kutoka kiwango cha sasa cha shilingi 2,000,000/= tu ili kiwe kiwango kisichopungua shilingi 2,000,000/= au mara mbili ya kodi iliyokwepwa kutegemea kipi ni kikubwa, au kifungo cha miaka miwili, au faini na kifungo kwa pamoja;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kurekebisha kiwango cha adhabu kwa kosa la kushindwa kulipa kodi au kushindwa kuwasilisha fomu za marejesho ya kodi kwa wakati unaotakiwa kutoka Shilingi 200,000/= hadi shilingi 500,000/= au kiasi cha mara mbili ya kodi husika kutegemea kipi ni kikubwa.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;B.     Sheria ya Kodi ya Mapato:-&lt;br /&gt;               &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;38. Mheshimiwa Spika, inapendekezwa kufanya marekebisho yafuatayo katika Sheria ya Kodi ya Mapato:-&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kupunguza kodi ya mapato, kwa makampuni mapya yatakayojisajili katika Soko la Mitaji la Dar es Salaam (DSE) na kuuza angalau asilimia 35 ya hisa zao kwa wananchi ili kiwango cha kodi kiwe asilimia 25 badala ya asilimia 30 ya mapato. Punguzo hili litakuwa kwa muda wa miaka mitatu.  Lengo ni kushawishi makampuni mengi ya binafsi kujiunga na Soko la Mitaji na kuongeza umiliki wa wananchi katika makampuni ya Tanzania;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kutoa unafuu wa kodi ya mapato kwa watu binafsi wanaochangia Mfuko wa Elimu kama ilivyo hivi sasa kwa biashara. Wachangiaji watatakiwa kujaza fomu za marejesho ili kudai nafuu hii ya kodi; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kubadilisha utaratibu wa kutoza kodi ya mapato ya hitimisho la ajira -terminal benefits (isipokuwa pensheni ambayo haitozwi kodi), ili mapato aliyolipwa mstaafu katika kipindi cha miaka sita ya mwisho au kipindi halisi cha ajira, ndio yatumike kukokotoa kodi badala ya utaratibu wa sasa wa kutoza kodi mapato hayo kwa mkupuo kama mapato ya mwaka mmoja. Hatua hii itapunguza sana mzigo wa kodi kwa wafanyakazi wanapostaafu; na &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kupunguza kiwango cha kodi ya zuio, kwa mapato ya riba ya Mifuko ya Uwekezaji wa Pamoja (Collective Investment Schemes), kutoka asilimia 30 hadi asilimia 10 kama ilivyo kwa watu binafsi, ili kuhamasisha uwekezaji wa pamoja nchini.&lt;br /&gt;Sheria ya Ushuru wa Bidhaa:-&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;39. Mheshimiwa Spika, inapendekezwa kufanya marekebisho yafuatayo katika Sheria ya Ushuru wa Bidhaa.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kupunguza kiwango cha Ushuru wa Bidhaa kwenye mafuta ya taa, kutoka Shilingi 122 kwa lita hadi Shilingi 52 kwa lita ili kuhamasisha wananchi kutumia mafuta ya taa badala ya mkaa na kuni kwa matumizi ya nyumbani na hivyo kulinda mazingira. Hatua hii ya kupunguza kodi kwenye mafuta ya taa inaweza kuongeza tatizo la ukwepaji wa kodi kwa kuchanganya mafuta ya taa na mafuta mengine ya petroli (Fuel Adulteration). Kwa hivyo tutahitaji kuimarisha udhibiti katika biashara ya mafuta ya petroli;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kuongeza viwango vya Ushuru wa Bidhaa kwenye bidhaa mbalimbali zisizo za petroli kwa asilimia 7, sawa na kiwango cha sasa cha mfumuko wa bei.  Lengo ni kulinda thamani halisi ya mapato ya Serikali kutoka kwenye vyanzo hivi. Viwango vya sasa na vinavyopendekezwa ni kama ifuatavyo:-&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;(a) Vinywaji baridi kutoka shilingi 41.50 kwa lita hadi shilingi 45 kwa lita,&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;(b) Bia inayotengenezwa kwa nafaka ambayo haijaoteshwa; kutoka shilingi 150 kwa lita hadi shilingi 161 kwa lita,&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;(c) Bia nyingine zote, kutoka shilingi 256 kwa lita hadi shilingi 274 kwa lita,&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;(d) Mvinyo uliotengenezwa kwa zabibu inayozalishwa nje ya nchi kwa kiwango kinachozidi asilimia 25, kutoka shilingi 820 kwa lita hadi shilingi 878 kwa lita,&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;(e) Vinywaji vikali kutoka shilingi 1,216 kwa lita hadi shilingi 1,302 kwa lita, na &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;(f)  Kurekebisha viwango vya ushuru wa bidhaa kwenye sigara kama ifuatavyo:&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Sigara zisizo na kichungi na zinazotengenezwa kutokana na tumbaku inayozalishwa hapa nchini kwa kiwango cha angalau asilimia 75, kutoka shilingi 4,170 hadi shilingi 4,462 kwa sigara elfu moja,&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Sigara zenye kichungi na zinazotengenezwa kutokana na tumbaku inayozalishwa hapa nchini kwa kiwango cha angalau asilimia 75, kutoka shilingi 9,840 hadi shilingi 10,529 kwa sigara elfu moja,&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Sigara nyingine zenye sifa tofauti na (a) na (b) kutoka shilingi 17,870 hadi shilingi 19,195 kwa sigara elfu moja,&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Tumbaku ambayo iko tayari kutengeneza sigara (“cut filler’) kutoka Shilingi 9,025 hadi shilingi 9,657 kwa kilo; na &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;(iii)        Kuongeza kiwango cha Ushuru wa Bidhaa kwenye huduma za mawasiliano ya simu za mkononi (mobile phone airtime) kutoka asilimia 5 hadi asilimia 7 ya mauzo ili kikaribiane na kiwango cha asilimia 10 kinachotozwa Uganda na Kenya – Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;(iv)   Kurekebisha Sheria ya Ushuru wa Bidhaa ili bidhaa zinazouzwa nje ya nchi ziandikwe “Kwa Kuuzwa Nje tu” au “FOR EXPORT ONLY” ili kuzuia bidhaa hizo kuuzwa hapa nchini bila kulipiwa kodi;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;(v)   Kuongeza kiwango cha Ushuru wa Bidhaa kwa mifuko ya “plastic” inayoruhusiwa kutoka asilimia 15 hadi asilimia 120 ili kupunguza uchafuzi wa mazingira; na&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;(vi)   Kuweka Ushuru wa Bidhaa kwa kiwango cha asilimia 20 kwa magari madogo chakavu yenye umri wa miaka 10 au zaidi.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Sheria ya Ushuru wa Barabara:-&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;40.  Mheshimiwa Spika, ili kulinda mapato ya Mfuko wa Barabara kwa kuzingatia ongezeko la gharama za matengenezo, inapendekezwa kuongeza Ushuru wa Barabara kutoka Shilingi 90/- kwa lita hadi Shilingi 100/= kwa lita, na kuweka kifungu katika Sheria kinachoruhusu marekebisho ya kiwango hiki kila mwaka kulingana na kiwango cha mfumuko wa bei.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Sheria ya Forodha ya Jumuiya ya Afrika Mashariki:-&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;41. Mheshimiwa Spika, kikao cha pamoja cha Mawaziri wa Fedha wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki, kilichofanyika tarehe 8 Juni 2006 mjini Arusha kilipendekeza marekebisho ya viwango vya Ushuru wa Forodha kwa mwaka 2006/07 kama ifuatavyo;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kurudisha ushuru wa asilimia kumi (10%) kwenye mafuta ghafi ya kupikia (Crude Palm Oil) kwa lengo la kuwalinda wazalishaji wa mbegu za mafuta hapa Afrika Mashariki, na kuziba mianya ya kukwepa kodi.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kupunguza kiwango cha ushuru unaotozwa kwa malighafi ya kutengeneza sabuni (RBD Palm Stearin) kutoka asilimia ishirini na tano (25%) hadi asilimia kumi (10%).  Lengo ni kuwawezesha wazalishaji wadogo wa sabuni kumudu ushindani usio wa haki kutoka nje.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kufuta Ushuru kwenye mitungi ya gesi (LPG Cylinders) ili kuhamasisha matumizi ya gesi kwa nia ya kulinda mazingira.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kupunguza ushuru kwenye karatasi zinazoagizwa kutoka nje kwa matumizi mbalimbali kama vile kuandikia na kuchapisha makala za magazeti, kutoka asilimia ishirini na tano (25%) hadi asilimia kumi (10%).  Hatua hii inategemewa kupunguza gharama za uzalishaji viwandani na uchapishaji wa makala mbalimbali kama magazeti n.k.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kutoa msamaha wa Ushuru kwa vifaa vinavyotumia mionzi ya jua kuzalisha umeme.  Hatua hii itahamasisha wananchi kutumia nishati hii mbadala na kuhifadhi mazingira.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kuongeza Ushuru wa Forodha kutoka asilimia thelathini na tano (35%) hadi asilimia hamsini (50%) kwa viberiti vinavyoagizwa kutoka nje ya Afrika Mashariki.  Lengo ni kulinda kiwanda chetu cha viberiti kutokana na ushindani usio wa haki.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kuondoa ushuru unaotozwa kwenye “globu” zinazohifadhi umeme. Hatua hii inategemewa kupunguza matumizi ya nishati ya umeme na gharama za umeme.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kupunguza Ushuru viunganisho (unassembled completely knocked down) vya baiskeli na pikipiki kwa waunganishaji wanaotambuliwa na mamlaka husika kuwa asilimia kumi (10%) kwa pikipiki na asilimia sifuri (0%) kwa baiskeli.  Hata hivyo, pikipiki na baiskeli ambazo huagizwa kutoka nje zikiwa zimekwisha unganishwa zitaendelea kutozwa ushuru wa asilimia ishirini na tano (25%) kwa pikipiki na asilimia kumi (10%) kwa baiskeli.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kuingiza kwenye jedwali la tano la Sheria ya Ushuru wa Forodha ya Jumuiya ya Afrika Mashariki ili kutoa msamaha kwa vifaa na madawa yanayotumika kwenye maabara kufanya uchunguzi wa magonjwa.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kuongeza Ushuru wa mazulia ya sakafuni (floor carpets) hadi asilimia ishirini na tano (25%) kwa kuwa hii ni bidhaa inayotengenezwa kwa kiwango cha kutosha katika nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kupunguza Ushuru kutoka asilimia kumi (10%) hadi sifuri (0%) kwenye malighafi zinazotumika kuzalisha karatasi zinazotambulika katika HS Code 2507.00.00, HS Code 2526.10.00, HS Code 2526.20.00.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kupunguza Ushuru kwenye jamii ya mkaa wa mawe (HS Code 2704.00.00) kutoka asilimia kumi (10%) hadi sifuri (0%) ili kuendana na kiwango cha ushuru wa mkaa.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kupunguza ushuru kwenye malighafi itumikayo kutengeneza bidhaa mbalimbali kama vile dawa ya mswaki (HS Code 3402.13.00) kutoka asilimia ishirini na tano (25%) hadi asilimia kumi (10%).&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kupunguza ushuru kwenye malighafi zinazotumika kutengeneza vipuri vya magari (Oil/Air/Fuel Filters – HS Code 4805.40.00) kutoka asilimia kumi (10%) kwenda sifuri (0%).&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kufuta Ushuru wa Malighafi inayotumika kutengeneza nyaya za kuchomelea (welding electrodes) HS Codes 7223.00.00, HS Code 7505.11.00, 7505.12.00.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kutenganisha bidhaa za kioo (HS Code 7019.90.00) ili kufuta ushuru wa forodha kwenye nyuzi za kioo zinazotumika kutengeneza vifaa vya kusagia na kukata (HS Code 7019.90.10)&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kutenganisha karatasi za aluminia (HS Code 7607.19.00, 7607.20.00) ili kutofautisha kati ya zile zilizochapishwa na zisizochapishwa.  Lengo ni kuongeza ushuru kwa zile zilizochapishwa kutoka asilimia kumi (10%) hadi asilimia ishirini na tano (25%). &lt;br /&gt;Marekebisho haya ya Ushuru wa Forodha yatatangazwa rasmi kwenye Gazeti la Jumuiya ya Afrika Mashariki.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;42. Mheshimiwa Spika, inapendekezwa kutoza kodi sukari inayoingizwa nchini kutoka nchi wanachama wa Jumuiya ya SADC kwa viwango vinavyotozwa bidhaa hiyo kutoka nje ya Afrika Mashariki chini ya Itifaki ya Umoja wa Forodha wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.  Katika Jumuiya ya SADC, biashara ya sukari haipo kwenye utaratibu wa kawaida wa kupunguziana ushuru bali imewekewa utaratibu wa pekee ambapo baadhi ya nchi zimepewa viwango maalum (quotas) vya kuuza Sukari katika soko la Afrika Kusini.  Katika utaratibu huo, Tanzania haikupewa kiwango maalum (quota) kwa vile haijitoshelezi mahitaji yake ya ndani. Aidha, kuruhusu sukari kuingia nchini kwa kiwango kidogo sana cha kodi (asilimia 25) kunaweza kudumaza jitihada za uzalishaji wa ndani zenye lengo la kujitosheleza kwa bidhaa hiyo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Sheria ya Uwekezaji Tanzania:-&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;43. Mheshimiwa Spika, inapendekezwa kufanya marekebisho katika Sheria ya Uwekezaji ili:&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kifungu Na. 19(2) cha Sheria hiyo kinachoikataza Serikali kubadili  mfumo wa kodi kwa wawekezaji kitumike kwa Wawekezaji Mahiri tu kama waliowekeza kwenye kilimo, miradi mikubwa ya kuzalisha kwa ajili ya kuuza nje, miundombinu, na mingine ya namna hiyo;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kuondoa msamaha wa kodi unaotolewa sasa kwa magari madogo ya binafsi (non utility vehicles) kwa wawekezaji.  Msamaha uendelee kuweko kwa magari ya kazi (utility vehicles).&lt;br /&gt;Sheria ya Madini:-&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;44. Mheshimiwa Spika, inapendekezwa kutoa msamaha wa mrahaba kwa wazalishaji wa chumvi wanaotumia rasilimali zinazojirejesha (renewable resources) ili kusaidia kampeni ya kupambana na magonjwa yanayotokana na ukosefu wa madini joto mwilini. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Sheria ya Fedha ya Serikali za Mitaa:-&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;45. Mheshimiwa Spika, inapendekezwa kufuta ada ya magari yanayotumia barabara za miji (city plying fees) inayotozwa chini ya Sheria ya Fedha ya Serikali za Mitaa ili kuondoa kero na kuboresha mazingira ya biashara. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kodi na Usimamizi wa Mafuta ya Petroli:-&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;46. Mheshimiwa Spika, inapendekezwa kufanya marekebisho yafuatayo katika eneo hili:&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kuondoa Kodi ya Ongezeko la Thamani kwenye bei ya mafuta ya petroli ili kupunguza mzigo wa ongezeko la bei za mafuta hayo, lakini bila kuathiri mapato ya Serikali. &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kurekebisha viwango vya ushuru wa bidhaa kwa mafuta ya petrol kama ifuatavyo: -&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Petroli (MSP na MSR) shilingi 315 kwa lita;&lt;br /&gt;Diseli (GO) shilingi 292 kwa lita;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Mafuta ya taa (IK) shilingi 52 kwa lita;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Mafuta mazito ya mitambo (HFO) shilingi 109 kwa lita;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Diseli ya kuendeshea mitambo viwandani (IDO) shilingi 366 kwa lita;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Gesi ya kupikia ya LPG haina kodi;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Mafuta ya ndege (JET A1 na AVGas) hayana kodi.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kuongeza muda wa usafirishaji wa mafuta ya petroli kwenda nchi za jirani kutoka siku 15 hadi siku 30. Hatua hii itarahisisha biashara ya mafuta ya petroli bila kuathiri mapato ya Serikali;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kuboresha utaratibu wa kurejesha kodi za Ushuru wa Bidhaa (excise duty) na Ushuru wa Barabara (fuel levy) kwenye mafuta ya petroli kwa makampuni ya madini yenye msamaha ili uzingatie uzalishaji na mauzo ya madini nje ya nchi, kulingana na  uwiano uliopo kati ya matumizi ya mafuta na uzalishaji wa dhahabu. Hatua hii inalenga kudhibiti mianya ya ukwepaji wa kodi; na&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kuunda kikosi maalumu ndani ya Mamlaka ya Mapato kitakachosimamia utaratibu wa marejesho ya kodi kwa makampuni ya madini.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Usimamizi wa Kodi ya Michezo ya Kubahatisha:&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;47.  Mheshimiwa Spika, inapendekezwa kufanya marekebisho yafuatayo katika eneo hili;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kuipa Bodi ya Michezo ya Kubatisha Madaraka ya kukusanya Kodi kutoka kwenye kianzio hiki kwa niaba ya Mamlaka ya Mapato; na&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Kubadilisha utaratibu wa kutoza kodi ya michezo ya kuhatisha ili, badala ya utaratibu wa sasa wa kutoza viwango maalum kwa vifaa vya kuchezea michezo hiyo, kodi hiyo itozwe kwa kiwango cha asilimia 13 ya mapato yote yatokanayo na Michezo ya Kubahatisha.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Muda wa Kodi Mpya Kutumika:-&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;48. Hatua  hizi  mpya  za  kodi  zitaanza kutumika tarehe 1 Julai, 2006 isipokuwa pale ilipoelezwa vinginevyo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;MAJUMUISHO:&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;49. Mheshimiwa Spika, kwa kuzingatia misingi na sera za bajeti nilizoeleza hapo awali, Serikali inatarajia kukusanya mapato ya ndani ya jumla ya Shilingi trilioni 2, bilioni 460, milioni 995 (shilingi 2,460,995 milioni) katika mwaka wa fedha 2006/07.  &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;50. Mheshimiwa Spika, kwa upande wa matumizi, Serikali katika mwaka 2006/07 imepanga kutumia jumla ya Shilingi trilioni 4, bilioni 850, milioni 588 (shilingi 4,850,588 milioni).  Kama ilivyokuwa kwa miaka kadhaa iliyopita matumizi ya Serikali Kuu pamoja na Serikali za Mitaa, yanajumuisha malipo ya kodi zote zinazotozwa kwenye bidhaa zinazotumiwa na Serikali.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;51. Mheshimiwa Spika, kwa mujibu wa maelezo haya, sura ya bajeti ya mwaka 2006/2007 inakuwa kama ifuatavyo:-  &lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;        Mapato           Shilingi Milioni         A.    Mapato ya Ndani          2,460,995                B.     Mikopo, Misaada na misamaha ya madeni ya nje              2,226,116                C.    Kupunguza akiba (reserve draw down)             163,477           JUMLA YA MAPATO YA NDANI NA NJE        4,850,588                                                                Matumizi                         D.     Matumizi ya Kawaida           3,116,121                        (i)   Deni la Taifa&lt;br /&gt;(ii)  Wizara&lt;br /&gt;(iii)  Mikoa&lt;br /&gt;(iv)  Halmashauri     287,786&lt;br /&gt;2,037,536&lt;br /&gt;60,514&lt;br /&gt;730,285                   E.     Matumizi ya Maendeleo               1,734,467                        a)  Fedha za Ndani&lt;br /&gt;b)  Fedha za Nje    641,766&lt;br /&gt;1,092,701                        JUMLA YA MATUMIZI     4,850,588                &lt;br /&gt;MWISHO:&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;52.  Mheshimiwa Spika, Serikali ya Awamu ya Nne imejipanga kutekeleza kwa dhati Ilani ya Chama Cha Mapinduzi ambayo inasisitiza kuongeza kasi ya kukua kwa uchumi na ajira ili kupunguza umasikini, hasa kwa pato.   Bajeti ya 2006/07 pia ni mwendelezo wa jitihada za Serikali katika kufikia malengo ya MKUKUTA, malengo ya Millenia, na hatimaye Dira ya Maendeleo 2025.  Hata hivyo, ili kufikia lengo letu mapema zaidi, kila mwananchi anapaswa kushiriki kikamilifu kwa kutumia fursa zinazojitokeza kwa kuzalisha mali na kujiongezea vipato.  Ni vizuri ieleweke kwamba Serikali haitoi fedha kwa mwananchi mmoja mmoja katika kupiga vita umasikini, bali jukumu la Serikali ni kuboresha mazingira yatakayowezesha wananchi kuongeza uzalishaji, ajira na kujiletea maisha bora.  Serikali iko tayari kutimiza wajibu wake huo.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;53. Mheshimiwa Spika, ushiriki katika uzalishaji kwa mwananchi mmoja mmoja au katika vikundi ni muhimu kwa ukuaji wa uchumi wetu.  Aidha, sekta ya viwanda ikiboreshwa na kutilia mkazo usindikaji wa mazao ya kilimo, ina nafasi kubwa ya kuchangia Pato la Taifa na kukuza ajira.  Bajeti hii pia inalenga kuendeleza jitihada za Serikali za kuunganisha nchi yetu kwa njia ya miundombinu ya barabara, reli, mawasiliano na nishati. Ni matumaini yangu kwamba Waheshimiwa Wabunge wataniunga mkono katika bajeti hii inayolenga kufikia matumaini ya wananchi wetu waliotuchagua.&lt;br /&gt; &lt;br /&gt; &lt;br /&gt;54. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja.&lt;br /&gt; Kasi ya ukuaji wa Pato la Taifa inategemewa kupungua kutokana na ukame na ongezeko la bei ya mafuta ya petroli na bei ya umeme mwaka 2005/06&lt;br /&gt; Inajumuisha fedha zitokanazo na kufutwa kwa madeni yetu kwa Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) TShilingi. 219.24 bilioni sawa na USD 180 milioni.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-115038811098076062?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/115038811098076062/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=115038811098076062&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/115038811098076062'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/115038811098076062'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/06/bajeti-ya-tanzania-20062007.html' title='BAJETI YA TANZANIA 2006/2007'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-115017520113035756</id><published>2006-06-12T21:57:00.000-07:00</published><updated>2006-06-12T22:06:41.156-07:00</updated><title type='text'>YU WAPI MARK MSAKI?</title><content type='html'>NI kitambo sasa tangu komredi Mark Msaki atoke Afrika kUsini na kuja Dodoma na kisha kuratibu Azimio la Dodoma. Majukumu yale makubwa ya kihistoria yalifanikiwa sana chini ya uongozi wake lakini akatarajiwa kuwa angeweza pia kutoa maono ya safari yake katika Gazeti Tando lake baada ya ama kurejea Afrika Kusini au kuamua kutuama kabisa hapo Dodoma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hadi sasa sifahamu yuko wapi huyu jamaa na kweli namtafuta sana nizungumze naye maana kuna mengi ya kujadiliana na kuyawekea dira ili jumuiya yetu iweze kubaki na heshima ya kujiandalia mikakati yake na kuitekeleza! Nisikamilishe kilio changu kwa kuandika riwaya tu hebu niandike shairi japo shairi guni hapa pia maana sijatunga ngano hizi siku nyingi nami pia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yu wapi Mark Msaki, semeni tumuoneni&lt;br /&gt;Semeni hamjitaki, gwiji huyu mfichani&lt;br /&gt;Ama mnataka laki, ili kumrudishani&lt;br /&gt;Mark Msaki yu wapi, mbona kimya chazidini?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Miruko katuliani, hasemi kajifichani&lt;br /&gt;Twambie alikulani, kisa kutukiambiani&lt;br /&gt;Wapaswa kutofichani, ukweli bainishani&lt;br /&gt;Twambie apotupwani, Marki Msaki jamani&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sandiki nimechokani, lazima niambiweni&lt;br /&gt;Wote mmenyamazani, na siri mmetunzani&lt;br /&gt;Iweje mumfichani, bila sisi ambiwani&lt;br /&gt;Isiwe mbojo kawani, Mark Msaki jamani.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-115017520113035756?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/115017520113035756/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=115017520113035756&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/115017520113035756'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/115017520113035756'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/06/yu-wapi-mark-msaki.html' title='YU WAPI MARK MSAKI?'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114968947206444201</id><published>2006-06-07T07:08:00.000-07:00</published><updated>2006-06-07T07:11:12.086-07:00</updated><title type='text'>SASA NI JUMA KITENGE</title><content type='html'>KILA siku maana ya magazeti tando inatanuka. Wengine wanaamua kuyatumia kama njia ya kuwasiliana nandugu na jamaa zao na kubadilishana picha, mawazo na maoni. Wengine wanayageuza kuwa sehemu za kutunzia kumbukumbu. Ndugu yangu &lt;a href="http://jumakitenge.blogspot.com/"&gt;Juma Kitenge &lt;/a&gt;yeye kaamua kuwekan picha za matukio yake na wengine katika ukumbi wake na hii itampa fursa kuwa karibu na ndugu na jamaa zake wa karibu waliko kote ulimwenguni. Waweza kupita hapo na kutazama nini alichoweka maana kama ujuavyo binadamu twajifunza kutoka kwa wengine, unaweza kuwa wafahamu watu huko, kwako Baragumu ambaye bado unatafuta!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114968947206444201?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114968947206444201/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114968947206444201&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114968947206444201'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114968947206444201'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/06/sasa-ni-juma-kitenge.html' title='SASA NI JUMA KITENGE'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114875550405113454</id><published>2006-05-27T11:43:00.000-07:00</published><updated>2006-05-27T11:45:04.083-07:00</updated><title type='text'>YA PICHA NYINGINE HII</title><content type='html'>NIMEFUMA gazeti tando hili la picha mpya mpya kwa Mzee wa Mshitu nikaona nilipachike ili nawe upate habari za picha za leo leo kabisa &lt;a href="http://www.blog.co.tz/mrocky"&gt;kupitia hapa&lt;/a&gt;. Fungua na kisha salimia au pata uhondo mwenyewe huko.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114875550405113454?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114875550405113454/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114875550405113454&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114875550405113454'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114875550405113454'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/05/ya-picha-nyingine-hii.html' title='YA PICHA NYINGINE HII'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114867952651799502</id><published>2006-05-26T14:15:00.001-07:00</published><updated>2006-05-26T17:57:12.566-07:00</updated><title type='text'>KIKWETE SUALA SI KUTOUZA TENA NYUMBA BALI KUREJESHA ZILIZOUZWA!</title><content type='html'>&lt;strong&gt;NAKUANDIKIA&lt;/strong&gt; waraka huu ikiwa ni moja ya kazi nilizojiwekea. Nakuandikia ikiwa ni kuongeza msisitizo wa imani yangu na msimamo wangu kuhusu suala la kuuzwa kwa nyumba za serikali, suala nililolipa nafasi katika Muswada wa Kitabu changu pia. Nakuandikia kuwa na wewe ulisema ulijigawia nyumba ya serikali na sasa nakukumbusha kuwa suala si kutouza hizi &lt;a href="http://majira.co.tz/kurasa.html?soma=tanzania&amp;habariNamba=737"&gt;zinazojengwa sasa&lt;/a&gt;, nakukumbusha kuwa zinatakiwa nyumba zote kurejea na huu ni msimamo wangu na watanzania maelfu wanaothamini haki ya mali za nchi yao. Hivi juzi umetoa kauli na ikaandikwa kwenye vyombo vya habari. Hii ni kauli inayowaumiza vichwa kundi la akina Pombe Magufuri na mwengine waliokuwa katika serikali ya Mfalme Benjamin Mkapa. Na wewe ulikuwa katika serikali hiyo, na makamu wako alikuwa makamu wako huko pia. Waziri mkuu wako alikuwa waziri mwenzako huko pia na mawaziri wako lukuki wametokea katika serikali hiyo iliyojigawia nyumba za umma baada ya ninyi wenzetu kutuzidi kete kwa kutumia madaraka yetu kama dhamana ya matakwa yenu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Suala la nyumba hizi sidhani kama litakuja kuachwa liishe hivi hivi katika Tanzania ya leo ambapo watoto maskini wanaosoma vyuo vya juu wanatakiwa kulipa gharama zao za mikopo huku ninyi mkigawiana mali za umma bure tena mchana kabisa! Nakukumbusha kuwa utawala hautadumu kwako milele na kuwa hatuwezi kuona huko kesho ni kipi kitadaiwa na wananchi! Ili kuepusha leo kujenga kesho chafu ni bora kufanya yanayowezekana sasa ikiwa ni moja, kutangaza gharama za kila nyumba iliyouzwa, pili kutangaza minada ya nyumba hizo ilivyofanyika na tatu kuwaomba wananchi kurejesha fedha za hao waliojigawia nyumba zetu sasa ili wakajenge zao kwingine na kisha nyumba hizo kurejea serikalini na kutumiwa na mimi na wewe na wengine watakaopata nafasi ya kutumikia umma wetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hatutishani kabisa katika suala hili na wala Kasri hapa siandiki kwa jazba. Msimamo wangu kuhusu nyumba hizi sikuuanza leo nimekuwa nao siku nyingi na hakuna atakayenibadilisha kabisa. Kama mnamuenzi kweli Nyerere basi lazima mjikane na kurejesha nyumba za umma na kisha kuanza kujenga zenu na watoto wenu popote mpendapo. Si dhamana ya madaraka haya tuliyowapa ni ya muda mfupi tu, je mnadhani mtaishi nayo milele, kumbukeni hukumu yenu kesho kama nanyi mnashiriki kunywa kikombe hiki cha damu ya watanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nyumba za serikali zatakiwa kurejeshwa kwa kuwa zilikiuka misingi ya uuzwaji au ugawanjwi wake. Mlijigawia na hilo ni kosa. Natafuta kifungu cha sheria ili niende mahakamani siku moja lakini kabla hatujatumia mbinu hizi za kuaibishana ni bora mkaona kuwa maandishi haya nayaandika sasa jambo ambalo huko nyuma nisingeweza kufanya. Mnadhani ni nini kinanisukuma kuandika hivi? Mnadhani ni wangapi wanaweza kuandika haya na kuayasimamia zaidi yangu kwa sasa, mnangoja nini kuwaodosha wote katika nyumba zetu sasa na kuwarejeshea vijisenti vyao ili nyumba za umma zibaki za umma? Kikwete nakamilisha kwa kukumbusha kuwa hii ilikuwa sifa yako mojawapo wakati wa uteuzi. Uliaminika kuwa hukununua nyumba na ulipotangaza kununua pia ilitamkwa kuwa ni siasa ya kutaka kuunganisha wezi na wadhambi pamoja na wema ili safari ya kushinda madaraka ikamilike! Umeshashinda na raia maskini wanakuona kama ngao yao sasa, unangoja nini kutumia nguvu ya umma badala ya kuwatazama mafisadi waliotumia nafasi zao kujinemesha wakihema na kucheka huku umma ukitazama kwa husuda! Unadhani umma huu utatazama hadi lini, kadri siku zinavyokwenda ndipo na wewe tunakuingiza katika makundi haya hata kama una nia njema na nchi hii sasa. Kumbuka wanaokuzunguka tunawafahamu na hila zao zinajulikana. Kama huchukui hatua maridhawa itatupa nafasi ya kuota masiha mwingine na wewe kukuingiza katika kundi hili hili la wale waliopita baada ya Nyerere kiongozi wetu tunayemthamini na kumuenzi sana. Je wataka lipi baada ya kushinda dola sasa? Jikane na chukua msalaba wako safisha nchi bila woga, hao wanakuzunguka ni wachache mno ukilinganisha na bahari ya watanzania inayotaabika kutokana na tabia ya hao kuwa na matumbo yasiyo kinai.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114867952651799502?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114867952651799502/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114867952651799502&amp;isPopup=true' title='9 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114867952651799502'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114867952651799502'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/05/kikwete-suala-si-kutouza-tena-nyumba.html' title='KIKWETE SUALA SI KUTOUZA TENA NYUMBA BALI KUREJESHA ZILIZOUZWA!'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>9</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114848943820379563</id><published>2006-05-24T09:49:00.000-07:00</published><updated>2006-05-24T09:50:38.246-07:00</updated><title type='text'>NANI ANAZUNGUMZA UKWELI KUHUSU HABARI ZA AFRIKA? (3)</title><content type='html'>&lt;strong&gt;MIAKA&lt;/strong&gt;  mingi imepita tangu Tanzania ikiwa na chuo kimoja cha Uandishi Habari, chuo ambacho kilitoa elimu iliyoishia kiwango cha stashahada. Siku hizi kuna utitiri wa vyuo vinavyofundisha uandishi wa habari. Vipo vinavyotoa shahada pia lakini bado kuongezeka kwa vyuo hivi hakujaleta mapinduzi katika fani ya uandishi ili kuifikisha sehemu ya kuaminika kama mhimiliwa nne katika nchi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kazi za uandishi wa habari zimeongezeka lakini uendeshaji wake umebakia wa kubabaisha kutokana na sababu kadhaa. Kubwa ni kukosekana kwa utashi wa waandishi wenyewe katika kujenga taswira yao, hapa nazungunmzia suala la mwandishi kujijengea uwezo yeye kama yeye katika fani hii. Na pili, vyombo vya habari kutothamini sana ubora wa kazi zaidi ya kutaza faida ya soko badala ya misingi na miiko ya kazi za uandishi wa habari kama taaluma na fani yenye miiko, maadili na sheria zake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Huku ughaibuni vyombo vya habari vinajitanua zaidi na kuongeza majukumu hali inayotanua wigo wa kazi za waandishi wa habari. Vyombo hivi havimalizii habari katika kuichapa gazetini au kuirusha redioni na kwenye televisheni tu; vinachapa vitabu, vinashiriki kutengeneza filamu na matukio mengine ambayo hutanua mapato ya kampuni, mapato ya waandishi na pia kujenga jamii ya watu wanaothamini kusoma na kutunza kumbukumbu za mambo. Tanzania bado waandishi wetu wamebaki wengi kuandika hotuba au ripoti wanazozisikia zikitolewa na viongozi au watu wenye kutengeneza habari na mara nyingi hawana nafasi hata ya kuhoji aina ya ripoti na hotuba hizo, wanafanya kazi ya kujaza kurasa za magazeti au kutosheleza dakika za redio na televisheni zao kwenda hewani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Habari nyingi siku hizi zimekosa radha, zimekosa kuonyesha jitihada za mwandishi kuchimbua na zimebakia kushabikia, kupongeza, kusifia na kushutumu! Utasoma habari kwa mfano, rais alisemani mawaziri 33  tu kati ya 60 wanaohitaji nyumba na habari kuwa serikali inatumia mamilioni kuwaweka katika hoteli inapotosha ukweli,” alisema. Mwandishi anaishia hapo na hawezi kufunua kinywa kuhoji ata hao wametumia kiasi gain kuishi mahotelini na nini kiliwafanya kuishi hoteli za anasa huku wamezaliwa katika nchi hii hii ya Tanzania na wanaishi maisha ya chini tu, nini hasa chanzo cha wao kuvaa gwanda jipya la kutamani maisha ya anasa huku wanaongoza nchi maskini.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Bado utakutana na habari kama, serikali imeidhinisha mikopo ya bilioni za shilingi kwa ajili ya Wabunge na kuwataka wanunue magari yatakayoweza kuwafikisha kutembelea wananchi wao jimboni. Waandishi wetu wataishia kuandika hapo bila kuingia ndani zaidi kutaka kujua magari ya aina hiyo yatakayowawezesha wabunge kuwafikia wananchi ni aina ipi na yanahitaji gharama kiasi gani? Tena hutasikia swali kuhusu mikopo hiyo kutolewa wakati nchi ikiwa bado na njaa, au je mikopo ya aina hii itaishia kwa wabunge tu au itatanuliwa na kwa wananchi wengine maana ukilinganisha uwiano wa msamaha wa mikopo hiyo hasa sehemu ile inayolipwa na serikali, hakukuwa na haja tena ya mbunge huyo tena kupewa kiinua mgongo chake cha milioni nyingi za shilingi baada ya miaka 5 na tena kuna haja gani kugawa pesa bure kupewa wabunge wanaolipwa mishahara mikubwa tu huku Bodi ya mikopo ya wanafunzi wa vyuo vya juu ikishindwa kutoa mikopo kulingana na mahitaji ya wanafunzi!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nafasi ya gazeti ni ndogo mno na kamwe haiwezi kukidhi matakwa ya mwandishi hasa ikifika sehemu ya yeye kutoa maoni yake na namna anavyodhani jambo fulani laweza kubadilishwa na kuleta mafanikio ya nchi. Wajumbe wa Kongresi ya Marekani mara kadhaa wametumia habari za magazeti katika kutetea hoja zao au kuthibitisha kile wanachokizungumza.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sababu ya hawa kufikia hatua hii ni kutokana na waandishi kuthamini kazi zao na kuzifanya kwa ukamilifu. Waandishi anatambua majukumu yao hasa na wanajivuna pale wanapoweza kuchimbua jambo na kulianika hadharani. Katika nchi zetu bado kuna matatizo yanayoendana na waandishi kuwa katika orodha ya malipo ya baadhi ya wakuu serikalini au kuamua kwa makusudi kushangilia upande mmoja bila kutambua madhara ya ushabiki hasa ufanywapo na waandishi wa habari.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mbunge wa kipindi cha nyuma wa Temeke, Augustine Mrema aliwahi kutumia nukuu za magazeti kama ushahidi wa hoja zake Bungeni. Katika tuhuma zile hakufanikiwa kushinda na aibu haikuwa kwa Mrema pekee, ilienda hadi kwa vyombo vya habari alivyovipeleka Mrema kama msingi wa ushahidi wake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je vyombo vile vilijiuliza kuhusu kudharauliwa kwa taarifa zao ambazo Mrema alizitumia kama ushahidi wa kutetea hoja yake? Havikujali kabisa, lakini kama hoja hizo zingepokelewa na Mrema kuonekana kidedea hakungekuwa na namna vyombo hivyo vingetaka kujikuza kwa wasomaji kuwa vinafanya kazi nzuri ya kuchunguza mambo kwa kina?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Upo ukweli kuhusu hoja hiyo hapo juu na kweli vyombo vya habari vinahitaji sana kulisaidia bara la Afrika kuonekana nje huenda kwa habari ambazo hatuzipendi na pia zile tunazozipenda. Ni namna moja tunaweza kufanya hivi hasa pale tutakapokuwa na habari mbadala kuhusu matukio ya bara letu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vita vya wenyewe kwa wenyewe Darfur nchini Somalia viko Afrika. Kuna vyombo vingapi vya habari nchini Tanzania ambavyo vimepeleka waandishi wake kuchukua habari hizo? Je mbona habari hizo zachapishwa katika magazeti zikitokana na tafsiri ya habari zilizoandikwa na wageni?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kweli hakuna uwezekano wa waafika wenyewe kwenda huko na kuandika habari hizo na kuwatumia wageni ili waweze kupata taarifa sahihi zisizo na makosa sana, taarifa zinazoweza kusaidia kufikia ufumbuzi wa mgogoro huo haraka? Hii ni sehemu ya hoja yangu na inaonyesha namna vyombo vyetu vinavyobaki kuwa tegemezi hata katika mambo yetu wenyewe!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mapema mwanzoni mwa mwaka huu tulipata kutembelewa na Bob Woodward, mwandishi mashuhuri katika habari za uchunguzi aliyefanikiwa kuandika habari zilizomng’oa Richard Nixon katika urais wa Marekani mwaka 1974. Bob Woodward licha ya kuwa bado ni mwandishi sasa, anajishughulisha zaidi na uandishi wa vitabu na kampuni yake inamtumia sambamba na waandishi wengine kuandika vitabu vya uchunguzi wa matukio mbalimbali yanayotokea Marekani na nje ya Marekani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mauzo ya vitabu huku yapo juu na gharama za vitabu ni kubwa tu. Je nini kinafanya Afrika vitabu visiuzike na nani aliwaambia waafrika wasipende kusoma. Mustapha Puja ni mhariri katika kampuni moja ya uchapaji hapo Tanzania. Nilizungumza naye siku za hivi karibuni kuhusu namna ya kuweza kuchapa kazi yangu katika kampuni hiyo anayofanyia kazi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nilipomgusia kuwa kazi yangu ni riwaya, akaniambia kampuni hiyo haiwezi kuchapa kazi hiyo labda iwe imeandikwa na Profesa au mtu mwenye shahada ya Daktari ya Falsafa. Nilicheka kidogo maana nilitazama kuwa Shaaban Robert licha ya kutokuwa na elimu kama hii niliyonayo mimi, ameweza kuwa na maandishi ambayo maprofesa wengi hawatawahi kukaribia hata nusu yake.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je huyu naye angenyimwa kuchapishiwa kazi na Waingereza tungekwa tunasoma kazi za nani? Kwa nini tusibaini kuwa soko la usomaji huanza pale kunapokuwa na machapisho mapya kwanza?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vitabu vyetu vingi hata vilivyo katika mtaala wa elimu ni vya kipindi cha nyuma mno. Kwa ujumla haviendani na wakati huu tunaoishi sasa na hakuna mkakati wa kubadili vitabu hivyo kutokana na sababu kadha wa kadha moja ikiwa  machapisho finyu na pili kile kinachozungumzwa kuwa utamaduni wa kusoma kutokuwepo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama hatuwezi hata kusoma mambo yetu wenyewe hali inayowakwaza watu kutoandika tutarajie nani aweze kutoa taarifa bora kabisa kuhusu maisha yetu? Narudi katika mada yangu, Afrika yote yafanana kabisa, kutokusoma na kupenda mambo kwa njia za panya kunaathiri sana hata mfumo wetu wa elimu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika muswada wangu wa “Barua kwa Mama” nimejadili ndoto niliyokuwa nayo kabla sijaingia chuo kikuu. Niliamni nikihitimu hapo nitakuwa gwiji wa kutambua maandishi ya juzuu na juzuu, jambo ambalo sikufikia matarajio yake. Sikufikia chembe ya matarajio yangu kutokana na sababu kadha wa kadha na moja kubwa ni hiyo tabia ya kutaka kufanikiwa kupitia njia za panya, kushinda mitihani bila kusoma au kusoma maandishi yale yanayodhaniwa kutoka katika mitihani pekee.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna uandishi mpya wa vitabu nchini Tanzania umeingia ambao unatazama sana suala la kuwawezesha wanafunzi kushinda mitihani. Kuna vitabu vingi siku hizi vyenye maswali na majibu na hivi ndivyo hupata kuchapwa haraka na makampuni ya uchapaji ya nyumbani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vitabu hivi hununuliwa sana maana wanafunzi wetu hawana haja  na maarifa bali kufaulu mitihani kwa namna yoyote hata kwa kuiiba kabisa ikiwezekana. Kama kizazi hiki kinalelewa hivi utawezaje kukipambanisha na vizazi vya nchi za ulimwengu wa kwanza ambavyo vinafundishwa kwa umakini na kutambua maana ya kusoma na kujenga fikra za kutambua kila jambo?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Je hatuoni kuwa inawezekana kabisa kuwa mtu anayeishi Afrika akasoma katika elimu ya muundo huu, siku akikalishwa kitako na mwingine aliye ughaibuni na kujadili mambo ya Afrika kuwa inawezekana kabisa kuwa mtu wetu akaonekana hana hata taarifa za kutosha kuhusu masuala ya eneo analoishi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Vyuo mbalimbali Marekani vina idara inayohusu masomo ya Afrika. Sijawahi kusikia masomo hayo yakitolewa huku Afrika na mjadala huu umekuwa ukitanuka sana huku. Kwa nini viongozi wa Afrika wasijenge vyuo vya kutoa masomo haya ili wasomaji kutoka nje wafike Afrika kuchota maarifa ya Afrika. Je hatuoni kuwa kesho ni rahisi kuwa na wataalamu wanaoifahamu Afrika zaidi kuliko sisi wenyewe kama htuna mikakati ya ziada kukabiliana na hili. Unadhani nani atakuwa na habari njema za Afrika kama hawa wanazisoma kabisa na sisi tunaishia kuzitazama, mjadala huu wa nani anafahamu habari za Afrika zaidi ni mpana mno. Hauna mwisho ila unatoa taswra ya nini Afrika ifanye na kuachana na tabia ya kulia na kulalama kwa kila jambo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114848943820379563?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114848943820379563/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114848943820379563&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114848943820379563'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114848943820379563'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/05/nani-anazungumza-ukweli-kuhusu-habari.html' title='NANI ANAZUNGUMZA UKWELI KUHUSU HABARI ZA AFRIKA? (3)'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114746952081617822</id><published>2006-05-12T14:16:00.000-07:00</published><updated>2006-05-12T18:45:36.196-07:00</updated><title type='text'>WAGOMBEA BINAFSI NA KASISI WANAOTAFUNA KONDOO WAO</title><content type='html'>&lt;strong&gt;MADA&lt;/strong&gt; ya wagombea binafsi inatanuka na wengi wamechangia hapo chini mara baada ya Mchungaji Mtikila kutangazwa mshindi mapema wiki zilizopita. Ilianza mwaka 1994 na mwaka huu mahakama ikaamuru wagombea binafsi wapatiwe haki yao ya kikatiba, yaani kuwapanulia nafasi ya kugombea pia badala ya kuishia kuwa wapiga kura pekee.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mchangiaji &lt;a href="http://kibanda.blogspot.com"&gt;Kibanda&lt;/a&gt; alifafanua mafanikio ya hoja hii huku akieleza mazingira ya rushwa zilizokuwa zikitolewa wakati wa mchakato wa uchaguzi wa mgombea urais kupitia CCM mwaka jana ambapo Jakaya Kikwete aliibuka kidedea. Rushwa ya kununua madaraka ilianza kuwa haki mara baada ya uchaguzi mkuu wa kwanza wa vyama vingi, na sheria za kuidhibiti zikapindishwa baada ya CCM kama chama tawala kuona ndiyo njia nafuu ya kukiwezesha kuweza kushikilia viti vingi vya uwakilishi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Baadaye rushwa hii ikaundiwa sheria na kubalikiwa na Bunge la CCM na kisha kutimika hadi ilipopigwa mweleka juzi na mahakama kuu. Nini faida za kuwa mgombea binafsi? Hili ni swali muhimu sana na &lt;a href="http://jikomboe.com"&gt;Ndesanjo&lt;/a&gt; katika mchango wake amefafanua wazi kuwa ni fursa pekee anayopatiwa mtu asiyependa kujigeuza mtumwa. Hoja hii inakubaliwa na &lt;a href="http://kibanda.blogspot.com"&gt;Kibanda&lt;/a&gt; na &lt;a href="http://rsmiruko.blogspot.com"&gt;Miruko&lt;/a&gt;.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini pia kuna mawazo ya &lt;a href="http://vijimamboz.blogspot.com"&gt;MK&lt;/a&gt; ambaye anafafanua kuwa hoja ya wagombea binafsi ina taswira ya kuleta vurugu huku akitumia mfano wa siasa za Zanzibar kushikilia hoja yake. Hata hivyo serikali ya Zaizibar ilishapinga mapema kuwa sheria hii haitatambulika huko visiwani huku pia kukiwa na harakati za mwanasheria wa serikali kurejea tena mahakamani kupinga maamuzi haya ya mahakama.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimedonoa kidogo tu, lakini furaha yangu ni kuwa mijadala hii sasa inapata taswira mpya na inajadiliwa kweli kweli na kwa umakini kwa hoja bin hoja. Huko gazeti tando la &lt;a href="http://pambazuka.blogspot.com"&gt;Pambazuka&lt;/a&gt; kuna habari ya makasisi kutafuna kondoo wake ambayo imetanua mjadala na kwa mara ya kwanza kupatikana kwa wachangiaji zaidi ya 100. Hii ni picha namna tunavyokua na kilichonivutia zaidi ni aina ya hoja zinazotolewa huku, hazina bezo sana wala matusi ila kila mmoja anajitahidi kuonyesha mwenzake kuwa hoja yake ndivyo ina nguvu. &lt;em&gt;&lt;strong&gt;Tuendelee kujadili hasa nafasi ya mwanasheria katika kupinga sheria hii ya wagombea binafsi, je anatumwa na nani, anatumia fedha ya nani, na anamuwakilisha nani kupinga maamuzi &lt;/strong&gt;&lt;/em&gt;hayo?&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114746952081617822?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114746952081617822/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114746952081617822&amp;isPopup=true' title='10 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114746952081617822'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114746952081617822'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/05/wagombea-binafsi-na-kasisi-wanaotafuna.html' title='WAGOMBEA BINAFSI NA KASISI WANAOTAFUNA KONDOO WAO'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>10</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114685375816794193</id><published>2006-05-05T11:06:00.000-07:00</published><updated>2006-05-05T11:41:47.270-07:00</updated><title type='text'>WAGOMBEA BINAFSI SASA RUKSA! NI USHINDI KWA MTIKILA NA UMMA UNAOPENDA DEMOKRASIA</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/mti.jpg"&gt;&lt;img style="float:right; margin:0 0 10px 10px;cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/200/mti.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;NCHINI Tanzania kuna mambo yanafanyika na kwa mtu anayetazama na kuchunguza upepo wa mambo utafahamu agenda ya mambo haya. Mwanzo, ni namna ambavyo serikali sasa imeamua kutoa fursa kwa watendaji kufanya kazi zao bila kuingiliwa na tena kuondoshwa kwa mtindo wa kifalme katika madaraka ya dola.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Sasa hivi kila sehemu viongozi wanazotembelea kunafatia wananchi kusema hadharani kero zao jambo ambalo lilikuwa nadra sana huko nyuma. Wananchi wanapaza sauti na hii inakuwa ni hatua ya kwanza katika safari ya kuelekea uhuru wa kujieleza "Freedom of Expression." Vyombo vya habari vya Tanzania vimekuwa vikipewa changamoto ya wazi ili vibadili mfumo wa kuandika barua au ripoti na badala yake vianze kutambua nafasi yake ya kuzungumza mambo makubwa na kuyachambua. Kauli hizi hazikuwapo Tanzania kwa miaka mingi lakini haya yanatokea.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Juzijuzi ilifutwa sheria mahakamani, sheria mbaya iliyoruhusu rushwa na kupitishwa na serikali ya Rais Mkapa. Sheria hii ingeweza kufutwa Bungeni lakini kwa kuwa walioko huko asilimia kubwa waliingia kwa muundo huo, licha ya kuwa Rais Kikwete wakati anazindua Bunge la awamu ya nne, kusema kuwa suala la takrima/rushwa litapaswa kujadiliwa na baraza hilo, lakini utaona kuna mkono ulipitishwa haraka kutokea mahakamani ili maamuzi yafanyike kuiondoa Tanzania katika nchi kongwe kabisa kuruhusu rushwa duniani. Hili lilikuwa tukio la kuweka kwenye kumbukumbu kama hili la hivi karibuni la Bunge la Mexico kuruhusu madawa ya kulevya katika nchi hiyo kwa Lengo la kuikomoa Marekani!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Basi kama uliwahi kupitia mapendekezo ya Tume ya Jaji Nyalali kuhusu ubadilishaji wa sheria na katiba hasa vipengele vilivyokuwa vinakwamisha demokrasia nchini utagundua kuwa sasa jua linaanza kuchomoza baada ya hivi juzi Mahakama tena kukubaliana na madai ya &lt;a href="http://en.wikipedia.org/wiki/Christopher_Mtikila"&gt;Christopher Mtikila&lt;/a&gt; aliyoyafungua tangu mwaka 1994 kuhusu &lt;a href="http://www.uhuru.info/kitaifa.htm"&gt;kuruhusu wagombea binafsi&lt;/a&gt;. Hili ni tukio muhimu sana kufikiwa katika Tanzania na linatanua demokrasia ya hali ya juu na kufanya suala la nafasi za vyama kugeuzwa miungu ya siasa za Tanzania kufutika ama kuelekea katika bahari ya sahau! Wale waliokuwa wanatishiwa kugombea baada ya kuona vyama vinakuwa na mizengwe sasa wanaweza kuungana na jamii yao na hivyo kuwa moja kwa moja watumishi wa umma na sio vyama na kisha wakafanikisha maendeleo ya jamii badala ya sasa kubakia ushabiki wa vyama vya siasa kwanza kabla ya umma.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mahakama inaanza kutekeleza matukio haya huku kukiwa na kesi inayofunguliwa jumatatu ijayo kuhusu aliyekuwa Mkuu wa Polisi nchini, Omari Mahita, kuhusu kuvunja haki za binadamu na kukihujumu chama cha CUF. Kwa kasi hii tunaanza kupata majibu kuwa watu waliohusika na maangamizi hata ya Janiari 27, 2001 kule Zanzibar wanaweza kufikishwa mahakamani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna tukio lingine ambalo nitakosea kama nitalisahau leo kwa sababu ya furaha hii ya kupitishwa mfumo niliowaza kuupigania hivi karibuni wa haki za wagombea binafsi. Hivi Mama Mkapa alipofungua NGO kwa jina la taasisi ya ofisi ya umma aliyoikalia kwa nafasi ya yeye kuwa mke wa rais, ofisi iliyokuwa katika jengo la umma, ikilindwa na askari na ikitumia fedha za umma kuiendesha, anawezaje leo kuiambia Tanzania kuwa ile ni NGO yake aliyoibuni? Hivi Watanzania hawaoni kwa macho yao wizi wa fikra na matumizi mabovu ya ofisi za umma kama huu unaotangazwa na Anna Mkapa kupitia EOTF?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mada hiyo nitaiandikia tena nikipata muda, sitaiacha kabisa maana haiwezekani ofisi za umma zitumike kuwanufaisha wachache kwa vivuli huku jamii ikidhaniwa imelala na haina macho ya kufanya. Kumbuka unajifunza nini kuhusu kashfa za Siti Mwinyi wakati ule Mrema akiwa waziri wa mambo ya ndani, Tena jadili na jirani yako hapo ulipo kuhusu Anna Mkapa na tetesi za kumiliki majumba na mali nyingi nyingi hapo Tanzania tukiwa hatuna taarifa za nje. Je unaweza kufahamu kuwa mali za Rais wa awamu ya tatu, kwa ubainifu ikiwa ni pamoja na hekalu pale Lushoto ni ndogo kabisa kulingana na hizi tetesi kuhusu mkewe? Tunasubiri nini kuanza kujadili hoja hizi bila woga sasa wakati nchi yetu inapoanza kuonyesha kukomaza sekta nyingine zilizo nje ya dola?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;INAWEZEKANA WAUNGWANA, CHEZA KARATA YAKO!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114685375816794193?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114685375816794193/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114685375816794193&amp;isPopup=true' title='18 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114685375816794193'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114685375816794193'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/05/wagombea-binafsi-sasa-ruksa-ni-ushindi.html' title='WAGOMBEA BINAFSI SASA RUKSA! NI USHINDI KWA MTIKILA NA UMMA UNAOPENDA DEMOKRASIA'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>18</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114670265909087450</id><published>2006-05-03T17:27:00.000-07:00</published><updated>2006-05-03T17:30:59.113-07:00</updated><title type='text'>SHUKRANI WAZIRI MK</title><content type='html'>NDUGU zangu mnaotembea hapa msinituhumu kwa wizi wa mali ya umma katika kujenga jengo hili jipya. Ukweli kilichotimia hapa ni kile kiliwahi kuzungumzwa na walii mmoja aliyesema, "mmepewa bure nanyi toeni bure." Komredi waziri wetu wa Teknolojia katika jamii ya wamiliki wa magazeti tando afahamikaye kama MK amejenga nyumba hii bure kabisa. Sijalipa chochote na bado anafanya matengenezo zaidi hivyo haijakamilika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kama nawe wapenda kufanyika haya kwa nini usimtafute MK ili aweze kujenga nyumba yako. Kwa kweli Tanzania tuna watu wetu waliojaliwa mengi, MK nakushukuru sana na kukuomba kuboresha nyumba za watanzania ili zitishe kuliko hata hawa wanaotokea mataifa makubwa.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114670265909087450?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114670265909087450/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114670265909087450&amp;isPopup=true' title='9 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114670265909087450'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114670265909087450'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/05/shukrani-waziri-mk.html' title='SHUKRANI WAZIRI MK'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>9</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114642773116245113</id><published>2006-04-30T13:03:00.000-07:00</published><updated>2006-04-30T13:14:54.670-07:00</updated><title type='text'>MKATABA KABLA YA KUJAMIIANA</title><content type='html'>&lt;a href="http://mwaipopo.blogspot.com/"&gt;BARAGUMU&lt;/a&gt; ana visa sana, siku zilizopita alinitumia E mail ikiwa na mkataba fulani nami nikauweka kando. Lakini leo nimetulia hapa na kuona umuhimu wa kupatia tafsiri ya Kiswahili ili uweze kusomwa na wanaume na wanawake wote. Mkataba huu umekuja baada ya kuongezeka matukio ya kesi za kubambikiziana kuhusu ubakaji. Usome &lt;a href="http://h1.ripway.com/boniphace/mkataba.doc "&gt;mkataba huu hapa&lt;/a&gt; na ikibidi chapisha karatasi kadhaa za kutembea nazo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114642773116245113?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114642773116245113/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114642773116245113&amp;isPopup=true' title='8 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114642773116245113'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114642773116245113'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/04/mkataba-kabla-ya-kujamiiana.html' title='MKATABA KABLA YA KUJAMIIANA'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>8</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114623709764217395</id><published>2006-04-28T08:06:00.000-07:00</published><updated>2006-04-28T08:11:37.676-07:00</updated><title type='text'>MAGAZETI TANDO MAWILI KWA MPIGO TENA</title><content type='html'>KAMA ulidhani MWANANCHI wanatania, umekosea kabisa. Kazi ya Balozi wetu mpendwa Mzee wa Mshitu, Yahya Charahani inazaa matunda sana. Tunatembea sasa kifua mbele tukiwakaribisha &lt;a href="http://jurunzi.blogspot.com"&gt;Angetile Osiah &lt;/a&gt;na &lt;a href="http://mnyongemnyongeni.blogspot.com"&gt;Hawra Shamte!&lt;/a&gt; Wewe unadhani watu wadogo hawa, unafikiri wamekuja kujaribu, bonyeza yalipo majina yao kisha tazama kazi zao na kuwasalimia huko.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114623709764217395?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114623709764217395/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114623709764217395&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114623709764217395'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114623709764217395'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/04/magazeti-tando-mawili-kwa-mpigo-tena.html' title='MAGAZETI TANDO MAWILI KWA MPIGO TENA'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114601380710096817</id><published>2006-04-25T18:05:00.000-07:00</published><updated>2006-04-25T18:10:07.133-07:00</updated><title type='text'>WATANZANIA PENDANENI NA KUTHAMINIANA-KIKWETE</title><content type='html'>Nilipokea mail hii kutoka mtandao wa Jumuiya ya Watanzania waishio Houston Texas, Marekani. Hii ni jumuiya inayokuwa kwa kasi sana na kufahamu majukumu yake kwa wananchi wa Tanzania. Mungu awabariki sana wanajumuiya hii kwa moyo wenu wa ukarimu, upendo na kusahau yanayopita!&lt;br /&gt;Basi wiki zilizopita Rais Kikwete aliwataka Watanzania walioko nje na hasa wanaopata nafasi za kazi kutoa taarifa kwa watanzania wenzao walioko nyumbani ili wazichangamkie. Nichukue fursa hii kukupongeza  &lt;strong&gt;James Magwe wa Houston &lt;/strong&gt;kwa kukubali kauli ya Rais wetu na kuanza kuitekeleza kama ujumbe wako usemavyo, nakunukuu kabisa:&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;"Napenda kutoa mchango wangu kutimiza aliyosema Mhe. Rais Kikwete.. hii hapa ni website ya UN kwa maswala ya kazi http://jobs.un.org&lt;br /&gt;Watanzania mnakaribishwa kujaribu kutafuta kazi kwenye UN System.. zipo nyingi na zinapatikana"&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Haya shime watanzania, waafrika na wengine mnaofika Kasirini, changamkieni kazi hizi ili muitumikie dunia hii na kujenga nchi yetu na bara letu. Waweza kubonyeza moja kwa moja &lt;a href="http://jobs.un.org"&gt;hapa pia&lt;/a&gt;.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114601380710096817?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114601380710096817/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114601380710096817&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114601380710096817'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114601380710096817'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/04/watanzania-pendaneni-na-kuthaminiana.html' title='WATANZANIA PENDANENI NA KUTHAMINIANA-KIKWETE'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114592251399722518</id><published>2006-04-24T16:45:00.000-07:00</published><updated>2006-04-24T16:49:54.373-07:00</updated><title type='text'>TAKRIMA YAENDA NA MKAPA!</title><content type='html'>&lt;strong&gt;MAHAKAMA&lt;/strong&gt; kuu ya Tanzaniasijui ilikuwa imelala wapi miaka yote hiyo au ni kuonyesha namna mahakama zisivyo na uwezo wa kimaamuzi hadi pale zitakiwapo kufanya hivyo na serikali zilizopo madarakani, kama sivyo fikiri vingine lakini Tanzania ilibakia nchi pekee iliyokuwa imehidhinisha rushwa kuwa haki ya raia na kuiweka katika vitabu vya sheria. Sasa leo kama hujasoma hapa ni wakati wako &lt;a href="http://www.uhuru.info/kitaifa.htm"&gt;pitia hapa&lt;/a&gt;. Ehee napumua, je vipi kuhusu kesi kwa wabunge na wagombea wengine waliotumia rushwa hiyo? Tuanze kufungua majalada sasa mahakamani?&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114592251399722518?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114592251399722518/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114592251399722518&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114592251399722518'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114592251399722518'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/04/takrima-yaenda-na-mkapa.html' title='TAKRIMA YAENDA NA MKAPA!'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114592179926223344</id><published>2006-04-24T16:29:00.000-07:00</published><updated>2006-04-24T16:37:43.483-07:00</updated><title type='text'>IPTL, ANGLO LEASING YA TANZANIA ISIYOTAMKWA</title><content type='html'>&lt;strong&gt;GAZETI&lt;/strong&gt; Tando la &lt;a href="http://pambazuko.blogspot.com"&gt;Pambazuko&lt;/a&gt; limebandika ripoti inayotakiwa kusomwa na kila anayeitazama kwa jicho la mapendo Tanzania. Bado naipitia lakini nimeona nami niitundike hapa kama ambavyo wamiliki wa magazeto Tando mengine watafanya. Ina majina mengi tu yawe yametajwa kwa usafi au kwa uchafu lakini ina majina makubwa na linakosa jina la Rais wa Kwanza wa Tanzania tu, ambaye anaonekana kupaza kelele za kupinga hili dude liitwalo IPTL. Marais wengine wanaofuata wametajwa katika ripoti hii ikiwa ni pamoja na marehemu Horace Kolimba na wengine akina Rutabanzimba na Rugemarira. &lt;a href="http://h1.ripway.com/Indya%20Nkya/IPTL_TI_Report[1].doc"&gt;Isome hapa ripoti hii hapa&lt;/a&gt; na mjadala hautaisha sasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika tukio lingine, leo hii muswada wa &lt;strong&gt;BARUA KWA MAMA &lt;/strong&gt;umekamilika ukiwa umekarabatiwa kwa kiasi kikubwa. Kwa wanaweza kunisaidia kuusoma na kuuhakiki naomba msaada wao nami nitawatumia. Zaidi ya hapo ni malengo ya Kasri kuwa kitakapochapishwa kitabu hiki kitakuwa na kurasa za Magazeti Tando ya Kiswahili ili kutanua utangazaji wake.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114592179926223344?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114592179926223344/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114592179926223344&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114592179926223344'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114592179926223344'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/04/iptl-anglo-leasing-ya-tanzania.html' title='IPTL, ANGLO LEASING YA TANZANIA ISIYOTAMKWA'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114572474160186524</id><published>2006-04-22T09:15:00.000-07:00</published><updated>2006-04-22T10:09:51.360-07:00</updated><title type='text'>WAHUSIKA KATIKA KAZI ZA SHAABAN ROBERT NA HATMA YA MAGAZETI TANDO YA KISWAHILI</title><content type='html'>NILIPATA kusoma kazi nyingi za Shaaban Robert na kubaini tabia ya gwiji huyu katika kuchagua majina ya wahusika wake. Riwaya ya "Utubora Mkulima" ina mhusika mkuu aitwaye UTUBORA anayeonekana kujawa maarifa na fikra chanya kwa umma wakati unakutana na jina lake la pili likiwa UJINGAHASARA. Kama ulisoma KUSADIKIKA pia utakutana na KARAMA na Majivuno. "Adili na Nduguze" kina majina kama Adili na Mwema. Wahgusika wenye tabia mbovu Shaaban alikuwa akiwapa majina yanayofanana na tabia wanazobeba, kama Mwovu au Majivuno nk.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tangu kupitishwa kwa Azimio la Dodoma tulitarajia kuungwa kwa Azimio hilo linalowalenga wamiliki wa Magazeti Tando kutafuta dhana ya kuchuja tabia zao na za wasomaji wao.Kipengele cha azimio hilo chasema na hapa nakinukuu: &lt;strong&gt;"Tumeafikiana kuwa wasomaji wa magazeti yetu wanaopenda kuchangia mijadala mbalimbali bila kutaka kutaja majina yao (anonymous), wasinyimwe uhuru, bali tuendelee kuwakemea baadhi yao kwa lugha za  kashfa, matusi na mambo mengine ambayo hayafurahishi walio wengi, kwani kinachoandikwa leo katika mtandao hakitapotea, kitasomwa na watu wa vizazi vijavyo. Tumetambua kuwa akina anonymous wanaficha majina yao kwa sababu za ama kujitetea katika mambo yaliyowagusa binafsi au &lt;br /&gt;wanataka kutoa hoja fulani nzito ili wasijulikane kutokana na nyadhifa zao." &lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hoja inayoibuka ambayo haikujadiliwa na kifungu hicho ni teknolojia hii kuweza kuruhusu mtu kutumia jina la mwenzake na kisha kutoa matusi. Tukio hili nimelibaini haraka sana katika Gazeti Tando moja hivi karibuni. Ni tukio hili linalonipa kuanza kutoa rai kuhusu kutazama namna ya kutunza majina ya watu yasiweze kutumiwa na wakora kwa ajili ya kujifurahisha wao na kisha yakawakosanisha watu waliokwisha kujijengea heshima kati yao kwa wao na jamii yao. Kwa mtindo huu tunaweza kabisa kukuta majina hata ya wafu, viongozi wa nchi zetu na watu wengine tunaowahitaji kuthamini kazi hii ya kupanua taarifa kwa umma kisha wakatupuuza na kutuingiza katika kundi la wahuni wasio na dira.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Gazeti Tando la &lt;a href="http://jikomboe.com"&gt;Jikomboe&lt;/a&gt; liliwahi kutoa taarifa ya kupingwa kwa teknolojia hii katika nchi kadhaa na kisha nikapata fursa ya kuchangia mjadala huo huko. Baadaye hoja hiyo ilijadiliwa sana ikiwa ni muendelezo tu wa kile nilichokifanya mwezi Machi, 2006 katika gazeto tando hili. Uvunjaji wa taratibu katika Magazeti Tando hautamuhusu sana mchangiaji hasa anapokuwa ana kivuli cha kuficha utambulisho wake, au anapoamua kwa makusudi kutumia jina la mtu mwingine au lile ambalo halipo kabisa. Hapa mhusika wa dhambi ya mchangiaji wa aina hii itabaki mabegani mwa mmiliki wa Gazeti Tando husika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tusidhani kuwa tuko juu ya sheria na kuwa hatuwezi kuhukumiwa kwa kosa la udhalilishaji (defamation). Katika kesi ya muundo huu muathirika wa kwanza ni mmiliki wa Gazeti Tando kwa kushindwa kuhimili mijadala na wachangiaji wake. Huku ni sawa na kuchukua jukumu lililokuzidi kimo hivyi huwezi kujinasua kuhusu adhabu zitakazotokana na madahara unayoweza kusababisha kutokana na uzembe wa wewe kutotambua athari kabla ya jambo kutendeka! Tukumbuke tuko chini ya sheria na kwa sisi watanzania sheria yetu inayotulinda na kutuongoza popote tulipo inafahamika ilipo!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Si lengo langu kuwatishia wamiliki wa Magazeti Tando au kupindisha kipengele cha pili cha Azimio la Dodoma, bali ni kutoa angalizo kama ambavyo imekuwa kawaida yangu kufanya ili kunusuru balaa siku zijazo. Kuna umuhimu wa baadhi ya watu kutazama miaka mia ijayo, hata kama hawatafanikiwa kufika huko. Tena kuna sababu ya watu kujenga mihimili ya wakati huo sasa kuliko kuusubiri wakati huo ujijenge wenyewe. Nafasi hii inaweza kufanywa na wamiliki wa Magazeti Tando ambayo hasa yanakumbwa na tabia ya kukiuka maadili ya utu wa watu hasa kwa wachangiaji wao. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tazama &lt;a href="http://pambazuko.blogspot.com/"&gt;Nkya Idya &lt;/a&gt;ana maelezo muhimu sana kwa kila mtanzania kuhusu IPTL. Huko huwezi kuona mtu akitukana mwenzake maana maudhui ile indhaniwa kuwa ya kundi fulani tu kama alivyokuwahi kubainisha Shaaban Robert katika "Kusadikika na Kufikirika." &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Jamii kubwa kukimbia majukumu na kudhani kazi yao ni kucheza, kucheka na sio kutafakari na kutafuta masuluhisho ya masuala magumu ni kosa ambalo likiachwa liambae litatuathiri wote. Tunatoka katika nchi maskini sana duniani, na kibaya hatukuwahi kupima umaskini wa fikra ambao mimi nimeegeza dira yangu zaidi katika huo wa mali ambao unaweza kuupunguza tukitumia vema rasilimali zetu na unaonekana kwa macho! Huu wa fikra hautazamiki kabisa na haukuwahi kupata ikibali njema hata kwa muumba! Tuna jukumu la kuonyesha njia pale tunapodhani inafaa na hasa tunapotazama jamii yetu inapotea kutokana na kupenda vitu vyepesi vyepesi. Wanaoweza kutambua au kuona ugonjwa huo wanatakiwa sasa kubadili maudhui ili kuifanya jamii ikose pa kupata taarifa nyepesi nyepesi kama ambavyo Azimio la Dodoma linavyobainisha kama umelisoma kwa umakini. Si kila mtu atambua namna vipofu wawili wanavyoongozana huku wakikosa anayeona kuwaonyesha njia! Nini huzuni yao hawa huku wanabaini kuwa duniani kuna watu wanaotazama lakini hawataki kutazama masaibu yanayowakabili wao?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nitoe wito sasa kuandaliwa kwa sehemu maalum ambapo tutaweza sasa kuweka majina ya wanaokubali kuingia katika jumuiya yetu. Waziri wa Teknolojia ndugu &lt;a href="http://vijimamboz.blogspot.com/"&gt;MK&lt;/a&gt; anaweza kutusaidia na Katibu wetu &lt;a href="http://rsmiruko.blogspot.com"&gt;Miruko&lt;/a&gt; anaweza pia kutupa mwongozo baada ya kuwasiliana na &lt;a href="http://kurunzi.blogspot.com"&gt;Komredi Mwenyekiti wetu&lt;/a&gt;.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nibainishe hapa ndugu zangu kuwa kunitukana mimi si jambo linaloninyima usingizi hata kidogo! Natambua si kila nifanyalo ni jema na kama ambavyo si kila wewe ufanyalo ni jema. Tena nafahamu si kila jambo langu unalipenda, sawa sawa na kila jambo ufanyalo kuwa ni lazima mimi nilipende. Tena naelewa kuwa, tuko tofauti sana na nabaini kuwa nina Gazeti Tando langu hapa ambalo halitavumilia hata siku moja kuona utu wa mtu unavuliwa kama ambavyo nimekuwa nikifanya huko nyuma ikiwa ni pamoja na kutoshiriki kuwavua nguo wengine popote niwapo! Kutumiwa jina la mtu kumtukana mwingine ni dhambi isiyosameheka haraka! Mnaotazama sasa tazameni na chukueni hatua kabla hatujaangamisha huku tukidhani tunajenga! Ubaguzi si ule unaofanyiwa zaidi ya huo unaofanya wewe! Nikamilishe kwa kauli yangu ya siku zote, "inawezekana, cheza karata yako" &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Komredi Boniphace Makene&lt;br /&gt;Leo Jumamosi, Apr 22, 2006 UT PANAM&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114572474160186524?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114572474160186524/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114572474160186524&amp;isPopup=true' title='7 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114572474160186524'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114572474160186524'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/04/wahusika-katika-kazi-za-shaaban-robert.html' title='WAHUSIKA KATIKA KAZI ZA SHAABAN ROBERT NA HATMA YA MAGAZETI TANDO YA KISWAHILI'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>7</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114555696583455231</id><published>2006-04-20T11:11:00.000-07:00</published><updated>2006-04-20T11:16:05.880-07:00</updated><title type='text'>NI MAOMBOLEZO KWA WATANZANIA, HOUSTON TEXAS</title><content type='html'>HABARI hii nilitakiwa kuiweka hapa mapema kabisa lakini nashukuru kuwa imeweza kuwafikia wengi hata nyumbani kupitia mitandao mbalimbali. Ni kweli wenzetu wamepotea katika siku ya Pasaka, nilichokuwa nasubiri ni kupata picha zao ambazo waweza kuzitazama kupitia mtandao wa Watanzania wa &lt;a href="http://www.dallasbongo.com/"&gt;Dallas Houston hapa&lt;/a&gt;. Kifo ni haki ya msingi kuliko haki nyingine kwa kila binadamu baada ya kupata haki ya kwanza yaani kuzaliwa na kuwa hai. Nitumie kauli ya mfalme Daudi ambayo nadhani itakuwa neno langu kwa wote wanaosikitika katika msiba huu. Ni kauli hii inayonifariji mimi na kunipa matamanio ya maisha ya ushindi anayoyajua yeye aliyenileta. &lt;strong&gt;&lt;em&gt;"Bwana mimi ni nani na nyumba yangu ni nini hata umenileta hata hapa"&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;BABA MIKONONI MWAKO NAIWEKA ROHO YANGU!&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114555696583455231?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114555696583455231/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114555696583455231&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114555696583455231'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114555696583455231'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/04/ni-maombolezo-kwa-watanzania-houston.html' title='NI MAOMBOLEZO KWA WATANZANIA, HOUSTON TEXAS'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114547825119109948</id><published>2006-04-19T13:20:00.000-07:00</published><updated>2006-04-19T13:25:46.430-07:00</updated><title type='text'>SASA NI MIDRAJI IBRAHIM, MTEMBELEE BASI UONE</title><content type='html'>MWANANCHI, kunani pale, nikisema sana mtasema Kasri KUFAGILIA kumezidi. Hapana nadhani kama kuna tuzo ya kampuni inayohamasisha kumiliki Magazeti Tando kwa waandishi wake Tanzania ni Mwananchi. Siwataji leo waliokwisha kufungua makasri yao lakini leo hii &lt;a href="http://nyarubamba.blogspot.com/"&gt;ameingia huyu hapa&lt;/a&gt; muone wewe unayedhani huko Bukoba wamekaa wasiojua kompyuta.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114547825119109948?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114547825119109948/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114547825119109948&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114547825119109948'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114547825119109948'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/04/sasa-ni-midraji-ibrahim-mtembelee-basi.html' title='SASA NI MIDRAJI IBRAHIM, MTEMBELEE BASI UONE'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114498774563546856</id><published>2006-04-13T21:07:00.000-07:00</published><updated>2006-04-13T21:09:05.676-07:00</updated><title type='text'>BARUA KWA MAMA SEHEMU YA 8</title><content type='html'>BARUA imefika sehemu ya nane inayojadili maisha ya vyuo vikuu vya Tanzania na mfano chuo Kikuu Dar es Salaam. Nafasi ya serikali za wanafunzi namasaibu yake. Endelea kusoma sasa hapa &lt;a href="http://h1.ripway.com/boniphace/sehemuya8.doc"&gt;sehemu hii ya nane&lt;/a&gt;.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114498774563546856?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114498774563546856/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114498774563546856&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114498774563546856'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114498774563546856'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/04/barua-kwa-mama-sehemu-ya-8.html' title='BARUA KWA MAMA SEHEMU YA 8'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114477596464345848</id><published>2006-04-11T10:03:00.000-07:00</published><updated>2006-04-11T10:19:24.716-07:00</updated><title type='text'>UTENZI WA AZIMIO LA DODOMA</title><content type='html'>Rabuka ulo enzini&lt;br /&gt;Pumzi unijazeni&lt;br /&gt;Niweze dondoa ghani&lt;br /&gt;Malenga weza somani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mafuta tumepakwani&lt;br /&gt;Tu safi twapendezani&lt;br /&gt;Awali tulichekwani&lt;br /&gt;Kwa kuto njia onani&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Msaki kaambiwani&lt;br /&gt;Dodoma njia fungani&lt;br /&gt;Kafika kambaini&lt;br /&gt;Miruko akichekani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Keshoye wakaketini&lt;br /&gt;Kazonta kimuitani&lt;br /&gt;Na Martha kitokezani&lt;br /&gt;Azimio liwekani&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kichaguana ngazini&lt;br /&gt;Na katibu mpatani&lt;br /&gt;Mawazo kiandikani&lt;br /&gt;Kisha umma tangazia&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Keshoye tukasomani&lt;br /&gt;Na wito tutatoani&lt;br /&gt;Azimio pokeani&lt;br /&gt;Dira yetu angazani&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Leo tunajigambani&lt;br /&gt;Azimio kushikani&lt;br /&gt;Wageni twawambiani&lt;br /&gt;Jumuiya yaundwani&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Niishe hapa sakini&lt;br /&gt;Nipumue Kasirini&lt;br /&gt;Gazeti Tando achani&lt;br /&gt;Jina wazi tangazani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimalize kwa thamani&lt;br /&gt;Mkwinda kumuombani&lt;br /&gt;Azimio lishikani&lt;br /&gt;Na shairi litungani.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114477596464345848?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114477596464345848/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114477596464345848&amp;isPopup=true' title='19 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114477596464345848'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114477596464345848'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/04/utenzi-wa-azimio-la-dodoma.html' title='UTENZI WA AZIMIO LA DODOMA'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>19</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114477132022194265</id><published>2006-04-11T08:59:00.000-07:00</published><updated>2006-04-11T09:02:00.256-07:00</updated><title type='text'>BARUA YA MAMA SEHEMU YA 7</title><content type='html'>&lt;strong&gt;NINI&lt;/strong&gt; chanzo cha ubaguzi siku hizi, je ni rangi au mali? Nini nafasi ya jamii kupambana na aina hii ya ubaguzi. Fuatilia sehemu ya saba ya riwaya hii ukiangalia matatizo katika Tanzania, usafiri na tamaa za mali. Ungana na mtunzi &lt;strong&gt;Boniphace Makene &lt;/strong&gt;katika barua hii ya kutia huzuni &lt;a href="http://h1.ripway.com/boniphace/UBAGUZIWARANGI.doc "&gt;hapa sehemu ya saba&lt;/a&gt;.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114477132022194265?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114477132022194265/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114477132022194265&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114477132022194265'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114477132022194265'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/04/barua-ya-mama-sehemu-ya-7.html' title='BARUA YA MAMA SEHEMU YA 7'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114468596884085571</id><published>2006-04-10T09:16:00.000-07:00</published><updated>2006-04-10T09:19:28.873-07:00</updated><title type='text'>BARUA YA MAMA SEHEMU YA 6</title><content type='html'>KWA wasomaji wapya, KASRI anamuandikia mamaye barua baada ya kuhisi kuwa naye mbali. Katika barua hii anamkumbusha kuhusu matukio yanayotokea hasa Tanzania na kulinganisha na jamii iliyopo sasa. Leo hii anazunguzia kero za Wauza Baa maarufu kama " Bar maids." Soma uone nafasi yako kutokomeza unyanyasaji katika jamii yetu. Je na wewe unashiriki katika unyanyasaji huu, &lt;a href="http://h1.ripway.com/boniphace/barmaids.doc"&gt;fuatilia kisa hiki kwa umakini hapa.&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114468596884085571?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114468596884085571/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114468596884085571&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114468596884085571'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114468596884085571'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/04/barua-ya-mama-sehemu-ya-6.html' title='BARUA YA MAMA SEHEMU YA 6'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114452527827496267</id><published>2006-04-08T12:38:00.000-07:00</published><updated>2006-04-08T12:41:18.310-07:00</updated><title type='text'>BARUA YA MAMA SEHEMU 5</title><content type='html'>KASRI anaeleza masaibu yaliyopo katika shule na vyuo vya Tanzania, madadiliko ya tabia, biashara ya ngono, ushoga na usagaji. Endelea kusoma &lt;a href="http://h1.ripway.com/boniphace/SEKONDARIFORODHANI.doc "&gt;Riwaya hii ya kusisimua hapa &lt;/a&gt;na kumbuka kutoa mawazo yako maana yatachangia kuboresha kitabu hiki. Asante sana Mija kwa maoni yako.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114452527827496267?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114452527827496267/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114452527827496267&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114452527827496267'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114452527827496267'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/04/barua-ya-mama-sehemu-5.html' title='BARUA YA MAMA SEHEMU 5'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114451360585721260</id><published>2006-04-08T09:11:00.000-07:00</published><updated>2006-04-08T09:27:02.260-07:00</updated><title type='text'>AZIMIO LA DODOMA NA MUELEKEO WA MAGAZETI TANDO YA KISWAHILI</title><content type='html'>&lt;a href="http://kurunzi.blogspot.com"&gt;MARK Msaki&lt;/a&gt; ametoka &lt;a href="http://www.gov.za/"&gt;Afrika Kusini &lt;/a&gt;na kufika &lt;a href="http://www.tanzania.go.tz/regions/dodoma/"&gt;Dodoma&lt;/a&gt; kutekeleza jukumu la kupitisha Azimio la kutathimini taswira ya wamiliki na waandishi wa Magazeti Tando ya Kiswahili (Blogu). Safari hii ni ya pili kupata kuandikwa, ya kwanza ni ile Kasri alipoweza kukutana na &lt;a href="http://harakati.blogspot.com"&gt;HARAKATI&lt;/a&gt; pale jijini Toronto. Kumekuwa sasa na mazungumzo ya wana magazeti Tando kila pande ya dunia. Jumuiya hii sasa inakuwa kwa kasi sana na hatukutarajia iwe hivi mapema. Kama mzazi unapoongeza mtoto ni jukumu lako kutafuta kitanda kipya. Kutokana na ukweli huu nasi tuna jukumu la kutafuta maadili yetu na tayari &lt;a href="http://h1.ripway.com/rsmiruko/AzimiolaDodoma.doc"&gt;AZIMIO LA DODOMA &lt;/a&gt;limepitishwa na hili chini ya Mwenyekiti &lt;a href="http://kurunzi.blogspot.com"&gt;KURUNZI&lt;/a&gt; na katibu wake &lt;a href="http://rsmiruko.blogspot.com"&gt;MIRUKO &lt;/a&gt;na mjumbe mwenye heshima iliyotukuka &lt;a href="http://www.marthamtangoo.blogspot.com/"&gt;MARTHA&lt;/a&gt; na komredi &lt;a href="http://kazonta.blogspot.com/"&gt;HUDSON KAZONTA&lt;/a&gt;. Kasri anapongeza na kulikubali &lt;a href="http://h1.ripway.com/rsmiruko/AzimiolaDodoma.doc"&gt;Azimio hili&lt;/a&gt;. Jitihada hii sasa inatupa picha kuwa baada ya siku si nyingi Magazeti Tando yatakuwa yakisomwa katika redio asubuhi na pia jumuiya yetu inaelekea kuzuri ambapo hata tuzo za mwaka zitafuatia hivi karibuni. Yote haya ili yafanikiwe yanahitaji wafanikishaji. Lazima kuwe na uongozi wetu wa kutuunganisha. Kamati ya Muda imepatikana na sioni sababu ya kuivua madaraka sasa hadi tutakapoamua vingine. Nikupongezeni na kukuombeeni pumzi ya mola muweze kutufikisha safari ya matarajio yetu. Asanteni, naomba kuwasilisha.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114451360585721260?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114451360585721260/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114451360585721260&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114451360585721260'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114451360585721260'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/04/azimio-la-dodoma-na-muelekeo-wa.html' title='AZIMIO LA DODOMA NA MUELEKEO WA MAGAZETI TANDO YA KISWAHILI'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114442680834046016</id><published>2006-04-07T09:06:00.000-07:00</published><updated>2006-04-07T09:58:34.106-07:00</updated><title type='text'>SASA NI KIBANDA ANAYEINGIA</title><content type='html'>MWANANCHI kumewaka moto, kila mwandishi anatakiwa kumiliki Gazeti Tando kabla mtandao wa Magazeti yanayochapishwa na kampuni hiyo haujakamilika na kuwekwa katika intenet. &lt;a href="http://absalomkibanda.blogspot.com/"&gt;Absalom Kibanda &lt;/a&gt;mmoja wa wachambuzi wa juu kabisa wa masuala ya kisiasa katika Tanzania, mwenye uzoefu wa fani ya uandishi kwa miaka mingi naye ameitikia wito wa kufungua gazeti tando lake &lt;a href="http://absalomkibanda.blogspot.com/"&gt;lisome hapa&lt;/a&gt;. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Halafu kama umempitia &lt;a href="http://msangimdogo.blogspot.com"&gt;Msangi Mdogo &lt;/a&gt;utakuta kuna mapinduzi haya ambayo ameyaleta &lt;a href="http://vijimamboz.blogspot.com/"&gt;MK&lt;/a&gt; wa vijimambo. Wakati huo huo nashawishika kuamini kuwa anayetengeza mitandao ya blog za Tanzania anazidiwa kete kwa kuwa kama unatazama &lt;a href="http://www.blog.co.tz/athumani/"&gt;Athuman&lt;/a&gt; kapotea mtandaoni bila taarifa za kiufundi kutolewa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Lakini haijatosha kuna &lt;a href="http://mtzhalisia.blogspot.com/"&gt;mtanzania halisia &lt;/a&gt;ameingia pia mtembelee hapa. Huyu na mwingine sijui nani! Hapana nataka kumsalimu &lt;a href="http://kurunzi.blogspot.com/"&gt;Mark Msaki &lt;/a&gt;na ndugu yangu &lt;a href="http://rsmiruko.blogspot.com"&gt;Miruko &lt;/a&gt;kwa kubadili nyumba yake. Mapinduzi haya yananipa swali la kuhoji ni wapi mnapata mali hizi nyingi za kujenga mahekalu mtandaoni huku mimi ka kasri kangu kakibaki vile vile. Tunahitaji kuchunguza jitihada hizi za &lt;a href="http://vijimamboz.blogspot.com/"&gt;MK &lt;/a&gt;na kumpongeza maana sasa Magazeti Tando yetu yanapokelewa na kutanuka kwa kasi ajabu. Hureeeee asiye na mwana alale sisi &lt;a href="http://www.nationmedia.com/thecitizen/Mwananchi/Index.html"&gt;Mwananchi &lt;/a&gt;tunazidi kupumua tuu. Wenye wivu ajinyonge!  &lt;a href="http://charaz.blogspot.com/"&gt;Charahani&lt;/a&gt; tunashukuru sana jitihada zako.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114442680834046016?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114442680834046016/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114442680834046016&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114442680834046016'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114442680834046016'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/04/sasa-ni-kibanda-anayeingia.html' title='SASA NI KIBANDA ANAYEINGIA'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114434825827094638</id><published>2006-04-06T11:23:00.000-07:00</published><updated>2006-04-06T11:30:58.300-07:00</updated><title type='text'>NAVUTA PUMZI eeeeh!</title><content type='html'>KAMA kuna siku navuta pumzi ni leo, nina furaha sana hapa. Nini hasa nadhani wasema, Kasri kaanza hadithi zake. Lakini hapana nilikutana na Mmiliki wa Gazeti Tando la Kiingereza aitwaye Kabendera wa pale the Citizen Tanzania. Raha zaidi ni pale alipobainisha hili. &lt;a href="http://www.nationmedia.com/thecitizen/Index.html"&gt;Lione mwenyewe kwa macho yako.&lt;/a&gt; Je halikufariji, litakuwa wazi kabisa mwishoni mwa mwezi huu. Mambo saaafi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114434825827094638?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114434825827094638/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114434825827094638&amp;isPopup=true' title='7 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114434825827094638'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114434825827094638'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/04/navuta-pumzi-eeeeh.html' title='NAVUTA PUMZI eeeeh!'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>7</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114401972377833131</id><published>2006-04-02T16:11:00.000-07:00</published><updated>2006-04-02T16:19:23.213-07:00</updated><title type='text'>NINI TUJIFUNZACHO HAPA?</title><content type='html'>KAMA kuna kitu kilinipa mwaswali mengi kuliko majibu ni jeneza hili. Ilikuwa ni siku chache kabla ya kifo cha kiongozi mmoja mwandamizi wa serikali ya Tanzania tangu uhuru. Sijui kama macho yangu hayaoni vema, lakini huu ni msaplasi unalimwa sana Njombe pale na unapatikana sehemu kadha Tanzania. Viongozi wa dunia hii ni maarufu kwa kuchongewa majeneza yenye kubeba gharama zinazoweza kusomesha watu elfu au kuchangia huduma za wananchi wao. Kikubwa hubaki swali la heshima hizo na matendo yao baada ya kupata nafasi ya kutumikia umma je huwa vinaambatana au kukaribiana au kuwa sawa? Je nini nafasi ya jamii hata mtu afarikipo? Tazama picha hii hapa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/jhn.0.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/320/jhn.0.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114401972377833131?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114401972377833131/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114401972377833131&amp;isPopup=true' title='9 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114401972377833131'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114401972377833131'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/04/nini-tujifunzacho-hapa.html' title='NINI TUJIFUNZACHO HAPA?'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>9</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114401379121650349</id><published>2006-04-02T14:28:00.000-07:00</published><updated>2006-04-02T14:36:31.240-07:00</updated><title type='text'>ALILIA KWA UCHUNGU...HATA MWISHO ALIKUFA !!!!</title><content type='html'>HII ni kwadresma, waumini wa Kikatoliki wanafahamu kipindi hiki sana. Kipindi cha kugeuza shavu la kushoto pale upigwapo la kulia. Kipindi cha kumkumbuka huyu Mwanafalsafa aliyepewa jina la Yesu. Huyu jamaa kama aandikavyo Profesa Kezilahabi katika "Nagona" ananiathiri sana katika maisha yangu. Natamani nami nikifa kifo kama chake. Kifo cha jamii kukuita mshindi huku ukijitazama. Kifo cha umma kukutangaza mfalme wakati wako wa kumaliza maisha. Kifo cha kuwatazama wanaokulilia na kukucheka! Kifo hiki ndicho hasa niombacho nami nipewe lakini wana heri wasiotamani kutaka kujifananisha na Masiha. Yeye alishajua kuwa nitaandika hapa leo. Anajua kuwa ninaomba kifo kama chake lakini anataka kazi ndogo tu, kujikana na kushika njia yangu. Anataka kujua kama unatumia nafasi yako kuwanufaisha wengine. Anataka mengi madogo madogo tu. Nisitamke sana picha hii inisemee, iamshe fikra mpya katika mapambano ya kiuchumi Afrika. Itoe fikra mpya ya kuandika barua yangu kwa mama. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/jesus.0.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/320/jesus.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114401379121650349?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114401379121650349/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114401379121650349&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114401379121650349'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114401379121650349'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/04/alilia-kwa-uchunguhata-mwisho-alikufa.html' title='ALILIA KWA UCHUNGU...HATA MWISHO ALIKUFA !!!!'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114383065816932539</id><published>2006-03-31T10:41:00.000-08:00</published><updated>2006-03-31T10:44:18.200-08:00</updated><title type='text'>BARUA YA MAMA SEHEMU YA 4</title><content type='html'>Je wajua hofu ya wasomi wa Afrika dhidi ya maisha ya vijijini kwao? Je wafahamu adha ya kukosa kushirikishana taarifa za mahusiano katika familia za kiafrika. Haya na mengine mengi yanajadiliwa katika sehemu hii ya nne ya Barua ya mama. Ungana na mwandishi wa kisa hiki kinachokukumbusha maisha ya zamani kikihusisha na hali ya sasa na kutoa mwanga wa nini kifanyike. &lt;a href="http://h1.ripway.com/boniphace/barua4.doc "&gt;Endelea hapa sasa.&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114383065816932539?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114383065816932539/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114383065816932539&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114383065816932539'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114383065816932539'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/03/barua-ya-mama-sehemu-ya-4.html' title='BARUA YA MAMA SEHEMU YA 4'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114340224395855558</id><published>2006-03-26T11:41:00.000-08:00</published><updated>2006-03-26T11:44:03.980-08:00</updated><title type='text'>BARUA YA MAMA SEHEMU YA 3</title><content type='html'>KASRI anafafanua masaibu yanayowakabili wastaafu wa Tanzania katika Barua hii ya aina yake. Endelea kupata nini kinaendelea na pita hapa mara kwa mara kupata muendelezo wa Barua hii ya Kasri la Mwanazuo kwa mama yake Esther Makene. &lt;a href="http://h1.ripway.com/boniphace/barua3.doc "&gt;Sasa endelea na sehemu ya tatu hapa&lt;/a&gt;. Usisite kutoa maoni kuhusu barua hii.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114340224395855558?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114340224395855558/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114340224395855558&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114340224395855558'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114340224395855558'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/03/barua-ya-mama-sehemu-ya-3.html' title='BARUA YA MAMA SEHEMU YA 3'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114331737466425538</id><published>2006-03-25T12:06:00.000-08:00</published><updated>2006-03-25T12:09:34.690-08:00</updated><title type='text'>BARUA YA MAMA (2)</title><content type='html'>KASRI anaendelea kumuandikia mama yake Barua, Barua hii ni muwali kwa akina mama wote wa Afrika na inafaa kusomwa na akina Baba pia. Barua hii itakuwa ikiendelea hapa na kuhifadhiwa katika makala za Weledi wa Kasri La Mwanazuo. Lengo ni kuwa Riwaya hapo Baadaye:&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Waweza kuendelea kusoma muendelezo wa &lt;a href="http://h1.ripway.com/boniphace/barua2.doc"&gt;Barua hii hapa&lt;/a&gt; kama umeshasoma sehemu ya kwanza hapo chini. Nakutakia usomaji mwema.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114331737466425538?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114331737466425538/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114331737466425538&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114331737466425538'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114331737466425538'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/03/barua-ya-mama-2.html' title='BARUA YA MAMA (2)'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114323010448947341</id><published>2006-03-24T11:09:00.000-08:00</published><updated>2006-03-26T12:09:58.846-08:00</updated><title type='text'>BARUA KWA MAMA 1</title><content type='html'>KASRI la Mwanazuo anaanza kutoa Riwaya yake ya Barua ya Mama, ikiwa ni mkakati wa kuongeza machapisho ya Kiswahili. Riwaya hii anamuandikia Mama yake Esther Makene ikiwakilisha migogoro na masaibu ya jamii ya Afrika na ikionyesha baadhi ya uzoefu wa Kasri katika nchi za Amerika. &lt;a href="http://h1.ripway.com/boniphace/barua1.doc "&gt;Karibu hapa usome sehemu ya kwanza&lt;/a&gt;.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114323010448947341?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114323010448947341/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114323010448947341&amp;isPopup=true' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114323010448947341'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114323010448947341'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/03/barua-kwa-mama-1.html' title='BARUA KWA MAMA 1'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114312624280638937</id><published>2006-03-23T06:59:00.000-08:00</published><updated>2006-03-23T07:04:02.846-08:00</updated><title type='text'>KUMEKUCHA, AMKA BLOGU NYINGINE TENA YAINGIA</title><content type='html'>HUYU jamaa ni moja ya watu ninaopaswa kuwashukuru kwa mengi. Msomaji wa makala zangu Tanzania anaponiandikia kushukuru kuhusu maandishi yangu kimsingi anakosea. Huyu jamaa ndiye chanzo cha nafasi hii, anapaswa kushukuliwa huyu kwanza. Sasa baada ya kimya kirefu ameamua kufungua Blogu yake &lt;a href="http://charaz.blogspot.com/"&gt;isome hapa&lt;/a&gt;. Nasikia kuna mkakati kwa waandishi wa Habari wa Kampuni ya Mwananchi Communication kufungua Blogu zao ikiwa ni mkakati wa awali kabla ya magazeti hayo kuwekwa mtandaoni hapo baadaye mwaka huu. Mtembelee &lt;a href="http://charaz.blogspot.com/"&gt;Yahya Charahani&lt;/a&gt; na kumsalimu kama ilivyo ada yetu. Naona anajiita &lt;a href="http://charaz.blogspot.com/"&gt;hivi&lt;/a&gt;...KARIBU YAHYA saaaaaafi sana.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114312624280638937?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114312624280638937/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114312624280638937&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114312624280638937'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114312624280638937'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/03/kumekucha-amka-blogu-nyingine-tena.html' title='KUMEKUCHA, AMKA BLOGU NYINGINE TENA YAINGIA'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114296532899015884</id><published>2006-03-21T10:17:00.000-08:00</published><updated>2006-03-21T10:22:09.016-08:00</updated><title type='text'>BLOGU NYINGINE HIYOOOOO</title><content type='html'>KABENDERA ni mwandishi wa Habari wa Gazeti la The Citizen la Tanzania. Amefungua &lt;a href="http://kabendera.wordpress.com/"&gt;ukurasa huu&lt;/a&gt; na kujiunga moja kwa moja na familia ya &lt;a href="http://jikomboe.com"&gt;NDESANJO &lt;/a&gt;katika wordpress. Mtembeleeni, lakini sijui maana kizungu mimi kwangu kigumu kuandika sijui huyu jamaa atafanyaje ili aninase huko kutoa maoni mengi...enewei suala la kutanuka Blogu linatia moyo sasa hivi si kwamba tunashawishi watu kuingia ila wao wanafungua kabisa na kutoamba kuzitangaza. Miaka ijayo huduma ya kutangaza Blogu itakuwa inalipa...sijui Ndesanjo atatengeneza dola ngapi kwa huduma hii...yatatokea mtembelee KABENDERA na kunywa kahawa kwake&lt;a href="http://kabendera.wordpress.com/"&gt; hapa&lt;/a&gt;.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114296532899015884?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114296532899015884/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114296532899015884&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114296532899015884'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114296532899015884'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/03/blogu-nyingine-hiyooooo.html' title='BLOGU NYINGINE HIYOOOOO'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114280780867846848</id><published>2006-03-19T14:15:00.000-08:00</published><updated>2006-03-19T14:48:38.660-08:00</updated><title type='text'>NI KWELI HAYA YATATOKEA...</title><content type='html'>NIMEJIFUNZA sana siku hizi kuheshimu kazi za watu. Msanii Ebbo aliimba wimbo akitaja maneno na kuomba kusamehewa. Nimeona nami nianze kuomba msamaha maana siku hizi kumeongezeka wachangiaji mada wanaojiita ANONIMASI. Hawa tunaweza kuwadhibiti na hasa ndugu &lt;a href="http://issamichuzi.blogspot.com"&gt;Issa Muhidin Michuzi &lt;/a&gt;anapaswa kufanya hivyo mara moja. Mawazo yangu yanaweza kutopokelewa vema lakini niliahidi nilipotoa maoni yangu katika &lt;a href="http://issamichuzi.blogspot.com"&gt;Gazeti Tando la Michuzi &lt;/a&gt;kuwa nitalaani matukio ya hoja za udhalilishaji utu. Nafanya hivi na imani yangu wamiliki wa Magazeti Tando wengine nao watafuata harakati zangu... hata kwa kutikisa vichwa tu pale wasomapo maandishi yangu haya leo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Awamu ya nne, ipo madarakani kufuatia nguvu ya vyombo vya Habari na wasomi wachache waliotumia nafasi zao za kuihadaa jamii kwa kipindi kirefu. Kama walifanya hivyo kwa wema, basi sasa wako madarakani na ni imani ya wengi kuwa haya yanayozungumzwa sasa yanaweza kuwa vitendo na sisi tukaamini kuwa lengo lao lilikuwa kuujali umma na sio matumbo yao. Kama hawatafika mwisho vema...tutajiuliza nini kilifanyika, hakukuwa na mikakati ya ubainishaji matatizo na kupata masuluhisho yake?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimeona umuhimu wa kuandika nafasi ya Magazeti Tando katika awamu ya tano ya serikali ya Tanzania. Kuna watu huku wana nafasi ya kuunda agenda, kuna wengine wanataka kupoteza agenda hiyo pia...hawa wasitukwamishe kujengeana uwezo! Kuna watu nawaona machoni kabisa kuwa wanafanya maandalizi ya kushika dola. Kuna wengine nawaona wanajiandaa kabisa kushawishi wale wanaodhani wanaweza kupeleka mashua yetu mbele kujitokeza. Kizuri wamekuwa wakihamasisha uchakatuaji wa hoja na utafiti wa masuluhisho ya matatizo. Siku zote nimewatazama wakifanya kazi ya kuangalia uchafu na kuupigia kelele. Kuna jamaa mmoja aliwahi kunieleza juu ya siri ya kuwa muongo, alisema na hapa namnukuu bila kumtaja "Ukiwa muongo jenga tabia ya kutunza kumbukumbu."&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Blogu, jina ninalolikataa lakini limekuwa tayari na kuzoeleka, zinatoa kumbukumbu ya fikra na itikadi na mitizamo ya watu ambazo zitatunzwa kwa miaka mingi. Zitakuwa hazina isiyopotea na zitatumika kuonyesha nani anasema nini huko tuendako, alitoka wapi, na je amehama imani na misingi yake. Tutaweza kumuuliza vema, na pia kuweza kuhoji waliojificha wakidhani kuwa ni muhimu kudanganya na kujificha ili uingie kama mtakatifu katika madaraka ya dola.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimetazama sana na nimejitahidi kuhamasisha, baadhi ya wale ambao wanaonyesha kutaka kuingiza nguvu zao kuijenga Afrika wakianzania na Tanzania. Kizuri wametapakaa sana na kweli wanaonekana hapa. Jamii inawaona na mimi nawakilisha jamii hiyo nikiwataka sasa kugeuza mipango yao kutoka kuandika hoja tu bali kuwa na tafakari na hasa kujifunza kusoma na kusikiliza hoja za wengine pia. Kuna watu nadhani wanatakiwa kujifunza uvumilivu maana hii ni sifa kubwa kama wanataka na wanakusudia kushika madaraka ya dola. Ninawaona na hili wanatakiwa kulifanya sana, sipendi kunukuu maandishi ya Biblia maana Upadre ulinishinda zamani, hii haina maana kuwa nimeshaukimbia ukapera...la hasha niko single mie, nasaka katika mitaa ya dunia hii! Hapa nataka kudonoa tu hoja hii tu toka kwenye hilo Buku jeusi, "jifunzeni toka kwangu na ishini kama mimi" tena hapa "akupigaye shavu la kushoto mgeuzie na la kulia." &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nadhani kuna jamaa anatakiwa kuanzisha Blogu ya masuala ya dini ili kuwanoa viongozi wetu wajao. Afanye hivi bila woga maana kuna kazi ya kwanza ya kunoa mwili na baada ya hapo ni kunoa moyo/roho. Utawezaje kuwa juu ya rasilimali za nchi kisha uvumilie kutozidonoa wewe kwanza. Mtazame mfanyakazi wa Benki unapomtembelea afisini kwake na kumuomba fedha..huchomoa zilizoko mfukoni mwake! Kwa nini asibugudhi burungutu zilizopo mbele yake hapo kaunta? &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna kuandaa moyo kama kulivyo na kuandaa kuandaa fikra. Kuna kuandaa imani na itikadi na msimamo wa mtu binafsi kisha kuitazama jamii, haya si mambo mzaha, ya msingi sana kuwa nayo ili uendelee. Kuna kipindi maandishi tuandikayo yatabadilika ili kutunza amali za jamii yetu. Kutunza utu, kuheshimu jamii na kutojiunganisha na matabaka yasiyo na msingi katika umma. Maana halisi hapa ni kujiandaa maisha ya kubeba misalaba. Nina maana misalaba kubebwa na viongozi na sio wananchi, sinukuu kabisa kauli ya Msuya kuhusu kila mtanzania kubeba msalaba wake mwenyewe. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mimi naamini kwa Profesa aliyepewa jina la Yesu, aliyeamua kubeba msalaba yeye kwa ajili ya umma. Hawa ndio viongozi tunaotaka Afrika. Kiongozi aliye radhi kugawa chakula kwa raia kwanza wale kisha masalio ambayo yameharibika ndiyo ayageuze kuwa kitoweo chake. Hapa namkumbuka Padre Biseko wa Jimbo la Musoma na kituo chake cha wagonjwa wa Ukoma pale Nyamiongo. Nikifika Musoma nitamtembelea, kumsabahi na kisha na mimi kunywa kahawa na familia yake hiyo anayoithamini na kuipenda sana.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna mengi yatatokea, lakini moja ni kubwa kwa tunaowatazama jiandaeni sana. Msife moyo maana mafanikio myatakayo yanaweza kutotoka katika mikono yenu na badala yake yakaletwa na watoto au wajukuu wenu. Kama unachukia kujigawia nyumba za serikali basi tazama uko ulipo umejiuzia vingapi? Jifunze kuanzia hapo na rekebisha maana muda bado upo, nikamilishe kwa nukuu yangu ya mara nyingi, "Inawezekana, cheza karata yako."&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114280780867846848?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114280780867846848/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114280780867846848&amp;isPopup=true' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114280780867846848'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114280780867846848'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/03/ni-kweli-haya-yatatokea.html' title='NI KWELI HAYA YATATOKEA...'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114255610362313196</id><published>2006-03-16T16:38:00.000-08:00</published><updated>2006-03-16T16:41:43.626-08:00</updated><title type='text'>ZAWADI YA MICHUZI</title><content type='html'>KASRI akiwa na mmoja wa waasisi wa Kwanza Unit KBC. Hapa ni baada ya mazungumzo marefu kuhusu nafasi ya Magazeti Tando na kutanua teknoloijia ya habari na sanaa za Afrika ulimwenguni.&lt;br /&gt;&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/Picture%20005.0.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/320/Picture%20005.0.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114255610362313196?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114255610362313196/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114255610362313196&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114255610362313196'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114255610362313196'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/03/zawadi-ya-michuzi.html' title='ZAWADI YA MICHUZI'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114255584723594528</id><published>2006-03-16T16:34:00.000-08:00</published><updated>2006-03-16T16:50:31.636-08:00</updated><title type='text'>SIJUI MTORI AU VIPI, NA MIMI NATAKA!</title><content type='html'>Ee bwana hii supu ilipikwa kwa saa nyingi kidogo kisha ikawa tamu sana. Lakini kapilipili kalikuwa kakali maana kalinitesa sana kuibugia. Enewei hii sijui niifananishe na supu ya wapi maana mimi Bongo si mtaalamu wa supu kama Fikra Thabiti ambaye alikuwa anatoroka shule kwenda kusaka thupu Kibororoni.&lt;br /&gt;&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/Picture%20003.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/320/Picture%20003.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;undefined&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114255584723594528?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114255584723594528/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114255584723594528&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114255584723594528'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114255584723594528'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/03/sijui-mtori-au-vipi-na-mimi-nataka.html' title='SIJUI MTORI AU VIPI, NA MIMI NATAKA!'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114255564238732403</id><published>2006-03-16T16:29:00.000-08:00</published><updated>2006-03-16T16:34:02.386-08:00</updated><title type='text'>SUPU UGHAIBUNI</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/Picture%20004.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/320/Picture%20004.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;BAADA ya kazi ilifuata kujitundika supu ambayo wapare huita thupu. Ilikuwa safi kweli kama unavyotazama hapa, tukishughulika nyumbani kwa Charles.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114255564238732403?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114255564238732403/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114255564238732403&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114255564238732403'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114255564238732403'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/03/supu-ughaibuni.html' title='SUPU UGHAIBUNI'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114255530324241013</id><published>2006-03-16T16:26:00.000-08:00</published><updated>2006-03-16T16:47:03.140-08:00</updated><title type='text'>HAYA BARAGUMU SEMA, NASHUKURU KULITANGAZA KASRI</title><content type='html'>PICHA hii ni zawadi kwa&lt;a href="http://mwaipopo.blogspot.com"&gt; Baragumu&lt;/a&gt; kufikisha Kasri la Mwanazuo Alabama nami kufahamu hivyo nikiwa Atlanta. Kwa kasi ya utangazaji wa Magaeti Tando yetu jamii kubwa itakubali kuwa hii ni haki yao ya msingi kuyasoma na kuyamasisha wamiliki zaidi kujitokeza kufungua yao ili kuleta ushindani wa Habari ulimwenguni. Aksante sana Baragumu kazi njema.&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/Picture%20006.0.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/320/Picture%20006.0.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114255530324241013?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114255530324241013/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114255530324241013&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114255530324241013'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114255530324241013'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/03/haya-baragumu-sema-nashukuru.html' title='HAYA BARAGUMU SEMA, NASHUKURU KULITANGAZA KASRI'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114253469096493816</id><published>2006-03-16T10:21:00.000-08:00</published><updated>2006-03-16T10:44:52.340-08:00</updated><title type='text'>SALAMU ZA WABONGO ATLANTA</title><content type='html'>&lt;strong&gt;NIMEFARIJIKA&lt;/strong&gt; sana nilipopata bahati ya kufika ATL. Pale nitapakumbuka mno kutokana na Watanzania wa pale kuonyesha ukarimu wa hali ya juu ambao sikuwahi kuuona. Heshima hii iliyotukuka, imenipa fursa kuandika makala hii. Zawadi yangu kubwa ilikuwa Juisi ya Maembe (Kwa mlio Atlanta najua hamfamamu, huu ni utani wa pombe) Tulipiga juisi ile na kisha kugoma kwenda disko ili tuendelee kujadiliana masuala ya siasa ya nchi yetu. Nafarijika ninapopata fursa ya kujadili masuala haya na mtu yeyote. Wapo wasiopenda kabisa kusikiliza masuala haya lakini kwa Atlanta hapana...hawa walifika mbali zaidi, kujadili Kiswahili na nafasi ya Sanaa ya Tanzania kwa ajili ya Watanzania na kuwatambulisha nje.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Atlanta jirani kabisa na Alabama, Hapa kama unakumbuka Mmiliki wa &lt;a href="http://baragumuni.blogspot.com/2006/01/nimekula-ugali-alabama_01.html"&gt;Gazeti Tando la Baragumu aliwahi kula ugali hapo&lt;/a&gt;. Kuna rafiki zake nimewakuta huko na wao kunialika kusoma Gazeti Tando lililopo mtandaoni liitwalo &lt;strong&gt;KASRI LA MWANAZUO&lt;/strong&gt;. Ilinibidi kucheka maana natambulishwa kusoma Gazeti Tando ninaloliandika na kulimiliki mimi. Nikacheka na kuwapa taarifa ya kuwa ni mimi mwenyewe, basi ujumbe wa &lt;a href="http://harakati.blogspot.com"&gt;JEFF Msangi &lt;/a&gt;kuwa nihakikishe anapatikana mmiliki mwingine wa Gazeti Tando toka upande huo zinaweza kuzaa matunda. Nina kila sababu ya kujipongeza kutokana na kasi ya kuyatangaza magazeti haya. Yanapendwa na kila anayetambulishwa kutokana na kubeba maudhui mzito zenye kuonyesha dira na muelekeo wa nini kifanyike. Niwapongeze wamiliki wa Magazeti Tando wengine maana kama mnaweza kufanya kazi hii kwa kujitolea tu je mtashindwa kuinyanyua nchi yenu katika majukumu mtakayopatiwa na umma?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kuna ujumbe kwa &lt;a href="http://mwandani.blogspot.com/2006/03/jk-kuanzisha-tovuti-ya-wananchi.html"&gt;MWANDANI&lt;/a&gt; ambao umetokana na habari ya &lt;strong&gt;Gazeti la Nipashe &lt;/strong&gt;kuhusu kuli ya JK. Hii ni kauli njema lakini JK anataka kuleta urasimu usio na umuhimu kabisa. Kwani hao viongozi wa serikali hawawezi kumiliki Magazeti Tando kama yetu haya ili tuweze kuwafikia moja kwa moja. Kuna haja gani ya kuwa na Mtandao mmoja kisha awepo mtu wa kukusanya maoni na kuyapeleka? Tutaaminije kuwa yamefika na tutapata lini majibu? Tunahitaji namna ya kuweza kuwasiliana moja kwa moja, nipe nikupe na viongozi wa serikali. &lt;a href="http://issamichuzi.blogspot.com"&gt;Michuzi&lt;/a&gt; najua uko karibu huko kazi hii sasa fika hapo Ikulu, gonga hodi , singizia unapeleka picha ama vingine sijui ili tu uweze kuepusha urasimu na matumizi yasiyo na umuhimu. Kumuweka mtu hapo ina maana tunafungua ajira isiyo na umuhimu na kuongeza matumizi ya serikali. Tena kutatakiwa kuwa na matumizi ya mafuta ya kuchoma bure kabisa kwa yule atakayekuwa anapeleka maoni hayo katika ofisi mbalimbali. Yote haya ya nini, kazi hizi zaweza kufanyika bure kabisa! Niliwahi kuuliza ndugu yangu mmoja kuhusu kushindwa kwa Serikali ya Wanafunzi DARUSO kukosa Mtandao wao. Nilikuwa kiongozi wa chini kabisa hadi juu kabisa huko. Sasa hivi naweza kuandika na kuhariri KASRI LA MWANAZUO peke yangu lakini pale tulishindwa maana kila mmoja alidhani jambo hili ni gumu na haliwezekani. Kuongezeka kwa warasimu kama atamkavyo Max Weber kunaongeza pia matatizo ya fikra. Jambo linalowezekana sasa lachukua muda mrefu kufikiwa maamuzi yake. Kila jambo lina athari lakini kinachotakiwa ni kuvunja utepe mwekundu Red Tape katika urasimu kama alivyowahi kubainisha, Bill Clinton katika "The National Perfomance Review." Nikirudi hapa ni kuweka picha za safari hii awamu ya kwanza.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114253469096493816?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114253469096493816/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114253469096493816&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114253469096493816'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114253469096493816'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/03/salamu-za-wabongo-atlanta.html' title='SALAMU ZA WABONGO ATLANTA'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114210553792497058</id><published>2006-03-11T11:27:00.000-08:00</published><updated>2006-03-11T11:32:17.960-08:00</updated><title type='text'>NINI MAANA YA MIKUKI HII KWENYE TOVUTI YA CHADEMA?</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/mkuki.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/200/mkuki.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;NIMEKUTANA na habari kadhaa baada ya kupitia tovuti za vyama vya siasa. Nitaandika makala haya baadaye. Leo kubwa ni hili na kipicha hiki kinachoelekeza wanaotaka kuwania ubunge na udiwani kupitia chadema, kuwa na kipicha hiki chenye mikuki miwili. Huko juu kuna habari kuwa hakuna kulala hadi kieleweke! Haya maneno si yangu waweza soma zaidi katika tovuti ya CHADEMA &lt;a href="http://www.chadema.net/"&gt;hapa &lt;/a&gt;na kisha kujibainishia ukweli mwenyewe.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114210553792497058?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114210553792497058/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114210553792497058&amp;isPopup=true' title='8 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114210553792497058'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114210553792497058'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/03/nini-maana-ya-mikuki-hii-kwenye-tovuti.html' title='NINI MAANA YA MIKUKI HII KWENYE TOVUTI YA CHADEMA?'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>8</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114209712659901197</id><published>2006-03-11T08:54:00.000-08:00</published><updated>2006-03-11T09:12:10.586-08:00</updated><title type='text'>NIKO SASA ATLANTA</title><content type='html'>WANAKASRI wametuma lawama kuwa hawasomi somi maandishi mapya hapa. Niliwaacha waendelee na hekaya ya kisa cha kuoa wazungu. Kisa hiki chema sana maana imani ya Kasri ipo kwa binadamu wote. Kasri limetanuka nje ya mipaka ya rangi na hii inalipa fursa kujali utu kwanza na rangi baadaye. Madhara yanayotokana na rangi na hasa fikra zake hasi zina athari zaidi ya faida yake. Kuna haja ya masuala haya kupimwa na kuyapatia majibu anuwai ili binadamu tuigeuze dunia kuwa sebure njema kwetu kukaa na kuishi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa Atlanta nimefika baada ya safari kutoka Edinburg iliyochukua saa kama kumi kufika Houston. Huko niliyoyaona njiani katika barabara zinazokatiza baharini yamenipa maswali na hoja nitakazoziandia siku nyingine. Nikaondoka tena Houston na kuanza kukatiza Luoisiana nirani kabisa na New Orleans, kisha Misisipi, Alabama na kuingia hapa Georgia Atlanta jana jioni.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimefika na kuzitangaza Blogu huku kwa watanzania na mjadala wetu jana umenichukua saa nyingi huku tukipata maji ya bahari yaitwayo Heineken. Tumeendelea kujadili siasa ya Tanzania na kila mara nikiwakumbusha watanzania wenzangu nafasi yao huko nyumbani. Nimefurahi wengi wanalijua somo lakini wanahitaji kuongezwa kwa fikra zaidi  na kuwezeshwa kimtazamo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimebaini itikadi inaua taifa, hapa nina maana ya vyama vya siasa Tanzania. Vyama hivi vimefanya watendaji wengi wazuri kuwa nje ya serikali wakati tuliwahitaji sana. Mfano wetu hapa leo ni Mrema, huyu tutake tusitake tunamhitaji sana, wa pili ni Seif Hamad. Pemba na Zanzibar inamuhitaji huyu kuwa serikalini lakini swali ni moja aingieje? Itikadi za vyama vingi zimefanya mtindio wa ubongo kuingia Tanzania. Fikra za watu wetu zimegeuzwa katika makundi, waoga ama wanaopenda kujikomba kuingia chama tawala, na majasiri kuwa upinzani. Hivi sasa vinageuka vita vya nini si mnatupinga sisi, hivi nini kinachotoa mwanya wa tofauti za fikra kugeuzwa vita na kutanuliwa katika lindi la kunyimana nafasi za kuiwajibikia nchi ikiwa kila mmoja ana lengo la kufanikisha maendeleo yetu?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Inakuja suala la utaifa, na maendeleo kwanza. Je kura ni kigezo tosha kwa raia kutumia kufikia maendeleo. Uchaguzi una maana gani kama washindi walishajulikana kuwa ni matajiri fulani tu? Kuna haja gani ya watanzania walio ughaibuni kubakia huku badala ya kutumia nafasi ya ushawishi wao kusaidia kuendeleza nchi yetu? Lakini kwa nini walioko ndani nao wawatenge kwa kuwaita majina ya kila bezo, wanyamwezi, wanajiona, machizi nk?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nitarudi baadaye hizi ni salamu za Atlanta, mji mwenyeji wa Olimpiki mwaka 1996. Hapa leo vijana wangu Sajo na Gladdy wanafunga pingu za maisha. Nitafafanua harusi hii baadaye baada ya ndugu zangu hawa kunipa fursa ili Gazeri Tando langu liweze kutumia maelezo haya katika makala zake.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114209712659901197?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114209712659901197/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114209712659901197&amp;isPopup=true' title='5 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114209712659901197'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114209712659901197'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/03/niko-sasa-atlanta.html' title='NIKO SASA ATLANTA'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>5</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114133109074943764</id><published>2006-03-02T12:07:00.000-08:00</published><updated>2006-03-06T09:42:21.800-08:00</updated><title type='text'>JE UMESHAOA MZUNGU?</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/68155047_220de71096.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/320/68155047_220de71096.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;HAPA Texas sasa ni kipindi cha kampeni za uchaguzi wa awali kabisa. Gharama zake ni kubwa maana hata Mbowe hafiki na Herikopta lake katika chaguzi hizi. Kwa Tanzania chaguzi nkama hizi ni zile za vitongoji, lakini huku wagombea nao hununua matangazo katika Televisheni na mmoja juzi aliniacha hoi alipokuwa akitumia ndege kabisa kupeperusha bango lake. Huu ni utamu kabisa hasa kwetu vichaa wa siasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tumepata bahati ya kutembelewa na wabunge wa Texas mara kwa mara katika madarasa yangu. Humo nashukuru sibaguliwi maana kila mgeni akifika Profesa wangu anamtambulisha kwangu na kumueleza kuwa natoka Tanzania. Anampa walau picha ya kujitahidi kuweka mawazo ya kimataifa ili nami niambulie jambo. Mwisho unakuwa muda wa sisi kuwatwanga maswali. Nimewatwanga maswali kisawasawa na moja kubwa ni mafunzo ya aina ya siasa zinazotakiwa kufanyika. Kama unataka kuwa mwanasiasa unatakiwa kutafuta darasa hili. &lt;a href="http://mwaipopo.blogspot.com"&gt;Baragumu&lt;/a&gt; anazo taarifa juu ya nini ukifanye na hii naitamka ili yakitokea mambo kinyume na matarajio yangu, basi muoneni Baragumu atawafafanulia!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kibaya zaidi ni kila ninapopita katika kona ya barua zangu za mtandaoni. Nakutana na barua ya kijana wa sekondari moja toka eneo lenye ukame wa maji na njaa aliyeweza kufika katika intaneti na kupata wasaa wa kuniandikia waraka. Huyu kajituma kweli maana kipindi hiki chenye umeme wa mgao mtu kufika katika mtandao kunataka moyo kama unabisha muulize MIRUKO atakueleza! Kibaya na kinachonikera ni huyu kijana mbichi kabisa anayepaswa kuwazia masomo kuamua kuvuka nafasi ya mipaka ya nidhamu ya Afrika kwa kuniomba nimtafutie mchumba wa kizungu? Hivi hao mabinti waliojaa hapo Tanzania hamuwaoni? Kama mnashiriki kuwachukia dada zenu kiasi hiki nani atawapenda? Huyu kijana anawakilisha kundi kubwa linaloamini kuwa kitendo cha kuwa mweupe tayari ni kuukata kimaisha. Fikra hizi za kikoloni bado zinaikabili sana Afrika na kuna kazi kuziondoa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Natulia, kidogo na kufungua barua nyingine. Hii inatoka kwa binti naye anataka nimtafutie mchumba wa kumuoa lakini awe mzungu! Najiuliza hivi kulikoni hapa? Kama dada zetu nao hawatupendi sisi tutaoa wapi? Ina maana kuna mapigano ya sisi kwa sisi au ni yale ya dhana ya kuchanganya mapenzi na mali? Nani kasema kuwa mzungu ni maana ya kuwa na mali? Kuna kazi hapa...&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wakati haya yakiendelea nakumbuka hadithi za mwalimu wangu nikiwa shule ya msingi. Alinambia, "Soma Makene, mabinti hawa watajilerta wenyewe." SIJUI NAYE ALIWAAMBIA AKINA DADA KUWA WASOME KWA KUWA WANAUME WATAJILETA WENYEWE! Nilifaulu shule ya msingi na kuingia sekondari, huko napo nikaambiwa soma mabinti watajileta. Sikuwaona wakijileta hadi nilipoamua nami kuwatafuta. Upweke wa ughaibuni mkali sana na ndio kisa cha mimi kuandika makala haya yaliyokuwemo kichwani kwangu siku nyingi. Nifanyeje wakati sina jiko na umri unakimbia kwa kasi mpya, nguvu mpya na ari mpya? Nguvu za mwili zinazidi na matamanio yanautesa moyo...nawaza huku kukiwa na hoja za kuchanganya kuhusu maamuzi ya kuheshimu tamaa ya mwili wangu au kuacha nafasi ya umma iniamulie matakwa yanayohusu moyo wangu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ok narudi nyuma tena, nikafika Sekondari ya juu na huko binti niliyempenda nilimfata na yeye akanitangazia kuwa ana "Boi Furendi" wake Chuo Kikuu. Nikaona bado hadithi za kusoma kwanza zinatakiwa kuendelezwa. Nilipofika Chuo Kikuu sikuwahi kusikia kuwa kuna binti anajisifu kuwa mimi ni "Boi Furendi" wake kwa kuwa nipo Chuo Kikuu. Nikavuta subira, upweke ukaendelea..&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapo napo nikaamua kumtongoza binti, bila aibu sasa huyu wa chuo kikuu akanambia kuwa ana "Boi Furendi" wake Marekani. Sijui nani kawaloga hawa mabinti, kama ni kusoma si tayari nipo Chuo Kikuu au mwalimu wangu alimaanisha ni mabinti wa aina ipi watakaonifata. Huenda alimaanisha wale niliowaacha kijijini Sitimbi! Siwawezi tena wale maana hawajui losheni na pafyumu, na enjo fesi. Sababu hii inaweza kuwa chuku lakini hasa nao walishanisahau na kikweli hata majina yao sina sasa. Nikabaki kinywa wazi, siku si haba nikahitimu huko na kuja Marekani sijasikia kuwa kuna mtu ananitajataja kuwa mimi ni boifurend wake kwa kuwa niko Marekani. Zaidi ni hizi barua ninazopokea zinazonitaka kuwatafutia wao waume au mabinti wa kizungu. Hivi kila hatua nakumbana na vipingamizi hivi, kuna swali lingine hili limefika sasa hadi nalichukia. Sidhani kama lina lengo la kiubaguzi lakini kwani mahusiano kati ya mtu wa rangi moja na nyingine yanaihusu jamii katika lipi? Hivi kama ni mke nitakayeamua kuoa mimi anaihusu jamii nini, hawa wanaonitaka kuwatafutia mabinti na waume wa kizungu je nao ni wabaguzi wa rangi au wanataka kuvuka mipaka ya rangi zao? Je kwa nini sasa huyu aniulize bila soni swali hili, JE UMESHAOA MZUNGU?&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114133109074943764?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114133109074943764/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114133109074943764&amp;isPopup=true' title='17 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114133109074943764'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114133109074943764'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/03/je-umeshaoa-mzungu.html' title='JE UMESHAOA MZUNGU?'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>17</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114081643068864954</id><published>2006-02-24T13:24:00.000-08:00</published><updated>2006-02-24T13:28:14.330-08:00</updated><title type='text'>RAIS WA WATU</title><content type='html'>KAMA hujamtembelea &lt;a href="http://www.blog.co.tz/athumani/"&gt;ATHUMANI&lt;/a&gt; fanya hivyo mapema. Zipo picha amezificha kwenye Photo albamu na huko utaweza gundua mengi kama nilivyoweza kuipata hii hapa. Kwa mtazamo huu wa vipicha na vile vingine anavyotuonyesha &lt;a href="http://issamichuzi.blogspot.com"&gt;Michuzi&lt;/a&gt; sasa hivi nadhani Tanzania ina rais wa watu, tumpe ushirikiano kwa kuwafichua wala rushwa na tutokomeze ufisadi kwa vitendo. Nasema kweli daima fitina kwangu ni mwiko.&lt;br /&gt;&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/99.jpg"&gt;&lt;img style="cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/400/99.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114081643068864954?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114081643068864954/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114081643068864954&amp;isPopup=true' title='7 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114081643068864954'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114081643068864954'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/rais-wa-watu.html' title='RAIS WA WATU'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>7</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114073861757321534</id><published>2006-02-23T15:47:00.000-08:00</published><updated>2006-02-23T15:50:17.576-08:00</updated><title type='text'>BLOGU YA PICHA NYINGINE HIYOOO</title><content type='html'>&lt;a href="http://mwaipopo.blogspot.com/"&gt;BARAGUMU&lt;/a&gt; kanitumia ujumbe ambao ukanipa furaha na kicheko cha namna nilivyo nyuma ya wakati. Ni jana tu nilipata &lt;a href="http://www.blog.co.tz/athumani/"&gt;jina hili &lt;/a&gt;mtandaoni kisha nikaona nimuandikie ujumbe ili kumtaka aje kwenye ukumbi huu. Kuamka leo nagundua kuwa yumo na ameiva kisawasawa. Haya ni mapinduzi ya kasi kwelikweli yatembeleeni na kuyasabahi.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114073861757321534?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114073861757321534/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114073861757321534&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114073861757321534'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114073861757321534'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/blogu-ya-picha-nyingine-hiyooo.html' title='BLOGU YA PICHA NYINGINE HIYOOO'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114071521564219039</id><published>2006-02-23T09:15:00.000-08:00</published><updated>2006-02-23T09:26:38.606-08:00</updated><title type='text'>BARUA YA KOMREDI IDDI SIMBA KWA WAZAWA</title><content type='html'>&lt;strong&gt;NIMEPOKEA waraka huu, naona niubandike ili nisichafue kabisa waraka wenyewe na kisha kukupa fursa msomaji wangu kuweza kuingia au kuchangia mjadala huu. Mawazo usiyoyapenda au kuyaamini katika Waraka huu hayana uhusiano wowote na KASRI LA MWANAZUO hivyo tazama umuhimu wa agenda lakini maelezo ya kupalilia agenda hii waweza yachukua au yaweka kando. Umuhimu wa kutanua nafasi ya uchumi wa mzawa wa Afrika na Tanzania ni kauli mbiu ya KASRI LA MWANAZUO na hii ni imani yangu siku zote. Nitashukuru kama nawe utatafuta taarifa zaidi na kuungana na Komredi Simba ili kumkuza Mtanzania mzawa ambaye amegeuka mtumwa wa kiuchumi katika nchi yake kwa miongo mingi&lt;/strong&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/simba.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/200/simba.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;Kwa kupitia vyombo vya habari inawezekana ukawa umeona kuna kundi dogo la wabunge wa kipindi kilichopita waliokutana Dodoma tarehe 27 Desemba 2005 na kuamua kuunda Taasisi walioipa jina la “TANZANIA ECONOMIC FORUM”.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa heshima, napenda kukuarifu rasmi kwamba jambo hilo lilitokea, na kwamba Taasisi hiyo inakusudiwa iwe ya kuwaunganisha wananchi wa kila aina wataohamasika kujiunga nayo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Madhumuni ya barua hii ni kujaribu kukushwawishi, kwa namna ya peke kwako, uwe mmoja ya waasisi wa chombo hiki, ambacho kitashugulikia zaidi masuala ya kiuchumi kwa jinsi yanavyogusa maisha ya Mtanzania wa kawaida.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika kipindi cha miaka kumi ya awamu wa tatu ya utawala wa Mheshimiwa Rais Benjamin Mkapa, nchi yetu ilishuhudia mambo makubwa matatu yaliyoathiri hali ya maisha ya Mtanzania.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mabadiliko ya mfumo wa kisiasa na kiuchumi ambayo yalileta demokrasia ya vyama vingi pamoja na utekelezaji wa sera za uchumi. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ndani na muongo huu nchi ilikabiliwa na misukosuko ya kisiasa baina ya vyama tofauti na ndani ya vyama vyenyewe. Kadhalika kipindi hiki kilionyesha dhamira ya serikali kujitoa katika umilikaji wa rasilimali za Taifa na udendeshaji wa uchumi. Sekta binafsi ilipewa fursa ya kushika hatamu na kununua mashirika yaliyokuwa ya umma&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Juhudi za kufufua Ushirikiano wa Africa ya Mashariki pamoja na kubadilisha mfumo wa ushirikiano na nchi za kanda ya kusini mwa Afrika. &lt;br /&gt;  &lt;br /&gt;Ni Katika kipindi hiki hatua za kisheria zilifikiwa na kuielekeza nchi yetu kwenye soko la pamoja na nchi za kanda ya Africa Mashariki (EAC) na nchi za kusini (SADC) &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Utandawazi ulipamba moto kwa kasi kubwa zaidi katika kipidi hiki cha utawala wa awamu ya tatu. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Athari za mtindo wa biashara huria ya kimataifa zilijitokeza kwa nguvu sana wakati huu. Kushiriki kwa Rais Mkapa katika tume ya kongamano mbalimbali za kimataifa sio tu kuliipatia heshima nchi yetu, lakini pia kuliwafungua macho baadhi ya Watanzania juu ya ushindani mkali wa kibiashara na kiuchumi unaotukabili na nchi zingine. &lt;br /&gt;Haya Mambo matatu hayakuwa mapya kabisa. Yote yalikuwapo siku zilizopita kwa kiwango Fulani, lakini yalipata nguvu sana kuitekelezaji katika muongo huo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Athari iliyojitokeza zaidi kwa maisha ya Tanzania, Juu ya mambo haya matatu, ilikuwa ni kiuchumi. Serikali za awamu zilizopita kwa vipindi mbalimbali zlijaribu kubuni na kutekeleza mbinu za kusaidia.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Pamoja na juhudi za serikali zetu zilizopita, wabia wetu wa kimataifa nao walitoa fursa mbalimbali ambazo zilikusudia kutuwezesha kukuza uchumi na kuboresha maisha ya wananchi. Mifano michache itafaa kuiangalia :-&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;“Open General License” – OGL ( Tangu awamu ya Kwanza) &lt;br /&gt;“Commodity Import Support” CIS &lt;br /&gt;“Debt Conversion Programme” &lt;br /&gt;“Microfinance Policy” &lt;br /&gt;“Economic Empowerment Policy” &lt;br /&gt;“MKUKUTA, MKURABITA, AGOA, EBA N.K” &lt;br /&gt;Sambamba na hayo, awamu ya tatu ya Rais Mkapa ilijitahidi sana kujenga misingi imara ya uchumi wa Jumla (Macro-economy). Baada ya kuimarishwa utaratibu na tabia ya kulipia madeni, kuongeza ukusanyaji wa kodi, kudhibiti mfumuko wa bei na thamani ya sarafu ya Taifa, kuboresha miundo mbinu ya usafiri na mawasiliano, na baada ya kuonyesha dhamira ya kuipa nguvu sekta binafsi na kuitambua kama mtambo wa kuzalisha mali na kukuza pato la Taifa, wawekezaji walivutiwa na kuanza kuwekeza katika sekta mbali mbali za uchumi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Serikali ya awamu ya tatu ilifanya marekebisho makubwa katika sekta ya fedha na kuvutia mabenki ya nje kuingia nchini. Huduma za aina hii zilisisimua kwa kiasi kikubwa biashara ya kimataifa katika sekta hasa za madini, Utalii na uchuuzi wa bidhaa na nje na ndani.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Haya yote ni mazuri na lazima yaendelezwe kama ambavyo Mheshimiwa Ras Kikwete ameahidi kuyaendeleza katika awamu ya nne. Lakini ni vema tutambue kwamba mafanikio haya kwa kiasi kikubwa sana yamewagusa Wananchi wachache waliomo katika sekta rasmi ya uchumi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Watanzania wengi bado wana hali duni ya kimaisha na hawajaguswa na faida zilizopatikana katika sekta ya uchumi wa kisasa. Rais Kikwete ameahidi juhudi za kuinua hali ya maisha ya Watanzania kwa kuwaingiza kwenye njia kuu za Uchumi wa kisasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunaamini kwamba, kwa misingi iliyokwishawekwa katika awamu zilizopita, hasa awamu ya tatu kiuchumi na tukizingatia neema za maliasili ambazo tunazo nchini, awamu ya nne imekuja na ari ambayo inaweza kabisa kutimiza matarajio ya wananchi. Lakini uwezekano wa kutimiza matarajio hayo utategemea sana juhudi za tawala katika ngazi za serikali kuu, Tawala za Mikoa, Mamlaka mbalimbali za dola, Taasisi mbalimbali za kiraia (Civil society) na hasa juhudi za wananchi kwa jumla wao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tukienda pamoja na kushirikiana na kwa kueleweshana juu ya vita vya kiuchumi inavyoikabili nchi yetu, ni dhahiri Serikali ya awamu ya nne itaweza kutimiza ahadi zilizotolewa kwa wananchi. Neema za maliasili tunazokusudia hapa ni pamoja na watu wenye fani mbalimbali, na wenye moyo wa uzalendo unaowahurumia Wananchi masikini wanaotafuta riziki zao katika sekta ya uchumi isiyotambulika.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ili tutambue uzito wa tatizo la maendeleo ya wananchi wa Tanzania, ni vema tuchambue jinsi tulivyo!&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika Wananchi takriban milioni 35, nusu yetu ni wazee wenye umri wa miaka 65 na zaidi, pamoja na watoto na Vijana mpaka umri wa miaka 18. Waliobaki ni wananchi milioni 17.5 wa umri kati ya miaka 18 na 65 ambao ndio nguvu kazi wanaobeba mzigo wa kuwatunza watoto, Vijana na wazee.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Takwimu na taarifa rasmi zilizofikishwa katika kamati ya Fedha na Uchumi ya bunge mwaka jana zilionyesha kwamba wananchi wanaotambulika katika sekta rasmi ya uchumi ni milioni mbili tuu.. Hawa ndio wanaofanya kazi za Kuajiriwa na ujiajiri. Ndio wanaolipa kodi kwa utambulisho rasmi, pamoja na kutumia huduma za kibenki na fursa mbalimbali zilizoandaliwa na dola kwa ajili ya maendeleo ya sekta binafsi&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wananchi milioni 15.5 wanafanya kazi za kila aina, katika sekta zote za uchumi bila kujulikana na vyombo vya dola. Hii ndiyo sekta kuu ya pili ya uchumi usiojulikana kwanjia sahihi na rasmi. Wananchi hawa wana rasilimali zao ambazo hazitambuliki na kwa hiyo haziwasaidi katika maendelo ya kisasa. Hawakopesheki, hawalipi kodi na hawawezi kutumia fursa nyingi zilizoandaliwa na serikali kwa ajili ya maendeleo yao. Hata hivyo wanaona jinsi nchi ilivyobadilika sura kwa maana ya majengo mapya, mabarabara, magari, umeme, usafiri na mawasiliano.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wananchi hawa milioni 15.5 wanatambua faida zinazopatikana katika sekta rasmi. Wachache wanaojaonja anasa za utandawazi kwa matumizi ya simu za mkono, TV, na radio. Lakini wengi wao bado wako mbali sana na faida za uchumiwa kisasa ambazo kama tunavyoona zinawagusa wananchi milioni mbili tuu. Na hata hao milioni mbili, ni wachache miongoni mwao ambao ni wachezaji wa kweli katika shuguli za uchumi wa sekta rasmi. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Katika Kipindi cha mwaka uliopita wa fedha 2004/2004, idadi ya akaunti katika mabenki yote nchini ilikadiriwa kama laki tatu tuu (300,000). Sehemu kubwa sana ya hata wao wananchi milioni mbili waliomo katika sekta rasmi ya uchumi hawapati faida ya huduma za benki. Nao pia hawakopesheki katika mazingira yaliyopo hivi sasa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Suala la mzingi, ambalo ni lazima tulipatie jawabu haraka, ni jinsi tutavyoweza kuvuta nguvu zetu za kitaifa ili nchi yetu ikabiliane na ushindani wa kibiashara na kiuchumi katika mazingira haya ya utandawazi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tanzania imo vitani. Ni vita ya kiuchumi inayolazimisha tufungue mipaka yetu, siyo tu kwa jili ya bidhaa za kutoka nje lakini pia kwa ajili ya wafanyakazi na wawekezaji ambao wanavutiwa na fursa nyingi za kujitajirisha zilizomo nchini mwetu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hii ni hali ambayo haiepukiki na wala si busara kujaribu kujiepusha nayo. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunachotakiwa kufanya haraka sana ni kuwashitua wananchi wetu, kuwasisimua na kuwaanda kwa vita kali ya kiuchumi. Mahindano yetu na nchi zingine yanatutaka tuzalishe mali katika sekta zetu zote za uchumi zitazoongeza pato la Taifa kwa kasi kubwa zaidi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tanzania ina nafasi na fursa ya kufikisha katika masoko ya Dunia bidhaa zinazotakiwa duniani. Tusipozalisha bidhaa hizo sisi wenywe pamoja na kushirikiana na tuwatakao kwa mtindo utaolinda maslahi ya taifa letu hivi sasa, baadaye (na baadaye hii ni miaka kama kumi na tano hivyi) Dunia itatulazimisha tufanye kama Dunia inavyotaka.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kazi ya kuwatayarisha wananchi kwa mapambano haya ya kiuchumi, na kazi ya kuvuta nguvu zote za Taifa kwa ajili ya vita hii, haiwezi kufanywa na Serikali peke yake, Bunge peke yake, Vyombo vya wafanyabiashara au kundi lolote peke yao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunadhani ni bora tuunde chombo kitachowajumuisha watu wa fani mbali mbali, makundi ya kila aina, viongozi wa Taasisi za kisiasa, Kibiashara, kiroho na taaluma, Chombo ambacho kitachambua kwa undani mipango yote na fursa zilizoandaliwa na serikali kwa ajili ya kuwawezesha wananchi kujiendeleza. Kwa mfano, ni watu wachache mno wanaojuwa habari za MKUKUTA, MKURABITA na mifuko mbali mbali yenye malengo ya kuwasaidia wananchi. &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Chombo hiki kitatafiti taratibu zote na fursa zote zilizowekwa na serikali yetu, na hata Taasisi za kimataifa, ambazo zinakusudia kutuwezesha kukuza uchumi na kuboresha maisha ya wananchi. Taarifa sahihi juu ya yote haya itakuwa inatolewa kwa namna ya kuwaelimisha watu ili waweze kuchacharika katika sekta zote za Uchumi.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunakusudia kuwashwawishi wananchi wanaharakati wa maendeleo, wajiunge na chombo hichi ambacho madhumuni ya msingi ni kuhimiza maendeleo ya wananci kwa kujenga taratibu sahihi za ushirikiano endelevu baina ya serikali na watu.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tarehe 18 Machi 2006, Jumamosi saa nne asubuhi tutakutana katika ukumbi wa hoteli ya Royal Palm Movenpick, Dar es salaam&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Ni maombi na matumaini yangu kwamba utakubali kujiunga na chombo hiki cha kiraia ambacho azma kuu ni kujenga ushirikiano wa dhati na vyombo vya dola ili kwapamoja tupigane vita vya kuondoa umasikini na kujenga uwezo wa nchi yetu kwa mashindano ya kiuchumi na mataifa mengine. Kujiunga kwako nacho kutakipatia chombo hiki heshima na kutuwezesha tuaminike na tuwe msaada mkubwa kwa serikali katika juhudi za kuwaletea wananchi maendeleo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Tunamini kwamba, pamoja na wewe, idadi kubwa ya wananchi wasiopungua mia moja watakuwa amejiunga na kulipia ada za uanzilishi wa Taasisi hii. Rasimu za katiba inandaliwa ili baada ya kukubaliwa na kikao, ambacho kitachagua uongozi, tutachukuwa hatua za usajili na kuanza shuguli zitazokusudiwa.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt; &lt;br /&gt;Idd Simba&lt;br /&gt;(Mwenyekiti wa Muda)&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi   info@tanzaniaeconomicforum.org  &lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;--&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114071521564219039?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114071521564219039/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114071521564219039&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114071521564219039'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114071521564219039'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/barua-ya-komredi-iddi-simba-kwa-wazawa.html' title='BARUA YA KOMREDI IDDI SIMBA KWA WAZAWA'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114030184631034695</id><published>2006-02-18T14:24:00.000-08:00</published><updated>2006-02-18T14:30:46.646-08:00</updated><title type='text'>JINA LA KISWAHILI LA BLOGU</title><content type='html'>MJADALA wa kupata jina la Blogu kwa Kiswahili chetu umepoteza muelekeo! Samahani kwa kuanza hivi maana naweza kuonekana mvivu wa shukrani kwa waliojadili. Sasa nashambulia tena maana kumbuka tulikotoka na kupata neno blogu. "Blogspot" Ndesanjo wiki mbili zilizopita amehama huku na kuingia "wordpress." Hii ni mitandao miwili tofauti inayotoa huduma moja. Nakumbuka namna Mobitel walivyoingia Tanzania na simu za mkononi zikaanza kuitwa mobitel. Ilichukua muda kufuta jina hilo hadi walipoingia VODACOM na Celtel. Sina lengo la kujadili makampuni ya simu mathalani Vodacom na hatma ya Msekwa! Sina habari kabisa kuhusu kusitishwa kwa ajira yake ya uenyekiti wa Bodi hiyo na wala sina uhakika kuwa Mkapa naye ana hisa nyingi katika kampuni hilo.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Makala yangu ni kutafuta jina la Blogu ili watakaokuwa Blogger au wordpress au ile ya Mike Mushi wa Tanzania na nyingine nyingi zijazo wawe na jina lao la Kiswahili. Hawa Blogger, wordpress na wengineo wabakie kuwa kama viwanda vya kuchapishia magazeti yetu tu. Ok naishia hapa na kuomba neno la GAZETI TANDO kuanza kutamalaki.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Wasalaam,&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114030184631034695?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114030184631034695/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114030184631034695&amp;isPopup=true' title='11 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114030184631034695'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114030184631034695'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/jina-la-kiswahili-la-blogu.html' title='JINA LA KISWAHILI LA BLOGU'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>11</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-114020827627470842</id><published>2006-02-17T12:15:00.000-08:00</published><updated>2006-02-17T12:31:16.403-08:00</updated><title type='text'>JAMALA LANGU LI WAPI?</title><content type='html'>NATUMIA shairi hili kulipa deni nililotoa katika dirisha la maoni ya &lt;a href="http://harakati.blogspot.com"&gt;Harakati&lt;/a&gt;. Lakini pia shairi hili nililolitunga nikiwa Ndanda linajibu tungo za Malenga &lt;a href="http://mkwinda.blogspot.com"&gt;Mkwinda&lt;/a&gt; na &lt;a href="http://nyembo.blogspot.com"&gt;Nyembo&lt;/a&gt; ambao wote wamekaa kimya kusubiri nijibu tambo zao kabla ya kuandika makala nyingine katika Baraza zao.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nimekosa kitu gani, mimi malenga mfupi?&lt;br /&gt;Mwanitia mashakani, enyi shetani wakopi&lt;br /&gt;Pingu mmenifungani, jamala langu li wapi?&lt;br /&gt;Licha nikuta roshani, mwanila kama makapi&lt;br /&gt;Shetani hebu semeni, kwa nini mwameza pipi!&lt;br /&gt;Makware ninyi haini, iweje mnipe nepi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Hapa nipo gurufuni, semeni acha kugwaza&lt;br /&gt;Gunge mmenipendeni,mwataka niguruguza&lt;br /&gt;Bado nipo upofuni, Munkari kujiitiza&lt;br /&gt;Mwataja mimi haini, kwa lipi nilotendeza?&lt;br /&gt;Enyi Nduli maskini, mbona mwapenda jiponza!&lt;br /&gt;Wakili nimefateni, lazima tawatuliza&lt;br /&gt;Licha letwa kizimbani, jamala langu li wapi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Malenga sikilizeni, kisa cha kuajabia&lt;br /&gt;Mimi kuishinda fani, latosha nikamatia?&lt;br /&gt;Kasema mtu razini, wizara yamtambua&lt;br /&gt;Hataki nitambueni, fani mimi jifunua&lt;br /&gt;Shida pate sabihini, weledie tangazia&lt;br /&gt;Kapiga saksafoni, mimi nilipotulia&lt;br /&gt;Licha letwa kizimbani, jamala langu li wapi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Yanikumbusha zamani,Yesu waliposhikia&lt;br /&gt;Licha wagonjwa ponyani, walo njaa kushibia!&lt;br /&gt;Macho waliyafumbia,wema jamala lipia&lt;br /&gt;Nilianza kwa kubuni,watu kufurahishia&lt;br /&gt;Huyu aso sarakani,mabomu kanitupia&lt;br /&gt;Licha jifanya sajini,ndiye alinishikia&lt;br /&gt;Licha letwa kizimbani, jamala langu li wapi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Mwanitia machozini, kila napofikiria&lt;br /&gt;Uwazi siutamani, tazama nimeachia&lt;br /&gt;Sitaki fanya sakia, hapa kupumzikia&lt;br /&gt;Sasa ninatesekani, ukweli kufichilia&lt;br /&gt;Vipi niwe matatani, kwa fani nilojulia?&lt;br /&gt;Japo ningali zuoni, matope menitupia&lt;br /&gt;Licha letwa kizimbani, jamala langu li wapi?&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Nawajua mashetani, wivu mwausumbukia&lt;br /&gt;Mimi sinyoi sekini, kichwa nalinganishia&lt;br /&gt;Vita vyangu ogopeni, majini mtajutia&lt;br /&gt;Japo bado mdogoni, rufaa meshakatia&lt;br /&gt;Sihiri zenu toeni, kichaa nawaapia&lt;br /&gt;Kesho msije juteni, kalamu kuwachapia&lt;br /&gt;Licha letwa kizimbani, jamala langu li wapi?&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-114020827627470842?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/114020827627470842/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=114020827627470842&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114020827627470842'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/114020827627470842'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/jamala-langu-li-wapi.html' title='JAMALA LANGU LI WAPI?'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-113978056007060747</id><published>2006-02-12T13:40:00.000-08:00</published><updated>2006-02-12T13:42:40.070-08:00</updated><title type='text'>KUMBUKUMBU PEKEE NA KIONA MBALI</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/mwana%20wengi.jpg"&gt;&lt;img style="cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/400/mwana%20wengi.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;MWENYEZI kaa naye vema Kiona Mbali (Conrad Danstun) hapa alikuwa nasi Mwananchi ya wakati huo ikielekea kukamilisha mwaka mmoja. Haya Ndesanjo una mtu unamkumbuka hapo?&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-113978056007060747?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/113978056007060747/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=113978056007060747&amp;isPopup=true' title='20 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113978056007060747'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113978056007060747'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/kumbukumbu-pekee-na-kiona-mbali.html' title='KUMBUKUMBU PEKEE NA KIONA MBALI'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>20</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-113978039913463789</id><published>2006-02-12T13:38:00.000-08:00</published><updated>2006-02-12T13:39:59.136-08:00</updated><title type='text'>MWAKA MMOJA MWANANCHI</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/mwana.jpg"&gt;&lt;img style="cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/400/mwana.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Mwenye kilemba ni Leah Samike, tukimpata huyu kwenye blogu za picha nadhani tutakuwa nasi tumeula. Kazi hii inaendelea kumvuta.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-113978039913463789?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/113978039913463789/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=113978039913463789&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113978039913463789'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113978039913463789'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/mwaka-mmoja-mwananchi.html' title='MWAKA MMOJA MWANANCHI'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-113978029081903866</id><published>2006-02-12T13:36:00.000-08:00</published><updated>2006-02-12T13:38:10.820-08:00</updated><title type='text'>NITAISHIJE EE MUNGU WANGU?</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/sumaye.jpg"&gt;&lt;img style="cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/400/sumaye.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;HAPA ni kama anakumbuka kuwa amepoteza katika uteuzi na tena nafasi yake kung'aa tena inaonekana kupotea kabisa. NI kama anamuomba Mola kikombe hicho kimuepuke.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-113978029081903866?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/113978029081903866/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=113978029081903866&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113978029081903866'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113978029081903866'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/nitaishije-ee-mungu-wangu.html' title='NITAISHIJE EE MUNGU WANGU?'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-113978014856114695</id><published>2006-02-12T13:32:00.000-08:00</published><updated>2006-02-12T13:35:48.563-08:00</updated><title type='text'>MIAKA 70 YA TUKI</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/kasri%20sumaye.jpg"&gt;&lt;img style="cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/400/kasri%20sumaye.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;HAPA Kasri ni kama anamwambia Mzee Fredrick amfumbue macho na yeye aone njia rahisi ya kujipatia mashamba na vijimali. Hapana natania hapo nilikuwa natoa mchango kwa ajili ya Mfuko wa Shaaban Robert uliozinduliwa siku hiyo kwa lengo la kutoa ufadhili wa shahada ya Uzamili katika Kiswahili. Kasri alitoa ahadi ya kuchangia sh 20,000 na kuitimiza baadaye.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-113978014856114695?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/113978014856114695/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=113978014856114695&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113978014856114695'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113978014856114695'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/miaka-70-ya-tuki.html' title='MIAKA 70 YA TUKI'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-113977997060076293</id><published>2006-02-12T13:30:00.000-08:00</published><updated>2006-02-12T13:32:50.600-08:00</updated><title type='text'>KIKAPUNI</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/kikapu.jpg"&gt;&lt;img style="cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/400/kikapu.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;VIPAJI vipo vingi Bongo lakini kwa nini hatufiki mbali katika michezo. Tazama hizi tambo za Kasri enzi hizo Kapteni wa trimu ya Kikapu mkoa wa Kagera.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-113977997060076293?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/113977997060076293/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=113977997060076293&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113977997060076293'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113977997060076293'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/kikapuni.html' title='KIKAPUNI'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-113977980474200002</id><published>2006-02-12T13:27:00.000-08:00</published><updated>2006-02-12T13:30:04.743-08:00</updated><title type='text'>MAMA MIGIRO NAYE?</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/migiro.jpg"&gt;&lt;img style="cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/400/migiro.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;HAPA ni waziri wa Jinsia na Mbunge anayewakilisha jimbo la Vyuo Vikuu. Kuna kauli alinipa nilipomuuliza swali fulani...kama kweli anakumbuka sasa ajikaze maana aweza kuwania urais baada ya Kikwete.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-113977980474200002?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/113977980474200002/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=113977980474200002&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113977980474200002'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113977980474200002'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/mama-migiro-naye.html' title='MAMA MIGIRO NAYE?'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-113977959778617981</id><published>2006-02-12T13:23:00.000-08:00</published><updated>2006-02-12T13:26:37.786-08:00</updated><title type='text'>WANASIASA BWANA, WE ACHA TU?</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/ng%27wandu.jpg"&gt;&lt;img style="cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/400/ng%27wandu.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Pius Ng'wandu alitangaza kujiondoa katika siasa. Kama walivyo tabia yao kumbe ilikuwa ni danganya toto. Juzi juzi akajitutumua tena kutaka ubunge wa Afrika Mashariki na kudondoka katika hatua za chama. Hivi huwa hawakumbuki wanayotangaza au ndiyo siasa hiyo? Hapa akiwa na Mbunge Aziza mwenye Kitenge safi pembeni mwa Kasri, hiki ni kikao cha kujadili madhara ya Bodi ya Mikopo Tanzania iliyoambatana na mgomo chuo Kikuu Mlimani.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-113977959778617981?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/113977959778617981/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=113977959778617981&amp;isPopup=true' title='3 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113977959778617981'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113977959778617981'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/wanasiasa-bwana-we-acha-tu.html' title='WANASIASA BWANA, WE ACHA TU?'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>3</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-113977935433975098</id><published>2006-02-12T13:19:00.000-08:00</published><updated>2006-02-12T13:22:34.340-08:00</updated><title type='text'>LALA PEMA BOMANI</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/bomani.jpg"&gt;&lt;img style="cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/400/bomani.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;PICHA hii licha ya kunikumbusha hao wandugu wengine ambao ni wadau katika serikali ya Tanzania na Zanzibar zaidi yanipa kumbukumbu ya Mzee Bomani. Bongo kama ukiondoka ni mara chache kukumbuka. Mzee huyu alikuwa na historia kubwa sana hasa katika suala la vyama vya ushirika.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-113977935433975098?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/113977935433975098/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=113977935433975098&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113977935433975098'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113977935433975098'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/lala-pema-bomani.html' title='LALA PEMA BOMANI'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-113977915526787209</id><published>2006-02-12T13:15:00.000-08:00</published><updated>2006-02-12T13:19:15.266-08:00</updated><title type='text'>ANA KWA ANA NA NGASONGWA</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/ngasongwa.jpg"&gt;&lt;img style="cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/400/ngasongwa.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;KASRI siku moja alikutana na swali gumu toka kwa Waziri Ngasongwa. Hili lilitokana na utambulisho toka kwa Profesa Mbago pale alipomueleza Ngasongwa kuwa Kasri ni Waziri Mkuu wa DARUSO. Ngasongwa akawahi na kunisalimu, "Habari yako Waziri Mkuu" nikacheka...sikutoa jibu mapema. Ungekuwa wewe ungemjibu sijambo mheshimiwa Waziri au vipi ukikumbuka kuwa kwake yeye Waziri Mkuu ni alikuwa Sumaye?&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-113977915526787209?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/113977915526787209/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=113977915526787209&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113977915526787209'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113977915526787209'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/ana-kwa-ana-na-ngasongwa.html' title='ANA KWA ANA NA NGASONGWA'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-113977887887499988</id><published>2006-02-12T13:12:00.000-08:00</published><updated>2006-02-12T13:14:38.876-08:00</updated><title type='text'>POMBE ZA MAHAFALI TSJ</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/tsj.jpg"&gt;&lt;img style="cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/400/tsj.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;MLIOSOMA au kutembelea TSJ hapa nakukumbusheni sherehe hizi ambazo tulikuwa tunakunywa hadi kukimbia ulabu. Aaah siku hizi naziita Mango Juice maana Marekani pombe unapaswa kuipakata kwa kuificha. Baragumu tazama hiyo Safari hapo kisha usitamani.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-113977887887499988?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/113977887887499988/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=113977887887499988&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113977887887499988'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113977887887499988'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/pombe-za-mahafali-tsj.html' title='POMBE ZA MAHAFALI TSJ'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-113977870648118355</id><published>2006-02-12T13:09:00.000-08:00</published><updated>2006-02-12T13:11:46.483-08:00</updated><title type='text'>KIKOSI CHETU CHA YOSSO</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/jijits.jpg"&gt;&lt;img style="cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/400/jijits.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;HII ni zawadi ya &lt;a href="http://tafakarizamaisha.blogspot.com"&gt;Tafakari za Maisha&lt;/a&gt;. Nadhani hapo anacheka baada ya kukutana na kumbukumbu hii. Haya wasalimie hao ndugu wakumbushe kutembelea blogu zetu.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-113977870648118355?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/113977870648118355/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=113977870648118355&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113977870648118355'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113977870648118355'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/kikosi-chetu-cha-yosso.html' title='KIKOSI CHETU CHA YOSSO'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-113977858669155347</id><published>2006-02-12T13:06:00.000-08:00</published><updated>2006-02-12T13:09:46.693-08:00</updated><title type='text'>ADHABU YA MGOMO KIDATO CHA KWANZA</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/mgomo.0.jpg"&gt;&lt;img style="cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/400/mgomo.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Jamani kama kuna jamaa unamkumbuka katika picha hii muulize hivi tulimgomea mwalimu yule kwa kisa gani. Najua tulikuwa na hoja na Makamu Mkuu wa Shule kipindi kile Chonya alitupa kimzigo hicho ili kusawazisha mambo. Mtakumbuka picha hii tuliambizana kuwa hakuna kucheka. Nikumbusheni jamani maana hapa nacheka sana.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-113977858669155347?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/113977858669155347/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=113977858669155347&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113977858669155347'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113977858669155347'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/adhabu-ya-mgomo-kidato-cha-kwanza.html' title='ADHABU YA MGOMO KIDATO CHA KWANZA'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-113977841139159146</id><published>2006-02-12T13:04:00.000-08:00</published><updated>2006-02-12T13:06:51.393-08:00</updated><title type='text'>KUMBUKUMBU ZA ROCKS IHUNGO</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/rocks.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/400/rocks.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;Tumetoka mbali sana, kwa aliyepita hapo Ihungo anajua chini huko ni mjini Bukoba na mawe hayo sasa nasikia hayapo tena maana yamebandikwa majengo juu yake.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-113977841139159146?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/113977841139159146/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=113977841139159146&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113977841139159146'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113977841139159146'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/kumbukumbu-za-rocks-ihungo.html' title='KUMBUKUMBU ZA ROCKS IHUNGO'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-113977812435854372</id><published>2006-02-12T12:58:00.000-08:00</published><updated>2006-02-12T13:03:49.333-08:00</updated><title type='text'>BAADA YA KUTIMUANA MLIMANI</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/kikosi.jpg"&gt;&lt;img style="cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/320/kikosi.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;HAPA anakosekana Zitto Kabwe, Ole Navaya Ndaskoi, Mvula Emanuel, Omari Ilyas na Msando Alberto Pereira. Waliopo ni Siriwa, Lijungu litaka Karuti, Mwikwabe Chacha, na Kasri la Mwanazuo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-113977812435854372?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/113977812435854372/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=113977812435854372&amp;isPopup=true' title='8 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113977812435854372'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113977812435854372'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/baada-ya-kutimuana-mlimani.html' title='BAADA YA KUTIMUANA MLIMANI'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>8</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-113968770459610053</id><published>2006-02-11T11:53:00.000-08:00</published><updated>2006-02-11T11:55:04.596-08:00</updated><title type='text'>MNANISIKIA NDUGU WANANCHI?</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/kasri.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/400/kasri.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;MOJA ya majukumu ya Kasri ni kuzungumza na wananchi pale apatapo fursa. Huku ni Lindi Kasri akiwa Sekondari ya Ndanda.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-113968770459610053?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/113968770459610053/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=113968770459610053&amp;isPopup=true' title='6 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113968770459610053'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113968770459610053'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/mnanisikia-ndugu-wananchi.html' title='MNANISIKIA NDUGU WANANCHI?'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>6</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-113968755139510459</id><published>2006-02-11T11:49:00.000-08:00</published><updated>2006-02-11T11:52:31.396-08:00</updated><title type='text'>ULIMWENGU JIRANI NA KASRI</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/ulimwengu.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/400/ulimwengu.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;KWA wasiomfahamu Jenerari Ulimwengu nawapa pole. Ni huyu shujaa aliyekubali kuanika uwazi wa Mkapa kupalilia rushwa nchini. Shujaa huyu amechapisha kitabu cha makala zake na mfano huu utaigwa na Kasri la Mwanazuo ambaye anapanga naye kuchapisha makala zake kuwa kitabu kitakachojulikana kama Weledi wa Kasri la Mwanazuo. Ulimwengu yu katikati na pembeni mwenye Koti jeusi ni Kasri, ukumbi wa Nkurumah Chuo Kikuu Dar es Salaam.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-113968755139510459?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/113968755139510459/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=113968755139510459&amp;isPopup=true' title='4 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113968755139510459'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113968755139510459'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/ulimwengu-jirani-na-kasri.html' title='ULIMWENGU JIRANI NA KASRI'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>4</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-113968733848600735</id><published>2006-02-11T11:46:00.000-08:00</published><updated>2006-02-11T11:48:58.486-08:00</updated><title type='text'>KUTOKA URAIS WA WALIMU HADI UWAZIRI WA ELIMU</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/elimu.0.jpg"&gt;&lt;img style="display:block; margin:0px auto 10px; text-align:center;cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/400/elimu.0.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;KATIKATI ni mama Sitta waziri wa Elimu wa sasa siku ya Uzinduzi wa Chama cha Walimu Wanafunzi Chuo Kikuu Dar es Salaam. Kasri alikuwa Makamu Rais wa Kwanza wa chama hicho na hapo anaonekana akiwa na shati la njano.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-113968733848600735?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/113968733848600735/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=113968733848600735&amp;isPopup=true' title='8 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113968733848600735'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113968733848600735'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/kutoka-urais-wa-walimu-hadi-uwaziri-wa.html' title='KUTOKA URAIS WA WALIMU HADI UWAZIRI WA ELIMU'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>8</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-113968717782029328</id><published>2006-02-11T11:43:00.000-08:00</published><updated>2006-02-11T11:46:17.823-08:00</updated><title type='text'>KASRI AKIWA MKWAWA</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/kasri%20mkwawa.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/400/kasri%20mkwawa.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;HII ndiyo Mkwawa, Chuo kilichogeuzwa Sekondari ya Juu pekee Tanzania. Sasa hivi imerejeshwa kuwa sehemu ya Chuo Kikuu Dar es Salaam. Tazameni panapendeza hapo Baragumu nadhani utakuwa na kazi ya kutembelea hapo. Panaanza chuo kikuu mwaka huu wa masomo unaoanza Septemba.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-113968717782029328?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/113968717782029328/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=113968717782029328&amp;isPopup=true' title='11 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113968717782029328'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113968717782029328'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/kasri-akiwa-mkwawa.html' title='KASRI AKIWA MKWAWA'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>11</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-113968700547571757</id><published>2006-02-11T11:39:00.000-08:00</published><updated>2006-02-11T11:43:25.510-08:00</updated><title type='text'>MALENGA SHAABAN DAMBAYA NA KASRI LA MWANAZUO</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/dambaya.jpg"&gt;&lt;img style="cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/320/dambaya.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kupanuka kwa fani ya ushairi kwa Kasri la Mwanazuo kulitokana an ushirikiano na huyu Malenga wa Pwani Shaaban Dammbaya. Jamani mnaofahamu huyu malenga alipo naomba mrejesheni anisalimie tukumbushie Muswada wa Hodi Hodi Duniani.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-113968700547571757?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/113968700547571757/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=113968700547571757&amp;isPopup=true' title='0 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113968700547571757'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113968700547571757'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/malenga-shaaban-dambaya-na-kasri-la.html' title='MALENGA SHAABAN DAMBAYA NA KASRI LA MWANAZUO'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>0</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-113951975075819423</id><published>2006-02-09T13:12:00.000-08:00</published><updated>2006-02-09T13:19:17.726-08:00</updated><title type='text'>MAHITA ANAPOGOMA KUNG'OKA?</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/MAHITA%20safi.jpg"&gt;&lt;img style="float:left; margin:0 10px 10px 0;cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/320/MAHITA%20safi.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;MAHITA&lt;/strong&gt; mkuu wa Polisi jeshi linashirikiana na majambazi huko Tanzania ametangaza &lt;a href="http://www.uhuru.info/kitaifa.htm"&gt;hivi&lt;/a&gt;. Katika kipindi cha madaraka yake amewatia mauti watanzania lukuki kutoakana na vifo vya majambazi na polisi huku akiuacha umma katika misingi ya utengano na sasa anatangaza kuwagawa wananchi kwa misingi ya siasa. Yeye  kwake madaraka ni muhimu kuliko kujua namna ya kuwajibika. Amenonewa na madaraka, hajui kuwa kazi ikukushinda unapumzika. Anasubiri kuondolewa kwa nguvu na kwa kauli zake dhidi ya CUF chama cha siasa mbadala Zanzibar zinaonyesha namna wazi alivyokuwa akilitumia jeshi hilo kuwadhibiti. Anaapa kuwa CUF hawatashinda kamwe akiwepo soma &lt;a href="http://www.uhuru.info/kitaifa.htm"&gt;makala hii hapa&lt;/a&gt;.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-113951975075819423?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/113951975075819423/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=113951975075819423&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113951975075819423'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113951975075819423'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/mahita-anapogoma-kungoka.html' title='MAHITA ANAPOGOMA KUNG&apos;OKA?'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-113924494061391708</id><published>2006-02-06T08:52:00.000-08:00</published><updated>2006-02-06T08:55:40.613-08:00</updated><title type='text'>MKAPA ALIPALILIA RUSHWA?</title><content type='html'>SIKUBALI kuamini kama ni majibizano yaliyotokana na Jenerari Ulimwengu kufutiwa uraia wa Tanzania katika kipindi cha serikali ya Mkapa, kuwa ndio chanzo cha kauli hii ya Ulimwengu aliyoitoa Tanzania siku chache zilizopita. Kwa kipindi kirefu KASRI limekuwa likiutazama uongozi wa serikali ya awamu ya tatu sawa na ufalme. Ilikuwa ni serikali iliyowanyima fursa wenyeji, kuwathamini wageni na kuwakweza matajiri. Ni serikali iliyotanua wigo mpana sana kati ya maskini na tajiri. Sula kubwa la rushwa lilitangazwa rasmi kuwa moja ya vivutio vya kuwekeza Tanzania na bunge likapitisha kula rushwa kuwa haki. &lt;a href="http://www.darhotwire.com/dar/Habari/2006/02/04/15181.html"&gt;Soma zaidi makala hii hapa.&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-113924494061391708?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/113924494061391708/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=113924494061391708&amp;isPopup=true' title='8 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113924494061391708'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113924494061391708'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/mkapa-alipalilia-rushwa.html' title='MKAPA ALIPALILIA RUSHWA?'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>8</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-113924204360428621</id><published>2006-02-06T08:03:00.000-08:00</published><updated>2006-02-06T08:51:51.340-08:00</updated><title type='text'>MSIMAMO WA KASRI KWA HOJA YA WABUNGE KUJINEEMESHA</title><content type='html'>&lt;strong&gt;NIMEPOKEA&lt;/strong&gt; barua ya intanenti kutoka kwa jamaa aliyejiita jina la &lt;strong&gt;REKEBISHA TABIA&lt;/strong&gt;. Kama lilivyo jina lake sikupata hofu ya kumfahamu nia yake. Niliposoma nikaona niwahabarishe wana KASRI ili nao waweze kujua kinachojili baada ya makala zangu nilizozirusha kupitia Gazeti la Mwananchi linalochapishwa nchini Tanzania. Soma eneo la barua ya Rekebisha Tabia kama nilivyoinukuu katika barua zangu za intaneti.&lt;br /&gt;&lt;strong&gt;&lt;em&gt;Nimesoma makala zenu mbali mbali na kuona nyie wanahabari mmeifungia kibwebwe sana hoja ya wabunge kuomba maslahi zaidi.&lt;br /&gt;Ama kwa hakika mtu upewapo kazi ndipo unatakiwa uweke sawa hoja zako na hasa za maslahi.&lt;br /&gt;Mimi kazi za ubunge sizijui uzito wake hivyo inaniwia vigumu kutathmini mshahara na marupu rupu yake lakini haya mashambulizi dhidi ya wabunge yakiongozwa nanyi wanahabari yananitia mashaka juu ya nia na dhamira yenu. Nina hakika kila mtu anayohaki ya kusikilizwa , hofu yangu nia hii hukumu iliyokaa ki wivu wivu, kikauzibe,nk....&lt;br /&gt;Nashauri hoja zao zipewe uzito unaostahili na hasa kwa vile wameziletwa kiungwana na bila vitisho.&lt;br /&gt;Aghalab pia utasikia watu wakisema vibaya juu ya 'mashangingi'  wanayokopeshwa ili kuhudumia wapiga kura wao, kwa wivu tu.&lt;br /&gt;Naomba mfikirie upya changamoto zenu.&lt;/em&gt;&lt;/strong&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-113924204360428621?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/113924204360428621/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=113924204360428621&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113924204360428621'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113924204360428621'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/msimamo-wa-kasri-kwa-hoja-ya-wabunge.html' title='MSIMAMO WA KASRI KWA HOJA YA WABUNGE KUJINEEMESHA'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-113899568093000468</id><published>2006-02-03T11:37:00.000-08:00</published><updated>2006-02-03T11:41:20.930-08:00</updated><title type='text'>ACHANENI NA KUNYANYASA WANAWAKE</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/haki.jpg"&gt;&lt;img style="cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/400/haki.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;PICHA hii nadhani ingekuwa muwali sana kutumika kwa &lt;a href="http://damija.blogspot.com"&gt;Damija&lt;/a&gt; maana yeye maudhui ya Gazeti Tando lake linajadili haya. Lakini hata katika KASRI suala la haki za jinsia zote hupewa kipaumbele na kuthaminiwa. Hapa hakuna unyonyaji na wala hakuna kuangalia unyanyasaji na udhalilishaji unapewa mianya katika jamii. Picha hii pia niliipata pale Carleton na niliichukua kwa hisani ya wasomaji wa Kasri la Mwanazuo.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-113899568093000468?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/113899568093000468/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=113899568093000468&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113899568093000468'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113899568093000468'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/achaneni-na-kunyanyasa-wanawake.html' title='ACHANENI NA KUNYANYASA WANAWAKE'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-113899537720128754</id><published>2006-02-03T11:30:00.000-08:00</published><updated>2006-02-03T11:36:17.203-08:00</updated><title type='text'>ELIMU INAPOGEUZWA KIFUNGO</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/elimu.jpg"&gt;&lt;img style="cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/400/elimu.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/3.jpg"&gt;&lt;img style="cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/400/3.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;br /&gt;MABANGO haya nimeyakuta Chuo Kikuu cha Carleton pale Ottawa, Canada. Nilichukua picha hii kukumbukia vita inayokuja Tanzania baada ya kuundwa kwa bodi ya mikopo inayodai malipo ya masomo vyuo vya juu kwa wanafunzi kuanzia mwaka 1994. Kumbuka kuwa elimu hiyo ilitolewa burew kabisa tangu huko nyuma na nini hasa kimeleta hoja ya madai kuanzia mwaka 1994 au kwa kuwa kundi hilo halikuwa na wawakilishi katika Bunge? Kwa nini madai ya kusomea fedha za serikali yasiwahusu wote waliowahi kupata fedha hizo na ukweli wanafahamika. Kwa sasa wakati ambapo kazi zimekuwa adimu elimu inageuzwa kuwa kifungo, tazama picha hizi huku ni nchi zilizoendelea na vipi nafasi ya Tanzania.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-113899537720128754?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/113899537720128754/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=113899537720128754&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113899537720128754'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113899537720128754'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/elimu-inapogeuzwa-kifungo.html' title='ELIMU INAPOGEUZWA KIFUNGO'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-113899501146605493</id><published>2006-02-03T11:28:00.000-08:00</published><updated>2006-02-03T11:30:11.513-08:00</updated><title type='text'>DALADALA ZA OTTAWA</title><content type='html'>&lt;a href="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/1600/dala.jpg"&gt;&lt;img style="cursor:pointer; cursor:hand;" src="http://photos1.blogger.com/blogger/5714/1683/320/dala.jpg" border="0" alt="" /&gt;&lt;/a&gt;&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-113899501146605493?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/113899501146605493/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=113899501146605493&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113899501146605493'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113899501146605493'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/daladala-za-ottawa.html' title='DALADALA ZA OTTAWA'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>1</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-113890859899213535</id><published>2006-02-02T11:25:00.000-08:00</published><updated>2006-02-02T11:29:59.020-08:00</updated><title type='text'>HEKIMA ZA KASRI ZAANZA KUNUKULIWA</title><content type='html'>SI kazi rahisi maandishi yako kutumika na wengine kama hayana weledi na urazini. Ni lazima utoe hoja sawia na yakinifu ili uweze kunukuliwa. Katika kuonesha kutanuka kwa mawazo na fikra za wanablogu ndipo kaulimbiu ya Kasri ilivyokutwa ikinukuliwa katika &lt;a href="http://gaphiz.blogspot.com/2006/02/waafrika-ukombozi-uko-mikononi-mwetu.html"&gt;habari hii &lt;/a&gt;na Mwanablogu maarufu kutoka katika &lt;a href="http://gaphiz.blogspot.com"&gt;hatihati na harakati za wanavyuo wa Tanzania&lt;/a&gt;. Kunukuliwa na Mwanazuo ni kuonyesha namna mawazo yako yanavyokuwa na kuthaminika.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-113890859899213535?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/113890859899213535/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=113890859899213535&amp;isPopup=true' title='2 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113890859899213535'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113890859899213535'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/hekima-za-kasri-zaanza-kunukuliwa.html' title='HEKIMA ZA KASRI ZAANZA KUNUKULIWA'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>2</thr:total></entry><entry><id>tag:blogger.com,1999:blog-17460287.post-113882501474893260</id><published>2006-02-01T12:10:00.000-08:00</published><updated>2006-02-01T12:17:25.646-08:00</updated><title type='text'>KAPUYA KATIKA KASHFA NZITO</title><content type='html'>GAZETI moja la Kiingereza nchini Tanzania limechapisha habari juu ya Waziri mpya wa Ulinzi Purofesa Juma Kapuya kutumia dege la jeshi katika safari zake binafsi kwenda kwao Tabora. Tukio hilo limeisababishia wizara hasara ya zaidi ya shilingi za Kitanzania milioni 10. Waweza soma habari hii zaidi &lt;a href="http://www.darhotwire.com/dar/Habari/2006/02/01/15002.html"&gt;hapa &lt;/a&gt;na kutoa maoni yako.&lt;br /&gt;&lt;br /&gt;Kumbuka tu nchini Kenya kuna wimbi la matumizi ya fedha za serikali visivyo ambalo sasa napo limezaa kujiuzuru kwa Waziri wa fedha kama inavyofafanuliwa &lt;a href="http://www.nationmedia.com/dailynation/nmgcontententry.asp?category_id=1&amp;newsid=66340"&gt;zaidi hapa&lt;/a&gt;.&lt;div class="blogger-post-footer"&gt;Ingia Kasirini&lt;img width='1' height='1' src='https://blogger.googleusercontent.com/tracker/17460287-113882501474893260?l=kasrilamwanazuo.blogspot.com' alt='' /&gt;&lt;/div&gt;</content><link rel='replies' type='application/atom+xml' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/feeds/113882501474893260/comments/default' title='Post Comments'/><link rel='replies' type='text/html' href='http://www.blogger.com/comment.g?blogID=17460287&amp;postID=113882501474893260&amp;isPopup=true' title='1 Comments'/><link rel='edit' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113882501474893260'/><link rel='self' type='application/atom+xml' href='http://www.blogger.com/feeds/17460287/posts/default/113882501474893260'/><link rel='alternate' type='text/html' href='http://kasrilamwanazuo.blogspot.com/2006/02/kapuya-katika-kashfa-nzito.html' title='KAPUYA KATIKA KASHFA NZITO'/><author><name>boniphace</name><uri>http://www.blogger.com/profile/15745336472193470752</uri><email>noreply@blogger.com</email><gd:image rel='http://schemas.google.com/g/2005#thumbnail' width='16' height='16' src='http://img2.blogblog.com/img/b16-rounded.gif'/></author><thr:total>1</thr:total></entry></feed>
